09/11/2025
“Tutafanya kambi maalum ya matibabu kwa magonjwa yasioambukiza katika viwanja vya Mnazi mmoja tarehe 10 mpaka 15 Novemba 2025 kuanzia saa 2 asubuhi mpaka saa 10 jioni, huduma ni bure na wenye bima zitatumika”
Dkt. Deodata Matiko
Daktari bingwa wa magonjwa ya ndani - MOI