St. Gaspar Referral and Teaching Hospital

St. Gaspar Referral and Teaching Hospital The St. Gaspar Referral and Teaching Hospital is a national referent center in Tanzania.

"Cure, educate, console" is the motto of the hospital and it expresses the true identity and the real nature of the mission of the hospital.

πŸ“ŒKaribuni    SightsaversHalmashauri ya Wilaya ya Manyoni
27/04/2026

πŸ“ŒKaribuni

SightsaversHalmashauri ya Wilaya ya Manyoni

26/04/2026

Tibu,Fariji,Elimisha Ryan Passey

Asanteni sana madaktari kutoka Hernia International kwa moyo wenu wa kujitolea kushirikiana na sisi kuendesha  Kambi maa...
25/04/2026

Asanteni sana madaktari kutoka Hernia International kwa moyo wenu wa kujitolea kushirikiana na sisi kuendesha Kambi maalumu ya upasuaji wa hernia na goitre ambayo imegusa maisha ya wengi.

Tunawakumbusha kuwa huduma hizi ni endelevu

Hernia Surgery

Wajumbe wa Kamati ya Uthibiti Ubora wa Huduma za Hospitali (QIT) wa St. Gaspar Referral and Teaching Hospital wakiwa kat...
25/04/2026

Wajumbe wa Kamati ya Uthibiti Ubora wa Huduma za Hospitali (QIT) wa St. Gaspar Referral and Teaching Hospital wakiwa katika kikao cha kawaida cha kila mwezi kujadili msuala mbalimbali ya kitaasisi

Idara ya Mionzi ya Hospitali ya Rufaa na Mafunzo St. Gaspar Itigi inajivunia kutoa vipimo vya kisasa, sahihi na vya kuam...
23/04/2026

Idara ya Mionzi ya Hospitali ya Rufaa na Mafunzo St. Gaspar Itigi inajivunia kutoa vipimo vya kisasa, sahihi na vya kuaminika kwa wakati (ndani ya saa 24)
Afya yako, kipaumbele chetu. Karibu tukuhudumieπŸ“Œ

Tunawatakia Wiki njema ya Wataalamu wa Maabara. Endeleeni kuwa taa ya matumaini kwa wagonjwa na jamii kwa ujumla. Kazi y...
22/04/2026

Tunawatakia Wiki njema ya Wataalamu wa Maabara. Endeleeni kuwa taa ya matumaini kwa wagonjwa na jamii kwa ujumla. Kazi yenu mara nyingi hufanyika nyuma ya pazia, lakini matokeo yake huonekana wazi katika afya na ustawi wa watu wengi. Asanteni kwa huduma yenu isiyo na kikomo wala mipaka.

KAMBI MAALUMU YA MATIBABU YA KIBINGWA πŸ””(GOITRE NA HERNIA)Hospitali ya Rufaa na Mafunzo ya St. Gaspar – Itigi inakutangaz...
21/04/2026

KAMBI MAALUMU YA MATIBABU YA KIBINGWA πŸ””(GOITRE NA HERNIA)
Hospitali ya Rufaa na Mafunzo ya St. Gaspar – Itigi inakutangazia rasmi kambi maalumu ya matibabu ya kibingwa kwa wagonjwa wa Goitre na Hernia.
πŸ“… Tarehe: 20 – 24 Aprili 2026
πŸ“ Mahali: Hospitali ya Rufaa na Mafunzo St. Gaspar – Itigi
πŸ‘¨βš•οΈ Huduma zitatolewa na:
β€’ Madaktari bingwa bobezi kutoka Ulaya
β€’ Kwa kushirikiana na madaktari bingwa wa St. Gaspar-Itigi
πŸ’° Gharama za Matibabu:
β€’ Watu wazima: Shilingi 50,000/=
β€’ Watoto: Shilingi 25,000/=
πŸ“ž Mawasiliano:
β€’ 0784 738 432
β€’ 0764 077 625
β€’ 0769 956 853
β€’ 0755 454 040
πŸ‘‰ Usikose fursa hii adhimu ya kupata matibabu ya kibingwa karibu nawe!
πŸ‘‰ Huduma bora, salama na kwa gharama nafuu.

Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni

20/04/2026
πŸ”” KAMBI MAALUMU YA MATIBABU YA KIBINGWA πŸ””(GOITRE NA HERNIA)Hospitali ya Rufaa na Mafunzo ya St. Gaspar – Itigi inakutang...
20/04/2026

πŸ”” KAMBI MAALUMU YA MATIBABU YA KIBINGWA πŸ””(GOITRE NA HERNIA)
Hospitali ya Rufaa na Mafunzo ya St. Gaspar – Itigi inakutangazia rasmi kambi maalumu ya matibabu ya kibingwa kwa wagonjwa wa Goitre na Hernia.
πŸ“… Tarehe: 20 – 24 Aprili 2026
πŸ“ Mahali: Hospitali ya Rufaa na Mafunzo St. Gaspar – Itigi
πŸ‘¨βš•οΈ Huduma zitatolewa na:
β€’ Madaktari bingwa bobezi kutoka Ulaya
β€’ Kwa kushirikiana na madaktari bingwa wa St. Gaspar-Itigi
πŸ’° Gharama za Matibabu:
β€’ Watu wazima: Shilingi 50,000/=
β€’ Watoto: Shilingi 25,000/=
πŸ“ž Mawasiliano:
β€’ 0784 738 432
β€’ 0764 077 625
β€’ 0769 956 853
β€’ 0755 454 040
πŸ‘‰ Usikose fursa hii adhimu ya kupata matibabu ya kibingwa karibu nawe!
πŸ‘‰ Huduma bora, salama na kwa gharama nafuu.

ya Wilaya ya ManyoniHospitali ya rufaa mkoa wa dodomaWizara ya Afya Tanzania

Tunawashukuru Resurge International kwa kushirikana na sisi kuendesha kambi maalumu ya upasuaji bandia na upasuaji rekeb...
20/04/2026

Tunawashukuru Resurge International kwa kushirikana na sisi kuendesha kambi maalumu ya upasuaji bandia na upasuaji rekebishi BURE kwa ndugu zetu kwa takribani wiki moja na tumewafikia wengi.

Tunaendelea kuwakumbusha kuwa huduma hii ni BURE na itaendelea kutolewa hapa Hospitali ya Rufaa St.Gaspar-Itigi kwa mwaka mmoja(2026) kwa wagonjwa 200.

πŸ“ž Mawasiliano:
β€’ 0784 738 432
β€’ 0764 077 625
β€’ 0769 956 853
β€’ 0755 454 040

ReSurge International

Address

Itigi
12

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when St. Gaspar Referral and Teaching Hospital posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to St. Gaspar Referral and Teaching Hospital:

Share

Category