Fadhaget Sanitarium Clinic

Fadhaget Sanitarium Clinic Fadhaget ni Clinic kubwa inayotoa tiba halisi ya Mimea na Matunda. Ni clinic inayotumia mimea na matunda kufanya utafiti na kutengeneza dawa bora za tiba.

Fadhaget Sanitarium Clinic wamekuwa wakifanya tafiti kubwa za kutumia mimea na matunda asilia bila matumizi ya madawa ya kisasa. Tunaamini kwa kutumia mimea na matunda ambayo ni njia asili tangu zama za kale zitasaidia kutibu magonjwa mengi sugu ambayo yamekuwa yakisumbua wengi bila msaada wowote. Hivyo tunasisitiza watu kuja na kupata tiba na ushauri. Huduma zetu ni za bei nafuu kabisa na pia tunatoa ushauri kwa watu wote. Tunapatikana katika mikoa zaidi ya 10 nchini na mpaka Congo, Kenya, Uganda na bado tunaendelea kuongeza matawi yetu. Tunawakaribisha wote kuja kupata huduma zetu bora kabisa.

Fadhaget Nutrition Science.Tumeandaa virutubisho tiba kwa njia za Kisasa kabisa kwa kuzingatia kanuni za Usalama wa Vyak...
15/04/2018

Fadhaget Nutrition Science.

Tumeandaa virutubisho tiba kwa njia za Kisasa kabisa kwa kuzingatia kanuni za Usalama wa Vyakula na virutubisho Duniani yaani HACCP(HAZARD ANALYSIS AND CRITICAL CONTROL POINT (HACCP) ...) Furaha yetu ni kuhakikisha watu tunapata tiba Salama isiyo na Madhara ya baadae.

Tumefanikiwa kuandaa Virutubisho kwa Magonjwa karibia yote hasa yale ya Virusi na magonjwa ya Muda mrefu. Ukimwi, Vidonda vya Tumbo, U.T.I Sugu, Maleria sugu, Upungufu wa nguvu za Kiume, Figo ,Ini , Kifua Kikuu ,Pumu (Arthima), Kisukari, Matatizo ya Uzazi pande zote yaani kutopatikana mtoto katika ndoa, Uvimbe wa Kizazi na kuziba kwa mirija ya Kizazi, Magonjwa ya Zinaa na Dalili nyingine nyingi za Hatali Kiafya. K**a vile Miguu kufa ganzi Miguu, kuwaka moto, Miguu kuvimba na unapo bonyeza linabaki Shimo k**a unavyo bonyeza Ndizi Mbivu, Kuwashwa Ukeni kwa Akina Mama na Kutokwa na Uchafu mzito Mweupe katika via vya uzazi au wa kahawia wenye harufu na unapopata mkojo unakuwa wa njano sana ikiwa ni paoja na matatizo ya (Frigidity) yaani kukosekana kwa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake. Virutubisho hivi vinauwezo mkubwa wa kupambana na yote hayo bila shaka yoyote.

Tupigie kwa Ushauri 0757931376
0712705158
Na mtaalamu wetu Dr.Fadhili Emily

Karibu Fadhaget Nutrition Science kwa Ushauri na Tiba.

Sabuni ya SHAX sasa ipo Madukani.Piga kwa Bei za jumla 0712705158One World Fadhaget Society.
01/03/2018

Sabuni ya SHAX sasa ipo Madukani.
Piga kwa Bei za jumla 0712705158
One World Fadhaget Society.

Maranyingi Watu tumekuwa tukiishi bilakujali Afya zetu, Pengine nikutokuwa na Elimu ya kutosha kuhusu Afya au kutokuona ...
24/02/2018

Maranyingi Watu tumekuwa tukiishi bilakujali Afya zetu, Pengine nikutokuwa na Elimu ya kutosha kuhusu Afya au kutokuona Umuhimu wa Afya zetu. Kwakutambua Hilo Fadhaget Nutrition Science tuta kusaidia Kupona Magonjwa Sugu na ya Mda mrefu na Dalili nyingine nyingi za hatali ki Afya kwakutumia Sayansi ya Virutubisho Tiba Asili vilivyo andaliwa Kisayansi kwa kutibu magonjwa Sugu. Piga kwa Ushauri 0712705158 na 0757931376 na 0787705158 Dr.Fadhili Emily (Fadhaget Nutrition Science)
Ikiwa unaumwa ugonjwa kati ya haya basi usikate tamaa haijalishi umekaa na ugonjwa huo kwa mda gani tupigie tutakusaidia.
1.Vidonda vya tumbo
2.Kisukari
3.Presha
4.Nguvu za Kiume
5.Magonjwa ya Zinaa
6.Ugumba Kutokushika ujauzito kwa akina mama
7.Kuwashwa Katika sehemu za siri kwa akina mama na kutokwa na uchafu mzito mweupe wenye harufu
8.U.T.I Sugu
9.Miguu kufa ganzi, Miguu kuwaka moto, Miguu kuvimba na unapobonyeza linabaki shimo k**a unavyobonyeza ndizi mbivu na Dalili nyingine nyingi za hatari Ki Afya.
Tupigie kwa Ushauri 0712705158 na 0757931376 na 0787705158
Tupo Mbezi Beach Africana Dar Es Salaam Tanzania.

Piga simu kwa Ushauri 0712 705158 au 0757931376Dr.Fadhili Emily
18/02/2018

Piga simu kwa Ushauri 0712 705158 au 0757931376
Dr.Fadhili Emily

Furaha ya Mtoto imegawanyika katika makundi makundi leo Furaha yao ni kupata nguo mpya.!!!!hatariii jioni ni baada ya wa...
16/02/2018

Furaha ya Mtoto imegawanyika katika makundi makundi leo Furaha yao ni kupata nguo mpya.!!!!hatariii jioni ni baada ya wazazi kurudi nyumbani na haijarishi umerudi na nini wao kukuona tu umerudi nyumbani ukiwa u mzima ni Faraja@dr.fadhiliemily

Tangazo Tangazo Fadhaget Nutrition Science kitengo maalmu cha Sayansi ya virutubisho tiba hapa Mbezi Beach Africana Dar ...
20/10/2017

Tangazo Tangazo Fadhaget Nutrition Science kitengo maalmu cha Sayansi ya virutubisho tiba hapa Mbezi Beach Africana Dar Es Salaam wanayo furaha kukutaarifu kuwa huduma zote za Tiba na Ushauri zimeanza rasimi, Tunatoa huduma kwa Magonjwa yote hasa yale yaliyo sugu.Uzazi ,Vidonda vya tumbo, Nguvu za Kiume, Mtatizo ya Figo ,Ini,Bandama, Moyo,Presha aina zote,Kisukari,Miguu kufa ganzi na Miguu kuwaka moto, Miguu kuvimba na Unapobonyeza linabaki Shimo k**a vile unapobonyeza ndizi Mbivu, Maumivu ya Mgongo, Maumivu ya kiuno na tumbo wakati wa Siku za k**e kwa akina mama, Siku za k**e kubadilika badilika, Kutoshika Mimba, U.T.I sugu, na Dalili nyingine nyingi za Hatali kiafya. Tupigie kwa Ushauri 0712705158 au 0757931376 na Mtaalamu wetu Dr.Fadhili Emily Tunafanya huduma Siku zote Jumapili Mpaka Ijumaa Kuanzia saa moja Asubuhi mpaka saa moja jioni. Jumamosi tunapumzika

Address

P. O. Box 42029
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Fadhaget Sanitarium Clinic posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Fadhaget Sanitarium Clinic:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category