20/01/2025
TATIZO LA KUWAHI KUMALIZA TENDO.
Hili ni tatizo linalohusiana na upungufu wa nguvu za kiume, ambapo mwanaume atapata viashiria vifuatavyo;
1. Anashindwa kujizuia kumwaga manii yake, na tukio hilo hutokea haraka sana pindi tu anapoanza tendo.
2. Anashindwa kumfikisha mwenza wake kileleni na yeye kushindwa kuendelea baada ya kumwaga.
3. Kulegea kwa misuli ya uume baaada ya kumwaga manii na kushindwa kufanya vizuri raundi inayofuata.
4. Pia hutoa manii kidogo sana na kuchoka mwili baada ya kumwaga.
5. Hutokea kutoa manii yake hata kabla uume haijangia kwenye uke.
SABABU ZA KUWAHI KUMALIZA TENDO KWA HARAKA SANA.
1. Kushiriki vitendo vya kujichua mara kwa mara, ambapo inasababisha ulegevu wa misuli ya uume. (ma********on)
2. Kushuka kwa kiwango cha vichocheo ( testosteroone hormone). hivyo kupelekea kushuka kwa hamu ya tendo.
3. Kuwa na hofu au uwoga juu kuliendea tendo na mwenza wako kutokana historia ya kushindwa kumridhisha mwenza wako kwa nyakati zilizopita.
4. Upungufu wa mlo wenye viritubishi katika mfumo wa uzazi, mfano uchache madini Zinc ambayo yanasaidia kufungua njia za damu za uume wakati wa tendo na kusaidia uume kusimama imara zaidi.
ZOFE ni dawa yenye kutibu kabisa tatizo hili kwa utaratibu wa dozi ambayo utaelekezwa utapoanza matibabu.
Pia Nizam, Tunatibu maradhi mengine tofauti k**a vile Presha, kisukari, Pumu, matatizo ya Uzazi, mifupa na Maumivu ya kichwa...
mawasiliano: +255657332411
"Jenga afya yako na Asili"