Mapenzi Na Ushauri & Mpate Unaemtaka

Mapenzi Na Ushauri & Mpate Unaemtaka Unauwezo wa kuishi nae, jifunze. vitu vya kufanya ataishi na wewe milele. kuna uwezo kano wa kumbadili tabia yule unae mpenda, amini na anza kumbadili sasa.

Mwpenzi yana kanuni hakikisha unazijua kanuni zake, ziweke kichwani zitende kwa vitendo.

14/02/2025

Kuchagua mwànamke wa kuoa na kuchaguliwa mwanamke unaetaka kumuoa, ndoa zipi zinazodumu?

01/03/2024

Kupenda ni kutoa sio kupokea.

12/04/2022

JIULIZE EWE MWANAMKE.

Hivi mkiachana leo ni kitu gani ambacho unahisi, hatokipata kwa urahis kwa mwanamke mwingine ambacho au ambavyo wewe unamfanyia huyo mwanaume wako?

Usiseme nimemzalia na mwingine atamzalia, usiseme mi mzur, warembo ni weng sana, usiseme unashapu, wapo wengi walio nao.

Na k**a ukijihis hauna cha kujivunia kwamba akiachana na ww leo, hakun akitu ambacho ataoata shida kukipata kwa mwanamke mwingine.

Basi jua unajifariji, huyo mwanaume si wako peke yako, na kma ni wako nenda ukasali ujiulize km anamatatizo au ni mgonjwa k**a sivyo, jiulize hiv ni kweli ni mchamungu kiasi hicho.

K**a yote hamna, jua haupo peke yako hata k**a unapewa unachomuomba.

Ukweli utaelewek kwa wachache tu.

12/04/2022

HATUA CHACHE CHA KUMFANYA UNAEMPENDA AKUPENDE KWA VITENDO (Proved).

Kwa kwa mwanaume
1. Acha kupiga sim mara kwa mara.
2. Usimpe kila anachokuomba hata k**a Unacho.
3. Usimwambie unampend mara kwa mara (mfanye aimiss kuis*kia toka kwako).
4. Kuwa busy na maisha yako, yy awe kampan kwa mda fulan.
5. Tenga muda kwa ajili yake na uwe mda mchache san.
6. Ukipata nafas, toa mda wa kums*kiliza zaid kuliko kuongea, yan muongeleshe.
7. Usivunje mipango yako kwa ajili yake hapendi.
8. Toa kadri ya uwezo wako, usiongez utaumbuka s*k moja.
9. Mfunze jambo kwa mda fulan.
10. As*kujue san kiundan.
11. Usisem kila kitu, wala usijibu kila swali. Utaboa

Usipuuze, sasa wewe jifanye unajua kupenda saaana.

Ujifanye unatoa sana zawad, na kumuimbia nyimbo, utakuja tu kuniambia unashare na nani

12/04/2022

Ukitaka kupendwa na mwanamke acha kumbughudhi na kumpa kero.

Wanataka mda wa kukufikiria, sas sijui atakufukilia wakat gan wakat kila mda unapiga sim na kutuma sms.

Mapenzi yanajengwa ukiwa mbali sio ukiwa karibu, wewe endelea kung'ang'ana pemben yake km bodyguard, alafu useme haupendi.

Ushakuwa k**a kero, yan umekuwa chawa, kuwa busy na maisha ili apate muda wa kukumiss na kuhitaji ukaribu na ww.

Wachache wataelewa, ila wale wanaoumia kila s*ku hawataelewa k**a hatabadilika.

11/02/2022

KITANDA

Ni sehem muhim sana ktk kujenga maisha ya familia na wanandoa pia, ila watu wengi wamekipuuza sana kitanda.

Sitak niyagusie sana yanayofanyika ktk sehem hiyo ya kitanda, na namna ipi bora ya kufanyika, ila nataka nizungumzie kwa uchache kidogo, pia athari, na faida za kitanda. L

Ktk mahusiano mengi ya wanandoa kitanda imekuwa ni sehem ya kawaida san, tena huwa hata haichukuliw umuhim hata km ndio sehem ya pekee ambayo yeye na mwenza wake hutumia mda mwing wakiwa pamoja.

Kwenye ulingo wa kitanda huwa kunatokea mambo meng sana, ambayo ndio zao la familia ila ya muhim ni km vile; 1. Kujamiiana, 2. kujadiliana/maongezi, na 3. ukaribu wa mwili kwa mwili na mwenza, pia 4. sehem ya kupumzika.

Kwa sasa kitanda majukum yake hayo manne, yamekuwa hayafanyik ipasavyo, wengi kitanda imebak km sehem ya kupumzikia, na hata ktk kujamiiana kumejawa na ubinafsi wa mtu kumaliza ashk ya mwil wake kwa wanaume basi.

Ktk hili napend kugusia upande mmoja baada ya ungine, nikianza na kwa mwanaume.
Hakika kwa mwanaume, sykolojia inasema mwanaume aliyemkamilif kimwil na hisia huwa anafikiria kuhusu mwanamke kimapenz mara 5 na zaid kwa s*ku. Kwa maana nyingine kujamiina kwa mwanaume ni sehem ya msing ktk maish yake.
Hii inamaanisha pia mwil wa mwanaume unahisia km ambavyo mwil wa mwanamke unahisia. Hivyo kuna ving anavyohitaji ili kukidhi haja yake.

Kisykolojia na kisayans kujamiiana huwa kuna faida kubwa ktk mwil wa mwanaume, moja wapo ni kutulia kwa fikra na mawazo chanya, kuondoa ashki ktk mwili, tatu kuujenga mwili na kuuandaa kwa majukum mengine.

Hivyo kuna umuhim kwa mwanamke kumtambua mwanaume, na kujua yupoje kihisia na kimwili ili ammudu vizuri. Ktk siri moja wapo ni kwamba mwanaume akilidhika ktk kujamiiana kwa kumaliz ashki zake za mwili kwa wakat huo wa kujamiiana, huwa na uwezo mkubwa wa kumudu mambo meng ya nje pia husaidia ktk kuilinda ndoa yake kwa kumjali mkewe zaidi na zaid kuliko kawaida. Hivyo ni muhim kwa mwanamke ajue jinsi ya kuumilik mwili wa mwanaume wake ili mwanaume wake aweze kumjali zaidi na zaidi.
Hapa sisemei kuhusu kuwa na mahusiano mengine, hiyo n mada nyingine hapa nagusia ktk kumjali zaidi kwa mahitaji.

Swali, ni wanawake wangapi wanaojua unuhim wa kuujua mwili wa mwanaume na kutumia ujuzi wake ili kuumilik mwili wa mtu wake, ili kumaliza hisia za mwanaume wake?

Kwa upande wa mwanamke kitanda kina umuhim sana hasa ktk kujenga tabia ya mwanamke na utulivu ktk familia. Kisykolojia mwanamke ni mwingi wa maongezi, na ktk hilo huwa anapend apate kus*kilizwa pia na kuongeleshwa.

Hivyo wanaume wanatakiwa kuwa wanatenga muda kwa ajili ya kuongea na mkewe pia kukaa na kus*kiliza porojo ama stor za mwanamke wake. Unaweza kuwa ni mwanaume ukaacha huduma zote nyumbani ila k**a hautengi muda wa kuongea na mwanamke wako hata k**a hana point, basi jua kutokutenga muda huko kunaathiri ubora na uimara wa mahusiano yako/hayo.

Pia ktk hilo, maongezi mengine yawezafanyika ktk kitanda na mengine nje na kitanda. Usifik kitandan km vile mtu unaingia mahak**an kupew hukum. Kwa kutenga muda huko mwanamke huwa hormon zake zinakuwa ktk ulinganifu na kuongeza utuliv wa akili.

Pia kwa mwanamke hisia za kujamiana si kali km za mwanaume, ingawa huwa anahitaji kufika mshindo wa mwisho mara kadhaa anapopandishwa kilelen. Na hakika wanaume wengi huwa wanadharau kuwafikisha kilele wanawake zao na hii huleta matatizo mengi ndani ya familia zao na athari zingine kisaikolojia.

Wengi wa wanaume wamekuwa wabinafsi, huwa wanawaza kutimiza haja zao za kimwili bila kuwafikilia wenza wao km tayar washafika ama bado. Na hii huwa inawaathiri sana wanawake kisaikolojia kwa kubaki na mguso ambao ulitakiwa kukunwa ila haukuisha.

Athari zake kadhaa za kutofikishwa ni k**a vile:-
*Kuwa na hasira za haraka na jaziba sana kwa wengi wa wanawake, kila atakapokuwa ameudhiwa hasa kwa mumewe. Na hii huwa inakuja bila ya yeye pia kujitambua, na inaletwa kwa kubaki kwa hormon nying ambazo zingehitajika zitoke kwa kufikishwa.
*Heshima kushuka kwa kutoms*kiliza sana mumewe kila atakapomuamuru jambo fulani.
*Kupungua kwa kujijali, kwa kujiweka msafi ama uzuri wa mwili kwa kujipodoa. Muda mwingi anakuwa yupo rafu/ovyo.
*Mwili kukak**aa kwa kutokutoa ashki yake yote, yan mwil haulainik vizur k**a asili yao.
*kutokutanuka vizur, kwa kupata shep nzuri zaid. Unawez kuona ukaona anayo kumbe ingezid hapo km angefika ambapo angetakiwa kufika.
*n.k

Kuna mengi ya kuzungumz kuhusu kitanda. Ila waswahili wanasema mazuri machache, vingi vinakera.

Tujaribu kila mtu kwa wakat wake atoe muda wa kumsoma mwenzie, pia muda wa kufundishan baadhi ya mambo. K**a unapenda kukunwa bega, jifunze kusema na kumfunza mwenzio wapi pengine unapotaka kuguswa.
Maana yeye si malaika aoteshwe kila unalotaka ufanyiwe.
Pia tupunguze ubinafsi wa kuwaza nini ufanyiwe na mwenzio sasa waza ukiwa nae kitandani kipi unapenda umfanyie km kiburudisho chako.

Yote hii ni kutaka familia ziweze kudumu zaid na zaidi na mapenzi ya kumcha mungu yazid kuendelea.

Mtume (s a.w) anasema kumfuata mkeo bila kumuandaa, ni udayuthi/ujinga. Na haipendez kwa muumin wa kweli.

Watu tujifunze, elim haina mwisho.

11/02/2022

"KITANDA"

Ni sehem muhim sana ktk kujenga maisha ya familia na wanandoa pia, ila watu wengi wamekipuuza sana kitanda.

Sitak niyagusie sana yanayofanyika ktk sehem hiyo ya kitanda, na namna ipi bora ya kufanyika, ila nataka nizungumzie kwa uchache kidogo, pia athari, na faida za kitanda. L

Ktk mahusiano mengi ya wanandoa kitanda imekuwa ni sehem ya kawaida san, tena huwa hata haichukuliw umuhim hata km ndio sehem ya pekee ambayo yeye na mwenza wake hutumia mda mwing wakiwa pamoja.

Kwenye ulingo wa kitanda huwa kunatokea mambo meng sana, ambayo ndio zao la familia ila ya muhim ni km vile; 1. Kujamiiana, 2. kujadiliana/maongezi, na 3. ukaribu wa mwili kwa mwili na mwenza, pia 4. sehem ya kupumzika.

Kwa sasa kitanda majukum yake hayo manne, yamekuwa hayafanyik ipasavyo, wengi kitanda imebak km sehem ya kupumzikia, na hata ktk kujamiiana kumejawa na ubinafsi wa mtu kumaliza ashk ya mwil wake kwa wanaume basi.

Ktk hili napend kugusia upande mmoja baada ya ungine, nikianza na kwa mwanaume.
Hakika kwa mwanaume, sykolojia inasema mwanaume aliyemkamilif kimwil na hisia huwa anafikiria kuhusu mwanamke kimapenz mara 5 na zaid kwa s*ku. Kwa maana nyingine kujamiina kwa mwanaume ni sehem ya msing ktk maish yake.
Hii inamaanisha pia mwil wa mwanaume unahisia km ambavyo mwil wa mwanamke unahisia. Hivyo kuna ving anavyohitaji ili kukidhi haja yake.

Kisykolojia na kisayans kujamiiana huwa kuna faida kubwa ktk mwil wa mwanaume, moja wapo ni kutulia kwa fikra na mawazo chanya, kuondoa ashki ktk mwili, tatu kuujenga mwili na kuuandaa kwa majukum mengine.

Hivyo kuna umuhim kwa mwanamke kumtambua mwanaume, na kujua yupoje kihisia na kimwili ili ammudu vizuri. Ktk siri moja wapo ni kwamba mwanaume akilidhika ktk kujamiiana kwa kumaliz ashki zake za mwili kwa wakat huo wa kujamiiana, huwa na uwezo mkubwa wa kumudu mambo meng ya nje pia husaidia ktk kuilinda ndoa yake kwa kumjali mkewe zaidi na zaid kuliko kawaida. Hivyo ni muhim kwa mwanamke ajue jinsi ya kuumilik mwili wa mwanaume wake ili mwanaume wake aweze kumjali zaidi na zaidi.
Hapa sisemei kuhusu kuwa na mahusiano mengine, hiyo n mada nyingine hapa nagusia ktk kumjali zaidi kwa mahitaji.

Swali, ni wanawake wangapi wanaojua unuhim wa kuujua mwili wa mwanaume na kutumia ujuzi wake ili kuumilik mwili wa mtu wake, ili kumaliza hisia za mwanaume wake?

Kwa upande wa mwanamke kitanda kina umuhim sana hasa ktk kujenga tabia ya mwanamke na utulivu ktk familia. Kisykolojia mwanamke ni mwingi wa maongezi, na ktk hilo huwa anapend apate kus*kilizwa pia na kuongeleshwa.

Hivyo wanaume wanatakiwa kuwa wanatenga muda kwa ajili ya kuongea na mkewe pia kukaa na kus*kiliza porojo ama stor za mwanamke wake. Unaweza kuwa ni mwanaume ukaacha huduma zote nyumbani ila k**a hautengi muda wa kuongea na mwanamke wako hata k**a hana point, basi jua kutokutenga muda huko kunaathiri ubora na uimara wa mahusiano yako/hayo.

Pia ktk hilo, maongezi mengine yawezafanyika ktk kitanda na mengine nje na kitanda. Usifik kitandan km vile mtu unaingia mahak**an kupew hukum. Kwa kutenga muda huko mwanamke huwa hormon zake zinakuwa ktk ulinganifu na kuongeza utuliv wa akili.

Pia kwa mwanamke hisia za kujamiana si kali km za mwanaume, ingawa huwa anahitaji kufika mshindo wa mwisho mara kadhaa anapopandishwa kilelen. Na hakika wanaume wengi huwa wanadharau kuwafikisha kilele wanawake zao na hii huleta matatizo mengi ndani ya familia zao na athari zingine kisaikolojia.

Wengi wa wanaume wamekuwa wabinafsi, huwa wanawaza kutimiza haja zao za kimwili bila kuwafikilia wenza wao km tayar washafika ama bado. Na hii huwa inawaathiri sana wanawake kisaikolojia kwa kubaki na mguso ambao ulitakiwa kukunwa ila haukuisha.

Athari zake kadhaa za kutofikishwa ni k**a vile:-
*Kuwa na hasira za haraka na jaziba sana kwa wengi wa wanawake, kila atakapokuwa ameudhiwa hasa kwa mumewe. Na hii huwa inakuja bila ya yeye pia kujitambua, na inaletwa kwa kubaki kwa hormon nying ambazo zingehitajika zitoke kwa kufikishwa.
*Heshima kushuka kwa kutoms*kiliza sana mumewe kila atakapomuamuru jambo fulani.
*Kupungua kwa kujijali, kwa kujiweka msafi ama uzuri wa mwili kwa kujipodoa. Muda mwingi anakuwa yupo rafu/ovyo.
*Mwili kukak**aa kwa kutokutoa ashki yake yote, yan mwil haulainik vizur k**a asili yao.
*kutokutanuka vizur, kwa kupata shep nzuri zaid. Unawez kuona ukaona anayo kumbe ingezid hapo km angefika ambapo angetakiwa kufika.
*n.k

Kuna mengi ya kuzungumz kuhusu kitanda. Ila waswahili wanasema mazuri machache, vingi vinakera.

Tujaribu kila mtu kwa wakat wake atoe muda wa kumsoma mwenzie, pia muda wa kufundishan baadhi ya mambo. K**a unapenda kukunwa bega, jifunze kusema na kumfunza mwenzio wapi pengine unapotaka kuguswa.
Maana yeye si malaika aoteshwe kila unalotaka ufanyiwe.
Pia tupunguze ubinafsi wa kuwaza nini ufanyiwe na mwenzio sasa waza ukiwa nae kitandani kipi unapenda umfanyie km kiburudisho chako.

Yote hii ni kutaka familia ziweze kudumu zaid na zaidi na mapenzi ya kumcha mungu yazid kuendelea.

Mtume (s a.w) anasema kumfuata mkeo bila kumuandaa, ni udayuthi/ujinga. Na haipendez kwa muumin wa kweli.

Watu tujifunze, elim haina mwisho.

24/01/2022

VITU VYA KUZINGATIA KTK MAHUSIANO.

Hv unajis*kiaje kuingia ktk mchezo ambao haujui kanuni wala taratibu za kuucheza mchezo huo. K**a ikiw ni mpira ukiingia kuchez mpira basi tambua utakuwa miongoni mwa watu wanaocheza vibaya sana, na tena utakuwa unawakosea sana wachezaji wenzio, Refa, na pia hata mashabiki wataudhika na uchezaji wako.

Lakini pia mbona katika mapenzi watu wanaingia ktk mahusiano ikiwa pia hawajui wala hawajajifunza jambo lolote kuhusu mahusiano ya kimapenzi.

Basi kwa sasa yatambue baadhi ya vitu muhim vya kuzingatia pindi unapotaka kuingia ktk mahusiano. Na ukiona hujawa nayo basi, kuwa na subiria tenga muda kuvijua kisha ndio uingie ili usije kuwa mchezaji mbovu uwanjani.

Vitu vya kuzingatia.
1. Yajue majukum yako kwa huyo unaempenda, kabla ya kutaka kujua majukum yake kwako.
Fikiria kutoa penzi kabla ya kupokea.

2. Pili hakikisha una uvumilivu, au subira. Hakika hata wewe si kweli unamtendea yule unaempenda kila anachokitaka. Basi jua na yeye hatoweza kukufanyia kila unachokitaka.
Hakuna mkamilifu.

3. Faham majukum yake kwako, ili ujue wapi utakapo kosea umkumbushe mwenzio. Na sio kumlalamikia mbona hakufanyii hili au lile. Kwani ktk mahusiano ni kufunzana pia, hakuna mjuzi.

4. Uwe tayari kurekebishwa ama kukosolewa pale mwenzio anapokwambia haukuwa sahihi. Ukijiona unajihisi wewe ndio mjuzi wa kila kitu na huwa haukoseagi ktk mahusiano ujue unakasoro kubwa sana.

5. Ktk mahusiano huwa kunachangamoto, na ktk changamoto ndio mnafahamiana na kujifunza kupendana zaidi. Hivyo magomvi kwenu isiwe sehem ya kupunguza upendo bali ni kukuimarisha ili ujue kipi us*kosee tena.

6. Kuwa na huruma na timiza wajibu wako. K**a ni kutafuta tafuta k**a ni kusamehe samehe.

7. FANYA IBADA MAISHA YA DUNIANI YANA MWISHO USIISHI K**A HAPA DUNIANI UMEFIKA.

Mungu atutangilie katika mioyo yetu.

14/01/2022

Kuna sifa tano ambazo humfanya mwanamke ampende mwanaume.
1. Mamlaka 2. Ucheshi 3. Malengo makubwa 4. Vigezo. 5. Hadhi
Je, unavyo?

Address

Kigoma

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mapenzi Na Ushauri & Mpate Unaemtaka posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Mapenzi Na Ushauri & Mpate Unaemtaka:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category