OCC Doctors

OCC Doctors Telemedicine Centre
Incorporating Telemedicine Service
| Answering Get Quick | Detailed Medical Advice | Non Emergency Medical Issues.

Who We Are
OCC Doctors is a trusted leader in digital healthcare, providing secure and comprehensive telemedicine services to patients around the world. We combine advanced technology, medical expertise, and compassionate care to make healthcare more accessible, affordable, and efficient. Our Mission
To enhance global access to high-quality healthcare by leveraging innovation and technology delivering personalized, cost-effective, and convenient medical services while promoting wellness and preventive care. Our Vision
To redefine how patients access care by bridging the gap between medical professionals and patients through modern telecommunication systems, and by promoting natural, science-backed health solutions for a healthier, more sustainable world. Our Services
Online Consultations: Speak with licensed doctors anytime, anywhere. E-Prescriptions: Receive secure and verified prescriptions online. Medical Certifications: Fit-to-work and fit-to-travel certificates available digitally. Routine Consultations: Ongoing care and medical advice from trusted professionals. Remote Monitoring: Continuous support and follow-up care through technology. Our Products
OCC Doctors also offers a wide range of natural and Ayurvedic health products, combining the wisdom of traditional medicine with modern scientific standards. Our formulations are made from high-quality, naturally derived ingredients and manufactured with state-of-the-art equipment that meets rigorous international safety and quality standards. Our Commitment
We are committed to innovation, integrity, and excellence in everything we do. Our goal is to make world-class healthcare available to every patient anytime, anywhere while contributing to the well being of individuals and communities worldwide.

CTEV splint ni kifaa kinachovaliwa na mtoto mwenye mguu uliopinda tangu kuzaliwa (clubfoot). Ugonjwa huu husababisha mgu...
17/01/2026

CTEV splint ni kifaa kinachovaliwa na mtoto mwenye mguu uliopinda tangu kuzaliwa (clubfoot). Ugonjwa huu husababisha mguu kupinda ndani na chini, hivyo mtoto hawezi kukanyaga vizuri k**a hatatibiwa. Kifaa hiki hushikilia mguu ukiwa umeelekezwa nje na kunyooka juu, ili kuzuia mguu kurudi kupinda tena. Mwanzoni huvaliwa karibu muda wote wa siku, na baadaye huvaliwa wakati wa kulala usiku kwa miaka kadhaa.

CTEV splint' haitibu ugonjwa kuanzia mwanzo, bali hudumisha mguu katika mkao sahihi baada ya mguu kusahihishwa kwa plasta (Ponseti method) au upasuaji mdogo (tenotomy). Lengo lake kubwa ni kuzuia mguu kurudi kupinda tena, jambo ambalo hutokea mara nyingi.

AFYA YA MTOTO - UKUAJI NA MAENDELEO
17/01/2026

AFYA YA MTOTO - UKUAJI NA MAENDELEO

Kulegea kwa shingo ya kizazi (Cervical incompetence) Ni hali ambapo shingo ya kizazi (cervix) Hufunguka mapema bila uchu...
16/01/2026

Kulegea kwa shingo ya kizazi (Cervical incompetence) Ni hali ambapo shingo ya kizazi (cervix) Hufunguka mapema bila uchungu Mara nyingi hutokea wiki 14–24 za ujauzito. Inaweza kusababisha mimba kutoka au kujifungua kabla ya wakati. Kushona shingo ya kizazi (Cerclage) hufanywa kabla ya wiki 24 ikiwa mama ana historia ya Mimba kutoka mara kwa mara au kujifungua kabla ya wakati mara nyingi.

Dalili za hatari baada ya kushonwa ni maumivu ya tumbo, kutokwa damu au maji ukeni, homa na harufu mbaya ukeni.

KLINIKI - MAMA MJAMZITO
16/01/2026

KLINIKI - MAMA MJAMZITO

Faida za kutumia njia ya FPP k**a uzazi wa mpango. Kwakuwa FPP inatumika kidonge kimoja kwa mwezi, Mama anapata muda wa ...
15/01/2026

Faida za kutumia njia ya FPP k**a uzazi wa mpango. Kwakuwa FPP inatumika kidonge kimoja kwa mwezi, Mama anapata muda wa kupona kabisa baada ya ujauzito uliopita, muda wa kumtunza mtoto vizuri, na hupunguza hatari ya kifo cha mama kwa kutenganisha mimba angalau miaka 2 kwa sababu mimba zinazofuatana haraka huongeza hatari k**a mama bado hana afya nzuri. Mtoto anapata muda wa kutosha wa kunyonyeshwa maziwa ya mama

FPP hutumika mara moja kwa mwezi, hivyo humwezesha mwanamke kushiriki shughuli za kujipatia kipato, na rasilimali za familia au taifa kwa ujumla. Haina maudhi wala madhara ni salama kwa kila mwanamke.

UZAZI WA MPANGO
12/01/2026

UZAZI WA MPANGO

Kumeza paracetamol kupita kiasi kunaweza kusababisha uharibifu mkubwa wa ini, na mara chache pia kuharibu figo. Dalili z...
02/01/2026

Kumeza paracetamol kupita kiasi kunaweza kusababisha uharibifu mkubwa wa ini, na mara chache pia kuharibu figo. Dalili za mwanzo za sumu ni kichefuchefu na kutapika. Dalili hizi hupungua ndani ya siku moja, lakini uharibifu wa ini unaendelea bila mtu kujua. Ini huathirika zaidi baada ya siku 3 hadi 4 tangu kumeza paracetamol kupita kiasi, na madhara yanaweza kuwa kuchanganyikiwa au kupoteza fahamu, kutokwa damu, kushuka kwa sukari mwilini, kuvimba kwa ubongo na hata kifo.

Watu wanaokunywa pombe, wanaotumia dawa fulani kwa muda mrefu, au walio na lishe duni k**a wale wanaokula vibaya au wanaoishi na VVU wanaweza kupata madhara hata kwa kiasi kidogo cha paracetamol.

DAWA ZA HOSPITALI
02/01/2026

DAWA ZA HOSPITALI

Maumivu wakati wa kukojoa hutokea pale ambapo kibofu cha mkojo au mrija wa mkojo unapoathrika, Mara nyingi husababishwa ...
02/01/2026

Maumivu wakati wa kukojoa hutokea pale ambapo kibofu cha mkojo au mrija wa mkojo unapoathrika, Mara nyingi husababishwa na maambukizi ya njia ya mkojo (UTI). Katika UTI sugu, figo hushindwa kukusanya mkojo vizuri, ndiyo maana mtu hukojowa mara nyingi. Hali ya kuchoma au kuwaka hutokea sana kwa wanawake, lakini pia inaweza kuwapata wanaume na kwa umri wowote. Inaweza kuambatana na maumivu chini ya tumbo eneo la kibofu au katika eneo la msamba (perineum).

Dalili zinazoambatana nazo ni homa, maumivu ya mgongo au ubavuni eneo la figo, kutoka uchafu kwenye mrija wa mkojo au ukeni, kukojoa mara kwa mara au kuhisi mkojo unakuja ghafla. Kuchelewa kuanza kukojoa au mkojo kutoka kidogo kidogo.

FIGO NA NJIA YA MKOJO
02/01/2026

FIGO NA NJIA YA MKOJO

Ugonjwa wa macho unaosababishwa na kisukari (Diabetic retinopathy) hutokea wakati mishipa midogo ya damu iliyo nyuma ya ...
31/12/2025

Ugonjwa wa macho unaosababishwa na kisukari (Diabetic retinopathy) hutokea wakati mishipa midogo ya damu iliyo nyuma ya jicho (retina) inapoharibika. Ni sababu kubwa ya upofu kwa watu wazima. Mishipa midogo ya damu huanza kudhoofika na kuvimba. Hakuna dalili za haraka, mtu mwenye kisukari anaweza asiwe na maumivu wala kuona mabadiliko.

Baadaye ugonjwa ukizidi Jicho huanza kuona ukungu, maji au damu huweza kujikusanya ndani ya jicho, pazia ya jicho (Retina) inaweza kujitenga na kupelea upofu katika sehemu ya jicho au jicho lote.

MAGONJWA YA MACHO
31/12/2025

MAGONJWA YA MACHO

Address

4th Floor, Matangini House, Plot No: 2786, Block A, Morogoro Road/Matangini Street, Kimara Terminal
Dar Es Salaam
16104

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when OCC Doctors posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to OCC Doctors:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Our Story

It can be difficult to make time to see your Doctor. Between busy schedules and limited appointment availability, staying healthy can lead to extra stress. OCC Doctors encourages posts related to behavioral health and allows you to discuss non-emergency medical issues with a Doctor by phone or online at a time that’s convenient for you. Long Distance Care, Better for You, Anytime Anywhere.