Dr Rey na afya

Dr Rey na afya Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Dr Rey na afya, Medical and health, dar es salaam, Dar es Salaam.

ninasaidia kutatua changamoto za uzazi kwa wanawake na wanaume +255 679-337-272
https://www.tiktok.com/.rey7?_t=ZM-8wNPdO4Eg9V&_r=1
https://www.instagram.com/dr.rey7?igsh=MWR1b215M2ZyM2t5cw==

18/02/2026

FAHAMU KUHUSU MTOTO WA JICHO (CATARACTS).
Mtoto wa jicho ni ugonjwa wa macho ambao hutokea baada ya lenzi ya jicho kupata ukungu na kusababisha jicho husika kupunguza au kupoteza uwezo wa kuona.

Hali hii hutokea taratibu sana na inaweza kuathiri jicho moja au macho yote mawili.

Mtoto wa jicho huwapata zaidi wazee kwa sababu ya umri mkubwa , lakini pia unaweza kupata mtoto wa jicho kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo;
1. Kuumia jicho.
2. Kupigwa na mionzi.
3. Upasuaji wa jicho kwa sababu ya matibabu.
4. Kurithi (kuzaliwa ukiwa na mtoto wa jicho).

Mtu yeyote anaweza kupata mtoto wa jicho , lakini baadhi ya watu wapo kwenye hatari zaidi, wakiwemo.
1. Wagonjwa wa KISUKARI
2. Wavutaji wa sigara.
3. Wanywaji wa pombe.
4. Kupigwa na mionzi ya jua kwa muda mrefu.

Dalili zifuatazo humpata mtu mwenye mtoto wa jicho,
1. Kuona taswira zenye rangi zilizofifia.
2. Uoni hafifu.
3. Kuona taswira mbili kwa kitu kimoja.
4. Kupata shida kuangalia vitu vya kung'aa.
5. Kupata shida ya kuona wakati wa usiku.

MATIBABU.
K**a wewe au ndugu yako ana tatizo la mtoto wa jicho,hakuna haja ya kuwa na mashaka wala hofu. Tatizo hili linatiba.

18/02/2026

FAHAMU KUHUSU MTOTO WA JICHO (CATARACTS).
Mtoto wa jicho ni ugonjwa wa macho ambao hutokea baada ya lenzi ya jicho kupata ukungu na kusababisha jicho husika kupunguza au kupoteza uwezo wa kuona.

Hali hii hutokea taratibu sana na inaweza kuathiri jicho moja au macho yote mawili.

Mtoto wa jicho huwapata zaidi wazee kwa sababu ya umri mkubwa , lakini pia unaweza kupata mtoto wa jicho kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo;
1. Kuumia jicho.
2. Kupigwa na mionzi.
3. Upasuaji wa jicho kwa sababu ya matibabu.
4. Kurithi (kuzaliwa ukiwa na mtoto wa jicho).

Mtu yeyote anaweza kupata mtoto wa jicho , lakini baadhi ya watu wapo kwenye hatari zaidi, wakiwemo.
1. Wagonjwa wa KISUKARI
2. Wavutaji wa sigara.
3. Wanywaji wa pombe.
4. Kupigwa na mionzi ya jua kwa muda mrefu.

Dalili zifuatazo humpata mtu mwenye mtoto wa jicho,
1. Kuona taswira zenye rangi zilizofifia.
2. Uoni hafifu.
3. Kuona taswira mbili kwa kitu kimoja.
4. Kupata shida kuangalia vitu vya kung'aa.
5. Kupata shida ya kuona wakati wa usiku.

MATIBABU.
K**a wewe au ndugu yako ana tatizo la mtoto wa jicho,hakuna haja ya kuwa na mashaka wala hofu. Tatizo hili linatiba.

Mawasiliano :0658515862

10/02/2026

Dr REHEMA NA UZAZI

06/02/2026

MIFUPA KUSAGIKA/KUSAGANA
Ushauri na Tiba
+255 67829860

Osteoathritis
Ni ugonjwa wa maungio ya mifupa unaotokea pale cartilage inaposagika na kupoteza ubora wake. Hali hii husababisha mifupa inayokutana kwenye maungio kusagika moja kwa moja na kusababisha maumivu makali ya mifupa. Watu wenye umri mkubwa na wenye unene mkubwa huwa katika hatari kubwa ya kupata aina hii ya ugonjwa wa maungio ya mifupa. Wanawake ndio hupata ugonjwa huu zaidi kuliko wanaume.

Ugonjwa huu hushambulia zaidi mikono,magoti,nyonga,shingo na upande wa chini wa mgongo.Huambatana na maumivu makali katika joints, joints hukaza hasa unapoamka asubuhi ama baada ya kukaa kwa muda mrefu,shida katika kutembea na wakati mwingine joints huvimba na kuonekana nyekundu na zenye joto unapozigusa. Huanza taratibu lakini maumivu huongezeka kwa kadri muda unavyoongezeka.

Rheumatoid Arthritis
Aina hii ya ugonjwa wa arthritis hutokea pale kinga za mwili zinaposhambulia maungio ya mifupa. Kuna wakati kinga za mwili hushambulia sehemu fulani ya mwili tatizo linalojulikana k**a Autoimmune. Kinga hizi hushambulia utando unaofunika maungio ya mifupa na kusababisha mifupa inayozungukwa na utando huo kusagika na cartilage kupoteza ubora wake kabisa.

Tofauti na osteoarthritis,rheumatoid arthritis huathirimwili wote. Madhara yake hufikia kuathiri mapafu na mfumo mzima wa upumuaji,macho,ngozi,mdomo na tezi ya mate,moyo,damu na mishipa ya damu.

Unaweza kijitibu matatizo hayo kwa kutumia supu ya bamia angalau mara tatu kwa wiki, bamia ina virutubisho vizuri kwa mifupa na huongeza majimaji au ute [fluid] kaika maungio na kuondosha tatizo la kusagana
Vyakula vingine ni vyote vyeny Omega 3 k**a samaki, mboga za majani haswa spinach na mchicha, kunywa supu ya kongoro lenye uroto.

Kwa mahitaji ya tiba lishe kwa wenye matatizo katika maungio tuache ujumbe Whatsapp au inbox

Unaweza kuwa karibu nasi kwa maswali na ushauri juu ya afya na jinsi ya kujitibu maradhi mbalimbali.

04/02/2026

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr Rey na afya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram