07/08/2021
FAHAMU UGONJWA WA P.I.D
(PELVIC INFLAMMATORY DIDEASE)
Huu ni ugonjwa unaoshambulia sana njia ya uzazi, mlango wa mfuko wa uzazi(cervicitis), mfuko wa uzazi(endometritis), mirija za uzazi(salpingitis), mahali mayai yanako zalishwa(oophoritis).
Maambukizi haya hasa husababishwa na Bacteria (Gonorrheal and clamydial organism), na wakati mwingine huweza kusababishwa na fangasi, virusi na wadudu wengine.
Ugonjwa huu unapokua umefika mbali zaidi husababisha matatizo ya uzazi k**a vile kutokupata ujauzito, vidonda katika mirija ya uzazi, maumivu makali kiunoni yenye kujirudia, mimba kutunga nje ya kizazi. Pia k**a umefika mbali zaidi husababishwa mtu kuondolewa sehemu ya njia ya uzazi au kizazi chote (Hesterectomy)
DALILI ZAKE.
Uonapo dalili yoyote au zote kati ya hizi usipuuzie.
1)Maumivu maeneo ya kiunoni
2)Maumivu wakati wa tendo la ndoa
3)Kutokwa na uchafu/majimaji sehemu za siri ambayo huwa mweupe k**a maziwa mgando(usio na harufu) au wanjano,kijani au rangi ya brown wenye harufu.
4)Homa
5)Kukosa hamu ya kula
6)Kichefuchefu au kutapika.
7)wakati mwingine mimba kuharibika
8)Muwasho sehem za siri
9)Wakati mwingine maumivu wakati wa haja ndogo.
MATIBABU
Kwa maelezo zaidi na matibabu usisite kunitafuta piga/sms/whatsapp kwa namba...
0742251673
Weka appointment na daktari kwa sh elf kumi tu (10000). Piga kwa namba iliotajwa kupata utaratibu wa malipo kabla ya huduma.
LIKE kisha SHARE na rafiki zako wapate elimu hii