OCC Doctors

OCC Doctors Telemedicine Centre
Incorporating Telemedicine
Answering Get Quick | Detailed Medical Advice | Non Emergency | Anytime, Anywhere.

Who We Are
OCC Doctors is a trusted leader in digital healthcare, providing secure and comprehensive telemedicine services to patients around the world. We combine advanced technology, medical expertise, and compassionate care to make healthcare more accessible, affordable, and efficient. Our Mission
To enhance global access to high-quality healthcare by leveraging innovation and technology delivering personalized, cost-effective, and convenient medical services while promoting wellness and preventive care. Our Vision
To redefine how patients access care by bridging the gap between medical professionals and patients through modern telecommunication systems, and by promoting natural, science-backed health solutions for a healthier, more sustainable world. Our Services
Online Consultations: Speak with licensed doctors anytime, anywhere. E-Prescriptions: Receive secure and verified prescriptions online. Medical Certifications: Fit-to-work and fit-to-travel certificates available digitally. Routine Consultations: Ongoing care and medical advice from trusted professionals. Remote Monitoring: Continuous support and follow-up care through technology. Our Products
OCC Doctors also offers a wide range of natural and Ayurvedic health products, combining the wisdom of traditional medicine with modern scientific standards. Our formulations are made from high-quality, naturally derived ingredients and manufactured with state-of-the-art equipment that meets rigorous international safety and quality standards. Our Commitment
We are committed to innovation, integrity, and excellence in everything we do. Our goal is to make world-class healthcare available to every patient anytime, anywhere while contributing to the well being of individuals and communities worldwide.

Tunapenda kuwataarifu kwamba huduma zetu za kundi la HEDHI SALAMA zimeanza tena baada ya kipindi kirefu cha kimya. Mnaka...
27/10/2025

Tunapenda kuwataarifu kwamba huduma zetu za kundi la HEDHI SALAMA zimeanza tena baada ya kipindi kirefu cha kimya. Mnakaribishwa kwa moyo wote kuendelea kupata taarifa sahihi za kiafya, ushauri wa kitaalamu, na huduma mbalimbali za matibabu kupitia kundi hili.

Huduma zote zinapatikana kulingana na mahitaji yako, unaweza kupata ushauri hapa kwenye kundi au kwa njia ya moja kwa moja (Inbox/Private). Karibuni tena Hedhi Salama Group kwa afya bora, uelewa zaidi, na huduma za uhakika!

Bofya hapa kujiunga na wenzako

WhatsApp Group Invite

UZAZI WA MPANGO
26/10/2025

UZAZI WA MPANGO

Sumu ya uyoga (Amanita toxin), hasa inayopatikana kwenye uyoga hatari wa (Amanita phalloides), husababisha homa ya ini (...
26/10/2025

Sumu ya uyoga (Amanita toxin), hasa inayopatikana kwenye uyoga hatari wa (Amanita phalloides), husababisha homa ya ini (hepatitis). Sumu hii huathiri zaidi ini kwa kuingia kwenye seli za ini na kuzuia kazi ya kimeng’enya kinachoitwa 'RNA polymerase II', ambacho husaidia katika utengenezaji wa nakala ya 'mRNA'. Bila 'mRNA', seli za ini hushindwa kutengeneza protini muhimu zinazohitajika kwa uhai wake. Hali hii husababisha seli za ini kuharibika na kufa. Matokeo yake, ini hushindwa kufanya kazi vizuri, na mtu huanza kupata dalili za homa ya ini kali.

Dalili ni pamoja na maumivu makali upande wa juu wa kulia wa tumbo, kichefuchefu, kutapika, manjano (jaundice), na wakati mwingine kushuka kwa kiwango cha sukari mwilini au kuchanganyikiwa. Katika hali mbaya zaidi, sumu hii inaweza kusababisha kushindwa kabisa kwa ini (hepatic failure) na hata kifo ikiwa matibabu hayatafanyika haraka.

HOMA YA INI (HEPATITIS)
26/10/2025

HOMA YA INI (HEPATITIS)

Homa ya VVU hutokea mara nyingi katika wiki chache za kwanza baada ya maambukizi na hudumu kwa muda mrefu takriban siku ...
25/10/2025

Homa ya VVU hutokea mara nyingi katika wiki chache za kwanza baada ya maambukizi na hudumu kwa muda mrefu takriban siku 7-14 ikilinganishwa na homa ya kawaida ambayo ni siku 3-5. Kwa kawaida, homa ya VVU huambatana na dalili nyingi kwa pamoja k**a koo kuuma, kuvimba tezi za shingo, upele mwilini, maumivu ya misuli, uchovu mwingi, na wakati mwingine jasho la usiku. Dalili hizi huashiria mwitikio wa mwili kupambana na virusi vipya vya VVU vinavyokuwa vinaanza kuenea mwilini.

Homa ya mara kwa mara kwa mgonjwa wa UKIMWI hutokea kwa sababu kinga ya mwili 'mfumo wa CD4' unakuwa umedhoofika, hivyo mwili unashindwa kupambana ipasavyo na virusi vinavyoingia na kushambulia mwili wiki chache baada ya ngono isiyo salama.

UKIMWI-HIV/AIDS
25/10/2025

UKIMWI-HIV/AIDS

Lishe bora ni msingi muhimu kwa ukuaji na maendeleo ya mtoto. Lishe duni katika kipindi cha utoto inaweza kusababisha at...
25/10/2025

Lishe bora ni msingi muhimu kwa ukuaji na maendeleo ya mtoto. Lishe duni katika kipindi cha utoto inaweza kusababisha athari za kiafya na kimaendeleo zitakazojitokeza hata katika maisha ya baadaye. Mtoto mchanga anapaswa kunyonyeshwa maziwa ya mama pekee (exclusive breastfeeding) katika miezi sita (6) ya kwanza ya maisha.

Kumnyonyesha maziwa ya mama pekee kunamaanisha kwamba mtoto anapewa maziwa ya mama tu bila kuongezewa chakula kingine chochote, maji, au vimiminika vingine isipokuwa dawa au virutubisho vilivyowekwa na mtaalamu wa afya.

AFYA YA MTOTO - UKUAJI NA MAENDELEO
24/10/2025

AFYA YA MTOTO - UKUAJI NA MAENDELEO

Mimba zisizokuwa na matarajio zinahusishwa na vifo na magonjwa mengi ya mama na mtoto wakati wa ujauzito na baada ya kuj...
24/10/2025

Mimba zisizokuwa na matarajio zinahusishwa na vifo na magonjwa mengi ya mama na mtoto wakati wa ujauzito na baada ya kujifungua, kutokana na matatizo ya utoaji mimba kwa makusudi, kupata mimba katika umri mdogo, kupata mimba za mara kwa mara mimba zinazotokea kwa muda mfupi baada ya nyingine au mwanamke kubeba mimba katika umri mkubwa. Mimba zisizo na matarajio huleta msongo mkubwa wa mawazo, hofu na sonona.

OCC DOCTORS tunasaidia kufanya uamuzi kuhusu njia ya uzazi wa mpango kulingana na hali ya mtu kwa kutoa taarifa sahihi kunako FPP, kumruhusu mteja kuuliza maswali kuhusu FPP, Kuhakikisha uendelevu wa matumizi ya huduma za uzazi wa mpango wa FFP ambayo hutumika kidonge kimoja kwa mwezi. Mara moja kila baada ya siku 30.

Kulaza mtoto kifudifudi wakati wa usingizi kunahusishwa na hatari kubwa ya kifo cha ghafla cha mtoto mchanga. Kwa mtoto ...
24/10/2025

Kulaza mtoto kifudifudi wakati wa usingizi kunahusishwa na hatari kubwa ya kifo cha ghafla cha mtoto mchanga. Kwa mtoto mwenye umri chini ya miezi 3, hapendekezwi kulazwa kifudifudi kwa kulalia tumbo wakati wa kulala, isipokuwa kwa usimamizi na kwa muda mfupi tu kwa mfano, wakati wa “tummy time” akiwa macho.

Mtoto anatakiwa alale chali kila wakati wa kulala mchana na usiku. Sehemu ya kulalia iwe tambarare na salama, bila mito, vikorombwezo, au blanketi laini. Epuka kulaza mtoto upande kwa sababu anaweza kugeuka na kulalia tumbo bila kutarajiwa.

Address

4th Floor, Matangini House, Plot No: 2786, Block A, Morogoro Road/Matangini Street, Kimara Terminal
Dar Es Salaam
16104

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when OCC Doctors posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to OCC Doctors:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Our Story

It can be difficult to make time to see your Doctor. Between busy schedules and limited appointment availability, staying healthy can lead to extra stress. OCC Doctors encourages posts related to behavioral health and allows you to discuss non-emergency medical issues with a Doctor by phone or online at a time that’s convenient for you. Long Distance Care, Better for You, Anytime Anywhere.