IJUE AFYA YAKO

IJUE AFYA YAKO Tunatoa ushauri na tiba kwa magonjwa sugu na maradhi mbalimbali ya wazee, wanaume, wanawake na watoo.

10/06/2022

*DALILI ZATEZI DUME ILIYOTANUKA*
*+255 743495520
⏭Kukojoa Mara kwa Mara hasa nyakati za usiku
⏭Kukojoa mkojo hauishi unahisi kukojoa lakini mkojo hautoki
⏭Mkojo kutiririka polepole unakatikakatika

*Yafuatayo ni MADHARA YA TEZI DUME ILIYOTANUKA*

✍️Kibofu cha mkojo kuuma : hivyo hupelekea mkojo kurudi juu, na kuharibu figo na Ini n.k.

✍️Kufunga kwa njia ya mkojo kabisa

✍️Figo kushindwa kufanya kazi (Kidney Failure)

✍️Kushindwa kumudu tendo la ndoa (Ndoa zinavunjika)

✍️Ugumba (Infertility, Frigidity for men)

✍️Kutokea kwa majipu sehemu ya Tezi Dumu✍️Kifo

KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA SIMU WHATSAPP 0743495520

MATIBABU sahihi kwakutumia virutubisho lishe
16/05/2022

MATIBABU sahihi kwakutumia virutubisho lishe

Tibu tatizo lako Sasa
26/02/2022

Tibu tatizo lako Sasa

Tunatoa ushauri na tiba kwa magonjwa sugu na maradhi mbalimbali ya wazee, wanaume, wanawake na watoo.

21/02/2022

Tupigie sm Sasa 0743495520 doctor lucy

21/02/2022

Tupigie sm 0743495520

Hongera Sana GIDEON KUTOKA SHINYANGA KWAKUANZA MATIBABU.
02/01/2022

Hongera Sana GIDEON KUTOKA SHINYANGA KWAKUANZA MATIBABU.

Hongera Sana ULUKO kuanza MATIBABU.
02/01/2022

Hongera Sana ULUKO kuanza MATIBABU.

30/12/2021

(+255 743495520)

Bila shaka umesha msikia ndugu yako, rafiki au mtu wako wa karibu wakilalamika kuuma kwa MAUNGIO k**a (Knee Joint), , (Shoulder Joint) NA . Wako pia wanaolalamika maumivu ya maungio ya (Ankle Joint).

Inasemekana kwamba kuna zaidi ya watu bilioni nne duniani wana sumbuliwa na matatizo ya viungo( MAUNGIO).

Ambapo wanawake ni 18% na wanaume ni 9.6% .

Kawaida katika MAUNGIO huwa kuna ute ute uitwao synonvio fluid ambao kazi YAKE ni kulainisha MAUNGIO pia kuna kitu k**a sponji kiitwacho catilage (gegedu) ambayo Kazi YAKE ni kufanya mfupa na mfupa visisagane hivyo sponji hii na ute ute juu ndio vinavyofanya MAUNGIO yawe salaam salimini.

TATIZO hili kitaalamu huitwa OSTEOARTHRITIS(OA) hutokea pale ambapo gegedu(cartilage) kuanza kulika pole pole na kusababisha mifupa ya kwenye MAUNGIO kusagana hii husababisha maumivu.


•Umri
•Uzito
•Kuumia Kwa Kupata ajali
•Kurithi (genesis)
•Wafanya mazoezi/wana michezo.

na kuwekewa za bandia ambapo kimsingi ni gharama kubwa sana.

MATIBABU

zetu_ni_bidhaa_za_asili_zinazoongeza_ute_ute_kwenye_maungia_na_kuziponya_cartilage_au_sponji_zinazozuia_mifupa_kusagana_na_huondoa_maumivu_maungio_kabisa.

-Huongeza GLUCOSE AMINE ambayo huunda upya cartilage(sponji zinazolinda mifupa isisagane
-Huongeza CHRONDROITIN ambayo hutumika kutengeneza ute ute kati ya maungio
-Huondoa kabisaa maumivu ya maungio yaliyokithiri
-Ni nzuri sana kwa MTU mwenye TATIZO LA ATHRITIS
-Huwafaa sana watu wanaofanya mazoezi

Kwa matibabu zaidi piga +255 743495520

30/10/2021

IFAHAMU BAWASIRI(MGOLO)NA MATIBABU YAKE KWA KUTUMIA DAWA BILA UPASUAJI [,PIGA AU WATSUP 0743495520 au 0733676434]

KWANZA UFAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA KUEPUKA NA UGONJWA,

~watu wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba

JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!!

~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nnje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe

# # # *CHANZO CHA TATIZO*
~chanzo halisi cha ugonjwa huu hakijapatikana ila Kuna vitu ambavyo huwa chanzo cha kupata ugonjwa wa bawasiri ambayo ni ÷
👉TATIZO LA KUTOPATA CHOO (CHOO KIGUMU)
👉MATATIZO YA UMRI
√UZAZI-MIMBA NA KIPINDI CHA KUJIFUNGUA

👉UZITO KUPITA KIASI
👉MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU

# # # DALILI ZA BAWASIRI
👉Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
👉kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
👉kutokea uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
👉kujitokeza kwa kinyama katika eneo la tundu Hilo
👉kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana

*MADHARA YA TATIZO LA BAWASIRI*
👉kupata upungufu wa damu (anemia)
👉Kupata tatizo la kutokuweza kuhimil choo
👉hupunguza nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake na wanaume.
👉kuathirika kisaikolojia
👉kukosa morali ya kufanya Kaz kutokana na maumivu makali
👉Kuna uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya UTUMBOCANCER) kwa sababu kile kinyama kinakaa K**a kidonda.,,

# # # *TIBA NA KINGA YA BAWASIRI YA UHAKIKA* *(NOVEL DE PILE)*🤞🤞

√NOVEL DE PILE NI BIDHAA YA ASILI INAYOSAIDIA KUPONYESHA BAWASIRI,
IMETENGENEZWA KWA VIAMBATA VYA ASILI AMBAVYO NI JAMII YA MALIMAO NA MACHUNGWA (CITRUS FRUITS)

√INAONDOA PRESHA KUBWA KWENYE MISHIPA YA DAMU YA SEHEMU YA HAJA KUBWA
,,HIVYO BAWASIRI INAPOTEA KABISAAAAA,,,

√HUONDOA MAUMIVU MAKALI NDANI YA MUDA MFUPI SANA,
HUKATA DAMU INAYOTOKA HARAKA,

Piga AU WATSUP 0743495520 Au 0734676434 kupata huduma na ushauri.
HAINA KEMIKALI IMETHIBITISHWA NA TFDA,HALAL,GMP NK....

15/10/2021

Piga Sim Sasa kwa matibabu ya uhakika 0734676434 au 0743495520

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255743495520

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when IJUE AFYA YAKO posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to IJUE AFYA YAKO:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram