Seen Afya Kwanza

Seen Afya Kwanza Certified Doctor βš•οΈπŸ‘¨β€βš•οΈ
MSHAURI (Hearlth Expart 3Yrs)
Afya ya Uzazi, πŸ₯¦Mmeng’enyo
( +255 ) 757 223 987
οΏ½
(7)

*Iba Siri Hii | Jinsi PID Inavyo mumunya Ndoto za Uzazi wako....*Kuna ugonjwa mmoja ambao unatembea kimya kimya...Unakul...
04/09/2025

*Iba Siri Hii | Jinsi PID Inavyo mumunya Ndoto za Uzazi wako....*

Kuna ugonjwa mmoja ambao unatembea kimya kimya...

Unakula ndoto za ndoa, Unavunja tumaini la uzazi, na kugeuza furaha kuwa machozi...

*Umesikia nini kuhusu PID..!? (Pelvic Inflammatory Disease)* πŸ€”

Naam..! PID, Ni adui wa uzazi wa wanawake, Lakini cha kushangaza zaidi, Wanaume ndio chanzo kikuu bila hata kujua...☠️

*Ipo hivi.....*

PID (Pelvic Inflammatory Disease) Ni ugonjwa unaomchoma mwanamke β€”Si mwanaume.πŸ“Œ

Kwa sababu PID ni maambukizi yanayopanda juu kupitia njia ya uzazi ya mwanamke na kuathiri kizazi, mirija ya fallopian, na ovari...

*Hapa ndipo siri ilipo…* πŸ‘‡

Mwanaume hauguwi PID, ila anaweza kuwa mhifadhi na msambazaji wa vimelea (bacteria k**a Chlamydia trachomatis na Neisseria gonorrhoeae)...

Bila dalili, bila maumivu, unajiona mzima lakini unabeba kifurushi kisichoonekana ambacho kwa kila tendo la ndoa, kinasafiri hadi kwa mke wako..πŸ€’

*Na matokeo yake..?*

↳ Mirija inaziba kabisa, Yai haliwezi tena kusafiri...

↳ Hormone imbalance, Mfumo mzima wa mwili wa mwanamke unavurugika...

↳ Maisha Bila mtoto, Familia inageuka uwanja wa lawama, na maumivu ya kimya...

*Sasa, jiulize swali hili....*

Kwa nini wanawake wengi wakitibu PID hawaponi kabisa..?☠️

*Jibu ni gumu, lakini ukweli ni huu…* πŸ‘‡

Sio PID pekee inayokuumiza, Ni usugu wa vimelea unaosababishwa na matumizi mabaya ya dawa..

↳ Dawa za kuweka ukeni bila ushauri..

↳ Sindano za mara kwa mara, Wengine wamechomwa hadi 7 days bila mafanikio...

↳ Kutumia dawa bila kufuata mpango kamili wa tiba sahihi...

*Matokeo yake?*

Vimelea vinakuwa sugu, vinakataa dawa, na ugonjwa unarudi mara kwa mara huku ndoto za uzazi zikizidi kufifia...☠️

*Siri ya ukombozi ipo hapa...* πŸ‘‡

↳ Kupima kwa usahihi, Bila vipimo sahihi, tiba itakuwa ni kubahatisha.

↳ Kufuata ushauri wa daktari, Sio kujitibu ovyo ovyo kwa kununua dawa maduka ya dawa au mitandaoni...

↳ Wanaume kushiriki matibabu, Kwa sababu chanzo mara nyingi kiko upande wao..

*NB:* K**a wanaume tunalo jukumu la kulinda wake zetu.

K**a familia tunalo jukumu la kulinda vizazi vyetu.

Na k**a jamii, tunalo jukumu la kuvunja ukimya, ili PID isiendelee kuua ndoto za uzazi....

Hii sio tu elimu, ni wito wa mapinduzi ya afya ya uzazi, Tuchukue hatua, Leo...🫑 K**a upo na mimi nipe Reaction πŸ‘ Kisha ni follow Seen Afya Kwanza kujifunza zaidi

πŸ˜‚πŸ€£ hii inaitwa utajua hujui
16/06/2025

πŸ˜‚πŸ€£ hii inaitwa utajua hujui

*A)MADHARA YA SINDANO ZA KUZIA MIMBA*(1) Usumbufu wa hedhi(2) Kuumwa kichwa mara kwa mara(3) Kizunguzungu(4) Kichefuchef...
24/03/2025

*A)MADHARA YA SINDANO ZA KUZIA MIMBA*

(1) Usumbufu wa hedhi

(2) Kuumwa kichwa mara kwa mara

(3) Kizunguzungu

(4) Kichefuchefu

(5) Kuongezeka uzito usiokuwa na faida

(6) Kupunguza hamu ya tendo la ndoa

(7) Kusababisha Uvimbe kwenye kizazi

Kwa ushauri zaidi Waweza comment Kisha kupata Ushauri zaidi Whatsapp 0757 223 987

ZUIA KANSA YA MATITI KWA NJIA HII πŸ‘‡πŸ‘‡Dr Seen Afya Kwanza   0757 223 987 whatsap tuJinsi Matunda ya Citrus Yanavyosaidia A...
08/02/2025

ZUIA KANSA YA MATITI KWA NJIA HII πŸ‘‡πŸ‘‡
Dr Seen Afya Kwanza 0757 223 987 whatsap tu

Jinsi Matunda ya Citrus Yanavyosaidia Afya ya Maziwa

Matunda ya citrus k**a oranges, lemons, limes, na grapefruits yana bioactive compounds ambazo zinaweza kuboresha afya ya matiti kupitia njia mbalimbali za kibiokemia.

1. Yana Antioxidants Nyingi

Matunda haya yana Vitamin C, flavonoids (k**a hesperidin na naringenin), na carotenoids, ambazo huzuia oxidative stress kwenye mammary cells. Oxidative stress husababisha DNA mutations, ambazo zinaweza kusababisha carcinogenesis (ukuaji wa seli za saratani).

2. Yana Anti-Inflammatory Properties

Citrus fruits zina phytochemicals k**a limonene na hesperidin, ambazo huzuia inflammatory cytokines zinazoweza kuharibu epithelial cells za matiti na kusababisha neoplastic transformation (mabadiliko ya seli za kawaida kuwa seli za saratani).

3. Husaidia Estrogen Metabolism

Liver ina jukumu la estrogen detoxification, ambapo inabadilisha estradiol kuwa metabolites zisizo na madhara. Matunda ya citrus yana flavonoids zinazochochea enzymes k**a CYP1A1 na CYP1B1, ambazo zinahusika na Phase I detoxification ya estrojeni. Hii husaidia kupunguza estrogen dominance, ambayo inaweza kuongeza hatari ya hormone receptor-positive breast cancer.

4. Huimarisha Kinga ya Mwili

Vitamin C inayopatikana kwenye citrus fruits ni muhimu kwa immune modulation. Inasaidia katika uzalishaji wa natural killer (NK) cells, ambazo huharibu seli za saratani. Pia inahamasisha uzalishaji wa collagen, ambayo inasaidia kudumisha elasticity ya connective tissue kwenye matiti.

5. Huboresha DNA Repair Mechanisms

Flavonoids k**a quercetin na kaempferol huchochea expression ya BRCA1 na BRCA2 tumor suppressor genes, ambazo zinahusika na DNA repair. Matunda ya citrus yanaweza kusaidia kupunguza mutations zinazoweza kusababisha saratani ya matiti.

6. Huenda Yakapunguza Breast Cancer Risk

Tafiti zimeonyesha kuwa watu wanaokula kiwango kikubwa cha citrus flavonoids wanaweza kuwa na low risk of breast malignancies, hasa kwa sababu huzuia angiogenesis (ukuaji wa mishipa mipya ya damu inayolisha tumors) na husababisha apoptosis (kifo cha seli za saratani).

Jinsi ya Kula Citrus Fruits kwa Afya ya Matiti

Kunywa fresh lemon juice au orange juice ili kupata high doses of Vitamin C na bioflavonoids.

Kula whole fruits badala ya juice peke yake ili kupata fiber, ambayo husaidia katika hormone balance.

Tumia citrus peels (rind) kwenye chai au chakula kwa sababu yana limonene, ambayo ina anticancer properties.

Kunywa detox lemon water kusaidia hepatic detoxification ya estrojeni.

Usisahau kushare, kulike na Ku comment Ahsante na karibu

Kunyonya sehemu za siri (oral s*x) kunaweza kuwa na madhara ya kiafya, hasa ikiwa haifanywi kwa usafi au bila tahadhari ...
04/02/2025

Kunyonya sehemu za siri (oral s*x) kunaweza kuwa na madhara ya kiafya, hasa ikiwa haifanywi kwa usafi au bila tahadhari za kiafya. Kwa mtazamo wa kibiolojia, madhara yake yanaweza kuhusiana na maambukizi, athari za kinga mwilini, na mabadiliko ya microbiota ya mwili.

1. Maambukizi ya Magonjwa ya Zinaa (STIs)

Kunyonya sehemu za siri kunaweza kusababisha maambukizi ya vijidudu mbalimbali, ikiwa ni pamoja na:

Bakteria: Neisseria gonorrhoeae (gonoria), Treponema pallidum (kaswende), na Chlamydia trachomatis (klamidia).

Virusi: Herpes simplex virus (HSV-1 na HSV-2), Human papillomavirus (HPV), HIV, na Hepatitis B/C.

Protozoa: Trichomonas vaginalis, husababisha trikomonia.

Vijidudu hivi vinaweza kuingia mwilini kupitia mikwaruzo midogo kwenye utando wa mucosa ya mdomo, ulimi, au koo.

2. Kubadilika kwa Microbiota ya Kinywa na Sehemu za Siri

Kunyonya sehemu za siri kunaweza kuhamisha bakteria kutoka sehemu za siri kwenda mdomoni na kinyume chake.

Kwa mfano, Lactobacillus (bakteria wazuri wa uke) wanaweza kupungua, na kusababisha uwezekano wa vaginosis ya bakteria (BV).

Pia, Fusobacterium na Prevotella wanaweza kuhamia kwenye kinywa, na kuongeza hatari ya magonjwa ya fizi na halitosis (harufu mbaya ya mdomo).

3. Magonjwa ya Mfumo wa Kupumua

Maambukizi k**a HPV yanaweza kusababisha saratani ya koo na mdomo (oropharyngeal cancer), hasa ikiwa mtu amepata aina za HPV-16 na HPV-18.

Neisseria gonorrhoeae inaweza kusababisha gonoria ya koo (pharyngeal gonorrhea), hali inayoweza kuwa sugu kwa matibabu.

4. Kujeruhi Utando wa Mucosa

Ulimi au meno yanaweza kusababisha mikwaruzo midogo kwenye ngozi laini ya uke, uume, au mdomo.

Mikwaruzo hii inaweza kuwa lango la vijidudu kuingia mwilini, na kuongeza hatari ya maambukizi.

5. Kusababisha Mwitikio wa Kinga Mwilini

Watu wengine wanaweza kupata allergic reaction kutokana na protini za shahawa au majimaji ya uke.

Pia, kuna uwezekano wa kuongezeka kwa cytokines za uchochezi (pro-inflammatory cytokines) zinazosababisha mwasho au uvimbe kwenye mucosa.

Jinsi ya Kupunguza Madhara

Kutumia kinga k**a kondomu au dental dam.

Ku dumisha usafi wa mdomo na sehemu za siri kabla na baada ya tendo.

Kufanya vipimo vya mara kwa mara vya STIs ili kubaini maambukizi mapema.

Kuepuka oral s*x ikiwa kuna vidonda mdomoni au kwenye sehemu za siri.

Ikiwa una maswali zaidi wasiliana NAMI kupitia Whatsapp no 0757223987
Dr seen

NENO LA USIKU▢️Nataka nikutie moyo usiku wa leo dadangu.πŸ‘‡πŸ‘‡Najua umepitia mengi sana kwenye mahusiano yasiyo na dira wala...
21/12/2024

NENO LA USIKU▢️
Nataka nikutie moyo usiku wa leo dadangu.
πŸ‘‡πŸ‘‡
Najua umepitia mengi sana kwenye mahusiano yasiyo na dira wala tija, hujui ni ipi hatma yako, hujui ni nini Mungu amekupangia kwenye maisha yako ya kimahusiano katika maisha yako.πŸ‘‰πŸ»
Acha kulia, acha kukata tamaa.
Mungu wetu wa rehma anakupenda sana ila tu anakupitisha kwenye baadhi ya changamoto ili iwe nafasi kwako ya kujifunza.πŸ‘‰πŸ»
You are beautiful, Smart and amazing. Utapata mwanaume wa kweli.
Yuko mahali fulani, subiri tu wakati ukifika kwa kuwa na yeye anataka kupata msichana mkweli, mzuri k**a wewe.πŸ‘‰πŸ»
Hivyo basi amka sasa, jikubali, jipende, jijali.
Kuhuzunika ni muhimu katika mahusiano ila huzuni isipite kiasi hadi kukufuru.
Huzunika uwezavyo lakini huzuni hiyo isikuchukue muda mrefu katika maisha yako.πŸ‘‰πŸ»
Usilie tu kuhusu huyo mtu aliyekuvunja moyo, aliyekukataa, aliyekukimbia lakini tumia nafasi hiyo k**a darasa kwako.
πŸ‘‰πŸ»Kumbuka kuwa sio wanaume wote wako k**a huyo.
Na utampata mwanaume wa kweli, mwanaume wa maisha yako, mwenye busara, hekma na mtafutaji.
πŸ‡πŸ‡πŸ‡πŸ‡πŸ‡πŸ‡πŸ‡πŸ‡πŸ‡πŸ‡πŸ‡NENO LA USIKU▢️
Nataka nikutie moyo usiku wa leo dadangu.
πŸ‘‡πŸ‘‡
Najua umepitia mengi sana kwenye mahusiano yasiyo na dira wala tija, hujui ni ipi hatma yako, hujui ni nini Mungu amekupangia kwenye maisha yako ya kimahusiano katika maisha yako.πŸ‘‰πŸ»
Acha kulia, acha kukata tamaa.
Mungu wetu wa rehma anakupenda sana ila tu anakupitisha kwenye baadhi ya changamoto ili iwe nafasi kwako ya kujifunza.πŸ‘‰πŸ»
You are beautiful, Smart and amazing. Utapata mwanaume wa kweli.
Yuko mahali fulani, subiri tu wakati ukifika kwa kuwa na yeye anataka kupata msichana mkweli, mzuri k**a wewe.πŸ‘‰πŸ»
Hivyo basi amka sasa, jikubali, jipende, jijali.
Kuhuzunika ni muhimu katika mahusiano ila huzuni isipite kiasi hadi kukufuru.
Huzunika uwezavyo lakini huzuni hiyo isikuchukue muda mrefu katika maisha yako.πŸ‘‰πŸ»
Usilie tu kuhusu huyo mtu aliyekuvunja moyo, aliyekukataa, aliyekukimbia lakini tumia nafasi hiyo k**a darasa kwako.
πŸ‘‰πŸ»Kumbuka kuwa sio wanaume wote wako k**a huyo.
Na utampata mwanaume wa kweli, mwanaume wa maisha yako, mwenye busara, hekma na mtafutaji Ameen πŸ™πŸ™ follow Seen Afya Kwanza

Address

Ilala Boma
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Seen Afya Kwanza posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Seen Afya Kwanza:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram