Kungwi aloshindikana

Kungwi aloshindikana Daktari bingwa wa magonjwa sugu na utafiti wa mimea lishe. ushauri nasaha.

A professional herbalist located in tanzania dealing in herbal based treatment and research on nutritional contents in relation to human treatment.

___________________________________*°°TATIZO LA KULEGEA/KUSINYAA/KUDHOOFIKA KWA UUME°°*(Erectile dysfunction)___________...
17/11/2024

___________________________________
*°°TATIZO LA KULEGEA/KUSINYAA/KUDHOOFIKA KWA UUME°°*
(Erectile dysfunction)
____________________________________
▶️ Ni hali ya kutoweza/kutokuwa na uwezo wa kusimamisha uume(Dhakar) kwa muda mrefu na kwa uimara wakati wa tendo la ndoa.
__________________________________
Dr.Hamza majombo
Tiba Asilia
Tanzania🇹🇿
www.majombo.com
☑️Majombo herbal.
*+255679039663*
____________________________________
*__DALILI ZA MTU MWENYE TATIZO LA UUME KULEGEA/KUDHOOFIKA_*
____________________________________
↘️ Kupata Ugumu wa kusimamisha uume.
↘️ Kutoweza kusimamisha uume kwa muda mrefu.
↘️ Kupungukiwa hamu ya kufanya tendo la ndoa.
↘️Uume kusinyaa ukiwa ukeni.
↘️Uume kusimama ukiangalia chini.
↘️Uume kua na mikunjo mingi.

*_SABABU ZINAZOPELEKEA UUME KULEGEA/KUSINYAA/KUWA MDOGO/KUDHOOFIKA_*

➡️ Magonjwa ya vidonda vya tumbo (Peptic Ulcers Diseases)
➡️ Ngiri ( Hernia)
➡️ Magonjwa ya moyo(Cardiovascular diseases)
➡️ Kuziba kwa mishipa ya damu (atherosclerosis)
➡️ Kisukari (both diabetes)
➡️ Shinikizo la damu la juu (Hypertension)
➡️ Uzito uliopitiliza (Obesity)~ BMI above 25 kg/m²
➡️ Kuzidi kwa mafuta mwilini(Lehemu)~High Cholesterols)
➡️ Matumizi ya tumbaku( Uvutaji wa sigara)
➡️ Kutokwa makovu ndani ya uume kutokana na matatzo mbalimbali~ *_Peyronie`s disease_*
➡️ Kuwa na Tezi dume
➡️ Kutumia vilevi na madawa ya kulevya
➡️ Matatizo ya kutokupata usingizi
➡️ Upasuaji au marejaha katika via vya uzazi.
➡️ Marejaha katika uti wa Mgongo
➡️ Kuwa na kiwango cha chini cha hormone iitwayo *_testosterone_*
➡️ Msongo wa mawazo(stress)
➡️ Matatizo ya kisaikolojia( Phycological problems).
➡️ Magonjwa ya mfumo wa kati wa fahamu ambayo hupelekea mitetemeko ya mwili *(Parkinson's disease)*
➡️ Matatizo ya mfumo wa fahamu yanasosababishwa na kinga ya mwili kuathiri/kula sehemu yenye kuhifadhi Neva(myelin) ambapo hupelekea Matatizo ya kimawasiliano kati ya ubongo na mwili kwa ujumla.Tatizo hili hujulikana kitaalamu k**a *_Multiple sclerosis_*.
➡️ Kupiga punyeto(Masterbating).
➡️ Kutazama picha chafu(picha za uchi).
➡️ Matatzo ya Bawasiri (Hemorrhoids)
__________________________________
*_HATARI/ATHARI YA TATIZO LA ULEGEVU WA UUME_*
__________________________________
➡️ Kutoweza kuweza kuridhika na kumridhisha mwanamke wakati wa tendo la ndoa
➡️ Kupata Msongo wa mawazo.
➡️ Kuvunjika kwa ndoa/migogoro katika ndoa.
➡️ Kushindwa kumtungisha mimba mwanamke.
➡️ Kutokujiamini.
➡️ Kupata Matatizo ya kisaikolojia.

_____________________________________
*_NJIA ZA KUEPUKANA NA TATIZO LA UUME KUWA LEGEVU_*
____________________________________
➡️ Tibu Matatizo ambayo hupelekea tatizo la uume KULEGEA k**a vile ngiri, Vidonda vya tumbo nk.
➡️ Acha kuvuta sigara
➡️ Acha kunywa pombe
➡️ Acha kutumia madawa ya kulevya
➡️ Fanya mazoezi
➡️ Punguza/acha Msongo wa mawazo.
➡️Achana kabisa na madawa ya kizungu ya kuongeza nguvu...viagra,vega,erectal..

IMEANDALIWA NA

Dr.Hamza majombo
Tiba Asilia
Tanzania🇹🇿
www.majombo.com
☑️Majombo herbal.
*+255679039663*

06/03/2022

Kwa wale wateja wote wa ndani na nje ya nchi kwasasa ***Majombo herbal clinic** tunayo furaha kuwatambulisha makao makuu yetu Ambayo yanapatikana mbagala kwa mbiku fika pale kwaajili ya matibabu nasaha na ushauri pia Karibun sana mteja kwetu ni mfale na utaudumiwa kifalme zaidi Au tupigie simu. **Call** +255694208342/+225627794061 KARIBUNI SANA

ّNJIA NYEPESI YA KUREFUSHA UUMEّ ةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةة🗣SOMA KWA MAKINI SANA MWANZO MPAKA MWISHO ✅🌈UTAJIFUN...
03/09/2020

ّNJIA NYEPESI YA KUREFUSHA UUMEّ
ةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةة

🗣SOMA KWA MAKINI SANA MWANZO MPAKA MWISHO ✅

🌈UTAJIFUNZA JINSI YA KUREFUSHA NA KUNENEPESHA UUME BILA MADHARA🍌

🌈Wanasayansi wengi wa tiba wametoa machapisho mengi ya kitafiti kuhusu urefu na upana wa uume juu ya wastani unaokubalika.☑

🚦By Dr. Hamza majombo 💧 Dar es salama 🇹🇿

☎ +255679039663♨
✅ Watsap
✅ calls
✅ txt sms
✅ imo
✅ instagrm
-hamza_majombo
✅ U-Tube . #
https://youtu.be/6ESw7Hvk4KY

🚦🚦Moja ya jambo ambalo huwaumiza kichwa wanaume wengi ni kuwa na maumbile madogo ya kiume. Wengi huamini uume mrefu na mpana ndiyo urijali wenyewe kuweza kumfikisha kileleni mwanamke.

🚦🚦Dondoo zifuatazo zinajumuisha machapisho ya kitafiti yakiwamo yaliyochapishwa katika majarida makubwa na maarufu duniani k**a vile Science Today, Men’s Health na British Journal of Urology International.

🚦🚦Asilimia 85 ya wanawake wanaridhika na urefu na upana wa maumbile ya uume wa wenza wao ingawa wanaume wenyewe hawana uhakika wa jambo hilo huku asilimia 45 ya wanaume wanaamini wana maumbile madogo.

🚦🚦Utafiti unahitimisha kuwa wastani wa urefu wa uume ukiwa tepetepe yaani kabla ya kusimama ni kati ya sentimita saba mpaka 10 au inchi 2.8 hadi 3.9. urefu huu unapimwa kuanzia kwenye shina la uume mpaka kichwani.

🚦🚦Urefu wa uume unapokuwa umesimama ni kati ya sentimita 12 na16 au ichi 4.7 hadi 6.3. Urefu wa mzunguko wa uume ukiwa umesimama ni kati ya sentimita 12 au inch 4.7. AU Kwa wastani wanaume wengi wana uume wenye urefu wa kati ya nchi 6 na nchi 7

🚦🚦Maumbile ya uume yanatofautina kati ya jamii moja na nyingine, bara moja na jingine. Wanaume wanaotokea Asia wana maumbile madogo ya uume ukilinganisha na wanaume wa Afrika.

🚦🚦Wanawake wengi huwa hawajali urefu na upana wa uume wa wenza wao pengine kutokana na ukweli kuwa kufika kilele cha tendo kwa wanaweka si lazima kumuingilia, wanaweza kufanya hivyo hata kwa kutomaswa tu au njia nyinginezo.

🚦🚦Daktari bingwa wa magonjwa ya wanawake, Ernst Grafenberg wa Ujerumani aligundua sehemu muhimu inayoelezwa kuwa na msisimko wa kipekee kuliko nyingine yoyote katika sehemu za k**e.

🚦🚦Sehemu hiyo ijulikanayo k**a G-**ot ambayo ipo sentimeta 5.1-7.9 au nchi 2-3 tu kuanzia nje ya uke kuingia ndani.

Inaelezwa, unaweza kuwa na uume mdogo lakini ukamridhisha mwenza wako na kumfikisha kileleni ukiweza kuisisimua sehemu hiyo.

🚦🚦Wanaohisi kuwa na maumbile madogo wasikimbilie dawa za mtaani kwani utapeli ni mwingi bali waende kwa watoa huduma za kisasa za afya zinazotambulika kwa ajili ya ubora wake.

🎇🎇Asalaam Alykum ndugu zangu tumshukuru MOLA kwa kutupa uzima
Ama mada yetu ya leo itahusu kuongeza urefu wa dhakari(uume) kwan ni moja ya tatizo lililopo kwenye jamii yetu.

kwa wale wallo na dhakari isiyofika inchi sita (6-7inch ) ipo tiba yake ya asili isiyo na madhara (side effect) kwa mtumiaji kwani ni ya asili / kissuna💯%

Watu wengi wamekua wakihangaika kutafuta dawa ya kuongeza Uume bila mafanikio pia kuna watu ambao wamepata madhara maada ya kuttumia dawa za kuongeza Uume na hii inatokana na matumizi ya dawa za kemikali
Pia kuna wengine wamekata tamaa na kudhani kua hakuna dawa ya kuongeza Uume ila ni udanganyifu tu.

🍌🍌🍌🍌🍌🍌🍌🍌🍌🍌
(ukweli ni kwamba dawa zipo tatizo ni kuzijua tu)

☎Dr. Hamza majombo
+255679039663

✅UKWELI KUHUSU UKUBWA WA UUME

♨♨Yafuatayo ni majumuisho ya matokeo ya tafiti mbalimbali juu ya ukweli juu ya ukubwa wa uume. Tafiti hizo zimefanywa na wanasayansi wa mapenzi toka nchi za Ujerumani, Uingereza, Sweden, Nigeria na Afrika ya kusini. Jisomee na uone mambo yalivyo matamu usifuate maneno ya mitaani na jichunguze uone k**a uko katika kiwango au la.

♨♨(1) Iwapo wewe ni mwanamke na hupendelei uume mkubwa basi wewe ni wa ajabu.

♨♨(2) Wanawake wengi hupendelea uume mkubwa zaidi ya wanaume kupendelea matiti au makalio makubwa.

♨♨(3) Kwa wastani wanaume wengi wana uume wenye urefu wa kati ya nchi 6 (CM 15) na nchi 7 (CM18) na unene kati ya nchi 5 (CM12) na nchi 51/2 (CM 131/2).

Tukutane huku
+255679039663
https://youtu.be/6ESw7Hvk4KY

👹DALILI ZA MTU MWENYE UCHAWI👹🥢🥢🥢🥢🥢🥢🥢🥢🥢🥢🥢🥢🥢(1) KUUMWA SANA NA KICHWA(2) PRESHA MARA KWA MARA HATA DAWA HAIKUBALI. (3) KUT...
22/08/2020

👹DALILI ZA MTU MWENYE UCHAWI👹
🥢🥢🥢🥢🥢🥢🥢🥢🥢🥢🥢🥢🥢

(1) KUUMWA SANA NA KICHWA

(2) PRESHA MARA KWA MARA HATA DAWA HAIKUBALI.

(3) KUTOONA BILA YA SABABU

(4) NDOTO ZAKUTISHA NA ZISIZOELEWEKA.

(5) HEDHI ISIYO NA MPANGILIO.

(6) UJAUZITO NA UKIPIMA HAUONEKANI.

HIZI NI BAADHI TU YA DALILI ZA UCHAWI. LAKINI BASI NA TUANGALIE VIPI MTU ATAJITAMBUA KUWA NA SHETANI.
🌰🌰🌰🌰🌰🌰🌰🌰🌰🌰🌰🌰🌰

(1) KUUMWA NA KIZUNGUZUNGU.

(2) TUMBO KUUMA SANA HASA CHINI YA KITOVU.

(3) KICHWA KUUMA KWA VIPANDE.

(4) KUSHTUKA NA MOYO KWENDA MBIO.

(5) MWILI KUSHIKA MOTO.

(6) TUMBO KUUMA SANA KIPINDI CHA HEDHI

(7) MAUMIVU WAKATI WATENDO LA NDOA.

(8) KULIA BILA SABABU NA KUTINGISHIKA.

(9) MWILI KUWA MZITO NA KUWA NA HASIRA.

(10) KUTEMBEWA NA VITU MWILINI

(11) KUTAMANI KUACHWA NA KUACHA.

(12) KUWA NA KAULI MBAYA

(13) MWAUMIVU CHINI YA UTI WA MGONGO.

(14) MOYO KUUMA K**A ANANYONYESHA

(15) KUOTA UNAFANYA JIMA (MUME=MKE)

(16) KUOTA UNAZAA, UNANYONYESHA.

(17) UKIOTA JIMAITU MIMBA INATOKA.

(18) JINAMIZI, USINGIZINI, NA USINGIZI MWINGI

(19) KUOTA UNAPAA.

(20) KUSIMAMIWA NA MTU NA UKIGEUKA HAYUPO.

(21) MAGOMVI KILA MARA KWENYE NDOA.

(22) KUPOTEZA VITU K**A PESA, MIKUFU, HATA UKIFICHA

(23) KUCHANGANYIKIWA NDANI YA SWALA.

(24) KUTOPENDA KUJIPAMBA KWA AJILI YA MUME.

(25) KUMCHUKIA MUME AU MKE.

(26) KUOTA UNAINGILIWA KINYUME CHA MAUMBILE.

(27) MARINGO NA KUJIVUNA.

(28) KUHISI UNAINGILIWA SIO NDOTONI.

DALILI ZA MWENYE KUSIBIWA NA MAJINI
🌰🌰🌰🌰🌰🌰🌰🌰🌰🌰🌰🌰🌰🌰

1 Kuota ndoto za jimai Mara kwa Mara na kuamka umelowa hali yakuwa umelala peke yako.

2 Kuota ndoto za ujauzito Mara kwa Mara

3 kuota unanyonyesha au kujifungua

4 Kuota unakimbia na kupaa au kuelea angani au kudumbukia shimo refu

5 Kuota una shambuliwa au kufukuzwa na wanyama wakali

6 Kuota majoka au wadudu motor nk

7 Kutopenda kukaa na watu, kupenda kuwa peke yako

8 Kulala hivyo ama kukosa usingizi bila sababu za msingi

9 Maumivu makali ya kichwa yasiyo sikia dawa hospital

10 Kuwa na ganzi bila sababu za msingi

11 Kuota kufa kufa au kuzikwa

12 Kuota watu walio kufa zamani au kujikuta upon makaburini

13 Kuwa na Maumivu ya kuhama hama

14 Kuota watu wa ajabu, warefu sana IMA wafupi sana

15 Kuchukia manukato ima kutopenda usafi

16 Kuumwa macho,meno, sikio bila sababu za msingi kisha hupotea

17 kupatwa michubuko au Maumivu makali ufanyapo jimai

18 Kuchukia jimai.na kwa mwanamke akifanya akisimama manii ya mwanaume yanamtoka

19 kukasirika hovyo hovyo

20 kukosa amani unapo kaa,kuhisi watu nyuma yako au makelele na hali hawapo

21 kutokewa na watu njiani na kukupotea

22 kuwa na mwili wa kustuka stuka ima kusisimka na kutembewa na vitu.

23 kukosa hedhi au kupata bila mpangilio

24 Kuchezwa vitu tumboni k**a mjamzito

25 Kuwa unavimba uso au mikono miguu au mwili ,kuwasha,kuumwa
na kwa mwanamke kuuma maziwa k**a mjamzito

26 Kuwa na mwili unawaka moto ima barafu mwilini

27 Kusikia k**a upepo unavuma masikioni

28 kukabwa usingizin na ukajikuta unataka msaada kwa kuita lakin sauti yako haisikiki kabisa nahii ni dalili kubwa kuliko zilotangulia.

30 kuota umenyweshwa kitu na ukiamka unakuwa na vidonda kooni au mdomo mzima


DALILI ZA MWENYE KUROGWA AU NYUMBA INAYO WANGIWA

1 Kusikia k**a miguu ya watu wanatembea nje

2 kuwa na tabia ya milango kugongwa na hakuna mtu anagonga

3 Kusikia sauti za watu wanaogea nje na hakuna mtu

4 kuwa na vitimbi ndani ya nyumba

5 kuwa na vitu vinatembea mwilini

6 kutetemeka mwili upande mmoja k**a kiharusi

7 Kusikia k**a mchanga umemwagwa juu ya bati

8 Kusikia k**a kishindo juu ya bati

9 Kusikia milio ya wanyama wakilia kiajabu ajabu

10 kuwa na ugonjwa usio onekana hospital

11 kuwa na ugonjwa wenye kujirudia rudia muda mfupi mfupi

12 kuwa na Mtoto analia sana usiku kuanzia sàa sita

13 Kuota kula kula

14 kuwa na hali ya kutembelewa na vitu mfano wa nyenyere

15 kuvimba mwili k**a mpungufu wa damu

16 kupauka mwili k**a mgonjwa wa bandana

17 kuvuka ngozi

18 kuchanjwa chanjwa usingizini

19 kukatwa sehemu ya kiungo usingizini mfano nywele nk

20 kuwa na upotelewaji wa nguo za ndani kwa mazingira ya utata

21 Kuota Mara kwa Mara ukifanya kazi ngumu

22 kuota unasafiri safiri Mara kwa Mara

24kuamka asubuhi ukiwa na matope haliyakuwa haujaenda shambani

Hili la mwisho Hapa unakuwa umetumika katika kazi za shamba za aliekufanyia uchawi

23 Kuota unapika shughulini
▪️▫️◾️◽️◼️◻️⬛️◻️◼️◽️◾️▫️▪️
Elimika na Dr.Hamza majombo

+255679039663

ّNJIA NYEPESI YA KUREFUSHA UUMEّ ةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةة🗣SOMA KWA MAKINI SANA MWANZO MPAKA MWISHO ✅🌈UTAJIFUN...
17/08/2020

ّNJIA NYEPESI YA KUREFUSHA UUMEّ
ةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةةة

🗣SOMA KWA MAKINI SANA MWANZO MPAKA MWISHO ✅

🌈UTAJIFUNZA JINSI YA KUREFUSHA NA KUNENEPESHA UUME BILA MADHARA🍌

🌈Wanasayansi wengi wa tiba wametoa machapisho mengi ya kitafiti kuhusu urefu na upana wa uume juu ya wastani unaokubalika.☑

🚦By Dr. Hamza majombo 💧 Dar es salama 🇹🇿

☎ +255679039663♨
✅ Watsap
✅ calls
✅ txt sms
✅ imo
✅ instagrm
-hamza_majombo
✅ U-Tube . #
https://youtu.be/6ESw7Hvk4KY

🚦🚦Moja ya jambo ambalo huwaumiza kichwa wanaume wengi ni kuwa na maumbile madogo ya kiume. Wengi huamini uume mrefu na mpana ndiyo urijali wenyewe kuweza kumfikisha kileleni mwanamke.

🚦🚦Dondoo zifuatazo zinajumuisha machapisho ya kitafiti yakiwamo yaliyochapishwa katika majarida makubwa na maarufu duniani k**a vile Science Today, Men’s Health na British Journal of Urology International.

🚦🚦Asilimia 85 ya wanawake wanaridhika na urefu na upana wa maumbile ya uume wa wenza wao ingawa wanaume wenyewe hawana uhakika wa jambo hilo huku asilimia 45 ya wanaume wanaamini wana maumbile madogo.

🚦🚦Utafiti unahitimisha kuwa wastani wa urefu wa uume ukiwa tepetepe yaani kabla ya kusimama ni kati ya sentimita saba mpaka 10 au inchi 2.8 hadi 3.9. urefu huu unapimwa kuanzia kwenye shina la uume mpaka kichwani.

🚦🚦Urefu wa uume unapokuwa umesimama ni kati ya sentimita 12 na16 au ichi 4.7 hadi 6.3. Urefu wa mzunguko wa uume ukiwa umesimama ni kati ya sentimita 12 au inch 4.7. AU Kwa wastani wanaume wengi wana uume wenye urefu wa kati ya nchi 6 na nchi 7

🚦🚦Maumbile ya uume yanatofautina kati ya jamii moja na nyingine, bara moja na jingine. Wanaume wanaotokea Asia wana maumbile madogo ya uume ukilinganisha na wanaume wa Afrika.

🚦🚦Wanawake wengi huwa hawajali urefu na upana wa uume wa wenza wao pengine kutokana na ukweli kuwa kufika kilele cha tendo kwa wanaweka si lazima kumuingilia, wanaweza kufanya hivyo hata kwa kutomaswa tu au njia nyinginezo.

🚦🚦Daktari bingwa wa magonjwa ya wanawake, Ernst Grafenberg wa Ujerumani aligundua sehemu muhimu inayoelezwa kuwa na msisimko wa kipekee kuliko nyingine yoyote katika sehemu za k**e.

🚦🚦Sehemu hiyo ijulikanayo k**a G-**ot ambayo ipo sentimeta 5.1-7.9 au nchi 2-3 tu kuanzia nje ya uke kuingia ndani.

Inaelezwa, unaweza kuwa na uume mdogo lakini ukamridhisha mwenza wako na kumfikisha kileleni ukiweza kuisisimua sehemu hiyo.

🚦🚦Wanaohisi kuwa na maumbile madogo wasikimbilie dawa za mtaani kwani utapeli ni mwingi bali waende kwa watoa huduma za kisasa za afya zinazotambulika kwa ajili ya ubora wake.

🎇🎇Asalaam Alykum ndugu zangu tumshukuru MOLA kwa kutupa uzima
Ama mada yetu ya leo itahusu kuongeza urefu wa dhakari(uume) kwan ni moja ya tatizo lililopo kwenye jamii yetu.

kwa wale wallo na dhakari isiyofika inchi sita (6-7inch ) ipo tiba yake ya asili isiyo na madhara (side effect) kwa mtumiaji kwani ni ya asili / kissuna💯%

Watu wengi wamekua wakihangaika kutafuta dawa ya kuongeza Uume bila mafanikio pia kuna watu ambao wamepata madhara maada ya kuttumia dawa za kuongeza Uume na hii inatokana na matumizi ya dawa za kemikali
Pia kuna wengine wamekata tamaa na kudhani kua hakuna dawa ya kuongeza Uume ila ni udanganyifu tu.

🍌🍌🍌🍌🍌🍌🍌🍌🍌🍌
(ukweli ni kwamba dawa zipo tatizo ni kuzijua tu)

☎Dr. Hamza majombo
+255679039663

✅UKWELI KUHUSU UKUBWA WA UUME

♨♨Yafuatayo ni majumuisho ya matokeo ya tafiti mbalimbali juu ya ukweli juu ya ukubwa wa uume. Tafiti hizo zimefanywa na wanasayansi wa mapenzi toka nchi za Ujerumani, Uingereza, Sweden, Nigeria na Afrika ya kusini. Jisomee na uone mambo yalivyo matamu usifuate maneno ya mitaani na jichunguze uone k**a uko katika kiwango au la.

♨♨(1) Iwapo wewe ni mwanamke na hupendelei uume mkubwa basi wewe ni wa ajabu.

♨♨(2) Wanawake wengi hupendelea uume mkubwa zaidi ya wanaume kupendelea matiti au makalio makubwa.

♨♨(3) Kwa wastani wanaume wengi wana uume wenye urefu wa kati ya nchi 6 (CM 15) na nchi 7 (CM18) na unene kati ya nchi 5 (CM12) na nchi 51/2 (CM 131/2).

Tukutane huku
+255679039663
https://youtu.be/6ESw7Hvk4KY

_____________________________________‼️UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME‼️       ‼️ SIRI KUBWA YAFICHUKA!*‼️‼️*JE UNAFAHAMU KUW...
16/08/2020

_____________________________________

‼️UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME‼️
‼️ SIRI KUBWA YAFICHUKA!*‼️

‼️*JE UNAFAHAMU KUWA UNAWEZA KUPONA TATIZO HILI BILA HATA YA KUMEZA MADAWA?*‼️
_____________________________________

➖Dr.Hamza majombo
_____________________________________
(+255679039663)
_____________________________________
➖Call➖sms&txt➖Whatsapp
➖telegram ➖imo
_____________________________________

*UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NI NINI?*

_____________________________________

Ni hali ya mwanaume kushindwa kumfikisha kileleni mke wake au kwa lugha nyingine ni hali ya mwanaume kushindwa kumridhisha kimapenzi mke wake ( KUSHINDWA KUFANYA TENDO LA NDOA IPASAVYO)
_____________________________________

*DALILI ZA MWANAUME MWENYE UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME*

_____________________________________

Zifuatazo ni baadhi ya dalili za mwanaume mwenye upungufu wa nguvu za kiume:
i) Kutokuwa na uwezo wa kusimamisha Uume wake barabara k**a msumari wakati wa tendo la ndoa.

_____________________________________

ii) Na hata uume wake ukisimama hubaki kuwa goigoi/legelege na huweza kusinyaa wakati wowote.

_____________________________________

iii) Kumaliza mapema/kufika kileleni mapema kabla ya mke wake.
_____________________________________

iv) Kutokuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara moja. Hapa mwanaume akishakamilisha mshindo mmoja wa tendo la ndoa basi anakuwa hana tena uwezo wa kurudia mshindo mwingine. Hali hii husababishwa na kutokuwa na msukumo wa damu wa kutosha kwenye mishipa ya kwenye uume. _____________________________________
v) Uume kusinyaa na kurudi ndani. Hapa uume wa mwanaume unakuwa umesinyaa na kurudi ndani. Uume huu unakuwa hauna uwezo wa kukamilisha tendo la ndoa. Hali hii kwa kiasi kikubwa husababishwa na upigaji wa punyeto kwa muda mrefu pamoja na magonjwa hasa hasa chango la kiume au ngiri. _____________________________________
vi) Mwanaume kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa hata anapokuwa faragha na mke wake.

_____________________________________

vii) Mwanaume Kutokuwa na uwezo wa kusimamisha kabisa uume wake. Hali hii inajitokeza pindi tatizo la kutokuwepo kwa msukumo wa damu wa kutosha kwenye mishipa ya uume, linapokuwa limekomaa.

_____________________________________

FAHAMU KUWA: Uume husimama (Hudinda) barabara pale mishipa yake ya damu inapopata msukumo wa kutosha wa damu. Na hili linawezekana pale ambapo mfumo wa mzunguko wa damu (The Blood circulation system) wa mwanaume unapokuwa katika hali nzuri ya kiafya. Mfumo huo unahusisha Moyo na mishipa ya damu.
“Kitu chochote ambacho ni kibaya au hatari kwa Moyo wako pia ni kibaya kwa Uume wako,” anasema Profesa Andrew McCullough, Mkurugenzi wa Program ya Afya ya Uzazi katika chuo kikuu cha New York (New York University, Langone Medical Center).
Mfano mzuri na rahisi kabisa wa kitu kibaya au hatari kwa moyo ni vyakula vya mafuta.

_____________________________________

*CHANZO CHA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME*
_____________________________________

*GROUP(kundi)A*

*Tatizo la kawaida liliotokana na:-*
*✔Ukosefu wa Elimu,vyakula,tendo*
*✔Pombe/sigara/mihadarati*
*✔Unene/Uzito/kitambi/kukosa mazoezi*
*✔msongo wa mawazo/saikolojia*
*✔matibabu wiki 3 siku 21*

_____________________________________

*GROUP(kundi)B*

*Tatizo la saizi ya kati limetokana na:-*
*✔Punyeto-mapenzi ya bila mwanamke*
*✔Kutazama picha na videoa za ngono(x)*
*✔Mapenzi ya jinsia moja*
*✔Mapenzi ya kunyume na maumbile*
*✔matibabu wiki 5 siku 35*

_____________________________________

*GROUP(kundi)C*

*Tatizo kubwa limetokana na:-*
*✔Kutumia dawa za kungoza nguvu za kiume zenye kemikali Eg* *viagra/vega/erector/enjoy/cream/spray/Alprostadil.Avanafil./Sildenafil/Tadalafil./Testosterone./Vardenafil*
*Na dawa zingine zingine unazo jua wewe*
*✔Kuwa na historia ya kuumwa kwa muda mrefu*
*Eg-Kifua kiku / mtu alie wahi kutumia dawa za kemikali kwa muda mrefu sana mwaka1+*
*Matibabu wiki 7siku 49*

_____________________________________

*GROUP(kundi)D*

*Tatizo kubwa sana lime tokana na:-*
*✔Magonjwa mbali mbali sugu*
*✔Vidonda vya tumbo*
*✔Chango la uzazi (ngiri hernia)*
*✔Kusukari/moyo/presha/shinikizo la damu*
*✔Mangonjwa yote yale ambayo watu husema hayana TIBA*
*✔Tiba wiki 10 siku 70*

_____________________________________

*GROUP(kundi)E*

*Tatizo kubwa au dogo limetokana na:-*
*✔majini mahaba*
*✔Uchawi/ kurogwa/ushirikina*
*✔Mambo ya ajabu mauzauza*
*✔Tiba wiki 8 siku 56*

_____________________________________

JE JEMBE MIX NI NINI?

_____________________________________

JEMBE MIX ni mchanganyiko maalumu wa virutubisho vitokanavyo na mimea (Matunda,mbogamboga, miti) na vyakula vingine ambao utakuletea suluhisho la KUDUMU la tatizo lako na haina madhara ya aina yoyote katika afya yako. Mchanganyiko huo umefanyiwa utafiti wa miaka mingi na wataalam mbali mbali wa sayansi ya lishe duniani . Ikitumiwa k**a inavyotakiwa, matokeo huanza kuonekana kuanzia wiki 2. Matokeo mazuli Zaidi huanza kuoneana baada ya Mwezi mmoja.

_____________________________________

JE JEMBE MIX INATENGENEZWA KWA KUTUMIA MIMEA GANI?

_____________________________________

Jembe mix inatengenezwa kwa kutumia virutubisho vitokanavyo na mimea ifuatayo:
i) Mdalasini (Cinnamon)
ii) Kitunguu Saumu (Garlic)
iii) Ginger (Tangawizi)
iv) Pilipili Manga (Black pepper)
v) Karafuu (Clove)/Zanzibar Tea Masala
vi) Habat soda/Habat sawda (Black seed)
vii) Unga wa Soya (Soya flour)
viii) Asali
Na vingine vingi.
_____________________________________

FAIDA ZA JEMBE MIX NA JINSI GANI INAKUFANYA KUWA JEMBE?

_____________________________________

JEMBE MIX ikitumiwa k**a inavyoelekezwa:
a) Itauwezesha mwili wako wenyewe kuzalisha NITRIC OXIDE moja kwa moja (automatically) na ya KUDUMU na hivyo kuuwezesha UUME wako kusimama imara k**a msumari, k**a kifaru, kuanzia mwanzo mpaka mwisho wa tendo la ndoa, wakati wowote na mahari popote uwapo katika mechi na hivyo utaweza mridhisha mpenzi wako kishujaa na utafurahia ndoa yako.

_____________________________________

b) Inasaidia kuimarisha mishipa ya uume ulio legea na hivyo kuufanya uume uwe na uwezo wa kusimama barabara k**a msumari wakati wa tendo la ndoa.Kwa kifupi mwanaume anakuwa JEMBE au mwanaume wa shoka.

_____________________________________

c) Inasaidia kusafisha mishipa ya kwenye uume na hivyo kusaidia katika kuongeza kasi ya msukumo wa damu kwenye mishipa ya kwenye uume na hivyo kuufanya usimame barabara.

_____________________________________

d) Husaidia kuurudisha nje uume ulio ingia ndani.

_____________________________________

e) Husaidia kutibu madhara ya punyeto na matumizi ya muda mrefu ya dawa kali za kuongeza nguvu za kiume (Hasa zile za kizungu).

_____________________________________

f) Itakuepusha na tatizo la kumaliza mapema (Pre-mature ej*******on) kabla ya mke wako na hivyo kuimalisha upendo katika ndoa.

_____________________________________

g) Inaongeza hamu ya kufanya tendo la ndoa (Libido). Mchanganyiko huo (JEMBE MIX) huongeza uzalishwaji wa homoni (kichocheo) ya kiume iitwayo Testosterone. Kwa mfano asali ina kiwango kikubwa cha madini yaitwayo Boron ambayo yana mchango mkubwa katika kuzalisha homoni hiyo.

_____________________________________

h) Pia itakuwezesha kufunga magoli Zaidi ya mara mbili bila kuchoka kwa sababu inaongeza hamu ya kufanya tendo la ndoa (Ashki) na inaboresha mzunguko na msukumo wa damu katika mishipa ya damu ya Uume na hivyo kuufanya usimame barabara k**a msumari. Lakini pia fahamu kuwa JEMBE MIX inaboresha mzunguko wa damu katika mishipa mingine yote ya damu mwilini na hivyo kukufanya kuwa imara na mwenye afya wakati wote.

_____________________________________

i) Inapunguza mrundikano wa mafuta (cholesterol) na sumu (Free radicals) mwilini.Fahamu kuwa mrundikano wa mafuta mwilini huathiri utendaji kazi wa moyo na mzunguko wa damu katika mishipa ya damu na kwa sababu hiyo mwanaume mwenye mafuta mengi mwilini, hapati msukumo wa kutosha wa damu katika mishipa ya Uume wake na hivyo kushindwa kusimama barabara, Uume unakuwa legelege/goi goi.Epuka vyakula vyenye mafuta mengi na pia uwe na utaratibu wa kufanya mazoezi. Free radicals ni zile seli zilizokufa au zilizoharibiwa mwilini na huwa zina tabia ya kushambulia seli zingine zilizo hai na kusababisha magonjwa mbali mbali na hatimae mwanaume hupoteza nguvu za kiume. Free radicals huwa zinaondolewa mwilini na virutubisho (Antioxidants) mbali mbali vitokanavyo na mimea ikiwemo matunda na mbogamboga. JEMBE MIX ina virutubisho mbali mbali vya mimea vinavyofanya kazi hiyo ya kuondoa free radicals mwilini na hivyo kukuepusha na magonjwa. Hata hivyo, unapotumia JEMBE MIX unapaswa pia kula matunda na mboga mbali mbali yenye/zenye rangi tofauti tofauti kwa ajili ya kuweza kuondoa mwilini aina mbali mbali za sumu (free radicals) na hivyo kukufanya kuwa na afya imara. Kumbuka kuwa matunda yana rangi tofauti tofauti k**a ilivyo pia kwa mboga mboga na kila rangi ina maanisha uwezo wa kupambana au kuondoa aina fulani ya free radical/sumu kutoka mwilini. Unashauliwa kuhakikisha unakula matunda na mboga zenye rangi mbali mbali mara kwa mara. Kwa mfano: Kula matikiti maji, matango, ndizi mbivu, machungwa, maembe, malimao, nyanya, vitunguu maji, spinachi, mchicha n.k

_____________________________________

j) Inatibu tatizo la kusumbuliwa na gesi tumboni, inatibu tatizo la uchovu na maumivu ya mwili pale inapotumiwa mara kwa mara, matatizo ya mfumo wa upumuaji. Hii inatokana na kuwepo kwa virutubisho mbali mbali vikiwemo Asali, Mdalasini, Kitunguu saumu na Tangawizi. Kumbuka ili mwanaume awe na uwezo wa kumridhisha mwenzi wake, mwili wake kwa wakati huo unatakiwa kuwa katika hali nzuri (Fiti/sawa).Kwa mfano ukiwa na tatizo la kuchoka mara kwa mara au maumivu ya mwili ya mara kwa mara unaweza kushindwa kumfikisha mke wako kileleni.
N.B: JEMBE MIX ni kwa ajili ya wanaume ambao wamewahi kuwa na Nguvu Za Kiume kwa hiyo wamepungukiwa ama wameishiwa nguvu hizo. JEMBE MIX haiwezi msaidia mtu ambae amezaliwa akiwa hana nguvu hizo yaani Hanithi.

_____________________________________
➖Tiba ushauri na utafiti (Dawa asili )
_____________________________________
➖Tanzania -Dar -es-salaam
_____________________________________
➖Dr.Hamza majombo
_____________________________________
➖(+255679039663)
_____________________________________
➖Call➖sms&txt➖Whatsapp
➖telegram ➖imo
_____________________________________
majombotz@gmail.com
_____________________________________
```Bonyeza hii link itakuleta *INBOX* Whatsapp moja kwa moja```

⤵️⤵️
_____________________________________
https://wa.me/255679039663
_____________________________________

🛎KISUKARI NA PRESHA GUMZO🛎🕳Hivi umewahi kaa chini ukatafakari kwanini haya magonjwa mawili yamekua gumzo duniani?Na umew...
06/08/2020

🛎KISUKARI NA PRESHA GUMZO🛎

🕳Hivi umewahi kaa chini ukatafakari kwanini haya magonjwa mawili yamekua gumzo duniani?
Na umewahijiuliza kwanini yanasadikika kua hayaponi?
Hebu jitambueni ndugu zetu wa Africa.
Kwanini wazungu wanakula kila aina ya vyakula.. mf. Vyakula vya kopo, vyenye wanga mwingi, mafuta mengi.. na bado wana Afya nzurii zaidi yako wewe.
🧿🧿🧿🧿🧿🧿🧿🧿🧿🧿🧿🧿🧿🧿
🧿Acha upotofu, elimika... sababu za wewe kupata tatizo lako hilo ni zipi??
zitafte hizo sababu kisha hapo utapata jibu nini cha kufanya ili hayo matatizo ya KISUKARI NA PRESHA Yaondoke moja kwa moja.
Tatizo kubwa linalotuumiza sio kukosa dawa sahihi wala lishe wala maisha, Bali ni kutokua na ELIMU stahiki juu ya mfumo halisi wa maisha na Kanuni za kuishi duniani..

🧿Niite Dr.Hamza majombo
Kazi yangu kubwa ni kukuamsha huko ulikolala na kuondoa vumbi lililojaa akilini mwako..
Acha ujinga.. A
Elimika, ishi kwa amani na Furaha

Tukutane .
+255679039663
wasapp, imo, Telegram,Instagram,U-Tube

https://www.youtube.com/channel/UCNDf8FUKnwJKtsJNc9PkK4g

∞∞∞MUNGU AWE NAWE∞∞∞∞

¶DAWA KIBOKO YA KUONDOA MAJINI FASTER( Mash*twaan aina zote, uchawi , Sihri zote)_______________________________________...
30/07/2020

¶DAWA KIBOKO YA KUONDOA MAJINI FASTER
( Mash*twaan aina zote, uchawi , Sihri zote)
_____________________________________
_______________∅_____________________

🦟🦟🦟Habari za mda ndugu zetu..
🌵Karibu tukupe huduma ya kuondoa
uchawi mwilini,MAJINI MAHABA kwa njia nyepesi sana.
k**a umelogwa na umefanyiwa fitina mbalimbali zinazokupa tabu katika mzunguuko wa maisha yako na utaftaji wako, kwa uwezo wake Allah tunakupa dawa yenye weledi wa kuondoa uchafu mwilini mwako na majini yooote na kukufanya uwe mwepesi.. # HATUPIGI RAMLI.
Tunatumia njia ya mimea , magome na miti asilia kiboko ya uchawi/Sihri/ kulogwa.. wasiliana na 🦂Ustadh Majombo🦂 ili upate huduma hii kwa haraka sana.

🐞+255679039663🐞
Ustadh Majombo

🔭-Uganda,
🔭-Kenya
🔭-Rwanda
🔭-Uk
🔭-South Africa
🔭- Congo
🔭-Burundi
🔭-USA
kote tumefika sasa bila shaka
Karibuni sana.🌈
wa.me/255679039663

KIBOKO YA NYWELE
30/07/2020

KIBOKO YA NYWELE

Address

Mbagala Kizuiani
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kungwi aloshindikana posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Kungwi aloshindikana:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category