11/03/2026
Tukutane leo live tiktok katika ukurasa wa Mkurugenzi wa Idara ya Elimu na Mafunzo ya Lishe kutoka TFNC, Dkt. Esther Nkuba atakuwepo kuzungumzia tatizo la upungufu wa damu kwa watoto wa k**e na suluhisho lake.
Usikose kufuatilia