AFYA YA UZAZI

AFYA YA UZAZI Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from AFYA YA UZAZI, Medical and health, Dodoma.

NASAIDIA WANAWAKE NA WANAUME WENYE YA CHANGAMOTO YA UZAZI

✅Tunatatua kuanzia chanzo cha tatizo kwa kutumia bidhaa zenye ubora wa hali ya juu na kumaliza tatizo kabisa

✅Piga simu kwa ushauri na matibabu ya changamoto za uzazi
0652893499

02/02/2026

Tuwaombee mama zetu Dua kila wakati na kila siku mpaka mwisho wa uhai wetu 🤲

Tatizo hili linatibika na kudhibitika, hasa ukibaini chanzo chake. Msaada wa kitabibu, ushauri nasaha, mazoezi maalum, n...
02/02/2026

Tatizo hili linatibika na kudhibitika, hasa ukibaini chanzo chake. Msaada wa kitabibu, ushauri nasaha, mazoezi maalum, na kubadili mtindo wa maisha husaidia sana.

Call 0652893499

JE Unayafahamu madhara ya uvimbe maji kwenye mji wa mayai soma hiyo post K**a uko na uvimbe maji unakusumbua tuwasiliane...
02/02/2026

JE Unayafahamu madhara ya uvimbe maji kwenye mji wa mayai soma hiyo post

K**a uko na uvimbe maji unakusumbua tuwasiliane nikupatie matibabu bora kabisa ya virutubisho visivyo na kemikali na vitamaliza vimbe kabisa

Call 0652893499

01/02/2026

Tuwasiliane k**a unahitaji kabla mwaka huu haujaisha uwe mama

01/02/2026

Uwezekano wa KUZAA mapacha bila historia ya familia Upo kupitia hizo sababu (5) nilizozitaja . sikiliza kwa makini utaelewa ni kwa namna gani

01/02/2026

Hii ni chati ya kuifuata kwa wewe mwanamke mwenye mzunguko wa siku 28 ili kupanga uzazi vizuri na kuacha kutumia uzazi wa mpango

#

01/02/2026

Ni kosa kubwa sana kumuuliza mwanamke wako nikikugusa wapi unasikia raha , pambana ugundue mwenyewe

Nini kinapelekea mwanamke kupata bawasiri wakati wa ujauzito au baada ya kujifungua?Bawasiri (hemorrhoids) kwa mwanamke ...
31/01/2026

Nini kinapelekea mwanamke kupata bawasiri wakati wa ujauzito au baada ya kujifungua?

Bawasiri (hemorrhoids) kwa mwanamke wakati wa ujauzito au baada ya kujifungua hutokea kutokana na sababu mbalimbali zifuatazo:

✍️Wakati wa ujauzito

✅Shinikizo la mfuko wa uzazi (uterus)
Mtoto anapokua, mfuko wa uzazi hukandamiza mishipa ya damu ya eneo la nyonga na njia ya haja kubwa → damu hukaa kwenye mishipa → bawasiri.
✅Mabadiliko ya homoni (hasa progesterone)
Homoni hii hulegeza kuta za mishipa ya damu → mishipa ya damu ya njia ya haja kubwa huvimba kirahisi.
✅Kukosa choo (constipation)
Ujauzito husababisha choo kuwa kigumu; kujikamua sana wakati wa kujisaidia huongeza bawasiri kwenye njia ya haja kubwa.
✅Kuongezeka kwa damu mwilini
Kiasi cha damu kinapoongezeka, mishipa ya damu ya njia ya haja kubwa hupanuka zaidi.

✍️Baada ya kujifungua

✅Kujikamua sana wakati wa kujifungua.
Kusukuma kwa nguvu wakati wa kujifungua huongeza presha kubwa kwenye mishipa ya damu ya njia ya haja kubwa.
✅Maumivu au kushonwa baada ya kujifungua
Mwanamke anaweza kuzuia choo kwa kuogopa maumivu → choo kigumu → bawasiri kwenye njia ya haja kubwa.
✅Kukaa au kulala muda mrefu
Kutokutembea mara kwa mara hupunguza mzunguko wa damu kuelekea njia ya haja kubwa.
✅Upungufu wa maji na vyakula vyenye nyuzinyuzi
Kunywa maji kidogo na kula chakula kisicho na nyuzinyuzi huchangia kukosa choo na bawasiri.

✍️Dalili zinazoweza kuonekana

✅Maumivu au kuwashwa sehemu ya njia ya haja kubwa
✅Uvimbe au vijinyama karibu na njia ya haja kubwa
✅Damu kidogo wakati wa kujisaidia
✅Hisia ya kutokumaliza choo

✍️Namna ya kujikinga au kupunguza bawasiri

✅Kunywa maji ya kutosha 🚰
✅Kula vyakula vyenye nyuzinyuzi (fiber) k**a mboga na matunda
✅Epuka kukaza choo
✅Tembea kidogo kila siku (k**a hali inaruhusu)
✅Jisaidie mara tu unapohisi haja

MADHARA YA KUJISAFISHA UKE KWA VIDOLE
30/01/2026

MADHARA YA KUJISAFISHA UKE KWA VIDOLE

🤍 MIMBA IKIHARIBIKA, ZINGATIA MAMBO HAYA 🤍✅Muone mtaalamu wa afya haraka👉 Hakikisha mfuko wa uzazi uko salama na hakuna ...
30/01/2026

🤍 MIMBA IKIHARIBIKA, ZINGATIA MAMBO HAYA 🤍

✅Muone mtaalamu wa afya haraka
👉 Hakikisha mfuko wa uzazi uko salama na hakuna mabaki ya mimba.

✅Epuka kuingiza chochote ukeni
🚫 Usitumie dawa, miti shamba, au kujisafisha ndani ya uke bila ushauri wa daktari.

✅Pumzika vya kutosha
😴 Mwili unahitaji muda wa kupona kimwili na kihisia.

✅Zingatia usafi wa sehemu za siri
🧼 Safisha nje tu kwa maji safi, epuka sabuni kali.

✅Fuatilia dalili hatarishi
⚠️ Kutokwa damu nyingi, harufu mbaya, homa, au maumivu makali — wahi hospitali.

✅Pata ushauri wa kitaalamu kabla ya kushika mimba tena
👩‍⚕️ Kujua chanzo husaidia kuzuia tatizo kujirudia.

✅Jali afya ya akili na hisia
🤍 Usijilaumu, ongea na mtu unayemwamini au mtaalamu.

30/01/2026

Hizi ni bidhaa maalumu za kumaliza changamoto za uke na kuimarisha misuli ya uko . zinaondoa
1. Miwasho ukeni
2. Fangasi za mara kwa mara
3. Uchafu k**a Maziwa mtindi
4. Harufu mbaya ukeni
5. kubana uke

piga simu sasa ili uweze kuzipata na kumaliza hizo changamoto sasa

Call 0652893499

30/01/2026

Ni wakati wako na wewe kuitwa mama sasa

Address

Dodoma

Opening Hours

Monday 07:00 - 22:00
Tuesday 07:00 - 22:00
Wednesday 07:00 - 22:00
Thursday 07:00 - 22:00
Friday 07:00 - 22:00
Saturday 07:00 - 22:00
Sunday 07:00 - 22:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA YA UZAZI posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to AFYA YA UZAZI:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram