LOSA G Health CARE

LOSA G  Health CARE TAMBUA AFYA YAKO IKOMBOE AFYA YAKO KWA FOOO SUPPLEMENT =TIBA LISHE

*NDUGU WANAINCHI MNAKARIBISHWA  KUJIANDIKIASHA NA KUJIUNGA  HUDUMA YA BIMA YA AFYA CHF FIKA TABATA ZAHANATI*  PIGA SIMU ...
09/07/2025

*NDUGU WANAINCHI MNAKARIBISHWA KUJIANDIKIASHA NA KUJIUNGA HUDUMA YA BIMA YA AFYA CHF FIKA TABATA ZAHANATI*
PIGA SIMU *+255769716435*

**VIWANGO VYA KUCHANGIA MWANACHAMA WA CHF KWA MWAKA*

*✍️TSH 40,000*
MTU MOJA BILA KUJALI UMRI KUANZIA MTOTO MPAKA MZEE

*✍️TSH 150,000*
FAMILIA YENYE IDADI YA WATU 6 yaani
Watu wazima wawili
Watoto wanne walio chini ya UMRI wa miaka 18

*✍️UTARATIBU WA MATIBABU*

HUDUMA zinapatikana kuanzia Ngazi ya Zahanati mpaka hospitali ya RUFAA ya mkoa Kwa njia ya RUFAA
Mikoa yote ya TANZANIA BARA

*HUDUMA UTAKAZOPATIWA MWANACHAMA WA BIMA YA AFYA YA ICHF*

✅Kufungua faili na kumuona daktari

✅ vipimo vya maabara
Dawa sindano kufunga vidonda POP

✅Matibabu ya maogonjwa yote ya kwenda na kurudi pamoja na kulazwa yaani ( OPD &IPD)

✅Afya ya uzazi

✅HUDUMA za wajawazito

✅ Afya akili

✅ x ray na Ultrasound

✅Macho bila miwani

✅Masikio bila ENT Mshine

✅Upasuaji mdogo na mkubwa

🇹🇿✍️Kwa maelezo zaidi
+255769716435
By
Chw
LOH SAMWEL GUNDA
AHSANTE 🙏🇹🇿✍️🙏🙏😀😀
wote mnakaribishwa

Address

Dar Es Salaam Tanzania Mlimani City
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00

Telephone

+255769716435

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when LOSA G Health CARE posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to LOSA G Health CARE:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram