SSI AFYA Tegeta

SSI AFYA Tegeta Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from SSI AFYA Tegeta, Medical and health, P. o. box 8840 DSM Tanzania, Office Location: Ubungo/Mabibo hostel, Mandela Road, Dar es Salaam.

SSI AFYA happy family
14/07/2025

SSI AFYA happy family

SSI AFYA EXPERT TEAM DSM Tanzania
14/07/2025

SSI AFYA EXPERT TEAM
DSM Tanzania

FAIDA YA KUDING TEA KATIKA CHANGAMOTO MBALI MBALI ZA KIAFYA: HUSAIDIA ;kuondokana na shida ya maumivu na msuguano wa viu...
14/07/2025

FAIDA YA KUDING TEA KATIKA CHANGAMOTO MBALI MBALI ZA KIAFYA:

HUSAIDIA ;
kuondokana na shida ya maumivu na msuguano wa viungo (osteoarthritis) k**a nyonga, maumivu ya visigino( unyayo),magoti, maumivu ya mgongo (Lumbar spondylosis)

HUSAIDIA WATU WENYE SHIDA YA;

Kupungua/kukauka kwa uteute kwenye viungo kwa kurejesha uteute ( Synovial fluids) unaosaidia mnyumbuliko wa viungo vya mwili na hivyo kupelekea kuvimba kwa viungo (GOUT).

HUSAIDIA WATU WENYE;

Shida ya upumuaji/ kupumua, kukoroma na shida ya usingizi, kwa kudhibiti vitu vinavyopelekea mzio/allergens.

HUSAIDIA KUWEKA SAWA;
kupanda na kushuka kwa PRESHA,
kwa kupambana na msukumo/ mzunguko mbaya wa damu kwenye mishipa, kwa sababu ya mafuta mabaya kuziba mishipa(bad cholesterol) , kupotea kwa uwezo wa mishipa ya damu kutanuka ili kutengeneza kipenyo kikubwa cha damu kupita bila shida.

HUSAIDIA KUZIBUA MIRIJA YA UZAZI;

Kunakopelekea Kushuka/ kupungua kwa uwezo wa ushiriki wa tendo la ndoa kwa jinsia zote.

HUSAIDIA KUDHIBITI KUPANDA NA KUSHUKA KWA SUKARI NA MAGONJWA YA INI
k**a;
Magonjwa ya mfuko wa nyongo na kongosho kuwa na mawe kwenye kifuko cha nyongo(gall stones), kwa sababu mtu mwenye mafuta mengi mwilini anakuwa na uwezekano mkubwa wa kuwa na cholesterol nyingi kwenye nyongo yake ambayo huweza kupelekea mawe hayo kwenye mfuko wa nyongo.

Kuvimba kwa kongosho(pancreatitis) kwa sababu ya kuzidi kwa mafuta kwenye damu, hivyo kupelekea kongosho kupunguza uzalishaji wa insulini inayosaidia kurekebisha/ kusawazisha *sukari* mwilini.

HUSAIDIA KUWEKA SAWA MZUNGUKO WA DAMU;

kwa kusafisha mafuta mabaya yaliyoganda kwenye mishipa(bad cholesterol) kuruhusu mtiririko mzuri wa damu kwenye mishipa kuelekea sehemu mbali mbali za mwili.
Nakuondokana na
Shida ya miguu kuvimba, ganzi na kuwaka moto,
Hatari ya damu kuganda kwenye mishipa na kukuweka kwenye hatari ya kiharusi/stroke, maumivu ya chemba ya moyo(Angina), mishipa ya damu kujikunja(varicose veins).

HUSAIDIA;

Wenye changamoto ya UTI na PID (kutokwa na uchafu ukeni & vimbe(Fibroids, cysts endometritis etc)
Kwa kupambana na vimelea vinavyopelekea maambukizi kwenye via vya uzazi, kuyeyusha vimbe mbali mbali.

HUSAIDIA KWA WENYE UONI HAFIFU;

utokanao na ukungu, vumbi, utando na mtoto wa jicho
Kwa kusafisha ukungu, utando na mtoto wa jicho kupitia kudondoshea matone kadhaa kwenye jicho ya kuding tea asubuhi, mchana na jioni.

HUSAIDIA KULINDA NGOZI ;

kwani huwa na kiambata kinacho itwa chlorogenic pigment kinachoweza kupambana na mionzi mikali ( UV rays) inayoweza kuathiri ngozi.

HUSAIDIA KUPAMBANA NA SUMU ZA MWILI ;
Kutokana na vipambana na sumu vya Flavonoids, polyphenol kwa wingi
Hivyo kulinda ini na figo.

KUDING TEA;
imebeba vitamin C kwa wingi inayokuwa na msaada mkubwa kwenye kubusti kinga ya mwili kwa mtumiaji na hivyo kuupa mwili uwezo mkubwa wa kupambana dhidi ya magonjwa/ maambukizi.

KUDHIBITI UZITO MKUBWA NA VITAMBI;
Kutokana na kuwa na uwezo mkubwa wa kuchoma mafuta yaliyozidi mwilini(hyperlipidemia).

KUONDOA HARUFU MBAYA MWILINI ;

Kupitia mchakato upambanaji na uondoaji wa sumu(oxidants), free radicals mwilini, ambapo kiwango chake kinapo kuwa kingi mwilini humfanya mtu kutoa jasho zito na lenye harufu kali.

# SEVEN SERIES INTERNATIONAL(SSI AFYA)
# ASIAN HERBAL
# DAR ES SALAAM
# 0789199529

FAIDA YA KUDING TEA KATIKA CHANGAMOTO MBALI MBALI ZA KIAFYA: HUSAIDIA ;kuondokana na shida ya maumivu na msuguano wa viu...
14/07/2025

FAIDA YA KUDING TEA KATIKA CHANGAMOTO MBALI MBALI ZA KIAFYA:

HUSAIDIA ;
kuondokana na shida ya maumivu na msuguano wa viungo (osteoarthritis) k**a nyonga, maumivu ya visigino( unyayo),magoti, maumivu ya mgongo (Lumbar spondylosis)

HUSAIDIA WATU WENYE SHIDA YA;

Kupungua/kukauka kwa uteute kwenye viungo kwa kurejesha uteute ( Synovial fluids) unaosaidia mnyumbuliko wa viungo vya mwili na hivyo kupelekea kuvimba kwa viungo (GOUT)

HUSAIDIA WATU WENYE;

Shida ya upumuaji/ kupumua, kukoroma na shida ya usingizi, kwa kudhibiti vitu vinavyopelekea mzio/allergens.

HUSAIDIA KUWEKA SAWA;
kupanda na kushuka kwa PRESHA,
kwa kupambana na msukumo/ mzunguko mbaya wa damu kwenye mishipa, kwa sababu ya mafuta mabaya kuziba mishipa(bad cholesterol) , kupotea kwa uwezo wa mishipa ya damu kutanuka ili kutengeneza kipenyo kikubwa cha damu kupita bila shida.

HUSAIDIA KUZIBUA MIRIJA YA UZAZI;

Kunakopelekea Kushuka/ kupungua kwa uwezo wa ushiriki wa tendo la ndoa kwa jinsia zote.

HUSAIDIA KUDHIBITI KUPANDA NA KUSHUKA KWA SUKARI NA MAGONJWA YA INI
k**a;
Magonjwa ya mfuko wa nyongo na kongosho kuwa na mawe kwenye kifuko cha nyongo(gall stones), kwa sababu mtu mwenye mafuta mengi mwilini anakuwa na uwezekano mkubwa wa kuwa na cholesterol nyingi kwenye nyongo yake ambayo huweza kupelekea mawe hayo kwenye mfuko wa nyongo.

Kuvimba kwa kongosho(pancreatitis) kwa sababu ya kuzidi kwa mafuta kwenye damu, hivyo kupelekea kongosho kupunguza uzalishaji wa insulini inayosaidia kurekebisha/ kusawazisha sukari mwilini.

HUSAIDIA KUWEKA SAWA MZUNGUKO WA DAMU;

kwa kusafisha mafuta mabaya yaliyoganda kwenye mishipa(bad cholesterol) kuruhusu mtiririko mzuri wa damu kwenye mishipa kuelekea sehemu mbali mbali za mwili.
Nakuondokana na
Shida ya miguu kuvimba, ganzi na kuwaka moto,
Hatari ya damu kuganda kwenye mishipa na kukuweka kwenye hatari ya kiharusi/stroke, maumivu ya chemba ya moyo(Angina), mishipa ya damu kujikunja(varicose veins).

HUSAIDIA;

Wenye changamoto ya UTI na PID (kutokwa na uchafu ukeni & vimbe(Fibroids, cysts endometritis etc)
Kwa kupambana na vimelea vinavyopelekea maambukizi kwenye via vya uzazi, kuyeyusha vimbe mbali mbali.

HUSAIDIA KWA WENYE UONI HAFIFU;

utokanao na ukungu, vumbi, utando na mtoto wa jicho
Kwa kusafisha ukungu, utando na mtoto wa jicho kupitia kudondoshea matone kadhaa kwenye jicho ya kuding tea asubuhi, mchana na jioni.

HUSAIDIA KULINDA NGOZI ;

kwani huwa na kiambata kinacho itwa chlorogenic pigment kinachoweza kupambana na mionzi mikali ( UV rays) inayoweza kuathiri ngozi.

