National Institute For Medical Research

National Institute For Medical Research The National Institute for Medical Research (NIMR) is a government research institution under the Ministry for Health established in 1979.

NIMR has the dual mandate to conduct and regulate health research on Tanzania Mainland. The National Institute for Medical Research (NIMR) is the largest public health research institution in Tanzania. It was established by the Parliament Act No. 23 of 1979 as a parastatal organization under the Ministry of Health. The establishment of NIMR was in recognition by the government of the need to generate scientific information required in the development of better methods and techniques of enhancing disease management, prevention and control in the country.

๐‚๐š๐ง ๐ฒ๐จ๐ฎ๐ซ ๐‘๐ž๐ฌ๐ž๐š๐ซ๐œ๐ก ๐ข๐ง๐Ÿ๐ฅ๐ฎ๐ž๐ง๐œ๐ž ๐๐จ๐ฅ๐ข๐œ๐ฒ ๐š๐ง๐ ๐๐ซ๐ข๐ฏ๐ž ๐ซ๐ž๐š๐ฅ ๐œ๐ก๐š๐ง๐ ๐ž ๐ข๐ง ๐ญ๐ก๐ž ๐‡๐ž๐š๐ฅ๐ญ๐ก ๐’๐ž๐œ๐ญ๐จ๐ซ?Researchers in Tanzania with ongoing or co...
16/02/2026

๐‚๐š๐ง ๐ฒ๐จ๐ฎ๐ซ ๐‘๐ž๐ฌ๐ž๐š๐ซ๐œ๐ก ๐ข๐ง๐Ÿ๐ฅ๐ฎ๐ž๐ง๐œ๐ž ๐๐จ๐ฅ๐ข๐œ๐ฒ ๐š๐ง๐ ๐๐ซ๐ข๐ฏ๐ž ๐ซ๐ž๐š๐ฅ ๐œ๐ก๐š๐ง๐ ๐ž ๐ข๐ง ๐ญ๐ก๐ž ๐‡๐ž๐š๐ฅ๐ญ๐ก ๐’๐ž๐œ๐ญ๐จ๐ซ?
Researchers in Tanzania with ongoing or completed studies on Cancer and Neglected Tropical Diseases (NTDs) are invited to submit abstracts for a Virtual Policy Brief Write-shop organized by the National Institute for Medical Research (NIMR).
Selected participants will receive structured virtual training to develop high-quality policy briefs, which will be published in the Tanzania Journal of Health Research (TJHR) and presented at a national policy dialogue.
๐Ÿ—“ Submission Deadline: 28 March 2026
๐Ÿ”— More info: nimr.or.tz/policy-brief-workshop
๐Ÿ“ž Contact: +255 758 777 704 | +255 719 563 662
๐€๐œ๐ญ ๐ง๐จ๐ฐ! ๐๐ฎ๐ญ ๐ฒ๐จ๐ฎ๐ซ ๐ซ๐ž๐ฌ๐ž๐š๐ซ๐œ๐ก ๐จ๐ง ๐ญ๐ก๐ž ๐ฉ๐จ๐ฅ๐ข๐œ๐ฒ ๐ฆ๐š๐ฉ ๐š๐ง๐ ๐ฆ๐š๐ค๐ž ๐š ๐๐ข๐Ÿ๐Ÿ๐ž๐ซ๐ž๐ง๐œ๐ž.

๐‹๐š๐ฎ๐ง๐œ๐ก๐ข๐ง๐  ๐๐„๐ƒ๐ˆ๐€๐“๐‘๐ˆ๐‚ ๐๐‘๐€๐™๐ˆ๐๐”๐€๐๐“๐„๐‹ ๐ƒ๐ž๐ฅ๐ข๐ฏ๐ž๐ซ๐ฒ ๐ข๐ง ๐“๐š๐ง๐ณ๐š๐ง๐ข๐š!On 18th February 2026, Tanzania takes a bold step in protecting ch...
16/02/2026

๐‹๐š๐ฎ๐ง๐œ๐ก๐ข๐ง๐  ๐๐„๐ƒ๐ˆ๐€๐“๐‘๐ˆ๐‚ ๐๐‘๐€๐™๐ˆ๐๐”๐€๐๐“๐„๐‹ ๐ƒ๐ž๐ฅ๐ข๐ฏ๐ž๐ซ๐ฒ ๐ข๐ง ๐“๐š๐ง๐ณ๐š๐ง๐ข๐š!
On 18th February 2026, Tanzania takes a bold step in protecting childrenโ€™s health. The National Institute for Medical Research (NIMR), with global partners like WHO, UNICEF, Merck, PATH, and more, is rolling out paediatric praziquantel to fight schistosomiasis.
This milestone marks a critical move toward safer, healthier futures for children across Tanzania and East Africa.
๐Ÿ“ Malaika Beach Resort, Mwanza, Tanzania
๐Ÿ’ก Stay tuned for updates on this game-changing initiative!

๐—ก๐—œ๐— ๐—ฅ ๐—ป๐—ฎ ๐—›๐—ผ๐˜€๐—ฝ๐—ถ๐˜๐—ฎ๐—น๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ง๐—ฎ๐—ถ๐—ณ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—”๐—ณ๐˜†๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—”๐—ธ๐—ถ๐—น๐—ถ ๐— ๐—ถ๐—ฟ๐—ฒ๐—บ๐—ฏ๐—ฒ ๐—ญ๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐—›๐—ฎ๐˜๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐—ฏ๐—ฎ๐—น๐—ถ๐—ฎ๐—ป๐—ผ ๐—ž๐˜‚๐˜€๐—ต๐—ถ๐—ฟ๐—ถ๐—ธ๐—ถ๐—ฎ๐—ป๐—ฎ ๐—ž๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—ง๐—ฎ๐—ณ๐—ถ๐˜๐—ถ ๐—ก๐—ฐ๐—ต๐—ถ๐—ป๐—ถTaasisi...
13/02/2026

๐—ก๐—œ๐— ๐—ฅ ๐—ป๐—ฎ ๐—›๐—ผ๐˜€๐—ฝ๐—ถ๐˜๐—ฎ๐—น๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ง๐—ฎ๐—ถ๐—ณ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—”๐—ณ๐˜†๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—”๐—ธ๐—ถ๐—น๐—ถ ๐— ๐—ถ๐—ฟ๐—ฒ๐—บ๐—ฏ๐—ฒ ๐—ญ๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐—›๐—ฎ๐˜๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐—ฏ๐—ฎ๐—น๐—ถ๐—ฎ๐—ป๐—ผ ๐—ž๐˜‚๐˜€๐—ต๐—ถ๐—ฟ๐—ถ๐—ธ๐—ถ๐—ฎ๐—ป๐—ฎ ๐—ž๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—ง๐—ฎ๐—ณ๐—ถ๐˜๐—ถ ๐—ก๐—ฐ๐—ต๐—ถ๐—ป๐—ถ

Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) na Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe (MNMH) leo tarehe 13/02/2026 zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) inayolenga kuimarisha mashirikiano katika tafiti, mafunzo na matumizi ya teknolojia za kisasa katika utoaji wa huduma bora za afya ya akili nchini.
Kupitia ushirikiano huu, taasisi hizo zitaongeza uwezo wa wataalamu wa afya ya akili kupitia mafunzo na tafiti shirikishi zitakazotoa ushahidi wa kisayansi kwa lengo la kuboresha sera, miongozo na utoaji wa huduma kwa kutumia teknolojia za kisasa ili kuongeza ufanisi na ubora kwa wananchi. Ushirikiano huo pia utahusisha utekelezaji wa pamoja wa miradi ya utafiti, kuandika machapisho ya kitaaluma, kuandaa vijarida sera na ushawishi katika kuboresha huduma kwa wananchi.
Makubaliano haya yanakusudia kupanua wigo wa tafiti katika eneo la afya ya akili, kuunganisha utaalamu, matumizi ya rasilimali watu wenye ubobezi na uzoefu wa taasisi hizo, na kuhakikisha matokeo ya tafiti yanawafikia wananchi na kuleta mabadiliko chanya katika maisha yao.
Hafla ya utiaji saini imefanyika katika Ofisi za Makao Makuu ya NIMR jijini Dodoma na kuongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa NIMR, Prof. Said Aboud, akiwa na Meneja wa Kituo cha NIMR Dodoma, Dk. Basiliana Emidi. Kwa upande wa MNMH, ujumbe uliongozwa na Dk. Innocent R. Mwombeki aliyemwakilisha Mkurugenzi Mtendaji, akiongozana na Veronica Haule na Anewa Saweni.
.

13/02/2026
๐๐ˆ๐Œ๐‘ ๐˜๐š๐ฐ๐š๐ง๐จ๐š ๐–๐š๐ญ๐ฎ๐ฆ๐ข๐ฌ๐ก๐ข ๐ฐ๐š ๐€๐Ÿ๐ฒ๐š ๐‡๐จ๐ฌ๐ฉ๐ข๐ญ๐š๐ฅ๐ข ๐ฒ๐š ๐‘๐ฎ๐Ÿ๐š๐š ๐ฒ๐š ๐Œ๐ค๐จ๐š ๐€๐ฆ๐š๐ง๐š ๐Š๐ฎ๐š๐ง๐๐ข๐ค๐š ๐Œ๐š๐š๐ง๐๐ข๐ค๐จ ๐ฒ๐š ๐”๐ญ๐š๐Ÿ๐ข๐ญ๐ข ๐Š๐ฎ๐›๐จ๐ซ๐ž๐ฌ๐ก๐š ๐‡๐ฎ๐๐ฎ๐ฆ๐š ๐ณ๐š ๐€๐Ÿ๐ฒ๐šTaa...
12/02/2026

๐๐ˆ๐Œ๐‘ ๐˜๐š๐ฐ๐š๐ง๐จ๐š ๐–๐š๐ญ๐ฎ๐ฆ๐ข๐ฌ๐ก๐ข ๐ฐ๐š ๐€๐Ÿ๐ฒ๐š ๐‡๐จ๐ฌ๐ฉ๐ข๐ญ๐š๐ฅ๐ข ๐ฒ๐š ๐‘๐ฎ๐Ÿ๐š๐š ๐ฒ๐š ๐Œ๐ค๐จ๐š ๐€๐ฆ๐š๐ง๐š ๐Š๐ฎ๐š๐ง๐๐ข๐ค๐š ๐Œ๐š๐š๐ง๐๐ข๐ค๐จ ๐ฒ๐š ๐”๐ญ๐š๐Ÿ๐ข๐ญ๐ข ๐Š๐ฎ๐›๐จ๐ซ๐ž๐ฌ๐ก๐š ๐‡๐ฎ๐๐ฎ๐ฆ๐š ๐ณ๐š ๐€๐Ÿ๐ฒ๐š

Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), kupitia Kituo cha Muhimbili, imewajengea uwezo watumishi wa afya 18 wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana (Amana RRH) katika uandishi wa maandiko ya utafiti (Proposal Development), hatua inayolenga kuboresha huduma za afya kwa jamii kupitia tafiti zenye ubora na ushahidi wa kisayansi.
Mafunzo hayo ya siku nne yalifanyika kuanzia tarehe 26 hadi 29 Januari 2026 katika hospitali hiyo yakilenga kuwawezesha watoa huduma wa afya kubuni, kuandaa na kuwasilisha mapendekezo bora ya tafiti za kisayansi zinazoweza kupata ufadhili na kuleta matokeo chanya katika sekta ya afya.
Kupitia mafunzo hayo ya vitendo, washiriki walipata ujuzi wa kuandaa maandiko ya kisayansi yenye viwango, kuimarisha uwezo wa uandishi wa kitaaluma, kuelewa na kuzingatia maadili ya utafiti pamoja na kutumia takwimu sahihi katika kutatua changamoto za kiafya zinazowakabili wananchi.
Akifungua mafunzo hayo, Mganga Mkuu wa Hospitali ya Amana, Dkt. Bryceson Loti Kiweru, alisema utafiti ni nyenzo muhimu isiyoweza kuepukika katika sekta ya afya.
โ€œSwala zima la utafiti haliepukiki katika sekta ya afya na inahitajika ushirikiano na taasisi zinazofanya utafiti ili kuboresha huduma za afya nchini,โ€ alisema Dkt. Kiweru.
Kwa upande wake, Kaimu Mkuu wa Idara ya Tafiti kutoka kituo cha NIMR Muhimbili, Dkt. Ester Mbutolwe, alisisitiza umuhimu wa matumizi sahihi ya takwimu katika kuibua suluhisho la changamoto za afya.
โ€œKila mtu akijengewa uwezo vizuri anaweza kutoa mchango wake katika kuboresha afya za wananchi. Takwimu sahihi ni msingi wa utafiti wenye matokeo ya kuaminika. Ushirikiano kati ya NIMR na hospitali za rufaa za mkoa ni muhimu,โ€ alisisitiza Dkt. Mbutolwe.
Mafunzo hayo ni sehemu ya jitihada za NIMR za kuimarisha tafiti za afya nchini kwa kuwajengea uwezo wataalamu walioko kwenye vituo vya kutolea huduma, ili tafiti zinazofanyika ziweze kutoa majibu ya changamoto halisi za jamii na kuboresha ubora wa huduma za afya nchini.

