St. Gaspar Referral and Teaching Hospital

St. Gaspar Referral and Teaching Hospital The St. Gaspar Referral and Teaching Hospital is a national referent center in Tanzania.

"Cure, educate, console" is the motto of the hospital and it expresses the true identity and the real nature of the mission of the hospital.

30/01/2026
HABARI PICHA.1.Awapongeza kwa kazi yao njema ya majitoleo2.Asisitiza upendo moongoni mwao
30/01/2026

HABARI PICHA.

1.Awapongeza kwa kazi yao njema ya majitoleo

2.Asisitiza upendo moongoni mwao

TANGAZO MAALUMU!!Ikiwa una changamoto hizo au unamfahamu mtu mwenye changamoto hizo TAFADHALI TUNAOMBA UWASILIANE NASI A...
29/01/2026

TANGAZO MAALUMU!!
Ikiwa una changamoto hizo au unamfahamu mtu mwenye changamoto hizo TAFADHALI TUNAOMBA UWASILIANE NASI
Au tupigie +255 755 454 040, +255 784 738 432, +255 764 077 625, +255 769 956 853.
ya Wilaya ya ManyoniItigi DcWizara ya Afya TanzaniaOfisi ya Rais - TamisemiBunge la TanzaniaWizara ya Elimu, Sayansi na TeknolojiaHospitali ya rufaa mkoa wa dodomaSingida Manispaa

Smile Resurge task force ya Hospitali ya Rufaa na Mafunzo ya St.Gaspar-Itigi imekutana tarehe 26/1/2026 kwa kikao kazi m...
27/01/2026

Smile Resurge task force ya Hospitali ya Rufaa na Mafunzo ya St.Gaspar-Itigi imekutana tarehe 26/1/2026 kwa kikao kazi maalumu kwa ajili ya kuweka mikakati ya utekelezaji wa programu ya matibabu BURE ya upasuaji bandia (plastic surgery) kwa wagonjwa wenye vidonda sugu,makovu makubwa,wenye ulemavu wa kuzaliwa na waliopata ulemavu kwa sababu mbalimbali k**a ajali za barabarani, moto na majanga mengineyo

Huduma hii imeshaanza na itatolewa BURE kwa wagonjwa 200 wenye mahitaji ya upasuaji bandia ambayo itadumu kwa kipindi cha mwaka mmoja

Ugonjwa wa Ukoma unatibika, wahi mapama!
25/01/2026

Ugonjwa wa Ukoma unatibika, wahi mapama!

Hospitali ya Rufaa ya St. Gaspar Itigi inaendelea kutoa huduma za dharura kwa wagonjwa muda wote wa saa 24, ikihakikisha...
24/01/2026

Hospitali ya Rufaa ya St. Gaspar Itigi inaendelea kutoa huduma za dharura kwa wagonjwa muda wote wa saa 24, ikihakikisha upatikanaji wa huduma bora, za haraka na salama wakati wote wa mchana na usiku kwa wananchi wanaohitaji huduma za afya za dharura.

Hospitali ya Rufaa na MAfunzo St.Gaspar ITIGI inatoa huduma za dharura kwa wagonjwa saa 24 kuhakikisha upatikanaji wa hu...
22/01/2026

Hospitali ya Rufaa na MAfunzo St.Gaspar ITIGI inatoa huduma za dharura kwa wagonjwa saa 24 kuhakikisha upatikanaji wa huduma bora za afya,za haraka na salama wakati wote

Karibu tukuhudumie     ya Wilaya ya ManyoniItigi DcWizara ya Afya TanzaniaOfisi ya Rais - TamisemiHumanitas UniversityWi...
21/01/2026

Karibu tukuhudumie

ya Wilaya ya ManyoniItigi DcWizara ya Afya TanzaniaOfisi ya Rais - TamisemiHumanitas UniversityWizara ya Elimu, Sayansi na TeknolojiaHospitali ya rufaa mkoa wa dodomaNational Health Insurance FundJubilee Life Insurance Company LimitedStrategis Insurance TZ

Bibi mwenye umri wa miaka 77 anayejulikana kwa jina la Merry Chipanga kutoka Dodoma ameishukuru Hospitali ya Rufaa na Ma...
20/01/2026

Bibi mwenye umri wa miaka 77 anayejulikana kwa jina la Merry Chipanga kutoka Dodoma ameishukuru Hospitali ya Rufaa na Mafunzo St.Gaspar-Itigi kwa matibabu aliyopata kwa tatizo la goita (goitre) lililokuwa likimsumbua kwa muda mrefu.

Bibi huyo amesema tatizo hilo liligundulika kwa mara ya kwanza mwaka 2024 alipoanza kutafuta matibabu bila mafanikio huku umri wake mkubwa wa miaka 77 ukitajwa kuwa changamoto ya matibabu ya ugonjwa huo ambao unahusisha upasuaji

Kwa upande wake Daktari Bingwa wa upasuaji katika Hospitali hiyo Dkt.Nuru Seif amekiri kuwa mgonjwa huyo alipokelewa akiwa katika hali mbaya kutoka na tatizo hilo kuwa kubwa.
Aidha Dkt.Nuru amebainisha kwa matibabu yanayohusisha upasuaji kwa magonjwa k**a goita hasa kwa watu wenye umri mkubwa yanachangamoto nyingi.

“Mahali ambapo tatizo hilo lipo yaani shingoni ni sehemu nyeti kwa kuwa kuna mishipa ya fahamu na mishipa mingi ya damu kwahiyo kuna changamoto katika matibabu yake hasa kwa watu wenye umri mkubwa”

Hata hivyo Daktari huyo Bingwa wa Upasuaji amesema kuwa mgonjwa huyo anaendelea vizuri baada ya kufanyiwa upasuaji na ametoa rai kwa jamii kuwa na utaratibu wa kuchunguza afya mara kwa mara na ikibainika kuna tatizo wachukue hatua mapema kupata matibabu.

ya Wilaya ya ManyoniItigi DcWizara ya Afya TanzaniaOfisi ya Rais - TamisemiBunge la TanzaniaHumanitas UniversityWizara ya Elimu, Sayansi na TeknolojiaReSurge International

04/01/2026

Tibu,Fariji,Elimisha

Itigi DcHalmashauri ya Wilaya ya ManyoniWizara ya Afya TanzaniaOfisi ya Rais - TamisemiBunge la TanzaniaHumanitas UniversityWizara ya Elimu, Sayansi na TeknolojiaReSurge InternationalHospitali ya rufaa mkoa wa dodomaSingida Manispaa

30/12/2025

Kliniki ya mama, baba na mtoto ina mchango mkubwa katika kutoa elimu kuhusu umuhimu wa maziwa ya mama kwa mtoto mchanga.

Kupitia kliniki hizi, wazazi hupata elimu sahihi juu ya unyonyeshaji wa maziwa ya mama pekee kwa miezi sita ya mwanzo, namna sahihi ya kumnyonyesha mtoto, na jinsi ya kuepuka matumizi ya vyakula au vinywaji vingine visivyofaa.

Kwa ujumla, kliniki ya mama, baba na mtoto huimarisha uelewa, hubadili mitazamo potofu na kuhamasisha jamii kukubali unyonyeshaji k**a njia bora na salama ya lishe kwa mtoto mchanga.

Address

Itigi
12

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when St. Gaspar Referral and Teaching Hospital posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to St. Gaspar Referral and Teaching Hospital:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category