HUSAIDIA KUPAMBANA NA SUMU ZA MWILI;

Kutokana na vipambana na sumu vya Flavonoids, polyphenol kwa wingi
Hivyo kulinda ini na figo.

KUDING TEA;

imebeba vitamin C kwa wingi inayokuwa na msaada mkubwa kwenye kubusti kinga ya mwili kwa mtumiaji na hivyo kuupa mwili uwezo mkubwa wa kupambana dhidi ya magonjwa/ maambukizi.

KUDHIBITI UZITO MKUBWA NA VITAMBI ;

Kutokana na kuwa na uwezo mkubwa wa kuchoma mafuta yaliyozidi mwilini(hyperlipidemia).

KUONDOA HARUFU MBAYA MWILINI ;

Kupitia mchakato upambanaji na uondoaji wa sumu(oxidants), free radicals mwilini, ambapo kiwango chake kinapo kuwa kingi mwilini humfanya mtu kutoa jasho zito na lenye harufu kali.

# ASIAN HERBAL
# DAR ES SALAAM
# 0789199529

14/07/2025
10/01/2025
Kataa uzito mkubwa na mafuta mengi mwilini kuepuka magonjwa k**a:1.Sukari (diabetic types 2), sukari wakati wa         u...
03/01/2025

Kataa uzito mkubwa na mafuta mengi mwilini kuepuka magonjwa k**a:

1.Sukari (diabetic types 2), sukari wakati wa ujauzito ( Gestational diabete).

2.Shida ya maumivu na msuguano wa viungo (osteoarthritis) k**a nyonga, maumivu ya visigino( unyayo),magoti, maumivu ya mgongo (Lumbar spondylosis)

3.Kupungua/kukauka kwa uteute kwenye viungo ( Synovial fluids) unaosaidia mnyumbuliko wa viungo vya mwili na hivyo kupelekea kuvimba kwa viungo(GOUT)

4.Shida ya upumuaji/ kupumua, kukoroma na shida ya usingizi.

5.Presha kutokana msukumo/ mzunguko mbaya wa damu kwenye mishipa, kwa sababu ya mafuta mabaya kuziba mishipa(bad cholesterol) , kupotea kwa uwezo wa mishipa ya damu kutanuka ili kutengeneza kipenyo kikubwa cha damu kupita bila shida.

6.Kushuka/ kupungua kwa uwezo wa ushiriki wa tendo la ndoa kwa jinsia zote.

7.Magonjwa ya mfuko wa nyongo na kongosho kuwa na mawe kwenye kifuko cha nyongo(gall stones), kwa sababu mtu mwenye mafuta mengi mwilini anakuwa na uwezekano mkubwa wa kuwa na cholesterol nyingi kwenye nyongo yake ambayo huweza kupelekea mawe hayo kwenye mfuko wa nyongo.

8.Kuvimba kwa kongosho(pancreatitis) kwa sababu ya kuzidi kwa mafuta kwenye damu, hivyo kupelekea kongosho kupunguza uzalishaji wa insulini inayosaidia kurekebisha/ kusawazisha sukari mwilini.

9.Shida ya miguu kuvimba, ganzi na kuwaka moto.

10.Hatari ya damu kuganda kwenye mishipa na kukuweka kwenye hatari ya kiharusi/stroke, maumivu ya chemba ya moyo(Angina), mishipa ya damu kujikunja(varicose veins).

CHUKUA TAHADHARI:

1.Epuka ulaji mbaya; k**a ulaji wa masaa machache kabla kulala ni hatari sana kwa Afya yako, angalau uwe umekula masaa manne nyuma kabla ya muda wa kulala ili kuruhusu mmeng' enyo kufanyika kwa muda wa kutosha.

2.Fanya mazoezi angalau nusu saa kwa siku kuufanya mwili kuchoma mafuta na kuondoa taka(sumu) hatari mwilini.

3.Punguza matumizi vyakula vya nishati kwa wingi( wanga).

4.Punguza matumizi ya nyama (nyekundu), vyakula vilivyochakatwa na kusindikwa, vyakula vilivyo kaangwa kwa mafuta mengi kwani hupelekea ongezeko la uzito na mafuta mwilini.

NB:Tumia bidhaa/ dawa zitakazoweza kukupunguza uzito na mafuta bila kuathiri afya yako.
za Afya
# SSI AFYA Dar es salaam
# GANODERMA SLIM COFFEE

SULUHISHO LA MAGONJWA YASIYO YA KUAMBIKIZA (NCD's)
01/01/2025

SULUHISHO LA MAGONJWA YASIYO YA KUAMBIKIZA (NCD's)

Address

P. O. Box 8840 DSM Tanzania, Office Location: Ubungo/Mabibo Hostel, Mandela Road
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when SSI AFYA Tegeta posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram