National Institute For Medical Research

National Institute For Medical Research The National Institute for Medical Research (NIMR) is a government research institution under the Ministry for Health established in 1979.

NIMR has the dual mandate to conduct and regulate health research on Tanzania Mainland. The National Institute for Medical Research (NIMR) is the largest public health research institution in Tanzania. It was established by the Parliament Act No. 23 of 1979 as a parastatal organization under the Ministry of Health. The establishment of NIMR was in recognition by the government of the need to generate scientific information required in the development of better methods and techniques of enhancing disease management, prevention and control in the country.

๐——๐—ฒ๐—ฐ๐—ฎ๐—ฑ๐—ฒ-๐—Ÿ๐—ผ๐—ป๐—ด ๐—ฅ๐—ฒ๐˜€๐—ฒ๐—ฎ๐—ฟ๐—ฐ๐—ต ๐—Ÿ๐—ฒ๐—ฑ ๐—ฏ๐˜† ๐—ก๐—œ๐— ๐—ฅ ๐—ฆ๐—ต๐—ฎ๐—ฝ๐—ฒ๐˜€ ๐—”๐—ณ๐—ฟ๐—ถ๐—ฐ๐—ฎโ€™๐˜€ ๐—ฃ๐˜‚๐˜€๐—ต ๐—ณ๐—ผ๐—ฟ ๐—œ๐—ป๐˜๐—ฒ๐—ด๐—ฟ๐—ฎ๐˜๐—ฒ๐—ฑ ๐—›๐—œ๐—ฉ ๐—ฎ๐—ป๐—ฑ ๐—ก๐—–๐—— ๐—–๐—ฎ๐—ฟ๐—ฒNew evidence from a decade of resea...
27/03/2026

๐——๐—ฒ๐—ฐ๐—ฎ๐—ฑ๐—ฒ-๐—Ÿ๐—ผ๐—ป๐—ด ๐—ฅ๐—ฒ๐˜€๐—ฒ๐—ฎ๐—ฟ๐—ฐ๐—ต ๐—Ÿ๐—ฒ๐—ฑ ๐—ฏ๐˜† ๐—ก๐—œ๐— ๐—ฅ ๐—ฆ๐—ต๐—ฎ๐—ฝ๐—ฒ๐˜€ ๐—”๐—ณ๐—ฟ๐—ถ๐—ฐ๐—ฎโ€™๐˜€ ๐—ฃ๐˜‚๐˜€๐—ต ๐—ณ๐—ผ๐—ฟ ๐—œ๐—ป๐˜๐—ฒ๐—ด๐—ฟ๐—ฎ๐˜๐—ฒ๐—ฑ ๐—›๐—œ๐—ฉ ๐—ฎ๐—ป๐—ฑ ๐—ก๐—–๐—— ๐—–๐—ฎ๐—ฟ๐—ฒ

New evidence from a decade of research led by Tanzaniaโ€™s National Institute for Medical Research (NIMR) on integrated HIV and non-communicable disease (NCD) care is driving renewed efforts across Africa to reform health systems, as leaders prepare for the launch of the SPARK-NCD initiative to strengthen data and service integration.
Speaking at the high-level dissemination of integrated HIV and NCD evidence, Zanzibar Second Vice President, Suleiman Hemed Abdulla, representing Dr Hussein Ali Mwinyi, President of the Zanzibar Revolutionary Government and Chairman of the Revolutionary Council, called for stronger collaboration among health experts to improve healthcare outcomes across Africa.
He noted that people living with HIV are increasingly affected by non-communicable diseases such as cardiovascular conditions, diabetes, cancer and mental health disorders, underscoring the need for more coordinated care, while emphasizing the importance of research in guiding effective service delivery.
He also commended the efforts of both the Government of the United Republic of Tanzania and the Zanzibar Revolutionary Government in tackling HIV and non-communicable diseases.
Evidence from studies led by NIMR, including the INTE-COMM trial in Tanzania and Uganda, shows that integrated, community-based care can expand access to treatment while maintaining outcomes comparable to facility-based services.
The findings further show that bringing services closer to communities reduces transport costs, waiting times and stigma, while easing pressure on health facilities and informing policy discussions across Africa on integrated HIV and NCD services.
Representing the Chief Medical Officer from the Ministry of Health Tanzania, NIMR Director General Prof. Said Aboud said the initiative aims to ensure research findings translate into tangible benefits for communities.
โ€œIntegrated service delivery allows patients with multiple conditions to receive care more efficiently, reducing hospital visits and healthcare costs, while also contributing to reduced deaths and the growing burden of HIV and non-communicable diseases, particularly among vulnerable populations,โ€ he said.
The SPARK-NCD initiative, led by Africa CDC, seeks to strengthen disease surveillance and support data-driven decision-making across African countries. Discussions also emphasized the need to improve NCD surveillance, integrate services, and strengthen Africa-led, data-driven health solutions.
The two-day continental meeting, held from March 27โ€“28, 2026, at the Golden Tulip Hotel in Zanzibar brought together Ministers of Health, policymakers, researchers and development partners from across Africa.
With growing political commitment and locally generated evidence from institutions such as NIMR, experts say that integrating HIV and NCD services could transform healthcare systems across Africa, improving access, reducing costs and saving lives.
.

27/03/2026

๐—๐—ฒ, ๐˜‚๐—ป๐—ฎ ๐—บ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ผ ๐—ธ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฏ๐—ผ๐—ฟ๐—ฒ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐—ฎ๐—ณ๐˜†๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ท๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ถ?

Hii ni nafasi yako ya kusikika na kushiriki mawazo yatakayobadilisha mfumo wa afya Tanzania. Jiunge nasi Arusha kwenye Kongamano Kuu la mwaka la Kisayansi la 33 linaloandaliwa na NIMR.
๐Ÿ‘‰ Jisajili sasa na uwe sehemu ya historia https://ajsc.nimr.or.tz

Usikose kumsikiliza Dkt. Ernest Mazigo, Mkuu wa Idara ya Mifumo ya Afya, Sera na Tafsiri ya Matokeo ya Tafiti akitoa mad...
25/03/2026

Usikose kumsikiliza Dkt. Ernest Mazigo, Mkuu wa Idara ya Mifumo ya Afya, Sera na Tafsiri ya Matokeo ya Tafiti akitoa mada kuhusu nafasi ya tafiti za kisayansi katika kudhibiti magonjwa na kujenga mifumo imara ya afya nchini Tanzania.

Ni kesho tarehe 26 Machi 2026
Saa: 2:00 -3:00 asubuhi
Kipindi: ๐Œ๐จ๐ซ๐ง๐ข๐ง๐  ๐‰๐š๐ฆ
๐—–๐—”๐—ฃ๐—œ๐—ง๐—”๐—Ÿ Radio

24/03/2026
๐—ช๐—ฎ๐˜๐˜‚๐—บ๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ถ ๐—ก๐—œ๐— ๐—ฅ ๐—ช๐—ฎ๐—ฝ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐˜„๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐—ณ๐˜‚๐—ป๐˜‡๐—ผ ๐˜†๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐—ฎ๐—ฑ๐—ถ๐—น๐—ถ, ๐—ฅ๐˜‚๐˜€๐—ต๐˜„๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐—ต๐—ฎ๐—น๐—ถ ๐—ฝ๐—ฎ ๐—ž๐—ฎ๐˜‡๐—ถ ๐—ป๐—ฎ ๐—”๐—ณ๐˜†๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—”๐—ธ๐—ถ๐—น๐—ถTaasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjw...
19/03/2026

๐—ช๐—ฎ๐˜๐˜‚๐—บ๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ถ ๐—ก๐—œ๐— ๐—ฅ ๐—ช๐—ฎ๐—ฝ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐˜„๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐—ณ๐˜‚๐—ป๐˜‡๐—ผ ๐˜†๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐—ฎ๐—ฑ๐—ถ๐—น๐—ถ, ๐—ฅ๐˜‚๐˜€๐—ต๐˜„๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐—ต๐—ฎ๐—น๐—ถ ๐—ฝ๐—ฎ ๐—ž๐—ฎ๐˜‡๐—ถ ๐—ป๐—ฎ ๐—”๐—ณ๐˜†๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—”๐—ธ๐—ถ๐—น๐—ถ

Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) imeendelea kuonesha dhamira yake ya kujenga watumishi wenye weledi, uadilifu, uwajibikaji na afya njema kwa kuendesha mafunzo maalumu yanayolenga kuimarisha maadili ya utumishi wa umma, mapambano dhidi ya rushwa mahali pa kazi na kuhamasisha umuhimu wa afya ya akili.
Mafunzo hayo yamefanyika tarehe 18 Machi 2026 katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma, yakiendeshwa na wawezeshaji kutoka Ofisi ya Rais โ€“ Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) pamoja na Taasisi ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe.
Akifungua mafunzo hayo, Mkurugenzi Mkuu wa NIMR Prof. Said Aboud amesema kuwa mafunzo hayo ni sehemu ya utekelezaji wa mikakati ya Serikali ya kuimarisha utawala bora kupitia watumishi wa umma wanaozingatia maadili, sheria, kanuni na taratibu za kazi. Alisisitiza kuwa maadili ya utumishi wa umma ni msingi muhimu katika kujenga taasisi imara, yenye kuaminika na inayotoa huduma bora kwa wananchi.
Prof. Aboud ameeleza kuwa NIMR inaongozwa na misingi mikuu mitano ya uendeshaji ambayo ni uadilifu, ujumuishwaji, ubora, uwajibikaji na uwazi, na kwamba mafunzo hayo yanalengs kuimarisha utekelezaji wa misingi hiyo katika kazi za kila siku za watumishi.
Prof. Aboud amesema mafunzo hayo pia yataweka misingi ya maadili kwa watumishi wa umma na kujenga uzalendo k**a njia mojawapo ya kuondoa vitendo vya rushwa mahali pa kazi.
Sambamba na hilo, mtaalamu kutoka Taasisi ya Mirembe ametoa elimu kuhusu afya ya akili, akisisitiza kuwa ustawi wa akili ni nyenzo muhimu katika kuongeza tija na ufanisi kazini. Alieleza kuwa mtumishi mwenye afya njema ya akili huwa na uwezo mkubwa wa kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi na kuhimili changamoto za kikazi.
Aidha, menejimenti ya NIMR imeisitiza kuwa itaendelea kujenga mazingira ya kazi yanayozingatia maadili, yasiyovumilia vitendo vya rushwa na yanayojali ustawi wa watumishi wote.
Mafunzo hayo ya siku moja yaliyohudhuriwa na Menejimenti na watumishi wa NIMR kutoka makao makuu Dodoma na vituo vya utafiti yanatarajiwa kuwa na mchango mkubwa katika kuimarisha utendaji kazi wa watumishi wa NIMR na kuongeza ufanisi katika utoaji wa huduma kwa jamii, sambamba na kuchangia juhudi za Serikali za kujenga utumishi wa umma wenye maadili na uwajibikaji.

๐—ก๐—œ๐— ๐—ฅ ๐—ฅ๐—ฒ๐˜€๐—ฒ๐—ฎ๐—ฟ๐—ฐ๐—ต๐—ฒ๐—ฟ๐˜€ ๐—ฆ๐—ต๐—ถ๐—ป๐—ฒ ๐˜„๐—ถ๐˜๐—ต ๐——๐—ญ๐—œ๐—™ ๐—˜๐—ฎ๐—ฟ๐—น๐˜† ๐—–๐—ฎ๐—ฟ๐—ฒ๐—ฒ๐—ฟ ๐—ฆ๐—ฐ๐—ถ๐—ฒ๐—ป๐˜๐—ถ๐˜€๐˜๐˜€ ๐—š๐—ฟ๐—ฎ๐—ป๐˜Researchers from the National Institute for Medical Resear...
18/03/2026

๐—ก๐—œ๐— ๐—ฅ ๐—ฅ๐—ฒ๐˜€๐—ฒ๐—ฎ๐—ฟ๐—ฐ๐—ต๐—ฒ๐—ฟ๐˜€ ๐—ฆ๐—ต๐—ถ๐—ป๐—ฒ ๐˜„๐—ถ๐˜๐—ต ๐——๐—ญ๐—œ๐—™ ๐—˜๐—ฎ๐—ฟ๐—น๐˜† ๐—–๐—ฎ๐—ฟ๐—ฒ๐—ฒ๐—ฟ ๐—ฆ๐—ฐ๐—ถ๐—ฒ๐—ป๐˜๐—ถ๐˜€๐˜๐˜€ ๐—š๐—ฟ๐—ฎ๐—ป๐˜

Researchers from the National Institute for Medical Research (NIMR), Mbeya Centre, have earned international recognition after five early career scientists were awarded the prestigious Deutsches Zentrum fรผr Infektionsforschung (DZIF) Early Career Scientists Grant 2026
The grant is awarded annually by the DZIF Academy through its Short-term Training Program, which aims to strengthen scientific skills, support career development, and promote collaboration between Tanzanian researchers and their German counterparts within the DZIF network.
The program is co-led by Dr. Nyanda Ntinginya and Dr. Bariki Mtafya, and is designed to equip early career scientists with essential research skills through mentorship, targeted training, and opportunities for scientific collaboration.
The five NIMR researchers selected for the 2026 grant are Dr Lucy Elauteri Mrema, Dr Julieth Lalashowi, Dr Daniel Mapamba, Jacklina Mhidze, and Willyhelmina Olomi. Their research addresses critical health priorities, including the intersection of non-communicable and infectious diseases, tuberculosis-related complications, HIV/TB immunology, and infectious disease modelling.
Through this support, the selected researchers will benefit from enhanced training and exposure, particularly in the field of infectious diseases, contributing to the strengthening of Africaโ€™s research capacity and nurturing the next generation of scientific leaders.
This achievement marks an important milestone in reinforcing the long-standing collaboration between Tanzania and Germany in health research, while highlighting NIMRโ€™s commitment to advancing scientific excellence and innovation.

๐‚๐š๐ง ๐œ๐จ๐ฆ๐ฆ๐ฎ๐ง๐ข๐ญ๐ฒ-๐›๐š๐ฌ๐ž๐ ๐œ๐š๐ซ๐ž ๐ข๐ฆ๐ฉ๐ซ๐จ๐ฏ๐ž ๐š๐œ๐œ๐ž๐ฌ๐ฌ ๐ญ๐จ ๐ญ๐ซ๐ž๐š๐ญ๐ฆ๐ž๐ง๐ญ ๐Ÿ๐จ๐ซ ๐œ๐ก๐ซ๐จ๐ง๐ข๐œ ๐๐ข๐ฌ๐ž๐š๐ฌ๐ž๐ฌ ๐ข๐ง ๐€๐Ÿ๐ซ๐ข๐œ๐š?A new multi-country clinical trial c...
14/03/2026

๐‚๐š๐ง ๐œ๐จ๐ฆ๐ฆ๐ฎ๐ง๐ข๐ญ๐ฒ-๐›๐š๐ฌ๐ž๐ ๐œ๐š๐ซ๐ž ๐ข๐ฆ๐ฉ๐ซ๐จ๐ฏ๐ž ๐š๐œ๐œ๐ž๐ฌ๐ฌ ๐ญ๐จ ๐ญ๐ซ๐ž๐š๐ญ๐ฆ๐ž๐ง๐ญ ๐Ÿ๐จ๐ซ ๐œ๐ก๐ซ๐จ๐ง๐ข๐œ ๐๐ข๐ฌ๐ž๐š๐ฌ๐ž๐ฌ ๐ข๐ง ๐€๐Ÿ๐ซ๐ข๐œ๐š?
A new multi-country clinical trial conducted in Tanzania and Uganda shows that delivering integrated care for HIV, diabetes and hypertension within communities can safely expand access while reducing the burden on health facilities. Uganda Research Unit (UK)

Read full press release.https://nimr.or.tz/wp-content/uploads/2026/03/PRESS-RELEASE-14-03-2026.pdf

๐Ÿ”—Access the published paper: [https://kwnsfk27.r.eu-west-1.awstrack.me/L0/https:%2F%2Fauthors.elsevier.com%2Fsd%2Farticle%2FS0140-6736(25)02641-8/1/0102019ce483448c-8c0fd6a7-a130-46bc-bd94-8ef172e3af1c-000000/zNufUi16W81dW9r0PeAqQfE1HZM=469]

๐—ก๐—œ๐— ๐—ฅ ๐—ฌ๐—”๐—ฆ๐—œ๐—ฆ๐—œ๐—ง๐—œ๐—ญ๐—” ๐—ง๐—”๐—™๐—œ๐—ง๐—œ ๐—ญ๐—œ๐—ก๐—”๐—ญ๐—ข๐—ง๐—”๐—ง๐—จ๐—” ๐—–๐—›๐—”๐—ก๐—š๐—”๐— ๐—ข๐—ง๐—ข ๐—ญ๐—” ๐—”๐—™๐—ฌ๐—” ๐—ž๐—”๐—ง๐—œ๐—ž๐—” ๐— ๐—”๐—”๐—ก๐——๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—ญ๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐—•๐—”๐—๐—˜๐—ง๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐Ÿฎ๐Ÿฌ๐Ÿฎ๐Ÿฒ/๐Ÿฎ๐Ÿฌ๐Ÿฎ๐ŸณMkurugenzi Mkuu wa Taasisi...
12/03/2026

๐—ก๐—œ๐— ๐—ฅ ๐—ฌ๐—”๐—ฆ๐—œ๐—ฆ๐—œ๐—ง๐—œ๐—ญ๐—” ๐—ง๐—”๐—™๐—œ๐—ง๐—œ ๐—ญ๐—œ๐—ก๐—”๐—ญ๐—ข๐—ง๐—”๐—ง๐—จ๐—” ๐—–๐—›๐—”๐—ก๐—š๐—”๐— ๐—ข๐—ง๐—ข ๐—ญ๐—” ๐—”๐—™๐—ฌ๐—” ๐—ž๐—”๐—ง๐—œ๐—ž๐—” ๐— ๐—”๐—”๐—ก๐——๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—ญ๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐—•๐—”๐—๐—˜๐—ง๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐Ÿฎ๐Ÿฌ๐Ÿฎ๐Ÿฒ/๐Ÿฎ๐Ÿฌ๐Ÿฎ๐Ÿณ

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), Profesa Said Aboud, ameitaka taasisi hiyo kuimarisha uwezo wake wa kifedha na kuwekeza katika tafiti zinazolenga kutatua changamoto za afya nchini, ikiwa ni sehemu ya mikakati ya kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa majukumu ya taasisi.
Akizungumza wakati wa kufunga kikao kazi cha maandalizi ya mpango na bajeti ya mwaka wa fedha 2026/2027 kilichofanyika kuanzia tarehe 2 hadi 11 Machi 2026 katika Hoteli ya Edema mjini Morogoro, Profesa Aboud alipongeza ushiriki mkubwa wa wataalamu wa bajeti kutoka kurugenzi, vitengo na vituo mbalimbali vya taasisi.
โ€œKikao kazi hiki kimeonesha kwa vitendo dhana ya ushirikishwaji wa wadau muhimu katika mchakato wa maandalizi ya bajeti, huku kikizingatia miongozo ya serikali katika upangaji wa mipango na matumizi ya rasilimali za taasisi,โ€ alisema.
Aliwataka washiriki kuhakikisha kuwa katika kupanga bajeti wanatanguliza vipaumbele vya taasisi kwa kutenga rasilimali za kutosha katika maeneo muhimu yatakayochangia kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa majukumu ya taasisi.
Aidha, alisisitiza umuhimu wa kuimarisha ukusanyaji wa mapato ya ndani ili kuiwezesha taasisi kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi zaidi. Alieleza kuwa ni wakati muafaka kwa taasisi kuangalia namna ya kufanya tafiti zinazolenga kutatua changamoto za afya nchini kupitia vyanzo vyake vya mapato ya ndani na kupunguza utegemezi.
Alielekeza timu inayohusika na mipango na bajeti kuangalia uwezekano wa kutenga fedha za awali za tafiti (research seed fund) ili kuwasaidia hasa watafiti wachanga kuanzisha tafiti zitakazochangia maendeleo ya sekta ya afya nchini. Ametoa wito pia kwa taasisi kuanzisha mfuko wa fedha wa kuwezesha kufanya tafiti za afya (Research endowment fund).
Vilevile, alisisitiza umuhimu wa kuendelea kuboresha ustawi wa watumishi, akiiagiza timu hiyo kuangalia uwezekano wa kutekeleza kipengele cha posho ya chakula kwa watumishi kwa mujibu wa mpango wa motisha ambapo kwa sasa hulipwa nauli pekee wakati wa shughuli rasmi za kikazi.
Kikao kazi hicho kiliwakutanisha maafisa bajeti kutoka vituo, kurugenzi na vitengo mbalimbali vya NIMR kwa lengo la kuandaa mpango na bajeti ya mwaka wa fedha 2026/2027 kwa kuzingatia vipaumbele vya Serikali na taasisi.
/2027

๐—ช๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐˜„๐—ฎ๐—ธ๐—ฒ ๐˜„๐—ฎ ๐—ก๐—œ๐— ๐—ฅ ๐—ช๐—ฎ๐—ฎ๐—ฑ๐—ต๐—ถ๐—บ๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐—ฆ๐—ถ๐—ธ๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ ๐—ช๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐˜„๐—ฎ๐—ธ๐—ฒ ๐——๐˜‚๐—ป๐—ถ๐—ฎ๐—ป๐—ถ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ž๐˜‚๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐—ถ๐—ฑ๐—ถ๐—ฎ ๐—ช๐—ฎ๐˜๐—ผ๐˜๐—ผ ๐—ฌ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—บ๐—ฎKatika kusheherekea Siku ya Kimataifa ...
11/03/2026

๐—ช๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐˜„๐—ฎ๐—ธ๐—ฒ ๐˜„๐—ฎ ๐—ก๐—œ๐— ๐—ฅ ๐—ช๐—ฎ๐—ฎ๐—ฑ๐—ต๐—ถ๐—บ๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐—ฆ๐—ถ๐—ธ๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ ๐—ช๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐˜„๐—ฎ๐—ธ๐—ฒ ๐——๐˜‚๐—ป๐—ถ๐—ฎ๐—ป๐—ถ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ž๐˜‚๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐—ถ๐—ฑ๐—ถ๐—ฎ ๐—ช๐—ฎ๐˜๐—ผ๐˜๐—ผ ๐—ฌ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—บ๐—ฎ

Katika kusheherekea Siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani, wanawake wa Kituo cha Utafiti cha NIMR Amani wameadhimisha siku hiyo kwa kutembelea Kituo cha Watoto Yatima cha FURAHA, kilichopo Raskazone, jijini Tanga, na kutoa msaada wa mahitaji muhimu k**a unga, mchele, mafuta, sabuni za kufulia na za kuogea. Baada ya kukabidhi vitu hivyo, watoto hao walionyesha furaha na shukurani zao kupitia nyimbo na michezo mbalimbali.
Maadhimisho haya hufanyika kila tarehe 08 Machi. Mwaka huu, yalikuwa na kaulimbiu isemayo: โ€œHaki ya Mwanamke na Wasichana, Msingi wa Maendeleo Jumuishi Kufikia Dira 2050.โ€
Akizungumza kwenye tukio hilo kwa niaba ya wanawake wa NIMR Tanga, Dr. Veneranda Bwana alisema ni desturi ya wanawake wa NIMR Amani kushiriki katika masuala ya jamii, na akasisitiza kwamba kila siku ni fursa ya kuleta mabadiliko chanya katika maisha ya wengine. โ€œSiku ya Wanawake Duniani ni fursa ya kusherehekea wanawake, lakini pia ni wakati wa kuonyesha mshik**ano na wale walioko kwenye hali ngumu,โ€ alisisitiza Dr. Bwana.
Msimamizi wa kituo hicho aliwashukuru wanawake wa NIMR Tanga kwa msaada huo na akakaribisha wadau mbalimbali kuendeleza jitihada za kutoa misaada, akibainisha kwamba watoto hao wanahitaji msaada ili kuendeleza maisha yao.

๐—ช๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐˜„๐—ฎ๐—ธ๐—ฒ ๐˜„๐—ฎ ๐—ก๐—œ๐— ๐—ฅ ๐— ๐—ฏ๐—ฒ๐˜†๐—ฎ ๐—ช๐—ฎ๐—ฎ๐—ฑ๐—ต๐—ถ๐—บ๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐—ฆ๐—ถ๐—ธ๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ ๐—ž๐—ถ๐—บ๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐—ถ๐—ณ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ช๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐˜„๐—ฎ๐—ธ๐—ฒ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐˜๐—ฒ๐—ป๐—ฑ๐—ผ ๐˜†๐—ฎ ๐—›๐˜‚๐—ฟ๐˜‚๐—บ๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—˜๐—น๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ ๐—จ๐˜„๐—ถ๐—ฎ๐—ป๐—ผ ๐˜„๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐—ท๐˜‚๐—ธ๐˜‚๐—บ๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ...
11/03/2026

๐—ช๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐˜„๐—ฎ๐—ธ๐—ฒ ๐˜„๐—ฎ ๐—ก๐—œ๐— ๐—ฅ ๐— ๐—ฏ๐—ฒ๐˜†๐—ฎ ๐—ช๐—ฎ๐—ฎ๐—ฑ๐—ต๐—ถ๐—บ๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐—ฆ๐—ถ๐—ธ๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ ๐—ž๐—ถ๐—บ๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐—ถ๐—ณ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ช๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐˜„๐—ฎ๐—ธ๐—ฒ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐˜๐—ฒ๐—ป๐—ฑ๐—ผ ๐˜†๐—ฎ ๐—›๐˜‚๐—ฟ๐˜‚๐—บ๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—˜๐—น๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ ๐—จ๐˜„๐—ถ๐—ฎ๐—ป๐—ผ ๐˜„๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐—ท๐˜‚๐—ธ๐˜‚๐—บ๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ ๐—ž๐—ฎ๐˜‡๐—ถ ๐—ป๐—ฎ ๐—™๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—น๐—ถ๐—ฎ

Katika kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani, tarehe 08 Machi 2026, wanawake wa Taasisi ya Taifa ya Magonjwa ya Binadamu (NIMR) Kituo cha Mbeya walionyesha mshik**ano na kujitolea kupitia shughuli mbalimbali za kijamii, matendo ya huruma, na utoaji wa elimu, wakilenga kuimarisha ustawi wa wanawake na makundi yenye uhitaji maalumu. Maadhimisho haya mwaka huu yalibeba kaulimbiu isemayo: โ€œHaki ya Mwanamke na Wasichana, Msingi wa Maendeleo Jumuishi Kufikia Dira 2050.โ€
Maadhimisho hayo yalianza kwa ziara ya kipekee katika kituo cha watoto yatima cha Mountain Glory, kilichopo Pambogo, kata ya Iyela. Watumishi wa NIMR Mbeya walitoa msaada wa vyakula, nguo, na mashine ya kufulia nguo, ili kusaidia kuboresha maisha ya kila siku ya watoto waliokuwa katika kituo hicho.
Pia, wanawake hao walitembelea Kituo cha Afya Ruanda kilichopo jijini Mbeya, ambapo walikabidhi mashuka kwa ajili ya wodi ya wazazi. Msaada huo unatarajiwa kuboresha huduma na mazingira ya wagonjwa, hususan akina mama wanaojifungua katika kituo hicho.
Siku ya kilele ilijaa elimu na mafunzo. Madaktari na watafiti wa NIMR Mbeya walitoa elimu kwa wanawake kutoka taasisi mbalimbali kuhusu umuhimu wa tafiti za afya na nafasi ya wanawake kushiriki kikamilifu katika tafiti hizo. Lengo lilikuwa kuongeza uelewa na kuhamasisha wanawake kuwa sehemu ya maendeleo ya sayansi na afya katika jamii.
Akizungumza wakati wa maadhimisho hayo, Dkt. Betrece Ngaraguza aliwafundisha wanawake namna ya kuweka uwiano kati ya majukumu ya kazi, familia na jamii bila kuathiri afya zao. Alisisitiza kuwa kupanga majukumu kwa uangalifu ni muhimu kulinda afya za kimwili na kiakili.
Kwa upande wake, Dkt. Lucy Mrema alitoa mada kuhusu uhusiano kati ya biolojia ya mwanamke na maisha ya kisasa akisisitiza jinsi maarifa haya yanavyosaidia wanawake kupanga kwa ufanisi kazi, maisha binafsi na familia huku wakihakikisha afya zao zinadumishwa.
Naye mlezi wa wanawake wa NIMR Mbeya, Bi. Mwanaharabu Gwato, alisema shughuli hizi ni sehemu ya utamaduni uliojengeka miongoni mwa wanawake wa taasisi hiyo. Alibainisha kuwa wanawake wa NIMR Mbeya wamekuwa na desturi ya kuangalia na kusaidia jamii zenye uhitaji maalumu k**a njia ya kurejesha mchango kwa jamii.
Maadhimisho haya yamethibitisha kuwa wanawake si tu nguvu kazi katika utafiti na maendeleo ya afya, bali pia ni nguzo muhimu katika kuimarisha ustawi wa jamii kupitia elimu, huduma, na mshik**ano.

Address

3 Barack Obama Drive
Dar Es Salaam
P.O.BOX9653

Opening Hours

Monday 08:00 - 16:00
Tuesday 08:00 - 16:00
Wednesday 08:00 - 16:00
Thursday 08:00 - 16:00
Friday 08:00 - 16:00

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when National Institute For Medical Research posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to National Institute For Medical Research:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram