LIVE YOUR DREAM

LIVE YOUR DREAM Faraja medics is a retail medical drug outlet located at four ways along Dodoma -singida main road You’ll be your own boss, control your own hours.

Forever Living finally makes it possible to own your own business. Enjoy residual income. And you'll be on your way to financial freedom. Forever Living’s exclusive health and beauty products, and proven business opportunity, are exactly what millions of people are searching for—greater wellness and financial security. You make money simply by sharing this dream with others. Everything about the Forever Living business opportunity helps you build a solid, stable business. From our exclusive consumable products to regular opportunity meetings, you’re primed for success. Bring your passion to our simple, proven plan, and you’ll find the wealth and freedom you’ve always wanted.

09/03/2020

Natafuta binti wa kuuza duka la dawa muhimu za binadamu
Duka Lipo nkuhungu Dodoma barabara kuu ya Dodoma- singida
Duka linafunguliwa saa 7:00 asubuhi n.a. kufunga saa 10:00 mpaka saa 10:30 usiku kulingana na uwepo wa wateja mshahara ni maelewano lakin si chini ya 100,000 kwa mwezi na utaongezeka kulingana na utendaji wa kazi
Awe na cheti cha ADO au one year course ya PHARMACY
Aliyetayari anitafute 0715720276.

30/06/2018

Natafuta binti/kaka wa kuaza duka la dawa muhimu za binadamu
Duka Lipo nkuhungu Dodoma barabara kuu ya Dodoma- singida
Duka linafunguliwa saa 7:30 asubuhi n.a. kufunga saa 10:00 mpaka saa 10:30 usiku kulingana na uwepo wa wateja mshahara ni maelewano lakin si chini ya 100,000 kwa mwezi na utaongezeka kulingana na utendaji wa kazi
Awe na cheti cha ADO au one year course ya PHARMACY
Aliyetayari anitafute 0715720276.

Happy New Year to all of our FBO's! We wish you health, wealth and success. Make 2016 YOUR year to achieve your goals an...
02/01/2016

Happy New Year to all of our FBO's! We wish you health, wealth and success. Make 2016 YOUR year to achieve your goals and dreams!

HAVE YOU HAD YOURS TODAY?
14/10/2015

HAVE YOU HAD YOURS TODAY?

18/08/2015

LEO TUTAONGELEA UGONJWA WA BAWASIRI KWA LUGHA YA KIINGEREZA UGONJWA HUU UNAITWA HEMORRHOIDS

Bawasiri ni mojawapo ya tatizo ambalo mara nyingi linapotokea humfanya mtu kuwa na aibu kuelezea au kwenda hospitali ili kupata tiba sahihi. Bawasiri au hemorrhoids husababishwa na kuvimba kwa mishipa ya damu aina ya vena katika eneo la mfereji wa haja kubwa.

AINA ZA BAWASIRI

NJE
Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa, na huweza kuambatana na maumivu, pamoja na kuwashwa kwa ngozi katika eneo hilo. Mara nyingine mishipa hiyo ya damu (vena) hupasuka na damu huganda na kusababisha aina kitaalamu inaitwa Thrombosed hemorrhoid.
NDANI
Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa. Na huwa haimbatani na maumivu na wengi huwa hawatambui kuwa wanatatizo hili.
Aina hii imegawanyika katika mainisho yafuatayo:

Daraja I- Bawasiri kutotoka katika mahali pake pa kawaida
Daraja II- Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe baada ya tukio hilo.
Daraja III- Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kuirudisha mwenyewe baada ya tukio hilo.
Daraja IV- Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na vigumu mtu kuirudisha baada ya tukio hilo.
Je bawasiri husababishwa na nini?

BAWASIRI HUSABABISHWA NA NINI?
Bawasiri husababishwa na;

Tatizo sugu la kuharisha
Kupata kinyesi kigumu
Ujauzito
Uzito kupita kiasi (obesity)
Kupenda kufanya ngono ya njia ya haja kubwa (a**l s*x)
Kwa ujumla mambo yanayo ongeza shiniko katika tumbo.
Umri mkubwa

DALILI ZA BAWASIRI

Damu kunuka kinyesi wakati wa kujisaidia (hematochezia)
Maumivu au usumbufu
Kinyesi kuvuja
Kijiuvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
Kujitokeza kwa kinyama (bawasiri) wakati wa haja kubwa

MATATIZO YANAYOWEZA KUTOKEA KUTOKANA NA BAWASIRI

Upungufu wa damu mwilini (Anemia)
Strangulated hemorrhoids

VIPIMO NA UCHUNGUZI

Digital re**al examination
Kipimo cha njia ya haja kubwa (Proctoscope)
Kipimo cha utumbo mpana (Sigmoidoscope)

MATIBABU
Matibabu hutegemea na hali na aina ya Bawasiri

Rubber band ligation - Hapa mishipa hufungwa na rubber band ili kuzuia damu kwenda kwenye eneo liloathirika, na hutumika kwenye aina ya ndani ya bawasiri.

Sclerotherapy- Hapa kemikali huwekwa kwa njia ya sindano

Coagulation (infrared, laser and bipolar)

Upasuaji;

Hemorrhoidectomy
Stapled hemorrhoidopexy

NJIA ZA KUZUIA BAWASIRI

High fibre diet, kula mboga za majani, matunda, na nafaka kwa wingi.
Kunywa maji mengi kwa siku (glasi sita had nane kwa siku)
Punguza kukaa kwa muda mrefu sana hasa ukiwa chooni, kwa sababu unaweza kuongeza shinikizo katika mfereji wa haja kubwa.

Dawa ya kuweza kukutibu maradhi yako ya Bawasiri nina

Bawasiri ni mojawapo ya tatizo ambalo mara nyingi linapotokea humfanya mtu kuwa na aibu kuelezea au kwenda hospitali ili kupata tiba sahihi. Bawasiri au hemorrhoids husababishwa na kuvimba kwa mishipa ya damu aina ya vena katika eneo la mfereji wa haja kubwa.

AINA ZA BAWASIRI

NJE
Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa, na huweza kuambatana na maumivu, pamoja na kuwashwa kwa ngozi katika eneo hilo. Mara nyingine mishipa hiyo ya damu (vena) hupasuka na damu huganda na kusababisha aina kitaalamu inaitwa Thrombosed hemorrhoid.
NDANI
Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa. Na huwa haimbatani na maumivu na wengi huwa hawatambui kuwa wanatatizo hili.
Aina hii imegawanyika katika mainisho yafuatayo:

Daraja I- Bawasiri kutotoka katika mahali pake pa kawaida
Daraja II- Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe baada ya tukio hilo.
Daraja III- Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kuirudisha mwenyewe baada ya tukio hilo.
Daraja IV- Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na vigumu mtu kuirudisha baada ya tukio hilo.
Je bawasiri husababishwa na nini?

BAWASIRI HUSABABISHWA NA NINI?
Bawasiri husababishwa na;

Tatizo sugu la kuharisha
Kupata kinyesi kigumu
Ujauzito
Uzito kupita kiasi (obesity)
Kupenda kufanya ngono ya njia ya haja kubwa (a**l s*x)
Kwa ujumla mambo yanayo ongeza shiniko katika tumbo.
Umri mkubwa

DALILI ZA BAWASIRI

Damu kunuka kinyesi wakati wa kujisaidia (hematochezia)
Maumivu au usumbufu
Kinyesi kuvuja
Kijiuvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
Kujitokeza kwa kinyama (bawasiri) wakati wa haja kubwa

MATATIZO YANAYOWEZA KUTOKEA KUTOKANA NA BAWASIRI

Upungufu wa damu mwilini (Anemia)
Strangulated hemorrhoids

VIPIMO NA UCHUNGUZI

Digital re**al examination
Kipimo cha njia ya haja kubwa (Proctoscope)
Kipimo cha utumbo mpana (Sigmoidoscope)

MATIBABU
Matibabu hutegemea na hali na aina ya Bawasiri

Rubber band ligation - Hapa mishipa hufungwa na rubber band ili kuzuia damu kwenda kwenye eneo liloathirika, na hutumika kwenye aina ya ndani ya bawasiri.

Sclerotherapy- Hapa kemikali huwekwa kwa njia ya sindano

Coagulation (infrared, laser and bipolar)

Upasuaji;

Hemorrhoidectomy
Stapled hemorrhoidopexy

NJIA ZA KUZUIA BAWASIRI

High fibre diet, kula mboga za majani, matunda, na nafaka kwa wingi.
Kunywa maji mengi kwa siku (glasi sita had nane kwa siku)
Punguza kukaa kwa muda mrefu sana hasa ukiwa chooni, kwa sababu unaweza kuongeza shinikizo katika mfereji wa haja kubwa.

Dawa ya kuweza kukutibu maradhi yako ya Bawasiri tuma ujumbe kwenye page hii ntakusaidia

According to Business For Home, the Top Direct Selling Product of 2015 is our very own, Aloe Vera Gel. Forever’s aloe ve...
19/07/2015

According to Business For Home, the Top Direct Selling Product of 2015 is our very own, Aloe Vera Gel. Forever’s aloe vera is one of the purest available on the market. Treated with the greatest care, avoiding pasteurisation, freeze-drying and heating, the aloe vera retains its beneficial properties

Every accomplishment starts with the decision to try
17/07/2015

Every accomplishment starts with the decision to try

13/06/2015

Can a multi-level marketing or network marketing business be the solution to the retirement savings crisis and help people make a successful transition into their retirement year? The answer will surprise you

Take your time to have a look at  this
13/06/2015

Take your time to have a look at this

Forever Living Products is structured as a multi-level marketing company that is designed to let you be our marketing and sales force.

FOREVER BRIGHT TOOTH GELProduct DescriptionAloe vera has long been treasured for its quality and versatility - including...
26/03/2015

FOREVER BRIGHT TOOTH GEL
Product Description
Aloe vera has long been treasured for its quality and versatility - including dental care. Your teeth will gleam with Forever Bright, one of the best toothgels on the market. Formulated for the entire family to use, Forever Bright contains only the highest quality ingredients. It is also suitable for vegetarians since it contains no animal by-products. Natural peppermint and spearmint flavorings leave your mouth feeling fresh and clean. The combination of stabilized aloe vera gel and bee propolis soothes gums and mouth linings, and can be applied directly when brushing is too painful. Years of research, development and collaboration with scholars and dentists has provided Forever Living with the optimum formula for effective cleaning. The result is an aloe-based formula that keeps breath fresh and whitens without bleaching. Your family will love the flavor and the clean mouth-feel.

Note: This product does not contain fluoride.

INGREDIENTS
Aloe Barbadensis Gel (Stabilized Aloe Vera Gel), Sorbitol, Hydrated Silica, Glycerin, Sodium Lauryl Sulfate, Carrageenan, Flavor, Bee Propolis, Sodium Saccharin, Sodium Benzoate, Chlorophyllin-Copper Complex

CONTENTS
4.6 oz (130g)

DIRECTIONS
Brush teeth after meals, have regular dental check-ups and avoid between meal treats.
• Whitens without using bleaching agents
• Soothes mouth tissues
• Does not contain fluoride

PRICE--- Tshs 13,000

18/09/2014

Je! Unapaswa kufanya nini? Ili na wewe uweze kuwa mmoja wapo?
Kinachotakiwa niwewe kuwa Mgavi Hai! (Active Distributor) Na kwa kufanya hivyo utakuwa umetimiza lengo na shauku ya kampuni ya Forever. ..ya kukufanya wewe uwe mgavi (distributor) anayetengeneza faida kubwa kuliko yeyote yule ktk sekta ya Biashara ya Mtandao!

ACTIVE! Distributor Ni mtu wa namna gani? Kwa kifupi ni mtu anayejishughulisha!

Ni mtu anayezungumza na watu kila siku juu ya manufaa ya bidhaa zetu! Na Biashara yetu! Na kwa Kufanya hivyo. ..ni rahisi sana kuweza kupata wateja wawili wa kununua bidhaa zako.

Chukulia mfano ukaamua kuzungumzia na kuelimisha jamii juu ya umuhimu wa kutumia bidhaa yetu ya Aloe Vera Gel!
Na ukajiwekea lengo la kuuza chupa mbili tu! Kwa siku!

Bei ya Rejareja = 43,656/-
Bei ya Manunuzi = 30,529/-
Faida kwa chupa = 13,127/-

Wateja 2 kwa siku! Faida = 26,000/-
Kwa wiki siku 5 Faida = 130,000/-
Kwa mwezi wiki 4 Faida = 520,000/-

Mwisho wa mwezi kampuni ya Forever itakurejeshea 5%; 8%; 13%; 18% kutegemeana na ngazi uliyopo. ..

Assistant Supv. 5% = 73,000/-
- Jumla 593,000/-

Supervisor 8% = 118,000/-
- Jumla 638,000/- kwa kazi ile ile!

Assistant Manager 13% = 192,000/-
- Jumla 712,000/- kwa kazi ile ile!

Manager 18% = 266,000/-
- Jumla 786,000/- kwa kazi ile ile!

Na Ili uweze kupanda ngazi. ...na rahisi. ..Ni kuwasaidia wenzako waweze na wao kuweza kutengeneza faida ktk biashara zao. ...ukiwawezesha watu 3....na mkawa wa 4 inamaana
Watu 4 × 4 cc = 16cc ukirudia mwezi unaofuata tayari unakuwa umefanya jumla 16cc + 16cc = 32cc Supervisor

Ukiwa na watu 10 wanaotengeneza faida ya 590,000 kila mwezi
Tayari wewe utakuwa Assistant Manager. ..

Ukiwa na wenzako 15 tayari wewe ni Meneja. ..

Address

Dodoma

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when LIVE YOUR DREAM posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to LIVE YOUR DREAM:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram