08/10/2021
AZOOS***MIA NI NINI....????
Ni tatizo ambalo huwakuta wanaume pale ambapo SEMEN zinazotolewa kipindi cha ej*******on hukosa kabisa s***m.
AINA ZA AZOOS***MIA.
➡️OBSTRUCTIVE AZOOS***MIA
Hii ni pale ambapo s***m hutengenezwa lakini hazisafiri kabisa kutokana na kuziba kwa mrija wa kusafirishia s***m. KWANINI MRIJA HUZIBA.
▪️kupata ajali ambayo huathiri mfumo wa uzazi.
▪️Matatizo ya kurithi .
▪️Kufanyiwa upasuaji ambayo huweza kuathiri mrija wa s***m .
▪️Maambukizi k**a UTI,FUNGUS NA STI’s.
———————————————-
➡️NON OBSTRUCTIVE AZOOS***MIA Hii ni kwamba s***m hazitengenezwi kabisa kwenye korodani .
KWANINI HAZIZALISHWI.
▪️kutowiana kwa homoni mwilini.
▪️Maambukizi k**a UTI,FUNGUS NA STI’s.
▪️kuumia kwenye korodani .
▪️Tofauti za kurithi .
▪️Twisted testicle
—————————————————
Nitafute kwa maelezo zaidi .
0672449796