๐—ช๐—ฅ๐—”๐—œ๐—ฅ ๐——๐—ฒ๐—น๐—ฒ๐—ด๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ผ๐—ป ๐—ฉ๐—ถ๐˜€๐—ถ๐˜๐˜€ ๐—ก๐—œ๐— ๐—ฅโ€“๐— ๐—ฏ๐—ฒ๐˜†๐—ฎ ๐—–๐—ฒ๐—ป๐˜๐—ฟ๐—ฒ ๐˜๐—ผ ๐—”๐—ฑ๐˜ƒ๐—ฎ๐—ป๐—ฐ๐—ฒ ๐—›๐—œ๐—ฉ ๐—ฅ๐—ฒ๐˜€๐—ฒ๐—ฎ๐—ฟ๐—ฐ๐—ต ๐—–๐—ผ๐—น๐—น๐—ฎ๐—ฏ๐—ผ๐—ฟ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ผ๐—ปThe National Institute for Medical Resear...
12/02/2026

๐—ช๐—ฅ๐—”๐—œ๐—ฅ ๐——๐—ฒ๐—น๐—ฒ๐—ด๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ผ๐—ป ๐—ฉ๐—ถ๐˜€๐—ถ๐˜๐˜€ ๐—ก๐—œ๐— ๐—ฅโ€“๐— ๐—ฏ๐—ฒ๐˜†๐—ฎ ๐—–๐—ฒ๐—ป๐˜๐—ฟ๐—ฒ ๐˜๐—ผ ๐—”๐—ฑ๐˜ƒ๐—ฎ๐—ป๐—ฐ๐—ฒ ๐—›๐—œ๐—ฉ ๐—ฅ๐—ฒ๐˜€๐—ฒ๐—ฎ๐—ฟ๐—ฐ๐—ต ๐—–๐—ผ๐—น๐—น๐—ฎ๐—ฏ๐—ผ๐—ฟ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ผ๐—ป

The National Institute for Medical Research โ€“ Mbeya Medical Research Centre (NIMR-MMRC) on 10th February 2026 hosted a high-level delegation from Walter Reed Army Institute of Research (WRAIR) in a strategic visit aimed at strengthening collaboration in HIV and clinical research. The delegation was led by Commander Colonel (COL) Brianna Perata and accompanied by senior representatives from WRAIR-USA, WRAIR-Tanzania and CDC-Tanzania, as well as officials from the Ministry of Foreign Affairs and East Africa Cooperation and the Regional Commissionerโ€™s Office in Mbeya.
The visit marked a significant milestone in the long-standing partnership between WRAIR and NIMR, particularly under PEPFAR-supported HIV research programs, reinforcing joint efforts to advance scientific innovation and improve public health outcomes.
The WRAIR delegation was officially received and welcomed at NIMR-MMRC by the Director General of NIMR, Prof. Said Aboud. In a notable highlight of the event, NIMR-MMRC was awarded a Medal of Excellence by COL Brianna Perata in recognition of the outstanding contributions to medical research and public health in Tanzania. During his remarks, Prof. Aboud reaffirmed NIMRโ€™s commitment to advancing high-quality, impactful research through strong global partnerships.
During the visit, the delegation received a comprehensive overview of ongoing clinical trials and collaborative research initiatives at the Centre. Presentations were delivered by the Centre Manager, Dr. Bariki Mtafya, and the Director of Research Coordination, Dr. Nyanda Elias Ntinginya, highlighting the Centreโ€™s growing role in HIV and TB research; cohort, epidemiological, vaccines including broad neutralizing antibodies (bNAbs), drugs, therapeutics, biomarkers, diagnostics and preventive therapy.
The delegation toured key research facilities including the HIV Vaccine Trial Clinics, the state-of-the-art main laboratory accredited by the College of American Pathologists (CAP), and the DAIDS/NIH-certified pharmacy, where ongoing clinical research activities were showcased. The technical teams demonstrated the Centreโ€™s operational excellence and research capacity. Prof. Aboud accompanied the Commander and her delegation throughout the tour, underscoring the importance of the collaboration.
The engagement reaffirmed the strong partnership between NIMR-MMRC and WRAIR and emphasized a shared commitment to advancing cutting-edge research to improve health outcomes in Tanzania and beyond.
research /NIH

๐— ๐—ฎ๐˜๐—ผ๐—ธ๐—ฒ๐—ผ ๐˜†๐—ฎ ๐˜‚๐˜๐—ฎ๐—ณ๐—ถ๐˜๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—˜๐—ฃ๐—œ๐—ป๐—” ๐—ฌ๐—ฎ๐—ผ๐—ป๐—ฒ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐—ž๐˜‚๐—ฝ๐˜‚๐—ป๐—ด๐˜‚๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—จ๐˜€๐˜‚๐—ฏ๐—ถ ๐—ป๐—ฎ ๐—ž๐—ถ๐—ณ๐—ฎ๐—ณ๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐—ต๐—ฒ๐—ป๐—ด๐—ฒKiwango cha ugonjwa wa usubi kwa watu wenye kif...
07/02/2026

๐— ๐—ฎ๐˜๐—ผ๐—ธ๐—ฒ๐—ผ ๐˜†๐—ฎ ๐˜‚๐˜๐—ฎ๐—ณ๐—ถ๐˜๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—˜๐—ฃ๐—œ๐—ป๐—” ๐—ฌ๐—ฎ๐—ผ๐—ป๐—ฒ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐—ž๐˜‚๐—ฝ๐˜‚๐—ป๐—ด๐˜‚๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—จ๐˜€๐˜‚๐—ฏ๐—ถ ๐—ป๐—ฎ ๐—ž๐—ถ๐—ณ๐—ฎ๐—ณ๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐—ต๐—ฒ๐—ป๐—ด๐—ฒ

Kiwango cha ugonjwa wa usubi kwa watu wenye kifafa katika eneo la Mahenge, Wilaya ya Ulanga, Mkoa wa Morogoro, kimepungua hadi asilimia 22, huku maambukizi kwa ujumla yakipungua kwa takribani asilimia 40, kwa mujibu wa matokeo ya utafiti wa โ€œUbunifu wa Njia za Huduma za Kifafa Barani Afrika (EPInA)โ€.
Matokeo hayo yamewasilishwa katika mkutano wa siku mbili unaoendelea katika Hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam, ukiwakutanisha wadau kutoka Wizara ya Afya, Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), Taasisi mbalimbali za Serikali, pamoja na washirika wa maendeleo kutoka Uingereza, Kenya na Ghana. Lengo la mkutano huo ilikuwa ni kujadili matokeo ya utafiti uliofanyika Mahenge, mkoani Morogoro, na kuweka mikakati ya kuendeleza mapambano dhidi ya usubi na kifafa.
Akifungua mkutano huo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. Seif Shekhalaghe, aliyemwakilisha Waziri wa Afya, Mhe. Mohammed Mchengerwa, amesema mafanikio hayo yanaonesha matokeo chanya ya ushirikiano kati ya Serikali, watafiti na jamii.
โ€œHaya ni mafanikio makubwa ya jitihada za pamoja. Kupungua kwa kiwango cha maambukizi kwa asilimia 40 ni ishara kuwa tuko kwenye mwelekeo sahihi,โ€ ameeleza Dkt. Shekhalaghe.
Aliongeza kuwa ili kutokomeza kabisa tatizo hilo, ni muhimu kuendelea na uimarishaji wa utoaji wa dawa hasa aina ya Ivermectin pamoja na kuongeza elimu kwa jamii.
โ€œNiwaombe wananchi waendelee kushiriki kikamilifu katika matumizi ya dawa na kuamini wataalamu wa afya. Kifafa na usubi ni magonjwa yanayozuilika na kutibika,โ€ alisisitiza.
Akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa NIMR, Dkt. George PrayGod, Meneja wa Kituo cha Utafiti cha NIMR Muhimbili amesema utafiti huo umetoa takwimu muhimu zitakazosaidia kuboresha sera na miongozo ya utoaji wa huduma za afya.
โ€œTakwimu hizi ni msingi muhimu wa maboresho ya sera na mikakati ya afya ya umma, hususan katika maeneo yenye maambukizi ya usubi na kifafa,โ€ alisema.
Kwa upande wake, Mtafiti Kiongozi wa EPInA, Dkt. Bruno Mmbando, alisema tafiti zinaonesha uhusiano wa karibu kati ya usubi na kifafa, ambapo maeneo yenye maambukizi makubwa ya usubi pia huwa na idadi kubwa ya wagonjwa wa kifafa.
โ€œMahenge bado ina changamoto kutokana na mazingira yake ya kijiografia yenye misitu inayochangia mazalia ya vimelea. Hata hivyo, tumeshuhudia mafanikio makubwa ukilinganisha na miaka ya nyuma,โ€ alisema Dkt. Mmbando.
Alibainisha kuwa maeneo ya Tukuyu (Mbeya) na Amani (Tanga) tayari yameonesha mafanikio makubwa zaidi, jambo linalotoa matumaini kuwa tatizo hilo linaweza kudhibitiwa kikamilifu.
Naye mshirika wa mradi wa EPInA kutoka Chuo Kikuu cha Oxford, Uingereza, Profesa Charles Newton, alisisitiza umuhimu wa ushirikiano wa kimataifa katika mapambano hayo.
โ€œKama tulivyoweza kupiga hatua kubwa katika kudhibiti malaria, tunaweza pia kupunguza kwa kiwango kikubwa kifafa kinachohusishwa na usubi endapo tutaendelea kushirikiana kisayansi na kimkakati,โ€ alisema Profesa Newton.
Utafiti wa EPInA ulitekelezwa Mahenge kwa lengo la kuimarisha huduma za kifafa kupitia maboresho ya kinga, uchunguzi wa mapema, matibabu na kuongeza uelewa wa jamii, ikiwa ni sehemu ya jitihada za muda mrefu za kupunguza na hatimaye kutokomeza usubi na kifafa nchini.
#

https://youtu.be/F_GS-v6bnqc?si=fh8TdMr9MAL3HuXqKutana na Dkt. Akili Kalinga, Mtafiti Mkuu kutoka Taasisi ya Taifa ya Ut...
30/01/2026

https://youtu.be/F_GS-v6bnqc?si=fh8TdMr9MAL3HuXq
Kutana na Dkt. Akili Kalinga, Mtafiti Mkuu kutoka Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), akielezea utafiti uliohusu tathmini ya namna ya kuwabaini wagonjwa wenye maradhi yatokanayo na Mabusha na Matende kwa kutumia wahudumu wa afya wa jamii kupitia mfumo wa simu.

Utafiti huu ulifanyika mkoani Lindi, ambapo Dkt. Kalinga anafafanua jinsi matumizi ya teknolojia ya simu yalivyosaidia kutambua wagonjwa katika jamii, kukusanya takwimu kwa ufanisi, na kuimarisha upatikanaji wa huduma za afya ngazi ya jamii.

Kutana na Dkt. Akili Kalinga, Mtafiti Mkuu kutoka Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), akielezea utafiti uliohusu tathmini ya namna ya...

14/01/2026

๐Ÿ“ข ๐„๐ฑ๐œ๐ข๐ญ๐ข๐ง๐  ๐ฎ๐ฉ๐๐š๐ญ๐ž๐ฌ ๐Ÿ๐ซ๐จ๐ฆ ๐๐ˆ๐Œ๐‘!

Our Q2 2025/26 Newsletter is out โ€“ packed with research highlights, success stories, and key developments shaping the future of health.
๐Ÿ‘‰ Check it out: https://drive.google.com/file/d/15UpWADAUl_gjIWGehTMQZpFFkFlkNbR9/view?usp=sharing

Address

3 Barack Obama Drive
Dar Es Salaam
P.O.BOX9653

Opening Hours

Monday 08:00 - 16:00
Tuesday 08:00 - 16:00
Wednesday 08:00 - 16:00
Thursday 08:00 - 16:00
Friday 08:00 - 16:00

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when National Institute For Medical Research posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to National Institute For Medical Research:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram