05/04/2026
KUNA SIKU NILIGUNDUA…
Sijawahi Kuwa Mfanyabiashara –NILIKUWA Najaribu TU KUISHI.
Nakumbuka vizuri…
Nikiwa nimekaa na ndoo yangu ya sabuni nilizotengeneza kwa mikono yangu mwenyewe.
Zilikuwa safi… zilikuwa na povu… zilikuwa na HARUFU nzuri kiasi cha kuvutia…
Lakini hazikuwa zinauzika.
Watu walikuja… wakauliza bei… wakatikisa kichwa… wakaondoka 🤔
Wengine walinunua mara moja… halafu hawakurudi tena…
Nilianza kujiuliza kwa fikra za ndani kwa ukimya…
“Tatizo ni ubora wa bidhaa… au kuna kitu SIKIONI?”
Na hapo ndipo nilipoanza kugundua ukweli mmoja MCHUNGU kidogo…😢
Biashara haiangalii juhudi zako… inaangalia MFUMO wako.
Na siku hiyo… niliacha kufikiria k**a mtengenezaji wa sabuni…
Nikaanza kufikiria k**a mjenzi wa kipato kinachorudiwa kila siku…
Na hapo ndipo mambo yalianza kubadilika…
👇🏾