TMH Health Center - Sinza

TMH Health Center - Sinza Quality and Premiu Healthcare services Provider located in Sinza & Mwenge - Dar es salaam, Tanzania

Mama zetu; sio tu mnastahili heshima bali afya njema na maisha marefu ili muone matunda ya juhudi na sadaka zenu.Mnafany...
12/05/2019

Mama zetu; sio tu mnastahili heshima bali afya njema na maisha marefu ili muone matunda ya juhudi na sadaka zenu.

Mnafanya juhudi kubwa kuwalisha wachapakazi wa taifa hili na wakati huo huo mkizilisha na kuhudumia familia zenu... Moto mkali, moshi, ushovu hivijawahi kuwafanya mfikiri mara mbili kuamka saa 11 alfajiri.

Tunawasisitiza kupata muda wa mapumziko, kunywa maji ya kutosha na kula mlo kamili. Vaeni viatu kuepusha ajali k**a kukanyaga moto na umakini mnapotumia vitu vyenye ncha kali...

Tunatambua mnauhitaji kuliko chochote na tuko tayari kuwahudumia mnapojisikia kiafya hamko sawa.

Happy Mother’s Day kutoka kwa watoto wenu .healthcenter

Copyrighter

Uhodari wa kazi ya mikono yenu umetupa nyenzo za kufanyia kazi maofisini, umetupa sehemu ya familia kukaa, kula pamoja n...
08/05/2019

Uhodari wa kazi ya mikono yenu umetupa nyenzo za kufanyia kazi maofisini, umetupa sehemu ya familia kukaa, kula pamoja na kufurahia upendo, furaha na afya bora... na hata sisi hapa .healthcenter kazi yenu ya mikono imeendelea kuwasaidia wagonjwa wengi zaidi kupata huduma...

Endeleeni kufanya kazi kwa bidii, tunajua kazi yenu imesongwa na vumbi, ajali k**a vidonda na kelele zinazoumiza kichwa na ubongo... Jitahidini kuvaa vifaa kazi (gears), kunyweni maji ya kutosha na mlo kamili wenye virutubisho vyote muhimu.

, kwa mchongo wako wewe ni rafiki yetu na tunakukaribisha ututembelee unapojisikia afya yako haiko sawa... tutahakikisha tunalinda wako!

CC

Ramadan mwezi wa kuimalika kiimani na kiafya... Ramadani Kareen ndugu zetu; tunawatakia Msamaha, Baraka na Afya njema......
07/05/2019

Ramadan mwezi wa kuimalika kiimani na kiafya... Ramadani Kareen ndugu zetu; tunawatakia Msamaha, Baraka na Afya njema...

Uongozi na wafanyakazi wote wa hapa   inawatakia ninyi nyote mfungo mwema wa Ramadhan. Msisahau kufanya check up ili kui...
07/05/2019

Uongozi na wafanyakazi wote wa hapa inawatakia ninyi nyote mfungo mwema wa Ramadhan. Msisahau kufanya check up ili kuijua afya yako pamoja na familia yako katika mfungo huu.

Hadithi yako inaendelea kuangaza nuru kwa wasiojiona kufika ulipofika, Vitendo vyako vitaendelea kuwapa nguvu wapambani ...
02/05/2019

Hadithi yako inaendelea kuangaza nuru kwa wasiojiona kufika ulipofika, Vitendo vyako vitaendelea kuwapa nguvu wapambani na maneno/maandishi yako yataendelea kuwa busara itakayowaongoza wengi! Pumzika kwa amani .reginaldmengi

Poleni wafanyakazi wa kwa kumpoteza kiongozi, poleni familia na watanzania wote! .healthcenter tuko nanyi kwenye dua n sala!

CC:

Tunawatakia heri ya siku ya wafanyakazi duniani. Lakini msisahau kuchunguza afya zenu ili kufanya kazi kwa ufanisi zaidi...
01/05/2019

Tunawatakia heri ya siku ya wafanyakazi duniani. Lakini msisahau kuchunguza afya zenu ili kufanya kazi kwa ufanisi zaidi. Tupo wazi leo mpaka saa mbili usiku. Karibu tukuhudumie.

Habari, Mimi ni   kutoka hapa  . Njoo na bima yako kutoka    na  Au hata na fedha taslim nikuhudumie. Tupigie kwa namba ...
30/04/2019

Habari, Mimi ni kutoka hapa . Njoo na bima yako kutoka na Au hata na fedha taslim nikuhudumie. Tupigie kwa namba 0739883388 kwa maelezo zaidi.

Kwako wewe na familia yako, tunawatakia pasaka njema na yenye afya bora. Tupo wazi leo mpaka saa 12:00 jioni. Usisite ku...
21/04/2019

Kwako wewe na familia yako, tunawatakia pasaka njema na yenye afya bora. Tupo wazi leo mpaka saa 12:00 jioni. Usisite kuja.

Je wajua kiasi gani kuhusu shinikizo la damu? Unajua madhara yake kiafya? Fika na familia yako leo   upate vipimo na mae...
16/04/2019

Je wajua kiasi gani kuhusu shinikizo la damu? Unajua madhara yake kiafya? Fika na familia yako leo upate vipimo na maelezo zaidi.

Mara ya mwisho kufanya Ultrasound ni Lini?? Njoo hapa   leo ufanye screening ya ogani zako mbalimbali uijue afya yako. S...
15/04/2019

Mara ya mwisho kufanya Ultrasound ni Lini?? Njoo hapa leo ufanye screening ya ogani zako mbalimbali uijue afya yako. Si unajua Bora kinga kuliko tiba?

Kabla hujaanza weekend, njoo leo ucheki afya yako. Fanya maamuzi sahihi, Fanya vipimo.
12/04/2019

Kabla hujaanza weekend, njoo leo ucheki afya yako. Fanya maamuzi sahihi, Fanya vipimo.

Ukiwa unapata matibabu, unastahili mazingira nadhifu na yenye usafi wa hali ya juu. Hapa   tunazingatia utoaji wa huduma...
10/04/2019

Ukiwa unapata matibabu, unastahili mazingira nadhifu na yenye usafi wa hali ya juu. Hapa tunazingatia utoaji wa huduma bora na kwenye mazingira safi.

Address

1st Floor, Ngome Investment House, Plot No 461, Block 43, Sinza Along TRA Road
Kinondoni

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when TMH Health Center - Sinza posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram