Claud Healthy Care

  • Home
  • Claud Healthy Care

Claud Healthy Care Tunawasaidia Watu Wenye Changamoto Mbalimbali Za Kiafya Kama Kisukali, Uzito Mkubwa, Pressure, Upungufu Wa Nguvu Za Kiume, Tezi Dume nk.

: Baadhi ya wanaume huwa na hamu na hisia Kali za kufanya mapenzi lakini pindi wanapokutana na mwanamke ni sekunde chach...
19/10/2022

: Baadhi ya wanaume huwa na hamu na hisia Kali za kufanya mapenzi lakini pindi wanapokutana na mwanamke ni sekunde chache hamu na hamasi ya kufanya mapenzi zinaisha kabisa,

hamu ya kuendelea inakata kabisa.Hali hii hutokea baada ya kufika kileleni mara moja tu.

Hali hiyo ukikukuta jaribu kufanya vitu vifuatavyo👇👇👇

(1)Badilisha muongozo wako wa lishe .Wengi tunakula vyakula vya wanga na sukari.Yan ni utamaduni umejengeka tayari tunauishi .Unajikuta mwaka mzima unazunguka kwenye kundi moja la vyakula ambavyo ni vyakula vya wanga na sukari.

Badilisha vyakula vyako kwenda kwenye vyakula vya protini na matunda.

(2)Epuka kutazama video za ngono. Saivi teknolojia imekuwa sana kila mtu anamiliki smart phone (simu janja).Hivyo kuangalia na kupata habari ni rahisi sana.Hizi video na picha za ngono ni rahisi kuzitazama kwa gharama kidogo sana hii inapelekea wengi kuathirika na utazamaji wa video hizo ,wanawake kwa waume.Hili janga kubwa .Epuka kutazama hizi video nguvu zako zitarudi.

(3)Acha kujichua.punyeto. Wengi wamepiga punyeto pasipo kujua madhara yake ,pale wanapopata hamu za mapenzi huji chua au kujichezea sehemu zao za siri wenyewe mpaka hamu zinakata.Sasa mtu anakuwa kwa Tabia hiyo toka abalehe mpaka anaolewa au anaoa anajichua .Hii hupelekea kukosa hamu na nguvu za kiume zinapungua.

Wengi wanahangaika hospitalini wanapimwa lakini vipimo vinaonyesha kuwa uko sawa ,yani huna tatizo lolote .Lakini ukienda kushiliki tendo la ndoa tatizo liko pale pale .

Ulipiga punyeto ulijichua ndio chanzo cha tatizo lako .Madaktari wengi wanashindwa kubaini chanzo hiki ,mara nyingi wao watakupima sukari,presha,nk.

Hivyo kaa chini utafakari historia ya maisha yako ya nyuma ,itakupa majibu ya tatizo lako.

Msaada wa tiba 0768261957

Changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume sio tu , kuwa na dalili za kushindwa kushiliki tendo la ndoa vizuri na kuwahi k...
14/09/2022

Changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume sio tu , kuwa na dalili za kushindwa kushiliki tendo la ndoa vizuri na kuwahi kufika kilele ata ukiwa unachelewa kufika kilele tofauti na muda wa kawaida pia ni changamoto , wasiliana nasi kupitia 0768261957

14/09/2022

Watu wengi Sana wamekuwa wakifanya mazoezi ili kupungua uzito na kitambi, lakini hawapata matokeo wanayoyataka!!

Yes, kitu kikubwa ambacho watu wengi hawakifahamu ni kwamba, unapofanya mazoezi peke yake, unaongeza joto la mwili, unaongeza metabolism rate, na hivyo unachoma mafuta mepesi katika mwili.

Lakini, kwa Nini ukienda kupima baada ya siku mbili ule uzito unakuwa umerudi K**a kawaida?
Jibu: mazoezi pekee hayawezi kukusaidia kupungua uzito au kitambi au kuondosha Nyama zembe, kitu kikubwa ambacho watu wengi hawakifanyi ni KUSAFISHA MWILI NA KUONDOSHA SUMU NA TAKAMWILI ZOTE ambazo zilikuwa zimegandamana kwenye utumbo mpana.

Iko njia salama ambayo Tumekuandalia itakayokusaidia kuondosha na kupitia programs zetu za VIRUTUBISHO Salama, yaani (C9&F15).

Tuko tayari kukusaidia!!
Wasiliana nami moja kwa moja.
Call/Watsapp +255768261957

Hatubaatishi , tatua changamoto yako ya upungufu wa nguvu za kiume , kwa maelezo zaidi whatssap me 0768261957
28/08/2022

Hatubaatishi , tatua changamoto yako ya upungufu wa nguvu za kiume , kwa maelezo zaidi whatssap me 0768261957

Kwa ushauri zaidi na namna ya kupata programu whatssap me / piga 0768261957
10/08/2022

Kwa ushauri zaidi na namna ya kupata programu whatssap me / piga 0768261957

Ikiwa umepima kipimo Cha moyo na umeambiwa una Cholesterol nyingi kwenye damu, una presha ya kupanda, Moyo wako umejaa m...
05/08/2022

Ikiwa umepima kipimo Cha moyo na umeambiwa una Cholesterol nyingi kwenye damu, una presha ya kupanda, Moyo wako umejaa mafuta na kutanuka, Karibu upate ushauri na Tibalishe ambazo zitamaliza tatizo lako kabisa. Tupigie simu au Whatsapp me 0768261957

JINSI YA KUWA HODARI MZURI KATIKA TENDO LA NDOA MWANAUME 😋Wanaume wengi wanapojigundua kuwa hawawezi kushiriki tendo la ...
04/08/2022

JINSI YA KUWA HODARI MZURI KATIKA TENDO LA NDOA MWANAUME 😋

Wanaume wengi wanapojigundua kuwa hawawezi kushiriki tendo la ndoa kikamilifu huwa wanahangaika sana kutumia madawa bila kujua hasa chanzo cha tatizo na dawa anayotumia kazi yake ni ipi haswa!

Sababu hasa zinazofanya uanze kutumia dawa ni kwasababu, unakuta unawahi sana kufika kileleni, au mashine kusimama legelege nk

Kwahiyo unapotumia dawa huwezi kupata matokeo ya kudumu ndo pale unakuta unafanya tendo bila kufika kileleni hadi mwenzio anachoka nawewe upo Hoi, sasa hayo ni mapenzi au kukomoana!? 😂

Sasa njia sahihi ya kuweza kushiriki tendo kikamilifu na wote mkafurahia, nimekuandalia darasa fupi ambalo ntakuelezea utumie vitu gani ili uweze kuwa mwanaume hodari 💪

Wahi sasahivi kwa kunitumia ujumbe neno KAKA RIJALI what'sapp namba 0768261957

JINSI YA KUWA HODARI MZURI KATIKA TENDO LA NDOA MWANAUME 😋Wanaume wengi wanapojigundua kuwa hawawezi kushiriki tendo la ...
04/08/2022

JINSI YA KUWA HODARI MZURI KATIKA TENDO LA NDOA MWANAUME 😋

Wanaume wengi wanapojigundua kuwa hawawezi kushiriki tendo la ndoa kikamilifu huwa wanahangaika sana kutumia madawa bila kujua hasa chanzo cha tatizo na dawa anayotumia kazi yake ni ipi haswa!

Sababu hasa zinazofanya uanze kutumia dawa ni kwasababu, unakuta unawahi sana kufika kileleni, au mashine kusimama legelege nk

Kwahiyo unapotumia dawa huwezi kupata matokeo ya kudumu ndo pale unakuta unafanya tendo bila kufika kileleni hadi mwenzio anachoka nawewe upo Hoi, sasa hayo ni mapenzi au kukomoana!? 😂

Sasa njia sahihi ya kuweza kushiriki tendo kikamilifu na wote mkafurahia, nimekuandalia darasa fupi ambalo ntakuelezea utumie vitu gani ili uweze kuwa mwanaume hodari 💪

Wahi sasahivi kwa kunitumia ujumbe neno KAKA RIJALI what'sapp namba 0768261957 au piga simu moja 0628682118 /0768261957

MKOMBOZI☝️☝️☝️Je unasumbuliwa na matatizo ya nguvu za kiume???Basi suluhisho ni moja tu...Tumia product zetu za MULTI MA...
04/08/2022

MKOMBOZI☝️☝️☝️
Je unasumbuliwa na matatizo ya nguvu za kiume???
Basi suluhisho ni moja tu...
Tumia product zetu za MULTI MACA na ARG+ ili kurejesha nguvu za kiume k**a awali ndani ya mwezi mmoja tu
USITUMIE DAWA KUBOOST BALI TUMIA VIRUTUBISHO ASILIA VINAVYOTIBU TATIZO MOJA KWA MOJA

piga/whatssap me +255768261957

🛑Kati ya madhara yanayosababishwa na UNENE na UZITO mkubwa Ni *MAGONJWA YA MOYO*✍️Chembe ya Moyo✍️Moyo kujaa mafuta✍️Moy...
03/08/2022

🛑Kati ya madhara yanayosababishwa na UNENE na UZITO mkubwa Ni *MAGONJWA YA MOYO*

✍️Chembe ya Moyo
✍️Moyo kujaa mafuta
✍️Moyo Kutanuka
✍️Mishipa ya Moyo Kuziba
‼️

Kwa Mfano tukaangalia tu swala la *Mishipa wa Moyo Kuziba.. whatssap me +255768261957

Address

0768261957

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Claud Healthy Care posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram