Nkara Herbal Medicine

Nkara Herbal Medicine TIBA NA USHAURI NDIO JUKUM LETU 0714430731

Habari leo nimewaletea suluhisho la jini mahaba jini huyu msumbufu miongoni mwa dalili zake ni hizi zifuatazo 1 kupoteza...
30/07/2025

Habari leo nimewaletea suluhisho la jini mahaba jini huyu msumbufu miongoni mwa dalili zake ni hizi zifuatazo 1 kupoteza hisia kwa wana ndoa 2 kukufanya kua na hasira za mara kwa mara 3 kuto hisi ladha ya mwenzi wako muapo falagha 4 kua na hisia na mwenzi wako awapo nje ya nyumbani na unaweza ongea nae ki mahaba na akirudi tu unapata dhiki ya moyo na hasira juu yake na kutamani bora angechelewa 5 kukwama kwa majambo yako yaani kila ufanyalo halifikii malengo 6 kuvuruga mahusiano ya nsoa pia maelewano na wanao weza kukusaidia. K**a utakua na dalili hizi jua ndani yako una jini mahaba na dawa hii humtoa ndani yako piga sim 0714430731 au 0766431731 au fiki ofisini kwetu NKARA HERBAL MEDICINE kwa huduma zaidi na ushauri Tupo gongo lamboto majohe chuo Rada Dar Es salaam Tanzanian

20/07/2025

Asalaam aalaykum leo tar 20/07 NKARA HERBAL MEDICINE Tunapenda kutoa offer ya dawa zetu ikiwa ni sehem ya kumtakia heri ya kumbukizi ya kuzaliwa kwa mkurugenzi wetu mtendaji DAKTARI NKARA dawa zitakazo husika na ofa hii ni CHAP CHAP ambayo ni dawa maalum kwa uzazi kutoka kuuzwa tsh 150000 hadi tsh 75000 na dawa ya 2 ni MWAMI NTARE dawa ya vidonda vya tumbo kutoka kuuzwa 25000 mpaka 20000 kwa robo dozi na dawa ya3 ni dawa inayo tibu H PAYROL NA GESI kutoka kuuzwa 100000 na kuuzwa 50000 ili kupata ofa hii fika ofisini kwetu NKARA HERBAL MEDICINE au piga simu kwa namba zifuatazo 0714430731 / 0766431731 /0627530731 na ofa itaisha tarehe 20/08/2025

01/07/2025
27/11/2024

Asalaam aalaykum nduguzangu poleni na majukum baada ya ukimya kidogo kutokana na majukum makubwa sasa tumekuleteeni dawa mbalimbali kwa kutatua change changamoto mbalimbali leo tunaanza na dawa hii ya CHAP CHAP ambayo ni maalum kwa akina mama wenye changamoto ya UZAZI dawa hii tayari ipo kwa matumizi na ni ya uhakika karibuni mjipatie dawa kwa wale wenye changamoto ya uzazi

20/10/2024

Habari wapendwa pia ninawashukuru wote mlio nifariji kwa pole ya msiba wa kaka yangu mpendwa na leo nimeanza safari kutoka nyumbani Kigoma na kurudi Dar es salaam naomba dua zenu vilevile kwa ambae tulie wasiliana nae kuhusu changamoto inayo msibu basi naomba tuwasiliane kesho mungu akipenda kuanzia sa2 asubuhi pia na ambae hatujawasiliana na ana changamoto tuwasiliane au afike kituoni Nkara herbal medicine Majohe Dar es salaam kwa huduma ya tiba na ushauri

Habarini wapendwa pia nikuombeni radhi kwa ukimya kifupi nilikua ktk harakati za kitafiti juu ya tiba za baadhi ya marad...
04/10/2024

Habarini wapendwa pia nikuombeni radhi kwa ukimya kifupi nilikua ktk harakati za kitafiti juu ya tiba za baadhi ya maradhi na sasa nimepata nafasi ila leo niwape dawa hii nimeipa jina la MWANAUME hii dawa ni maalum kwa wagonjwa wanao sumbuliwa na upungufu wa kua na uwezo wa kufanya tendo kwa muda mrefu au kua legelege kwa maumbile yao imma kutokana na maradhi yaĺio wapelekea kudhoofika kwa misuli au walio athiriwa na michezo ya kujichua (punyeto) nk na mwenye kuihitajia dawa awasiliane nami moja kwa moja kupitia namba zilizopo ktk picha hio

09/09/2024

Asalaam aalaykum nduguzangu na member woote wa group kwa moyo mkunjufu nakualikeni siku ya Jumamosi baada ya swala ya laishai tarehe 14/09/2024 saa2 na nusu usiku muhudhurie katika shuhuli ya kumbukumbu ya mazazi ya MTUME S.A.W itakayo fanyika nyumbani kwangu Majohe chou rada kafika kwenu ndio ukamilifu wa hadhara wabillahi ttaufiq wenu Admin wa group Dr Nkara

Habari baada ya kumaliza msomo yetu yaliopita tukae mkao wa kupata vitu vizuri baada ya somo la GONOREA na CHLAMYDIA na ...
26/06/2024

Habari baada ya kumaliza msomo yetu yaliopita tukae mkao wa kupata vitu vizuri baada ya somo la GONOREA na CHLAMYDIA na kuona athari zake sasa somo lijalo litakua ni BACTERIAL VAGINOSIS ila kabla yasomo ningependa kukufahamisheni kua dawa au tiba ya magonjwa tulio yafundisha zinapatika kwetu NKARA HERBAL MEDICINE kwa ushauri na tiba tuone au piga sim 0714430731 au 0766431731

CHLAMYDIA sehem ya 2 na ya mwisho Tunaendelea Tulipo ishia tuliona kua mwanamama anapopata tatizo la ABDUMINAL PAIN yaan...
22/06/2024

CHLAMYDIA sehem ya 2 na ya mwisho Tunaendelea Tulipo ishia tuliona kua mwanamama anapopata tatizo la ABDUMINAL PAIN yaani maumivu vu chini ya kitovu humpelekea pia kupata tena maaumivu makali wakati wa tendo la ndoa kibailojia wanaita DISPAREUNIA sasa mgongonjwa achelewapo kupata tiba bacteria hupanda juu zaidi mpaka kuingia katika mji wa mimba UTERUS na bacteria afikapo katika mji wa mimba mgonjwa hupata mabadiliko katha wakadhaa na moja wapo ni kuongezeka maumivu chini ya kitovu na zaidi mgonjwa asipopata tiba hali ya ugongwa hupanda mpaka katika mirija ya uzazi kibaiolojia wanaita FALLOPIAN TUBES na kusababisha ugonjwa wa SALPINGITIS na kuelekea kuharibu kokwa za mayai ya mama na ukiendelea kuwepo bila tiba hupelekea l kupata usaha ndani ya kokwa kibaiolojia wanaita OVARIAN ABSCESS na hali hii inapo zidi kwa kukosa matibabu sahihi kiasi ugonjwa utavyo komaa tumboni husababisha maambukizi kutoka katika via ya uzazi na kwenda katika PERITONIAL CAVITY (matumbo) na ugonjwa huu ndio huitwa kibaiolojia PERITONITIS Kwa ushauri na tiba tuone NKARA HERBAL MEDICINE tupo majohe Dar Es Salaam tz au piga 0714430731 0766431731 au 0627530731

CHLAMYDIA sehem ya 1 huu ugonjwa nao ni namba mbili kusababisha mama kutopata ujauzito k**a atazembea matibabu yake Tuna...
19/06/2024

CHLAMYDIA sehem ya 1 huu ugonjwa nao ni namba mbili kusababisha mama kutopata ujauzito k**a atazembea matibabu yake Tunaendelea Baada ya somo lililopita la GONOREA, Na magonjwa yote haya ni magonjwa yaitwayo magonjwa ya zinaa huu ugonjwa husababishwa na bacteria aitwae CHLAMYDIA TRACHOMATIS bacteria huyu aingiapo kwa mwanamke hua haoneshi dalili mpaka ajijengee ngome ya kutosha na kuanza kutoa athari zake yaani maradhi na moja ya athari zake au dalili zake ni kuleta maumivu makali chini ya kitovu k**a yale ya GONOREA ambayo kibaiolojia wanaita LOWER ABDUMINAL PAIN na vilevile hukuletea maumivu makali wakati wa kujamiiana kibaiolojia wanaita DISPAREUNIA na halihii hutokea hatak**a mwanamke kaandaliwa vya kutosho kiasigani lazima apate maumivu vilevile mwanamke mwenye ugonjwa huu hua anakua na maumivu makali mno pindi atakapo kuingia ktk hedhi na mgonjwa asipo pata matibabu haraka na sahihi hupelekea bacteria huyu hupanda mpaka.......itaendelea Kwa ushauri na Tiba tuone NKARA HERBAL MEDICINE TUKUHUDUMIE Tupo majohe chuo rada Dar Es Salaam tz au piga 0714430731 0766431731 au 0627530731

GONOREA (KISONONO) sehem ya 4 na ya mwisho tulipo ishia tuliona gonoria inavyo zidi kukomaa husababisha magonjwa mengi k...
15/06/2024

GONOREA (KISONONO) sehem ya 4 na ya mwisho tulipo ishia tuliona gonoria inavyo zidi kukomaa husababisha magonjwa mengi kwa akina mama tukasema bacteria aingiapo ktk nyumba ya uzazi UTERUS husababisha uvimbe ktk kuta za kizazi ambao ugonjwa huu huitwa ENDOMETRIASIS na ugonjwa huu unapo komaa huenda moja kwamoja ktk mirija kibailojia wanaita FALLOPIAN TUBES na kusbabisha ugonjwa uitwao SALPINGITIS na huu ugonjwa husababisha kuvimba na kuweka usaha katika kokwa zinazo zalisha mayai ya mama amboyo huitwa kibaiolojia OVARIAN ABSCESS na tatizo linapo zidi zaidi ndani ya mfumo wa uzazi wa mama taizo hutoka nje ya mfumo huo huku ukiwa umebakia ni mgumba na kuhamia nje ktk maeneo mengine ya tumbo na kubwa zaidi huleta tatizo gum saana ambalo kwa asilimia kubwa unaweza kupoteza maisha na ugonjwa wenyewe kibaiolojia unaitwa PERITONITIS yaani ugonjwa huu ni usaha kuingia katika kila sehem ya tumbo na mgonjwa ufikiapo hatua hii njia pekee ya kimatibabu ni upasuaji mkubwa ambao ni kulifumua tumbo lote na kusafishwa na hapo ndipo mtihani ulipo , MWISHO. Hayo ndio madhara ya starehe ya dkk 5 na ili kujitibia kwa njia ya tiba m'badala tuone NKARA HERBAL MEDICINE utapata tiba na ushauri tupo majohe chuo rada Dar Es Salaam au piga 0714430731 0766431731 au 0627530731 wote mna karibishwa

Address

Majohe/gongolamboto
Dar Es Salaam

Telephone

+255714430731

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Nkara Herbal Medicine posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram