AfyaCall

AfyaCall Tumia simu yako kupata ushauri wa Daktari, piga 0900011111

Je, unatamani kuitwa mama au baba? Umemtafuta mtoto bila mafanikio na hujajua sababu ni nini? Tucheki tukusanue...      ...
23/10/2025

Je, unatamani kuitwa mama au baba? Umemtafuta mtoto bila mafanikio na hujajua sababu ni nini? Tucheki tukusanue...

Jifunze kuhusu punyeto na afya kuhusu ngono.
22/10/2025

Jifunze kuhusu punyeto na afya kuhusu ngono.

Usisumbuliwe na matatizo ya misuli tena. Fahamu jinsi ya kuweka misuli yako sawa.
17/10/2025

Usisumbuliwe na matatizo ya misuli tena. Fahamu jinsi ya kuweka misuli yako sawa.

Je, unaogopa au kuona aibu kuzungumzia changamoto za afya zinazokusumbua? Usihofu, taarifa zako zitatunzwa kwa usiri na ...
03/10/2025

Je, unaogopa au kuona aibu kuzungumzia changamoto za afya zinazokusumbua? Usihofu, taarifa zako zitatunzwa kwa usiri na usalama.

02/10/2025

Tuma neno AFYA kwenda 15723 ku chat na Daktari wa kidigitali au piga 0900011111 kupata dondoo za Afya kwa njia ya SMS au Ujumbe wa Sauti (IVR) au kuzungumza moja kwa moja na Daktari.

Ni muhimu. Jali Afya yako. Tucheki tukusikilize.
01/10/2025

Ni muhimu. Jali Afya yako. Tucheki tukusikilize.

Je, unafanya mazoezi kwa usahihi? Zingatia mwongozo wa usalama kujilinda kila wakati.
29/09/2025

Je, unafanya mazoezi kwa usahihi? Zingatia mwongozo wa usalama kujilinda kila wakati.

24/09/2025
✅ 1. Lengo la Diet • Kupunguza uzito? Kuongeza misuli? Kuboresha afya?✅ 2. Kalori (Calories) • Hakikisha unakula kalori ...
23/09/2025

✅ 1. Lengo la Diet
• Kupunguza uzito? Kuongeza misuli? Kuboresha afya?
✅ 2. Kalori (Calories)
• Hakikisha unakula kalori kulingana na malengo yako.
✅ 3. Uwiano wa Virutubisho
• Wanga, protini, mafuta – vyote vinahitajika kwa kiasi sahihi.
✅ 4. Vyakula vya Asili
• Mboga, matunda, nafaka zisizokobolewa, protini safi, mafuta yenye afya.
✅ 5. Epuka Vyakula Hatarishi
• Sukari nyingi, vyakula vya kukaangwa, vyakula vya kusindikwa, pombe.
✅ 6. Ratiba ya Milo
• Kula milo midogo mara kadhaa kwa siku.
• Usiruke milo, hasa kiamsha kinywa.
✅ 7. Kunywa Maji Mengi
• Angalau glasi 6-8 kwa siku.
✅ 8. Fuatilia Maendeleo
• Tumia journal, app, au picha za maendeleo.
✅ 9. Fanya Mazoezi
• Cardio + mazoezi ya nguvu kwa matokeo bora.
✅ 10. Kuwa na Uvumilivu na Nidhamu
• Epuka diet za haraka ("fad diets").
• Kubali changamoto, endelea kusonga mbele.

Matumizi holela ya antibiotiki (yaani, kutumia bila ushauri wa daktari au kwa njia isiyo sahihi) husababisha madhara kad...
16/09/2025

Matumizi holela ya antibiotiki (yaani, kutumia bila ushauri wa daktari au kwa njia isiyo sahihi) husababisha madhara kadhaa ambayo yanaweza kuwa hatari kwa afya moja kwa moja na kwa jamii kwa ujumla. Hapa chini ni baadhi ya madhara makuu

1. Usugu wa bakteria dhidi ya antibiotiki (antibiotic resistance)
Hili ndilo tatizo kubwa zaidi. Bakteria wanaweza kuzoea dawa na kuendelea kuishi hata baada ya matibabu, hivyo kusababisha
magonjwa kuwa magumu kutibika, kuongezeka kwa vifo, gharama kubwa za matibabu na hata kuenea kwa maambukizi sugu katika jamii

2. Kushindwa kutibu magonjwa kwa ufanisi. Unapotumia antibiotiki bila uhitaji (k**a kwenye mafua ), Mara kwa mara husababisha kushindwa kufanya kazi ipasavyo ukiwa na uhitaji na hatimae huwezi kupona vizuri, na unaweza kudhani unahitaji dawa zaidi au dawa tofauti.

3. Athari kwa bakteria wazuri (beneficial bacteria). Antibayotiki zinaweza kuharibu bakteria wa kawaida wanaoishi mwilini (hasa tumboni), na kusababisha kuharisha au matatizo ya tumbo, maambukizi ya fangasi (yeast infections) na hata kupungua kinga ya mwili

4. Athari za mzio (allergic reactions). Baadhi ya watu hupata mzio wa antibiotiki, ambao unaweza kuwa; Mzio mdogo (k**a vipele, kuwashwa), mzio mkubwa na hatari (k**a anaphylaxis)

5. Maambukizi mapya au makali zaidi. Kwa sababu antibiotiki zisipotumiwa ipasavyo, zinaweza kuchochea ukuaji wa bakteria hatari zaidi (k**a Clostridium difficile), ambao huleta maambukizi hatari zaidi kuliko yale ya awali.

6. Kuchanganya au kutatiza matibabu. Watu wanapojitibu wenyewe, mara nyingi hawajui dawa sahihi au kipimo sahihi cha kutumia. Hii huweza kusababisha; Kuingiliana kwa dawa (drug interactions) na matibabu yasiyo kamili au yasiyo sahihi

Ni muhimu kutumia antibiotiki kwa maelekezo ya daktari na KUKAMILISHA DOZI k**a ilivyoelekezwa. Usitumie dawa ya mtu mwingine, na usihifadhi antibiotiki kwa ajili ya matumizi ya baadaye bila ushauri wa kitaalamu.

15/09/2025

14/09/2025

Address

Dar Es Salam
33073

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AfyaCall posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to AfyaCall:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category