Afya Kwanza

Afya Kwanza TIBA NA USHAURI KUHUSU Bawasiri, PID, fangas na uti

08/06/2020

*PROGRAMME MAALUMU YA KUPUNGUZA UTIZO/ UNENE*

Program hii imepewa jina maalumu na kufungashiwa virutubisho takribani vya aina nne tofauti vikiwa Vitano kwa idadi yake ndani ya kifungashio hiki Chenye jina *SUMA FIT*

Ndani ya program hii kuna virutubisho vinavyo msaidia mtu na kuwa chakula mbadala baada ya kupatikana na shida flani iliyopelekea kuwa na sumu , mafuta na uzito uliopitiliza

Pia program hii itakusaidia mambo kadhaa k**a yafuatayo 👇

🟢 Kuondoa sumu mwilini
🟢 Kuondoa mafuta yaliyozidi mwilini
🟢Kupunguza sukari iliyozidi mwilini
🟢 kukusaidia shida ya vidonda vya tumbo
🟢 Kukusaidia hali ya tumbo kuvurugika baada ya mlo flani
🟢 Kuusidia mwili kupata chakula bila kuzidisha mafuta na sukari vinavyopelekea unene ama uzito mkubwa kuliko kiwango cha BMI kinachostahili

*PROGRAM HII INA VIRUTUBISHO HIVI*?👇

● *Elements* (2)
- kirutubisho hiki kina vitamin na madini mhimu
- kinauwezo mara tatu ya kupambana na hali ya njaa ( triple satiety factor to curb hunger)

● Veggie veggie (1)
- Kirutubisho kwaajili ya kuondoa sumu mwilini
- Huboresha mmeng'enyo wa chakula
- Pia Husaidia kupunguza mafuta yaliyozidi mwilini

● Probio3 (1)
- Inaponesha majeraha katika tumbo hadi kwenye utumbo
-Husaidia kuunguza mafuta yaliyozidi kwenye tumbo
- Inaboresha mazingira mazuri ya tumbo tayari kwaajili ya virutubisho vingine kufanya kazi kiurahisi
-Huzuia kuzaliana kwa bacteria wabaya tumboni

● Ez xlim Tablets (1)
-Inarekebisha kiwango cha sukari kwenye damu
-Huunguza mafuta yanayozidi kwenye damu
-Husaidia mwili kupunguza kasi ya ufyonzaji wa mafuta na sukari mwilini

Hizi ni baadhi ya kazi ya virutubisho hivi kulingana na lengo letu la kupunguza uzito

*HATUA ZA KUPUNGUZA UZITO*

Utafiti ulifanyika juu ya utumiaji sahihi wa virutubisho ili kupunguza uzito bila kuacha madhara umezaa hatua nne k**a zinavyo onekana hapo chini 👇

💧 *Kuondoa sumu*
💧 *Kutengeneza ama kuweka sawa mfumo wa chakula*
💧 *Kuzuia ufyonzaji wa mafuta, sukari inayozidi

04/06/2020

*DALILI ZA MVURUGIKO WA ```MFUMO WA HOMONI*
⏩ukavu ukeni.

⏩Maumivu wakati wa tendo la ndoa.

⏩Kutoa jasho usiku kusiko kawaida.

⏩ ```Maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi.

⏩Kukosa hamu ya tendo la ndoa.```

⏩Siku za hedhi kubadilika``` badilika.

⏩Kukosa hedhi kwa muda mrefu.

⏩Kutoa damu yenye mabonge mabonge wakati wa hedhi.

⏩Uchovu wa mara kwa mara.

⏩Hasira za mara kwa mara

⏩Kukosa usingizi

⏩Homa za usiku na kizunguzungu cha mara kwa mara.

⏩Mzio wa vyakula(allergy) kuchagua chagua vyakula.

⏩Kuongezeka tumbo na nyama uzembe.

⏩Kuharibika kwa ngozi (chunusi na vipele).

⏩Maumivu ya viungo.

⏩Upungufu wa nywele kichwani.

⏩Kusahau sana.

⏩kuwa na hamu ya vyakula au vinywaji vya viwandani.

⏩Kupata hedhi wakati wa ujauzito.

⏩Msongo wa mawazo.

⏩Kutopata choo kwa wakati.

⏩Kusinyaa au kupauka kwa ngozi.

⏩Maumivu ya kichwa mara kwa mara.

K**A UNAPATA BAADHI YA DALILI HIZO USIENDELEE KUKAA NA KUSUBIRI TATIZO KUWA KUBWA KWANI MADAHARA YAKE NI.

⏩Kutoshika ujauzito kwa muda mrefu.

⏩Mimba kuharibika mara kwa mara.

⏩Maumivu wakati wa tendo la ndoa.

⏩UTI.

⏩Kuzeeka mapema

⏩Kuziba mirija ya uzazi.

⏩ ```Uvimbe(fibroids &cysts).

Kupata suluhisho usisite kuwasiliana nasi kupitia
0657631961

Address

Geita

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00

Telephone

+255767938340

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya Kwanza posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram