Imarisha Afya ya Mwili Wako

Imarisha Afya ya Mwili Wako Ninatatua changamoto za magonjwa ya Mmeng'enyo Wa Chakula Bila madhara kwa kutumia virutubisho lishe.

Ninatatua CHANGAMOTO za Magonjwa yote SUGU kwa kutumia virutubisho lishe vya asili, wasiliana nami kupitia whatspp/Call +255682876988

FAIDA ZA MAZIWA YA MGANDO KWENYE MMENG'ENYO WA CHAKULA
05/12/2025

FAIDA ZA MAZIWA YA MGANDO KWENYE MMENG'ENYO WA CHAKULA

05/12/2025

FAIDA ZA KUTUMIA KABEJI KWENYE MMENG'ENYO

04/12/2025

Msaada na ushauri tupigie, Mawasiliano +255629609936

04/12/2025

Moja ya sababu ya Gesi Tumboni ni hewa kuingia ndani ya Tumbo

04/12/2025

IJUE TEZIDUME

04/12/2025

UVIMBE WA SARATANI YA TEZI DUME
Tezi dume ni moja ya tezi la uzazi la kiume ambalo kila mwanaume analo, tezi hili lipo chini ya kibofu cha mkojo na linazunguka njia ya mkojo toka kwenye kibofu kwenda kwenye uume.

KUNA AINA TATU ZA MAGONJWA YA TEZI DUME.
• Maambukizi ya Bakteria (Prostatitis).
• Kukua kwa tezi dume ambalo sio saratani (Benign Prostatic Hypertrophy-BPH).
• Saratani ya tezi dume.

VITU VINAVYOSABABISHA SARATANI YA TEZI DUME
vChanzo hasa cha saratani ya tezi dume hakijulikani, saratani hii ina uhusiano mkubwa na;
• Umri, Wanaume wenye umri kuanzia miaka 60 na kuendelea wanapata zaidi saratani ya tezi dume.
• Vyakula vyenye kiasi kikubwa cha mafuta, hasa ya wanyama.
• Historia ya tatizo hili kwenye familia (Genetic).
•Kuwa na uzito uliokithiri.

DALILI ZA SARATANI YA TEZI DUME
vKatika hatua za awali, dalili hazitofautiani sana na zile za kuvimba kwa tezi dume lisilokuwa saratani (BPH). Dalili hizo ni pamoja na;
•Kusikia kupata haja ndogo mara kwa mara hasa nyakati za usiku
• Haja ndogo kuchelewa kutoka unapoanza kukojoa.
• Kutoa mkojo wenye mtiririko dhaifu na kuchuruzika kidogo kidogo baada ya kumaliza kukojoa.
• Kujikakamua wakati wa kukojoa na kushindwa kumaliza mkojo wote.
•Kutoa mkojo au manii yaliyochanganyika na damu
• Maumivu makali sehemu mbalimbali za mwili k**a saratani imesambaa.
• Kupungua uzito, kuhisi kichefuchefu, uchovu na kizunguzu

MADHARA YA UVIMBE WA TEZIDUME
Yafuatayo ni madhara ya tezi iliyotanuka:
- Kibofu cha mkojo kuuma: hivyo hupelekea mkojo kurudi juu, na kuharibu figo na Ini … … n.k.
- Kufunga kwa njia ya mkojo kabisa
- Figo kushindwa kufanya kazi (Kidney Failure)
- Kushindwa kumudu tendo la ndoa (Ndoa zinavunjika)
- kansa ya tezidume
- Kifo
MATIBABU
Upasuaji wa TEZIDUME Sio Suluhisho la Kudumu tunatumia virutubisho lishe kutatatua changamoto ya Uvimbe wa TEZIDUME, havina madhara vinarekebisha mfumo mzima na kutibu chanzo Cha tatizo.

03/12/2025
03/12/2025

TATIZO LA KUKOSA CHOO SIO LA KUCHUKULIA POA

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Imarisha Afya ya Mwili Wako posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Imarisha Afya ya Mwili Wako:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram