AFYA IMARA

AFYA IMARA Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from AFYA IMARA, Medical and health, mbuyuni, Kilimanjaro.

UFAHAMU HUGONJWA HATARI KWA WANAWAKE. UFAHAMIKAO K**A  P.I.DPelvic Inflammatory Disease Ni maambukizi katika via vya uza...
21/12/2021

UFAHAMU HUGONJWA HATARI KWA WANAWAKE. UFAHAMIKAO K**A P.I.D

Pelvic Inflammatory Disease
Ni maambukizi katika via vya uzazi. Wanawake wengi husumbuliwa na tatizo hili kulingana na sababu zifuatazo:-
Matumizi ya antibiotics Kwa wingi, kimsingi matumizi haya huuwa bacteria wote, hivyo wanapokufa unakosa ulinzi wa bacteria wa kupambana na maambukizi. Kadhalika ujauzito ikiwa ni pamoja na kujifungua. Pia sababu nyingine ni matumizi ya condoms na kufanya ngono zembe.

DALILI ZA UGONJWA WA PID
1️⃣Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, au maziwa
2️⃣Kuwashwa sehemu za siri
3️⃣Uke kutoa harufu mbaya
4️⃣Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
5️⃣Uke kuwa wa ulaini sana
6️⃣Maumivu wakati wa tendo la ndoa
7️⃣Kuvurugika Kwa hedhi
8️⃣Kutokwa majimaji ukeni kupita kiasi
9️⃣Maumivu wakati wa kukojoa na wakati wa choo kubwa
🔟Homa, uchovu,kizunguzungu na kukosa hamu ya kula


MADHARA YA PID
•Ugumba
•Kansa ya shingo ya kizazi
•Mirija ya uzazi kuziba
•Majeraha kwenye mirija ya uzazi

inatibika na kupona Kwa haraka
Kwa ushauri au tiba ya tatizo hili waweza kuwasiliana nami kupitia

- WhatsApp 0769044226
- call 0782711079

UFAHAMU UGONJWA WA BAWASILI, VYANZO VYAKE,DALILI,MADHARA NA MATIBABU YAKE.🍀BAWASILI/MGOLO🍀☇bawasili ni ugonjwa unaotokea...
30/10/2021

UFAHAMU UGONJWA WA BAWASILI, VYANZO VYAKE,DALILI,MADHARA NA MATIBABU YAKE.

🍀BAWASILI/MGOLO🍀

☇bawasili ni ugonjwa unaotokea katika njia ya haja kubwa, hujitokeza k**a uvimbe au kinyama ambacho huweza kuonekana hadi nje.

☇kwa kiingereza hujulikana k**a piles.

☇na kitaalam hujulikana k**a haemorrhoids/piles

🍀AINA ZA BAWASILI🍀

👉1. BAWASILI YA NJE
Aina hii ya bawasili hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa na kuambatana na maumivu makali, pamoja na kuwashwa kwa ngozi katika eneo hilo. Mara nyingine mishipa hiyo ya damu (veins)hupasuka na dam kuganda hivyo kusababisha na kusababisha aina hii ya bawasili ambapo kitaalam inafahamika k**a Thrombosed haemorrhoid.

👉2.BAWASILI YA NDANI
Aina hii ya bawasili hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa, na huwa haiambatani na maumivu.
☇Aina hii imeainishwa katika madaraja manne yafuatayo
👉Daraja la 1. Bawasili kutokea katika pahala pake pa kawaida
👉Daraja la 2. Bawasili kutoka wakati wa haja na kurudi yenyewe baada ya haja (kujisaidia)
👉Daraja la 3. Bawasili kutoka wakati haja kubwa na mtu kuweza kuirudisha baada ya haja.
👉 Daraja la 4. Bawasili kutoka wakati wa haja kubwa na vigumu kuirudisha baada ya haja.

🍁BAWASILI HUSABABISHWA NA NINI?
👉Kufunga choo au kukosa choo kwa muda mrefu
👉Ujauzito-wakati wa ujauzito watu wengine wanaweza kupatwa na bawasili kwasababu ya msukumo wa mtoto karibia na sehem ya haja kubwa
👉kushiriki penzi kinyume na maumbile
👉Uzee- kadri miaka inavyosogea ndivyo inavyokuwa rahisi kwako kupatwa ugonjwa huu kwa baadhi ya watu.
👉Sababu za kurithi- baadhi ya watu wanaweza kurithi udhaufu wa ukuta huo wa njia ya haja kubwa ingawa ni kwa asilimia chache.
👉kuharisha sana kwa muda mrefu
👉kutumia vyoo vya kukaa
👉kunyanyua vyuma vizito
👉mfadhaiko stress
👉uzito na unene kupita kiasi

🍀DALILI ZA BAWASILI 🍀
👉maumivu wakati wa kujisaidia haja kubwa
👉Damu kutoka wakati wa kujisaidia
👉kupata muwasho sehem ya haja kubwa
👉uvimbe au kinyama kuota sehem ya haja kubwa
👉hajakubwa yaweza kujitokea mda wowote
👉choo kuwa kigumu au muda mwingine kukosa choo kwa siku hata tatu
👉maumivu makali ya kiuno na mgongo
👉tumbo kujaa gesi mara kwa mara
👉kutokushiba vizuri au kupata njaa baada ya muda mfupi kumaliza kula.
👉watu wengine macho kuwa mekundu

🍀ATHARI ZA BAWASILI🍀
👉upungufu wa dam mwilini
👉kinyesi kutoka bila kujitambua
👉kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
👉kupungukiwa nguvu za kiume kwa wanaume
👉kupungukiwa uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
👉kupata tatizo la kisaikolojia

🍀NJIA ZA KUJIKINGA DHIDI YA BAWASILI🍀
👉kula mboga za majani na nafaka zisizokobolewa kwa wingi.
👉kunywa maji mengi lita sita au 12 kwa siku
👉acha kufanya tendo kinyume na maumbile
👉punguza kukaa chooni kwa muda mrefu, kunaweza kusababisa shinikizo la dam sehem ya haja kubwa.

👉MATIBABU👇
MATIBABU YA TATIZO HILI HUHUSISHA UPASUAJI KWA KUKATWA KINYAMA. BAHATI MBAYA NI KWAMBA UKIKATWA BAADA YA MUDA MFUPI KINARUDI TENA NA MADHARA YAKE YANABAKI VILE VILE MAKUBWA CHANZO CHAKE HAKIJATAMBULIWA BADO.

👉👉Bidhaa zilizothibitishwa kitaalam zinazotoa matokeo mazuri kwa watu wenye matatizo haya ni bidhaaa za asili zenye virutubisho mbali mbali vinavyounganishwa kwa pamoja kwa utaalam wa hali ya juu.
Kwa huduma zaidi Wasiliana nasi
- WhatsApp 0769044226
- call 0782711079

🍀BAWASILI/MGOLO🍀☇bawasili ni ugonjwa unaotokea katika njia ya haja kubwa, hujitokeza k**a uvimbe au kinyama ambacho huwe...
18/10/2021

🍀BAWASILI/MGOLO🍀

☇bawasili ni ugonjwa unaotokea katika njia ya haja kubwa, hujitokeza k**a uvimbe au kinyama ambacho huweza kuonekana hadi nje.

☇kwa kiingereza hujulikana k**a piles.

☇na kitaalam hujulikana k**a haemorrhoids/piles

🍀AINA ZA BAWASILI🍀

👉1. BAWASILI YA NJE
Aina hii ya bawasili hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa na kuambatana na maumivu makali, pamoja na kuwashwa kwa ngozi katika eneo hilo. Mara nyingine mishipa hiyo ya damu (veins)hupasuka na dam kuganda hivyo kusababisha na kusababisha aina hii ya bawasili ambapo kitaalam inafahamika k**a Thrombosed haemorrhoid.

👉2.BAWASILI YA NDANI
Aina hii ya bawasili hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa, na huwa haiambatani na maumivu.
☇Aina hii imeainishwa katika madaraja manne yafuatayo
👉Daraja la 1. Bawasili kutokea katika pahala pake pa kawaida
👉Daraja la 2. Bawasili kutoka wakati wa haja na kurudi yenyewe baada ya haja (kujisaidia)
👉Daraja la 3. Bawasili kutoka wakati haja kubwa na mtu kuweza kuirudisha baada ya haja.
👉 Daraja la 4. Bawasili kutoka wakati wa haja kubwa na vigumu kuirudisha baada ya haja.

🍁BAWASILI HUSABABISHWA NA NINI?
👉Kufunga choo au kukosa choo kwa muda mrefu
👉Ujauzito-wakati wa ujauzito watu wengine wanaweza kupatwa na bawasili kwasababu ya msukumo wa mtoto karibia na sehem ya haja kubwa
👉kushiriki penzi kinyume na maumbile
👉Uzee- kadri miaka inavyosogea ndivyo inavyokuwa rahisi kwako kupatwa ugonjwa huu kwa baadhi ya watu.
👉Sababu za kurithi- baadhi ya watu wanaweza kurithi udhaufu wa ukuta huo wa njia ya haja kubwa ingawa ni kwa asilimia chache.
👉kuharisha sana kwa muda mrefu
👉kutumia vyoo vya kukaa
👉kunyanyua vyuma vizito
👉mfadhaiko stress
👉uzito na unene kupita kiasi

🍀DALILI ZA BAWASILI 🍀
👉maumivu wakati wa kujisaidia haja kubwa
👉Damu kutoka wakati wa kujisaidia
👉kupata muwasho sehem ya haja kubwa
👉uvimbe au kinyama kuota sehem ya haja kubwa
👉hajakubwa yaweza kujitokea mda wowote
👉choo kuwa kigumu au muda mwingine kukosa choo kwa siku hata tatu
👉maumivu makali ya kiuno na mgongo
👉tumbo kujaa gesi mara kwa mara
👉kutokushiba vizuri au kupata njaa baada ya muda mfupi kumaliza kula.
👉kukosa usingizi
👉watu wengine macho kuwa mekundu

🍀ATHARI ZA BAWASILI🍀
👉upungufu wa dam mwilini
👉kinyesi kutoka bila kujitambua
👉kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
👉kupungukiwa nguvu za kiume kwa wanaume
👉kupungukiwa uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
👉kupata tatizo la kisaikolojia

🍀NJIA ZA KUJIKINGA DHIDI YA BAWASILI🍀
👉kula mboga za majani na nafaka zisizokobolewa kwa wingi.
👉kunywa maji mengi lita sita au 12 kwa siku
👉acha kufanya tendo kinyume na maumbile
👉punguza kukaa chooni kwa muda mrefu, kunaweza kusababisa shinikizo la dam sehem ya haja kubwa.

👉MATIBABU👇
MATIBABU YA TATIZO HILI HUHUSISHA UPASUAJI KWA KUKATWA KINYAMA. BAHATI MBAYA NI KWAMBA UKIKATWA BAADA YA MUDA MFUPI KINARUDI TENA NA MADHARA YAKE YANABAKI VILE VILE MAKUBWA CHANZO CHAKE HAKIJATAMBULIWA BADO.

👉👉Tiba inaliyothibitishwa inatoa matokeo mazuri kwa watu wenye matatizo haya ni TIBA zenye virutubisho mbali mbali vinavyounganishwa pamoja.
Wasiliana nasi kwa;
- WhatsApp 0769044226
- call 0782711079

DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME1)Kuwahi kufika Kileleni mapema sekunde chache au baada ya kugusa tu mlango wa uke n...
28/09/2021

DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

1)Kuwahi kufika Kileleni mapema sekunde chache au baada ya kugusa tu mlango wa uke na uume kuwa legelege.

2)Kukosa Hamu ya Tendo kabisa / kukosa Msisimko/Mihemko

3)Mwili kuchoka sana baada ya tendo la Ndoa huambatana na usingizi mzito sana.

4)MBEGU KUTOKA KIDOGO AU HAZITOKI KABISA/

5)Uume kuwa Lege lege wakati unashiriki Tendo

6)UUME KUSINYAA NA KUWA MDOGO

Hizo ni baadhi ya dalili za upungufu wa nguvu za Kiume k**a umeziona moja ya dalili hizo usipuuze, na K**a unamfaham mtu mwenye Changamoto hizo usipuuze mpatie taarifa hii atakushukuru, kumbuka hilo tatzo likiwa sugu utapata shida Sana kurejea ubora wa mwanzo itakuwa ngumu sana na utadhalilika. Jenga Afya yako sasa hivi kwa nini usubiri kesho?

Tuma SMS neno KIUME kwenda WhatsApp 0769044226 usaidiwe jinsi ya Kupata tiba mapema kabla ya Tatizo kuwa kubwa pia ushauri na vyakula sahihi vitakavyokusaidia.

22/09/2021

UFAHAMU HUGONJWA HATARI KWA WANAWAKE. UFAHAMIKAO K**A P.I.D

Pelvic Inflammatory Disease
Ni maambukizi katika via vya uzazi. Wanawake wengi husumbuliwa na tatizo hili kulingana na sababu zifuatazo:-
Matumizi ya antibiotics Kwa wingi, kimsingi matumizi haya huuwa bacteria wote, hivyo wanapokufa unakosa ulinzi wa bacteria wa kupambana na maambukizi. Kadhalika ujauzito ikiwa ni pamoja na kujifungua. Pia sababu nyingine ni matumizi ya condoms na kufanya ngono zembe.

DALILI ZA UGONJWA WA PID
1️⃣Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, au maziwa
2️⃣Kuwashwa sehemu za siri
3️⃣Uke kutoa harufu mbaya
4️⃣Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
5️⃣Uke kuwa wa ulaini sana
6️⃣Maumivu wakati wa tendo la ndoa
7️⃣Kuvurugika Kwa hedhi
8️⃣Kutokwa majimaji ukeni kupita kiasi
9️⃣Maumivu wakati wa kukojoa na wakati wa choo kubwa
🔟Homa, uchovu,kizunguzungu na kukosa hamu ya kula


MADHARA YA PID
•Ugumba
•Kansa ya shingo ya kizazi
•Mirija ya uzazi kuziba
•Majeraha kwenye mirija ya uzazi

inatibika na kupona Kwa haraka
Kwa ushauri au tiba ya tatizo hili waweza kuwasiliana nami kupitia

-call; 0782711079
WhatsApp; 0769044226

Address

Mbuyuni
Kilimanjaro

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA IMARA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to AFYA IMARA:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram