05/03/2024
Moja ya madhara makubwa ya PID ni
UGUMBA (infertility);
Pelvic Inflammatory Disease (P.I.D)~
Ni Maambukizi kwenye via vya Uzazi wa
Mwanamke,
PID sio nzuri kwa Afya ya Uzazi, Kati ya wanawake 8 wenye PID sugu mmoja anakuwa Mgumba.
MADHARA MENGINE 7 YA P.I.D katika mfumo wa Uzazi ni:-
✔️ Mimba kutugwa nje ya kizazi (Ectopic pregnancy).
~ Katika tatizo hili Tatizo la mimba kutunga nje ya kizazi Yaani (ectopic pregnancy),
Mbegu ya kiume na yai huungana kutengeneza kiinitete kwenye mirija ya uzazi (follopian tube),
Badala ya kupandikizwa kwenye mji wa mimba (Uterus)
👌 Kwa mantic hiyo k**a mimba ikijipandikiza kwenye mirija ya uzazi (follopian tube),
Inakuwa na hatari ya kupasuka kadri mimba inavyokua Na kupelekea kupoteza damu nyingi sana,
Na Kuwa Hatari kwa uhai wa mama.
✔️ Mimba kutoka (miscarriage ).
✔️ Mirija ya uzazi kuziba.
✔️ Kizazi kujaa maji maji.
✔️ Husababisha uvimbe kwenye mayai (ovarian cyst).
✔️ Hormonal imbalance.
✔️ Saratani ya shingo ya kizazi unapo kaa na infection kwa muda mrefu.
-
UTAJUAJE Una PID?
Hizi Hapa Dalili Kuu 10 Hatarishi za P.I.D:-
1️⃣ Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, au maziwa.
2️⃣ Kuwashwa sehemu za siri.
3️⃣ Uke kutoa harufu mbaya.
4️⃣ Maumivu ya tumbo chini ya kitovu.
5️⃣ Uke kuwa na ulaini sana.
6️⃣ Maumivu wakati wa tendo la ndoa.
7️⃣ Kuvurugika Kwa hedhi.
8️⃣ Kutokwa majimaji ukeni kupita kiasi.
9️⃣ Maumivu wakati wa kukojoa na wakati wa choo kubwa.
🔟 Homa, uchovu,kizunguzungu na kukosa hamu ya kula.
MATIBABU-
Kwa Bahati nzuri msaada wa haraka kwa changamoto ya P.I.D upo umbali wa simu moja tu piga sasa. 0713758470