Chuo Cha Amani College Iringa.

Chuo Cha Amani College Iringa. Amanicollege ni kisima cha mafanikio

26/05/2014

CHUO CHA AMANI COLLEGE KILICHOPO IRINGA KINAKUTANGAZIA NAFASI ZA MASOMO KWA NGAZI YA CHETI NA DIPLOMA K**A IFUATAVYO
1.Uandishi wa habari
2.Nursing course mwaka 1 kwa ngazi ya cheti na Diploma miaka 2
3.Tourism management cheti 1
4.ICT
5.Elimu ya biashara cheti 1 Dip 2.
6.ACCOUNTANCY
Pia tunafundisha masomo ya sekondari kwa wale wanaotaka kurist mitihani, sifa za mwombaji awe na Ufaulu usiopungua daraja la IV Alama 38 Kwa wahitimu wa mwaka (2013) Na wahitimu wa Mwaka 2004-2012 Awe na Ufaulu usiopungua daraja la IV alama 32, fomu zinapatikana kwa gharama ya sh. 10,000/= Tu unatakiwa kulipia fomu kwa njia ya Airtel money simu namba 0787524420 Au M-PESA simu 0757673648 na mara baada ya kufanya Malipo Tuma majina yako MATATU mahala unapoishi anuani ya mzazi/mlezi kuja namba hii 0787524420 uongozi wa chuo utakutumia fomu ya kuthibitisha kujiunga na chuo, Mwisho wa kutoa fomu ni tarehe 15/06/2014 Na chuo kitafunguliwa tarehe 02/07/2014 kwa mawasiliano piga 0787524420 au www.amanicollege.com
Ada zetu ni nafuu.

06/05/2014

ZOEZI LA KUPOKEA SMS ZA MAOMBI YA KAZI LINAENDELEA MWISHO NI TAREHE 18/05/2014 K**a kawaida unatakiwa kuandika majina yako matatu harafu unatuma kwenda namba 0787524420 na hakikisha unaambatanisha na malipo kupitia airtel money Sh. 10,000/= namba 0787524420 Hii ni kwa ajili ya malipo kwa majaji watakao kufanyia usaili. kwa mawasiliano piga 0787524420 bado kuna nafasi nyingi k**a vile. ulinzi, udereva, ualimu wa masomo ya hotel management, tourisim, computer application, nursing course na uandishi wa habari, Endeleeni kutuma maombi chuo kipo iringa na tarehe ya usaili itatangazwa hivi punde. kumbukeni chuo kinahitaji wapishi wanne.

05/05/2014

Mkurugenzi wa chuo kipya cha Amani college Iringa anawatangazia nafasi za kazi kwa wale walio na uwezo wa kufundisha course za
1.Uandishi wa habari
2.sheria (laws)
3.maendeleo ya jamii
4.udereva (driving)
5.nursing course
6.Accountancy
7.computer application
8.Tourism management
9.English course
VIGEZO VYA MWOMBAJI
A.mwombaji anatakiwa kuwa na cheti cha mafunzo anayoweza kufundisha
Pia chuo kinahitaji wapishi 4 na walinzi 2
NOTE; mwombaji anatakiwa kujiandikisha na usaili kwa kupitia simu yake kwa kuandika ujumbe mfupi unaomtambulisha kwa majina matatu na mafunzo anayoweza kufundisha mfano; NEEMA JUMA MHANDO (Sheria)
harafu atume kwenda namba 0787524420 Na wakati huo ameambatanisha na malipo ya usaili ambayo gharama yake ni sh. 10,000/= tu na malipo yafanyike kupitia airtel money simu namba 0787524420 Au mpesa simu 0757673648 Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 18/05/2014 mwombaji anatakiwa kutofuta ujumbe mfupi unaothibitisha malipo ya usaili wake.
Rashid Suleman
Mkurugenzi wa chuo.
www.amanicollege.com

03/05/2014

Chuo cha Amani college kilicho iringa kitakutangazia nafasi za masomo kwa mwaka 2014/2015 Muda wowote kuanzia sasa.

Address

Iringa

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Chuo Cha Amani College Iringa. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram