Happness and Wellness

Happness and Wellness Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Happness and Wellness, Medical and health, KILIMAHEWA, Ilemera.

So, Why Should I detox?Our body is constantly working to dispel toxins and unwanted matter from its various systems. Ove...
17/04/2021

So, Why Should I detox?

Our body is constantly working to dispel toxins and unwanted matter from its various systems. Over time, the body gets run down from unhealthy food choices,,alcohol, caffeine, drugs, stress and enviromental toxins that are a part of modern day life. No matter how healthy your diet or lifestyle may be, external factors still require us to give the body a chance to recharge and dispel anything that may be holding us back from experiencing superior health and long lasting vitality. When our vital organs are placed under too much pressure and unable to work efficiently, this is when diseases can appear. Taking time to cleanse the body and nurture these vital organs goes a long way in prevention and also has a immediate effects- greater energy, clearer skin, better digestion, mental clarity and much more.

Is your body screaming for a detox? Here are 10 tell-tale signs.

1. You constantly feel fatigued,,stressed and overwhemed.

2: You experience frequent headaches and/or lack of mental clarity.

3: You often have skin breakout and blemishes and/or tired, dull and lack-luster complexion.

4: You seem to pick up colds, flus, bugs, and viruses easily and often on medication.

5: Your digestion is troublesome, uncomfortable and irregular.

6: You slip into making less-healthy food choices and often have fried foods, processed meat, processed food, refined sugar or fast food.

7: You frequently have coffee, alcohol, drugs( prescription or otherwise) or cigarattes.

8: You are exposed to common enviromental toxins such as carbon emissions, cigaratte smoke, herbicides, pesticides, artificial fragrance, and household chemicals.

9: You are carrying excess body weight.

10: You often feel emotionally unstable, depressed, unmotivated, and lacking energy and enthusiasm for life.

A detox is your opportunity to give your body a break and allow your own self-cleansing and self- healing processes to kick into gear. Our bodies are innately intelligent and a period of cleansing is the perfect way to hit the reset button and start on a path to a healthier, happier, more vibrant you.

Call us +255758955075


07/04/2021

🍃🍃🍃🍃🍃🍃🍃

Ijue ALOEVERA GEL, kinywaji bora cha afya chenye aloe vera nyingi,( 97%).
Kinywaji hiki siyo dawa bali ni chakula chenye utajiri wa Virutubisho (75), Vitamini (14) na Madini (20)mbalimbali.

FAIDA ZAKE KWA AJIRI YA AFYA YAKO
1. Kuondoa sumu mwilini zitokanazo na hewa chafu, vumbi, vyakula vilivyolimwa na mbolea na dawa zenye kemikali, sumu, madawa, vyakula, pombe na vileo, nk.
2. Kuondoa na kuepusha vimbe sehemu yoyote mwilini, mfano mji wa mimba, shingoni, nk.
3. Kuepusha magonjwa na kuua vijidudu k**a virusi. bacteria na fangasi.
4. Kusafisha utumbo mkubwa wa chakula na:
~kuondoa mafuta yanayoganda,
~kuzuia na kusaidia gesi tumboni,
~kupata choo vizuri na kuzuia constipation, ~kusaidia mmeng'enyo wa chakula,
~ Kusaidia vidonda vya ndani (ulcers) na nje ya tumbo.
5. Kuongeza kinga mwilini.
6. Inasaidia maumivu ya viungo k**a miguu na mgongo.
7. Kusaidia uponyaji wa magonjwa ya umri km kisukari, presha, nk.
8. Kusaidia kuboresha matatizo mbalimbali ya ngozi km;
~kuifanya iwe nzuri na ya kuvutia,
~kuifanya iwe nyevunyevu,
~kuiondoa ukavu na mikunjokunjo,
~kutengeneza seli mpya na kuondoa seli zilizokufa.
~Kusaidia magonjwa mbalimbali ya ngozi km;aleji, muwasho, chunusi, vinundu vidogodogo vyeusi, makovu, mkanda wa jeshi na upele,
9. Kusaidia uponyaji wa ugonjwa wa kupooza (STROKE).
10. Inasafisha mzunguko wa damu, inaimarisha mishipa ya damu na kuyeyusha damu na mafuta yaliyoganda.
11. Inasaidia kutibu harufu mbaya mdomoni kwa kuua bacteria wabaya wanaokaa kwenye utumbo wa chakula na kuleta harufu mbaya mdomoni.
12. Ni chakula, ina vitamini, madini, amino acids, (protini), na inasaidia ukuaji wa mwili.
13. Husaidia uchovu sugu, kutopata usingizi vizuri (insomnia), hangover, msongo wa mawazo, (Stress), na mfumo wa fahamu na neva (nervous system).
14. Inaondoa baridi na ganzi kwenye viungo vya mwili, mfano miguu, mikono na vidole.
~Hufaa kwa watu wote,
KUNYWA KWA AFYA, (USISUBIRI UUGUE), JAPO KOPO 2 KWA MWEZI

Kujifunza zaidi tena BURE juu ya afya bonyeza link hii hapo chini

http://api.whatsapp.com/send?phone=255758955075

https://chat.whatsapp.com/EWsxuLd5AHXI6iMPjvJtSD

🍒Hakuna mwanaume asiyependa kuwa Imara Katika Suala La Tendo La Ndoa .... 💑Pia hakuna mwanamke asiependa kuridhishwa na ...
05/04/2021

🍒Hakuna mwanaume asiyependa kuwa Imara Katika Suala La Tendo La Ndoa ....

💑Pia hakuna mwanamke asiependa kuridhishwa na Mwenzi Wake Wakati Wanapokuwa Faragha {EDENI}

Hivyo basi,kutokana na mtindo wa maisha(lifestyle) pamoja na Utandawazi (globalization), Suala hili limekua changamoto kwa kiasi kikubwa siku za hivi karibuni.

Ikumbukwe kuwa swala la tendo la ndoa ni muunganiko wa mifumo mbali mbali katika mwili k**a vile,mfumo wa damu, homoni pamoja na utimamu wa akili na afya iliyotengemaa.

Kwa mwanaume,homoni za oxytocin na serotonin ni muhimu sana katika kufanya mtu awe na hisia za kimapenzi(sexual feelings) kwa jinsia ya k**e,

Homoni ya testosterone ni muhimu katika kuratibu shughuli nzima ya tendo la ndoa k**a vile kusimamisha uume bara bara,mzunguko mzuri wa damu pia huusika katika sexual stamina.

upungufu wa kimojawapo kati ya hivi, husababisha kutokuperfom tendo katika ubora wake,haina maana una matatizo,bali ni upungufu tuu

Hivyo,ili kuongeza libido na na kuwa imara...kila mwanaume unahitaji kutumia bidhaa iitwayo MULTI MACA

Hii ni Tiba Lishe yenye Virutubisho muhimu iliyotengenezwa kwa kupitia mimea asili uitwao MACA au Lepidium Meyan kutoka nchini PERU wenye historia ya miaka zaidi ya 2000 kuongeza STAMINA YA MWILI.Haina madhara bali ina faida kubwa sana kwa wanaume na wanawake.Ina PROTEIN nyingi katika mfumo wa AMINO ACIDS na virutubisho vinavyosaidia kazi ya kuamsha ishara za hamu ya tendo la ndoa.Hazina madhara ya aina yoyote kwa mtumiaji zaidi ya kutatua hiyo Changamoto.

NOTE: HIVI NI VIRUTUBISHO KWAAJIRI YA KUTIBU CHANZO CHA TATIZO NA SIO DAWA ZA KUSISIMUA MFUMO WA UZAZI, ZITATUMIKA KWAAJIRI YA MATIBABU KWA KURUTUBISHA NA KUMALIZA TATIZO KABISA, NI TOFAUTI SANA NA DAWA ZA KUSISIMUA MISULI NA KUKUFANYA KUWA MTUMWA WA DAWA KILA UNAPOHITAJI KUWA FARAGHA.

Kwa maelezo zaidi kujipatia huduma, Maswali na Ushauri Tafadhari Tupigie Kupitia 0758955075

05/04/2021

Maisha yalivyo ni namna wewe mwenyewe unavyoyapeleka
🤔🤔🤔

Ndugu zangu,wakati mwingine kuna mambo magumu kidogo ambayo baadhi ya watu wanayaonea AIBU,lakini yanaendelea kuwa tatiz...
26/03/2021

Ndugu zangu,wakati mwingine kuna mambo magumu kidogo ambayo baadhi ya watu wanayaonea AIBU,lakini yanaendelea kuwa tatizo kwa watu wengi.

Leo tutazungumza,amini usiamini 9% ya wanaofanya mchezo huo hawapendi hata kidogo.Kila wanapomaliza KUJIRIDHISHA huahidi kuacha lakini baada ya saa kadhaa kupita wanarudi kule kule...k**a una tabia hiyo najua unanielewa vizuri zaidi juu ya kile ninachozungumza hapa!🤔

KUJICHUA NI NINI HASA?
Lugha nyepesi na rahisi kufikika kwa wengi ni KUJIRIDHISHA ni kitendo cha mtu kujichezea kimahaba huku akivuta hisia za mapenzi kwa mtu ambaye yuko mbali naye hadi anapomaliza haja zake.

Namna ya ufwanywaji inategemea zaidi na jinsi ya mazoea.Wapo wanaotumia vifaa bandia(artificial)na wengine vifaa halisi k**a matunda aina mbalimbali ambayo yanafanana na sehemu pacha.

Wengine wanatumua njia wanazojua wenyewe lakini WANAUME wengi wanatumia SABUNI lengo hapo ni moja tu KUJIRIDHISHA.

ATHALI ZAKE
●Kuishiwa nguvu za kiume
●Maumbile kulegea na kusinyaa kabisa
●Kukosa kabisa hamu ya tendo la ndoa
●Kushindwa kurejea wakati wa tendo na kuchoka haraka.
●Kwa wanawake kukosa hamu ya tendo la ndoa
●Kukosa uwezo wa kubebesha/kutungisha mimba kwa mwanaume kwani mbegu huwa chache sana.

UMEANGAIKA NA UNGEPENDA KUONDOKANA NA TATIZO HILO?
PIA UNAISHIWA NGUVU AU UMEPATA ATHALI HIZO?
Wasiliana nami kwa whatsapp no.0758955075 au 0679255075

JINSI YA KUACHA KUJICHUA AU KUPIGA PUNYETO KWA WANAUME NA WANAWAKE NA  ATHARI ZAKE NA TIBA YA NGUVU ZA KIUME KIASILI...■...
26/03/2021

JINSI YA KUACHA KUJICHUA AU KUPIGA PUNYETO KWA WANAUME NA WANAWAKE NA ATHARI ZAKE NA TIBA YA NGUVU ZA KIUME KIASILI...
■Kujichua huleta msongo wa mawazo na pia huchoka kabisa.Ebu niambie ...umeshawahi kujichua?mara ngapi?na bado unaendelea na mchezo huo??!Vipi umewahi kusikia watu wakizungumzia suala hili??

■Najua unaona aibu hasa k**a bado unaendelea na mchezo huo!Usiogope rafiku yangu..endelea kunifuatilia tutazungumza na mwishowe kabisa nitakuacha na tabasamu la nguvu.

Whatsapp +255758955075/+255679255075

Kwa Afya Ya Wanaume
25/03/2021

Kwa Afya Ya Wanaume

Kwa afya ya Moyo wako!!!Tumia ARGI +❤
23/07/2020

Kwa afya ya Moyo wako!!!
Tumia ARGI +❤

Faida za Forever Multimaca 🎯Bidhaa (kirutubisho kwa wanawake) hii hutuliza sana tatizo la mvurugano wa homoni kwa wanawa...
17/06/2020

Faida za Forever Multimaca 🎯Bidhaa (kirutubisho kwa wanawake) hii hutuliza sana tatizo la mvurugano wa homoni kwa wanawake ambao mara nyingi huleta maumivu ya tumbo, chunusi, hali ya joto kali na baridi kali wakati mmoja, hasira za mara kwa mara na mgandamizo wa mawazo hivyo kirutubisho hiki huamrisha mwili kutoa kiwango sahihi cha homoni. 🎯Kwa wanandoa au wachumba wanaotafuta mtoto virutubisho hivi hufanya kazi vizuri wakiitumia wote na sio kwamba inaongeza nguvu za kiume na mbegu tu ila inapambana na matatizo ya uzazi yanayoweza kuzuia mimba k**a uvimbe wa ovari na kadhaliaka. *Faida zingine ni k**a;*
1. Kuongeza Libido. (Hamu ya Tendo la Ndoa)
2. Kukupa stamina na uimara wa uume wakati wa tendo la ndoa
3. Kubalance Hormones Kwenye Mwili,
4. Kuimarisha misuli ya uume iliyolegea (baada ya kujichua kwa muda mrefu au umri kua mkubwa)
5. Kubalance kiwango cha sukari mwilini.
6. Kusupport brain relaxation
7. Kurutubisha mbegu (s***ms)
8. Itakusadia usikojoe haraka
9. Kuongeza uwiano unaotakiwa wa manii (s***m count)
10. Inalisha tezi Dume na madini ya zink hivyo kukufanya usiingie kwenye hatari ya kupata tatizo la saratani ya Tezi Dume
:
Matumizi yake:
Kunywa vidonge viwili kwa siku au vinne kwa siku. Kopo moja Lina vidonge 60. ☎ +255679255075

Address

KILIMAHEWA
Ilemera
HAPPY

Telephone

0758955075

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Happness and Wellness posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram