TFNC Tanzania

TFNC Tanzania Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from TFNC Tanzania, Nutritionist, Next to Moshi AirPort, Ilala.

12/11/2025
Tanzania Food and Nutrition Centre is announcing a short course on Nutrition Assessment, Counselling and Support (NACS) ...
11/11/2025

Tanzania Food and Nutrition Centre is announcing a short course on Nutrition Assessment, Counselling and Support (NACS) for People Living with HIV and TB. The course is preferably for nurses, clinicians, nutritionists and dietetician. Deadline for registration will be on 20 November, 2025.

Kindly clink the link bellow for registration: https://www.tfnc.go.tz/announcements/nacs

For more information contact 0686 258 266

uniceftz

Timiza Haki yako ya Kikatiba:Jitokeze Kupiga Kura
28/10/2025

Timiza Haki yako ya Kikatiba:
Jitokeze Kupiga Kura

Mkurugenzi wa Idara ya Elimu na Mafunzo, Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), Dkt. Esther Nkuba akiwaonesha pich...
15/10/2025

Mkurugenzi wa Idara ya Elimu na Mafunzo, Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), Dkt. Esther Nkuba akiwaonesha picha ya uhamasishaji kula vyakula mchanganyiko wanafunzi wa Shule ya Msingi Charambe wakati wa zoezi la kufanya jaribio la awali la ujumbe na picha za uhamasishaji wa masula ya lishe kabla ya kuanza kutumika katika mradi wa Afya na Lishe unaotekelezwa katika shule za msingi 15 za Manispaa ya Temeke.

Mradi huu unatekelezwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP), Manispaa ya Temeke na TFNC.

Wataalamu wa Maabara ya Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), wakiendelea na   uchunguzi wa kimaabara kwenye samp...
09/10/2025

Wataalamu wa Maabara ya Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), wakiendelea na uchunguzi wa kimaabara kwenye sampuli za chakula zinazoletwa kwenye Maabara ya Chakula na Lishe , kwa ajili ya kuangalia aina na kiasi cha virutubishi vilivyomo kwenye sampuli hizo.

Ujumbe wa wataalamu wa kutoka Chuo Kikuu cha Eduardo Mondlane, Wizara ya Uchumi na Wizara ya Afya kutoka nchini Msumbiji, umefanya ziara ya kutembelea maabara ya Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) iliyopo Mikocheni jijini Dar es salaam ili kujifunza namna inavyofanya kazi zake katika uchambuzi wa sampuli mbalimbali za vyakula na zile za kibaolojia.

Maabara ya Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania iliyopo Mikocheni jijini Dar es Salaam imegawanyika katika sehemu tatu ambazo ni;

• Kemia ya Chakula –Inahusika na Uchunguzi wa viinilishe, uchafuzi na sumu za asili mfano sumukuvu, cyanide kwenye mihogo n.k

• Biokemia- Inahusika na uchunguzi wa viashiria vya lishe mwilini na hali ya lishe

• Mikrobiolojia- Inahusika na uchunguzi wa viashiria vya viini lishe mwilini na uchunguzi wa ubora na usalama wa chakula.




.sbu .alliance

UJUMBE WA WATAALAMU KUTOKA MSUMBIJI WATEMBELEA MAABARA YA CHAKULA NA LISH YA TFNCleo Oktoba 9,2025 Ujumbe wa wataalamu w...
09/10/2025

UJUMBE WA WATAALAMU KUTOKA MSUMBIJI WATEMBELEA MAABARA YA CHAKULA NA LISH YA TFNC

leo Oktoba 9,2025 Ujumbe wa wataalamu wa kutoka Chuo Kikuu cha Eduardo Mondlane, Wizara ya Uchumi na Wizara ya Afya kutoka nchini Msumbiji, umefanya ziara ya kutembelea maabara ya Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) iliyopo Mikocheni jijini Dar es salaam ili kujifunza namna inavyofanya kazi zake katika uchambuzi wa sampuli mbalimbali za vyakula na zile za kibaolojia.

Maabara ya Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania ni maabara rejea kwenye ukanda wa nchi za Afrika Mashariki na kati na Kusini, na matokeo ya uchunguzi wa viashiria vya hali ya lishe na virutubishi yanayotolewa na maabara hii, yanaaminika kimataifa (WHO, CDC, ECSA-HS, IGAD), na kuifanya kuwa maabara pekee ya lishe inayoaminika ukanda huu.

BADO SIKU MOJA  KUELEKEA MKUTANO WA 11 WA WADAU WA LISHE  NCHINI.MKUTANO WA 11 WA WADAU WA LISHE 2025KAULI MBIU:  ”Kufun...
28/09/2025

BADO SIKU MOJA KUELEKEA MKUTANO WA 11 WA WADAU WA LISHE NCHINI.

MKUTANO WA 11 WA WADAU WA LISHE 2025

KAULI MBIU: ”Kufungua fursa za ushirikiano kupitia ujumuishaji wa masuala ya Lishe katika ajenda za Maendeleo ya Taifa na afua za kisekta nchini Tanzania”

📅Tarehe: * 29-30 Septemba 2025*

📍Mahali: APC Conference Centre - Bunju Dar es Salaam*

KUJISAJIRI INGIA
https://tsms.gov.go.tz

Kwa mawasiliano zaidi piga simu:
📞 +255 652 087 242
📞 +255 754 310 583



.sbu .alliance

BADO SIKU MBILI KUELEKEA MKUTANO WA 11 WA WADAU WA LISHE  NCHINI.MKUTANO WA 11 WA WADAU WA LISHE 2025KAULI MBIU:  ”Kufun...
27/09/2025

BADO SIKU MBILI KUELEKEA MKUTANO WA 11 WA WADAU WA LISHE NCHINI.

MKUTANO WA 11 WA WADAU WA LISHE 2025

KAULI MBIU: ”Kufungua fursa za ushirikiano kupitia ujumuishaji wa masuala ya Lishe katika ajenda za Maendeleo ya Taifa na afua za kisekta nchini Tanzania”

📅Tarehe: * 29-30 Septemba 2025*

📍Mahali: APC Conference Centre - Bunju Dar es Salaam*

KUJISAJIRI INGIA
https://tsms.gov.go.tz

Kwa mawasiliano zaidi piga simu:
📞 +255 652 087 242
📞 +255 754 310 583



.sbu .alliance

BADO SIKU TATU KUELEKEA MKUTANO WA 11 WA WADAU WA LISHE  NCHINI.MKUTANO WA 11 WA WADAU WA LISHE 2025KAULI MBIU:  ”Kufung...
26/09/2025

BADO SIKU TATU KUELEKEA MKUTANO WA 11 WA WADAU WA LISHE NCHINI.

MKUTANO WA 11 WA WADAU WA LISHE 2025

KAULI MBIU: ”Kufungua fursa za ushirikiano kupitia ujumuishaji wa masuala ya Lishe katika ajenda za Maendeleo ya Taifa na afua za kisekta nchini Tanzania”

📅Tarehe: * 29-30 Septemba 2025*

📍Mahali: APC Conference Centre - Bunju Dar es Salaam*

KUJISAJIRI INGIA
https://tsms.gov.go.tz

Kwa mawasiliano zaidi piga simu:
📞 +255 652 087 242
📞 +255 754 310 583



.sbu .alliance

Address

Next To Moshi AirPort
Ilala

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00

Telephone

0658990996

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when TFNC Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category