Shekhe mponda mganga

Shekhe mponda mganga shekhe mponda mganga

07/01/2023

WACHAWI

Uchawi sio jambo geni barani Africa na Ulimwenguni kwa ujumla

Uchawi ni jambo baya zaidi, Lakini inakuaje bado linashamiri zaidi Africa, na wakati kwa muonekano wa nje wachawi wanaonekana ni watu mafukara na masikini hivyo watu wengi hujiuliza wanafaidika na nini ktk uchawi wakati maisha yao ayabadiliki na kuwa mazuri?

Kumbuka uchawi unatumiwa na wenye hali tofauti matajiri na masikini hivyo dhana ya kuwa uchawi unafanywa na masikini tu iondoe.

Lakini kuna kitu wengi hatukijui ambacho ni utajiri mkubwa wanaoupata wachawi ktk ulimwengu wao ingawa ktk ulimwengu wetu wa dunia wanaonekana ni masikini .

Ieleweke kwanza uchawi ni kitu kikubwa na kina faida nyingi ktk ulimwengu wao na ndio maana mchawi ata akifanywa nini inakua ngumu kwake kuacha, kwa sababu ktk ulimwengu wao wa kichawi mtu anakua mfalme, rais na kiongozi mkubwa kulingana na eneo, wanapata heshima kubwa sana na Mali nyingi lkn wasiokuwa wachawi hawawezi kuona hilo, ndio maana mchawi ata akiwa mdogo lazima awe na zarau kwa sababu ktk ulimwengu wao ni mtu mkubwa na anatumikiwa na watu wakubwa k**a mfalme.
USIJARIBU KUINGIA KTK UCHAWI MAANA UTAMU WAKE NI NGUMU KUUACHA.
NB: WANAWAKE NI WENGI ZAIDI KTK KUNDI LA WACHAWI HIVYO MWANAUME USIEPENDA MWANAMKE MCHAWI BASI UJUE UNAKAZI NGUMU SANA YA KUCHAGUA KWANI NI WENGI SANA WALIOINGIA KTK CHAMA HICHO UKILINGANISHA NA WANAUME.

SHEKHE YAHAYA MPONDAA /PIGA SIMU /+255710265280 KOKOTE ULIPO NA HATA UKIWA MBALI INAWEZEKANA VYEMA KABISA :- MAPENZI.:- ...
06/01/2023

SHEKHE YAHAYA MPONDAA /PIGA SIMU /+255710265280 KOKOTE ULIPO NA HATA UKIWA MBALI INAWEZEKANA VYEMA KABISA

:- MAPENZI.
:- KUMVUTA ALIE MBALI.
:- KUMFUNGA MUME/MKE ASIENDE NJE.
:- KUMUEKEA MPENZI TEGO, ENDAPO ATALALA NA MWENGINE BASI ANAKWAMA.
:- KUMRUDISHA ALIE KUACHA.
:- KUENUA BIASHARA/KUVUTA WATEJA.
:- KUSAFISHA NYOTA.
:- KUWA NA MVUTO IWE KWA MUME AU MKE.
:- CHEO KAZINI AMA MAHALA POPOTE PALE.
:- KUFUKUZA KESI.
:- KUPATA MALI KULINGANA NA NYOTA YAKO.
:- NGUVU ZA KIUME /K**E.
:- SHIDA ZA KUPATA MTOTO KWA MWANAMKE AU HATA MUME.
:- KUKINGA BOMA LAKO NA FAMILY YAKO NA WACHAWI.
:- KUNASA MWIZI/ KUTAKA KUJUA ALIE KUIBIA KITU AMA VITU VYAKO.
:- KWA WALA WANAO TAKA MVUTO KWA WANAUME AMA WANAWAKE.
:- KWA WALE WALIO DHULUMIWA.
:- KWA WALE WANAO TAKA KUFAULU MAHALA POPOTE PALE IWE SHULE AU VYUO VIKUU.
:- KUPATA UTAJIRI WA KIMAJINI.
:- WALIO NA SHIDA YA MIGUU KUWAKA MOTO.
:- KICHWA KUUMA BILA CHA MZINGI.
:- MGONGO KUWAKA MOTO NA KUPASUA.
:- KUTOA HARUFU SEHEMU ZA SIRI.
:- KUFURA MIGUU.
:- MAGONJWA SUGU.
:- PRESSURE.
:- MOTO KWENYE TUMBO.
:- KUWASHWA NA KUISI VITU VIKITEMBEA MWILINI.
:- KURUKWA NA AKILI YANI KUWA MWENDA WAZIMU.
:- KUISI MAWAZO MENGI HADI KUTAKA KUJITOA UHAI.
:- MWILI KUWA MZITO HADI KUTEMBEA MATATIZO.
:- KUTOA MAJINI LIWE MWILINI NA HATA KWENYE BOMA.
:- SHIDA YA KUPATA VIBALI NCHI YOYOTE AU MAHALA POPOTE, VIWE VYA SHAMBA, MALI, KAZI, AU URAIA WA NCHI.

MPIGIE shekhe yahaya mponda mganga +255710265280

06/01/2023

SHEKHE YAHAYA MPONDAA /PIGA SIMU /+255710265280 KOKOTE ULIPO NA HATA UKIWA MBALI INAWEZEKANA VYEMA KABISA

:- MAPENZI.
:- KUMVUTA ALIE MBALI.
:- KUMFUNGA MUME/MKE ASIENDE NJE.
:- KUMUEKEA MPENZI TEGO, ENDAPO ATALALA NA MWENGINE BASI ANAKWAMA.
:- KUMRUDISHA ALIE KUACHA.
:- KUENUA BIASHARA/KUVUTA WATEJA.
:- KUSAFISHA NYOTA.
:- KUWA NA MVUTO IWE KWA MUME AU MKE.
:- CHEO KAZINI AMA MAHALA POPOTE PALE.
:- KUFUKUZA KESI.
:- KUPATA MALI KULINGANA NA NYOTA YAKO.
:- NGUVU ZA KIUME /K**E.
:- SHIDA ZA KUPATA MTOTO KWA MWANAMKE AU HATA MUME.
:- KUKINGA BOMA LAKO NA FAMILY YAKO NA WACHAWI.
:- KUNASA MWIZI/ KUTAKA KUJUA ALIE KUIBIA KITU AMA VITU VYAKO.
:- KWA WALA WANAO TAKA MVUTO KWA WANAUME AMA WANAWAKE.
:- KWA WALE WALIO DHULUMIWA.
:- KWA WALE WANAO TAKA KUFAULU MAHALA POPOTE PALE IWE SHULE AU VYUO VIKUU.
:- KUPATA UTAJIRI WA KIMAJINI.
:- WALIO NA SHIDA YA MIGUU KUWAKA MOTO.
:- KICHWA KUUMA BILA CHA MZINGI.
:- MGONGO KUWAKA MOTO NA KUPASUA.
:- KUTOA HARUFU SEHEMU ZA SIRI.
:- KUFURA MIGUU.
:- MAGONJWA SUGU.
:- PRESSURE.
:- MOTO KWENYE TUMBO.
:- KUWASHWA NA KUISI VITU VIKITEMBEA MWILINI.
:- KURUKWA NA AKILI YANI KUWA MWENDA WAZIMU.
:- KUISI MAWAZO MENGI HADI KUTAKA KUJITOA UHAI.
:- MWILI KUWA MZITO HADI KUTEMBEA MATATIZO.
:- KUTOA MAJINI LIWE MWILINI NA HATA KWENYE BOMA.
:- SHIDA YA KUPATA VIBALI NCHI YOYOTE AU MAHALA POPOTE, VIWE VYA SHAMBA, MALI, KAZI, AU URAIA WA NCHI.

MPIGIE shekhe yahaya mponda mganga +255710265280

06/01/2023

LIMBWATA RAHISI: TUMIA TARASIMU HIYO KUTENGENEZA LIMBWATA:

K**a unahitaji kumcontrol mpenzi wako, Boss wako, mume wako n.k basi leo nakufundisha limbwata hili rahisi litakalojuwezesha kutimiza adhma yako hiyo.

MAHITAJI:
Chungu Cheusi
Mayai nane ya Kienyeji
Moto wa mkaa au kuni (Sio gesi)
Njiwa Mweupe

MAANDALIZI:
Chora tarasimu hiyo katika picha na uitie kwenye Chungu.
Chukua mayai yako kisha yaandike Alifu mara nane.
Weka mayai hayo katika chungu kisha weka kwenye moto.
Kikiwa kwenye moto, kisomee Surat Fatiha mara 4 na pamoja na Surat Nashrah mara 31.
Chukua njiwa wako kisha unuie unayoyataka kwa mpenzi wako kisha mchinje njiwa huyo na dam iingie moja kwa moja katika chungu.
Chukua Chungu hicho kakivunje njia panda kwa manuizi.

Hadi hapo utakua unekamilisha limbwata hili rahisi, Subiri majibu kwa muda usiopungua masaa 24 tu.

Acha kupoteza pesa pasipo na matumaini wala mafanikio kwa watu wa laghai, kwa tiba mujarabu za kissunah na kisomo cha kisheria(Ruqyah) usisite kuwasiliana nami mnajimu na tabibu wa tiba mbadala na maradhi sugu sheikh mponda kwa mawasiliano 👇🏿

+255 710265280

LEO NI SIKU YA BAHATI KWA WENYE NYOTA YA    MSHALE 🏹 VS  SAMAKI 🐬UCHAMBUZI WA NYOTA YA MSHALEnyota hii ya mshale ni nyot...
06/01/2023

LEO NI SIKU YA BAHATI KWA WENYE NYOTA YA

MSHALE 🏹 VS SAMAKI 🐬

UCHAMBUZI WA NYOTA YA MSHALE
nyota hii ya mshale ni nyota yenye kujiamini mno na wenye wasiwasi kupitiliza yani akiwa na hofu yake huzidi kupitiliza pia nyota hizi hushauliwa kufanya kazi ambazo zenye kumpa uchangamfu na zenye kushika pesa masaa yote watu wenye nyota hizi pete yao ya bahati ni kito cha blue na madini yao ni silver ni watu wenye asili ya uchokozi na akiwa na asira uondoka eneo la tukio na kuwa na hali fulani hivi ya kutetemeka na watu wa nyota hizi kioo chake ni kwa nyota ya ng'ombe yani tabia za utukutu wao zinafanana utofauti ni kwamba ng'ombe tabia zimejificha arafu MSHALE tabia zinajionyesha wakikaa pamoja mshale vs ng'ombe huwa hupeana sapoti kubwa japo mshale time ni mtu mkorofi.....

😁🤣🤣Najua kuna wengi wanatamani niendelee kuchambua zaidi......

NYOTA YA SAMAKI 🐬
nyota ya samaki ni miongoni mwa nyota yenye upole ama utiifu na watu wenye nyota hizi kuna baadhi ya tabia zao zinafanana na nyota ya mizani
Pia watu hawa ni wepesi sana kuwaamini watu mfano kwenye mahusiano asilimia kubwa hubakia kuumiza moyo na hupenda sana ukweli pindi wanapo aahidiwa Jambo maisha yake hupenda kuwa na mtu ambaye anamuelewa na kumjali pia hupenda sana kuishi vizuri k**a ilivyo kwa wengine 😢☹️.

MUNGU AWABARIKI KWA KWELI 🙏

04/01/2023

Hakuna kitu kibaya k**a JINI MAHABA,Lile linalomfuata mtu kwenye ndoto ,Linafanya naye mapenzi weeeeee,Kuna wengine hata wakishutuka,wanajikuta ni k**a wametoka kufanya kweli. Kuna wakati huwa linafunga ndoa na mtu ndotoni kabisa,Unakuta mtu ndotoni ana maisha na familia kabisa ; Hasara zake ni hizi;

1. Linamfanya mtu ashindwe kufurahia tendo la ndoa anapokuwa na mwezi wake.

2.Linasababisha mgogoro isiyokoma kwenye ndoa na mahusiano .

3.Linamfanya mtu kukosa kibali kwa watu wengine.

4.Linasababisha mtu asipate mimba au kusababisha mimba.

5. Linamuunganisha mtu kwenye maagano ya giza,shetani anapata njia ya kukushambulia.

6. Linamfanya mwanamke asimpende mwanaume na wala mwanamme asimpende mwanamke ( Maana huwa linaona wivu)

7.Linamfanya mtu asipende maombi.[ Mtu akiota hiyo ndoto ya kufanya,baadaye huzuni inafunika moyo wake ]

8.Linafunga maisha ya mtu ya baadaye.

9.Linasababisha Mimba zinatoka au kuharibika.

10.Linaweza kumsababishia mwezi wako Kifo/Mauti ,Maana lina wivu sana na linaona ni k**a mke wake /au mme wake anachukuliwa na mtu mwingine.

11.Linamfanya mtu muda mwingi awe mtu wa hasira sana bila hata sababu.

12.Linaweza kumfanya mwanamke achoke mapema,maana kwenye ndoto unakuta mtu k**a ni mwanamke analo basi linaweza hata kumzalisha,ndiyo maana unakuta mtu anaoota ANA ZAA AU ANA WATOTO Kabisa ,na wakati mwingine anaota anafamilia ndotoni,mwingine anaota ananyonyesha,Ile hali humfanya mtu kuchoka,mtu anayetaka kukuoa ,anakuona mzee.

13.Linamfanya mtu k**a kachumbiwa ,ghafla amchukie mpenzi wake na kumuacha.

14. Linamfanya mtu asiowe au kuolewa kwa haraka k**a asipopata msaada wa kufunguliwa.

DAWA.
1.Kuokoka.
2.Tumia Damu ya Yesu kuvunja hilo agano la giza.
3.Hudhuria Maombi.
4.Jitahidi kusoma Neno la Mungu .

NYOTA YAKO LEO JUMATANO JANUARY 04/2023:UKIWA NA SHIDA YOYOTE YA KINYOTA NA TIBA, NIPO DAR ES SALAAM NAPATIKANA KILA SIK...
04/01/2023

NYOTA YAKO LEO JUMATANO JANUARY 04/2023:
UKIWA NA SHIDA YOYOTE YA KINYOTA NA TIBA, NIPO DAR ES SALAAM NAPATIKANA KILA SIKU OFISINI KWANGU MBANDE KIPONZA KUANZIA SAA 12 ASUBUHI MPAKA SAA 12 JIONI SIMU NAMBA
+255718575585 AU
+255769880429
+255786905227
MAALIM ANAPATIKANA MUDA WOTE.

✡️Email: maalimathuman22@gmail.com

☣️MBUZI– (December 22– January 20)

K**a Nyota Yako ni mbuzi 🐐 jumatano hii inaonyesha muangaza mzuri kwako katika biashara zako na mambo Yako utafanikiwa kiasi Unashauriwa usiwe na pupa katika mambo Fulani kuwa makini katika jambo lako lolote huemda ukapata faida ambayo hujaitarajia.

💞 *UPANDE WA MAPENZI*

Elewa uungwana wako ndio utakao kusaidia katika matatizo Yako ya kimapenzi kuwa mkweli kwa mwenza wako ingawa humuamini lakini hebu jaribu kukisema kile kinacho kusumbua katika nafsi Yako huenda jumatano hii ukapata njia nzuri ya kuweza kumaliza matatizo Yako.

☣️NDOO– (January 21– February 19)

K**a Nyota Yako ni ndoo jumatano hii nzuri kwako ingawa ulikuwa MTU wa huzuni nyingi zilizo kukatisha tamaa lakini huu si wakati wako wa kukata tamaa kwani fursa unayo ya kuweza kupanga mambo Yako haswa ukizingatia majukumu ulio nayo usikurupuke utakapotaka kufanya lolote jipange fikiria kabla ya kutekeleza jambo utafanya vizuri sana jumatano hii.

💞 *UPANDE WA MAPENZI*

Huenda ulizongwa sana na mapenzi k**a ilivyo onekana jumatano iliopita lakini jumatano hii katika upande wa mapenzi sio mbaya kwako hivyo nivyema uwe mpole pia utakapo hitaji kusema jambo lolote au kufanya jambo Fulani au kufanya mazungumzo na mwenza wako ni lazma uwe mpole k**a inavyo onekana Nyota Yako usiwe unapenda kukurupuka bila kujipanga unaweza kupata majibu usio yategemea pia inaonyesha utapata liwazo kutoka kwa mwenza wako.

☣️SAMAKI– (February 20– March 20)

K**a Nyota Yako ni samaki 🐟 jumatano hii pamoja na wewe kuwa mkweli mpenda watu na mpenda amani miongoni mwa watu wako wapo maadui zako watakao kunyima amani na furaha huenda ukapata kipato kizuri jumatano hii k**a utaweza kujihadhari na watu hawo kuwa makini makini sana unaweza kupata hasara usio itegemea kutokana na uwadui ulio nao.

💞 *UPANDE WA MAPENZI*

Linalokusumbua ndani ya moyo wako ni mapenzi umekuwa unapata misuko suko mingi kwa ajili ya mapenzi sasa niwakati wako sasa wa kutafuta ugumbuzi maana jumatano hii ni nzuri kwako unaweza ukafanya jambo Fulani unalolifikiria ndani ya moyo wako na ukafanikiwa tumia fursa hii ili kuweza kuchukua maamuzi kwa ajili ya kujinusuru.

☣️PUNDA– (March 21– Aprili 20)

K**a Nyota Yako ni punda jumatano hii ni nzuri kwako ingawa unazo changamoto za hapa na pale lakini kuna uwezekano wa kufanikiwa katika jambo Fulani ingawa mitihani mingi imekutawala kila unalolifanya huwoni muelekeo wake lakini usikate tamaa jumatano hii sio mbaya kwako jaribu kumlilia Shida yule unaehisi atakusaidia huenda ukapata Bahati nzuri yenye faida kwako.

💞 *UPANDE WA MAPENZI*

Subra ulio nayo katika mapenzi ni nzuri sana ingawa kuna wakati inakukatisha tamaa lakini usiache kusubiri kwani huenda siku moja ukachukuwa maamuzi sahihii juu ya mpenzi wako anae kutia majaribuni endelea kusubiri usifanye maamuzi ya kukurupuka.

☣️NG'OMBE– (Aprili 21– May 20)

K**a Nyota Yako ni ng'ombe 🐄 jumatano hii mwanzoni mwa wiki na mwisho wa wiki itakuwa nzuri kwako utapata pesa ya ghafla lakini ifanyie kazi pia usiwe na khofu usiwe na wasi wasi juu ya mipango Yako kwani misimamo Yako na kutokubadili maamuzi ndio kutakufanya ufanikiwe mambo Yako fanyiwa dua ili kuondoa vifungo na kufanya mambo yawe mepesi zaidi.

💞 *UPANDE WA MAPENZI*

Ingawa una mapenzi sehemu tafauti lakini zingatia mpenzi mpya ama mke' mume mpya unaetaka kuishi nae kwani huyo mpya ulie nae nibora zaidi kuliko huyo unae mngangania kwasasa kwa maana una mipango mingi juu ya mahusiano Yako mapya nivyema ukaandaa mazingira kutekeleza jambo LA mahusiano mapya kwani huenda ukapata amani furaha na kipato chako kuongezeka ingawa mifarakano na maudhi hayaishi kutoka kwa mwenza wako wa zamani lakini kwasasa tegemea ushindi japo kuwa ulijaribu kutafuta ushindi kila wakati bila mafanikio lakini sasa usirudi nyuma kwakuwa fursa kubwa unayo na utafanikiwa.

☣️MAPACHA– (May 21– Juni 20)

K**a Nyota Yako ni mapàcha ♈ jumatano hii una mipango mingi sana ingawa umekuwa MTU wa kupanga mipango mingi sana isio na mafanikio lakini bado inaonyesha una mipango kem kem kwa ajili ya kuhakikisha unafanikiwa mambo yako jumatano hii ni nzuri kwako lakini unshauriwa kufanya dua pia nakupunguza mipango mingi ulio nayo jitahidi kutekeleza ile kiasi ulio Nayo utafanikiwa fanyiwa dua ili kupata wepesi zaidi katika kutekeleza majukumu yalio mbele Yako.

💞 *UPANDE WA MAPENZI*

Inawezekana unajiuliza mapenzi ni nini hupati jibu Inawezekana unajiuliza ni kwanini wewe tu lakini pia hupati jibu hayo yote yanaketwa na msongo wa mawazo yanayo sababishwa na mapenzi umekuwa MTU wa kulia kila Mara kwasababu ya mapenzi sasa tumia fursa ulio nayo jumatano hii kutengeneza mambo Fulani katika mapenzi ulio Nayo huenda furaha ikarudi upya na huzuni zikaisha.

☣️KAA– (Juni 21– Julai 22)

K**a Nyota Yako ni kaa 🦀 niseme kwamba jumatano hii unaweza kufanikiwa kile unacho kipanga au mipango Yako mingi ya kibiashara unaweza kufanikiwa lakini unashauriwa ufanye duwa kutokana na kipindi hiki sio kizuri sana kwako fanya dua punguza manunguniko na hasira utafanikiwa kwa kiasi fulani katika mipango yako.

💞 *UPANDE WA MAPENZI*

Punguza tamaa acha kuchanganya wapenzi, kuwa na msimamo kwani huenda manunguniko na kutojiamini kwako yanaweza kuendekea kuwepo kwakuwa umekuwa mpweke usie na msimamo na mtu wa kuhama hama kila ulie nae unaona hakufai jaribu kubadili muelekeo pia nimuhimu sana wewe kupata ushauri wa kinyota ili uweze kuona mwanga katika masuala yako ya kimapenzi.

☣️SIMBA LEO– (Julai 23– Agosti 22)

K**a nyota yako ni simba 🦁 wewe ni mfalume katika ufalume wako jumatano hii utafanya mambo mazuri, kipato kizuri mipango itaenda sawa ingawa unatakiwa uwe mpole na usikurupuke katika maamuzi yako binfasi utapata fedha ya gafla jaribu kuifanyia kazi pale utakapo ipata usipende kukaa peke yako jichanganye na watu huenda ukapata ushauri mwingi kutoka kwa marafiki zako.

💞 *UPANDE WA MAPENZI*

Naamini wewe ni mtu mwenye subra endelea kuvumilia mingi unayo pitia katika mapenzi uvumilivu wako na imani yako itakufanya ufanikiwe sana juu ya mipango yako ya ndoa ama kupekeka posa ama sherehe yote haya yamekaa vizuri na utafanikiwa jumatano hii nzuri kwako kimapenzi kaa karibu na mwenza wako tumia furasa hii kumpa maneno matamu na yakweli punguza wa ukali wa kisimba hakika utafurahia na amani na furaha vitarejea baada ya kuondokewa na huzuni.

☣️MASHUKE– (Agosti 23– September 23)

K**a nyota yako ni Mashuke jumatano hii ni nzuri sana kwako ingawa umetawaliwa na huzuni nyingi na mawazo memgi kwani mambo mengi unahusi kukwama lakini tulia wakati unafanya maamuzi yako usikurupuke kwani jumatano hii ni nzuri kwako unaweza kufanya mambo fulani au kutekeleza jambo katika mipango unayo ipanga.

💞 *UPANDE WA MAPENZI*

Usiamini sana mtu katika mapenzi kwani kosa lako kubwa nipale unapo muamini mwenza wako lazma mwisho wa siku utakuja kulia mpende mtu lakini usimuamini pia usipende kumueleza mwenza wako shida zako zote ukazitoa na siri zako huenda ikawa ndio fimbo ya kukuchapia baadae.

☣️MIZANI– (September 24– Oktoba 23)

K**a nyota yako ni mizani ⚖️ jumatano hii unashauriwa upunguze dharau yani jambo lolote ama taarifa zozote utakazo zipata usije ukazifanyia dharu kwani waweza kujikuta upo matatizoni jaribu kukaa mbali na maadui zako ingawa utakuwa na kipato kizuri lakini utakuwa na changamoto nyingi zinazotoka kwa maadui zako wasio kupenda Fanya dua sana na usipo kuwa makini jumatano hii kuna mtu mmoja unaweza kugombana nae na akakuletea matatizo.

💞 *UPANDE WA MAPENZI*

Ingawa unaonekana mwenye mahaba mengi lakini mwenza wako hujifanya kipofu nivyema ukae nae uzungumze nae kwa upole na taratibu kuna jambo utalingunduwa kwake linalo mkosesha furaha na amani.

☣️NG'E– (Oktoba 24– November 21)

K**a nyota yako ni ng'e 🦂 jumatano hii utapata habari yenye kukushtuwa lakini haitakuwa na madhara kwako ingawa mikono yako imekuwa haina barala ya kushika pesa na ukizipata hazikai jaribu kutumia furasa hii kurekebisha tatizo ulilo nalo huenda mwili wako si salama lakini umekuwa mtu wa kupuuzia jaribu kukaa mbali na watu wanao kudai au kuwalipa kabisa maana wanaweza kukuletea manenp ya kashfa au kukufedhehesha. Kuwa mkweli kwa watu unaweza kupata ufumbuzi wa jambo fulani linalo kusumbua.

💞 *UPANDE WA MAPENZI*

Ingawa umekuwa na tabia ya kuachwa mara kwa mara na wapenzi wako sasa niwakati wako wa kubadilika kupunguza hasira ambazo hazina kichwa wala miguu punguza makelele na kujuwa kwingi usipo fanya hivyo jumatano hii kuna uwezekano wa kumkosa mpenzi ulie nae kutokana na mifarakano inayo endelea katika mahusiano yako ya kimapenzi.

☣️MSHALE– (November 22– December 21)

K**a nyota yako ni mshale 🏹 jumatano hii sio mbaya kwako ingawa una changamoto za hapa na pale kwa maana umekuwa mtu wa kuahidiwa ahadi ambazo hazitimii, umekuwa mtu wa mipango mingi isio kamilika na umekuwa mtu wa kugeukwa na marafiki zako na watu wako wa karibu ulio waamini nivyema kutumia fursa hii kufanya lolote ili kuondowa vifungo vilivyo tawala kwenye Nyota Yako.

💞 *UPANDE WA MAPENZI*

Unashauriwa kuwa na subra katika mapenzi yako kwa sasa pamoja na changamoto zinazo kukabili katika upamde wa mapenzi ugomvyi, chuki, mifarakano isio kuwa na kichwa wala miguu unashauriwa kufanya subra ingawa inakutoa machozi lakini subra yako itakufikisha sehemu nzuri na itakufanya uweze kuwa na maamuzi mazuri.

04/01/2023

SHEKHE YAHAYA MPONDAA /PIGA SIMU /+255743937240/ KOKOTE ULIPO NA HATA UKIWA MBALI INAWEZEKANA VYEMA KABISA

:- MAPENZI.
:- KUMVUTA ALIE MBALI.
:- KUMFUNGA MUME/MKE ASIENDE NJE.
:- KUMUEKEA MPENZI TEGO, ENDAPO ATALALA NA MWENGINE BASI ANAKWAMA.
:- KUMRUDISHA ALIE KUACHA.
:- KUENUA BIASHARA/KUVUTA WATEJA.
:- KUSAFISHA NYOTA.
:- KUWA NA MVUTO IWE KWA MUME AU MKE.
:- CHEO KAZINI AMA MAHALA POPOTE PALE.
:- KUFUKUZA KESI.
:- KUPATA MALI KULINGANA NA NYOTA YAKO.
:- NGUVU ZA KIUME /K**E.
:- SHIDA ZA KUPATA MTOTO KWA MWANAMKE AU HATA MUME.
:- KUKINGA BOMA LAKO NA FAMILY YAKO NA WACHAWI.
:- KUNASA MWIZI/ KUTAKA KUJUA ALIE KUIBIA KITU AMA VITU VYAKO.
:- KWA WALA WANAO TAKA MVUTO KWA WANAUME AMA WANAWAKE.
:- KWA WALE WALIO DHULUMIWA.
:- KWA WALE WANAO TAKA KUFAULU MAHALA POPOTE PALE IWE SHULE AU VYUO VIKUU.
:- KUPATA UTAJIRI WA KIMAJINI.
:- WALIO NA SHIDA YA MIGUU KUWAKA MOTO.
:- KICHWA KUUMA BILA CHA MZINGI.
:- MGONGO KUWAKA MOTO NA KUPASUA.
:- KUTOA HARUFU SEHEMU ZA SIRI.
:- KUFURA MIGUU.
:- MAGONJWA SUGU.
:- PRESSURE.
:- MOTO KWENYE TUMBO.
:- KUWASHWA NA KUISI VITU VIKITEMBEA MWILINI.
:- KURUKWA NA AKILI YANI KUWA MWENDA WAZIMU.
:- KUISI MAWAZO MENGI HADI KUTAKA KUJITOA UHAI.
:- MWILI KUWA MZITO HADI KUTEMBEA MATATIZO.
:- KUTOA MAJINI LIWE MWILINI NA HATA KWENYE BOMA.
:- SHIDA YA KUPATA VIBALI NCHI YOYOTE AU MAHALA POPOTE, VIWE VYA SHAMBA, MALI, KAZI, AU URAIA WA NCHI.

MPIGIE shekhe yahaya mponda mganga +255710265280

shekhe mponda mganga

Address

Kigoma
Kibondo
255

Telephone

+255743937240

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Shekhe mponda mganga posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Shekhe mponda mganga:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category