07/11/2025
Jicho na ubongo vina uhusiano wa karibu sana. Jicho linakusanya picha na mwanga, lakini ubongo ndio unaotafsiri kile tunachokiona.
🔹 Jicho
• Linachukua mwanga kupitia konia (cornea) na lenzi (lens).
• Mwanga huo hubadilishwa kuwa ishara za umeme kwenye retina.
🔹 Ubongo
• Ishara hizo husafiri kupitia optic nerve (mshipa wa fahamu wa macho) hadi kwenye sehemu maalum ya ubongo inayoitwa visual cortex.
• Ubongo hutafsiri ishara hizo kuwa picha, rangi, umbile, na mwendo.
⚡ Kwa kifupi:
👉 Jicho ni k**a kamera inayorekodi picha.
👉 Ubongo ni k**a kompyuta inayozichakata na kuzipa maana.
Ndiyo maana tunasema:
“Hatuoni kwa macho, tunaona kwa ubongo – macho ni mlango tu wa taarifa.”
See better. Think better.