AFYA YA UZAZI

AFYA YA UZAZI Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from AFYA YA UZAZI, Medical and health, Dodoma.

NASAIDIA WANAWAKE NA WANAUME WENYE YA CHANGAMOTO YA UZAZI

✅Tunatatua kuanzia chanzo cha tatizo kwa kutumia bidhaa zenye ubora wa hali ya juu na kumaliza tatizo kabisa

✅Piga simu kwa ushauri na matibabu ya changamoto za uzazi
0652893499

Faida za mtoto kunyonya maziwa ya mama ni nyingi sana—kiafya, kiakili, na hata kihisia. Hapa kuna faida kuu:🍼 1. Lishe k...
07/04/2026

Faida za mtoto kunyonya maziwa ya mama ni nyingi sana—kiafya, kiakili, na hata kihisia. Hapa kuna faida kuu:
🍼 1. Lishe kamili kwa mtoto
Maziwa ya mama yana virutubisho vyote muhimu (protini, mafuta, vitamini na madini) vinavyohitajika kwa ukuaji wa mtoto katika miezi ya mwanzo ya maisha.

🛡️ 2. Huimarisha kinga ya mwili
Maziwa ya mama yana kingamwili zinazomsaidia mtoto kupambana na magonjwa k**a:
Kuharisha ,Mafua na kikohozi ,Maambukizi ya masikio

🧠 3. Huchangia ukuaji wa ubongo
Watoto wanaonyonya maziwa ya mama mara nyingi huwa na maendeleo mazuri ya akili na uwezo wa kujifunza.

❤️ 4. Huongeza ukaribu wa mama na mtoto
Kunyonyesha hujenga uhusiano wa karibu (bonding) kati ya mama na mtoto, jambo muhimu kwa maendeleo ya kihisia.

⚖️ 5. Hupunguza hatari ya magonjwa ya baadaye
Watoto wanaonyonya hupata kinga dhidi ya:
Unene kupita kiasi
Kisukari
Shinikizo la damu

😌 6. Ni rahisi na salama
Hakihitaji maandalizi
Hakina gharama
Kiko safi muda wote (hakihitaji kuchemshwa)

🌙 7. Husaidia mtoto kulala vizuri
Maziwa ya mama yana kemikali asilia zinazosaidia mtoto kuwa mtulivu na kulala vizuri.

💡 Muhimu: Shirika la World Health Organization (WHO) linashauri mtoto anyonyeshwe maziwa ya mama pekee kwa miezi 6 ya mwanzo bila kumpa chakula kingine, kisha kuendelea kunyonyesha pamoja na vyakula vya nyongeza hadi angalau miaka 2.

03/04/2026

🚨 JE, UNASUMBULIWA NA TEZI DUME? USIPUUZE DALILI HIZI!

❌ Unakojoa mara kwa mara hasa usiku?
❌ Mkojo unatoka kwa shida au kwa kukatika?
❌ Unahisi maumivu wakati wa kukojoa au kwenye nyonga?
❌ Nguvu za kiume zimepungua ghafla?

👉 Hizi ni dalili za tatizo la TEZI DUME (Prostate) – na usipolishughulikia mapema linaweza kuleta madhara makubwa!

🔥 HABARI NJEMA!
Sasa kuna suluhisho la asili linalosaidia:
✅ Kupunguza uvimbe wa tezi dume
✅ Kurahisisha mtiririko wa mkojo
✅ Kupunguza maumivu na muwasho
✅ Kuongeza nguvu za kiume kwa asili

💊 Tiba hii inatengenezwa kwa virutubisho vya asili vilivyochaguliwa kusaidia afya ya mwanaume bila madhara makubwa.

💯 Wanaume wengi tayari wameshuhudia mabadiliko ndani ya muda mfupi!

📞 WASILIANA NASI SASA:
📱 0652893499

📦 Tunatoa huduma ya usafirishaji popote ulipo!

⚠️ Usingoje hali iwe mbaya zaidi. Anza kujali afya yako leo!

Hivi ni vyakula vinavyomfaa mwanamke aliyetoka kujifungua kwa ujenzi wa afya bora .
03/04/2026

Hivi ni vyakula vinavyomfaa mwanamke aliyetoka kujifungua kwa ujenzi wa afya bora .

Uvimbe maji sio kitu kizuri kwenye mfumo wa uzazi ni hatari kwa afya ya uzazi kwa mwanamke yeyote .Kwa ushauri na suluhi...
01/04/2026

Uvimbe maji sio kitu kizuri kwenye mfumo wa uzazi ni hatari kwa afya ya uzazi kwa mwanamke yeyote .

Kwa ushauri na suluhisho la uvimbe tuwasiliane
0652893499

01/04/2026

Uvimbe maji husababishwa wanawake wengi kushindwa kushika mimba kwani huathiri afya ya mfumo wa uzazi . k**a unapitia tatizo la uvimbe maji tuwasiliane sasa nikupatie suluhisho bora la bidhaa zenye viambata asili na visivyo na madhara kwa mtumiaji

Call / Whatsapp : 0652893499

゚viralシ

01/04/2026

Harufu mbaya ukeni k**a shombo la samaki huwa ni kero kwa mwanaume na huondoa hisia na hamu wakati wa tendo . Hakikisha unaondoa hiyo hali kufanya mwanaume afurahie tendo na wewe.

Call/ Whatsapp 0652893499
kwa ushauri na suluhisho

゚viralシ

29/03/2026

Hizi ni changamoto zinazowatesa wanawake wengi sana na hata Kuleta shida katika kubeba mimba . k**a unapitia hizi changamoto tajwa tuwasiliane ni nikupatie suluhisho .

28/03/2026

Ukiambiwa una PID hii ndio maana yake chukua hatua haraka sana kwa usalama wa afya ya uzazi

k**a unahitaji matibabu ya PID njoo DM whatsApp andika ne " PID " ili nikusaidie kumaliza changamoto yako sasa.

WhatsApp 0652893499

I've just reached 35K followers! Thank you for continuing support. I could never have made it without each one of you. 🙏...
28/03/2026

I've just reached 35K followers! Thank you for continuing support. I could never have made it without each one of you. 🙏🤗🎉

28/03/2026

K**a unahitaji mtoto wa k**e ama wa kiume tumia njia hii inaweza kukusaidia kufanikisha hilo.

゚viralシ

28/03/2026

Hii ndio hatari ya kutumia mate k**a kilainishi wakati wa tendo la ndoa

゚viralシ

Hizi hapa sababu za kukosa ute ukeni . kukosa ute kinasababisha michubuko ama maambukizi ya magonjwa mbali mbali ukeni ....
28/03/2026

Hizi hapa sababu za kukosa ute ukeni . kukosa ute kinasababisha michubuko ama maambukizi ya magonjwa mbali mbali ukeni .

゚viralシ

Address

Dodoma

Opening Hours

Monday 07:00 - 22:00
Tuesday 07:00 - 22:00
Wednesday 07:00 - 22:00
Thursday 07:00 - 22:00
Friday 07:00 - 22:00
Saturday 07:00 - 22:00
Sunday 07:00 - 22:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA YA UZAZI posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to AFYA YA UZAZI:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram