Bfsuma

Bfsuma Tunajali Afya Yako

● *FAIDA ZA VIDONGE VYA  PROSTATRELAX*  *○ Inalinda tezi na  kuzui kuongezeka kwa tezi dume ○ Inadumisha Afya ya Mkojo ○...
25/07/2023

● *FAIDA ZA VIDONGE VYA PROSTATRELAX* *○ Inalinda tezi na kuzui kuongezeka kwa tezi dume ○ Inadumisha Afya ya Mkojo ○ Inaboresha ufanisi wa tendo la ndoa ○ Inaondoa maumivu ya kiuno na wakati wa kukojoa ○ Husaidia kufika kileleni vizuri bila maumivu. ● *VIUNGO* *○ Prostaep-I (USA Patent) ● *NANI ANATUMI* ○ *Wanaume wenye shida ya tezi dume haswa wenye umri zaidi ya miaka 40. ○ Wanaume wenye shida ya kukojoa vizuri ○ Wenye shida za nguvu ya kiume. °> Na Wanaume Wenye Shida Ya Mbegu. ( S***m ). ● *MATUMIZI* ○ *Vidonge 2 mala 3 kwa siku. ○ Ukitumia kwa muda mrefu ( miezi 3 ) bila kuacha zinamatokeo mazuri zaidi - Ikiwemo Kuponya Tezi Dume Iliyovimba Bila Kufanya Upasuaji. *PROSTATE RELAX* *Furaha Ya Mwanaume*.
Karibuni

*DALILI ZA KUKUJULISHA UNA TATIZO LA KIUNGULIA*  *Dalili kuu ya matatizo haya ni kupatwa na kiungulia mara kwa mara amba...
20/07/2023

*DALILI ZA KUKUJULISHA UNA TATIZO LA KIUNGULIA*

*Dalili kuu ya matatizo haya ni kupatwa na kiungulia mara kwa mara ambapo huambatana na koo la chakula kuwaka moto pia maumivu ya kifua na hali hii huzidi zaidi pale mtu anapolala kichwa kimeinama.*

*Kiungulia hiki huanza baada ya lisaa limoja na kuisha baada ya masaa mawili baada ya kula.*
*Pia dalili za tatizo hili kwa watoto hujionesha pale mtoto anapotapika kupita kiasi au kupaliwa mara kwa mara wakati wa kula chakula*

*Dalili zingine ni k**a;*

*♻️Tumbo kuunguruma na*
*Kukosa hamu ya kula chakula na kuhisi kichefuchefu.*
*♻️Mdomo kunuka kutokana na kurudi juu kwa chakula cha tumboni chenye tindikali*
*♻️Kupata hali ya kuunguza kwenye kifua karibu na moyo, hali inayotokea baada tu ya kula na kupata shida wakati wa kumeza chakula*
*♻️Kukohoa au kupaliwa mara kwa mara ikiambatana na kuweweseka.*
*♻️Mdomo kuwa mchachu muda mwingi*
*♻️Kupata usingizi kwa shida kutokana na maumivu*
*♻️Mdomo kukauka*
*♻️Meno kupoteza uimara na kuanza kumomonyoka kutokana na uwepo wa tindikali.*
*♻️Tumbo kujaa gas baada ya kula*

*NMN*♦️Hukinga na kuzuia kisukari ♦️Kuvunja vunja sukari iliyozidi mwilini ♦️Huyeyusha Mafuta yaliyozidi mwilini na kuon...
14/07/2023

*NMN*
♦️Hukinga na kuzuia kisukari
♦️Kuvunja vunja sukari iliyozidi mwilini
♦️Huyeyusha Mafuta yaliyozidi mwilini na kuondoka nyama uzembe
♦️Hupambana na uzee(ant aging)
♦️Hutengeneza/Kusaidia DNA zilizoharibika na kuzifanya mpya na kusaidia kuondoa makunyanzi ♦️Huponya Ngozi iliyoungua na vipodozi vikali & majeraha mbali mbali k**a kuungua moto nk
♦️inakupa Muonekano mzuri
♦️Inaongeza uwezo wa vinasaba(genes)kufanya kazi mwilini kwa muda mrefu na kurefusha maisha ♦️Huzuia na kuponya Saratani
♦️Huzuia na kuponya ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu
♦️Huzuia stroke(kiharusi) ,paralysis(kupooza) na pressure.
Matumizi: 2×1
Wasiliana nasi kwa ushauri na tiba Zaidi

Kuleni matunda
15/06/2022

Kuleni matunda

Wanaume msione aibu tuwasiliane
21/01/2022

Wanaume msione aibu tuwasiliane

13/12/2021
Famicare🔥🔥🔥
31/05/2021

Famicare🔥🔥🔥

*Siku za hivi karibuni magonjwa yasiyoambukiza-NCDs yameshamiri sana* ....>Matatizo ya akili>Uzito mkubwa(overweight) >i...
25/05/2021

*Siku za hivi karibuni magonjwa yasiyoambukiza-NCDs yameshamiri sana* ....
>Matatizo ya akili
>Uzito mkubwa(overweight)
>insomnia (kukosa usingizi)
>Migraine /severe headache (kipanda uso/ maumivu makali ya kichwa)
>premature aging
>kisukari
>Anemia
>matatizo ya figo,moyo

Sababu znazotajwa ni nyingi ikiwemo *mfumo wa maisha* . Lakini stress ( msongo wa mawazo) ukitajwa k**a sababu kuu.

Stress zinapokuwa nyingi mwili huzalisha kwa wingi homoni ambayo hutumika kupambana na msongo wa mawazo.
Homoni hii huitwa cortisol ama stress hormone.
Uzalishwaji mwingi wa homoni hyo ndiyo huleta matatizo tajwa hapo juu.

NINI UFANYE ILI KUZUIA MWILI USIZALISHE CORTISOL KWA KIWANGO KIKUBWA?
Mwili sio mkaidi, mara nyingi huitikia na kutii sheria za maisha yako.
Katika kukabiliana na stress ambazo husababisha uzalishwaji wa cortisol fanya yafuatayo:

1. PATA USINGIZI WA KUTOSHA
Wataalam wanashauri tulale masaa 8, usingizi mzuri husaidia mwili kupumzika na kuufanya uwe active.
Vile vile husaidia kupunguza mawazo.

2.FANYA MAZOEZI KWA KIASI SAHIHI.
Mazoezi ya viungo husaidia sana kushusha kiwango cha cortisol pamoja na stress. Lakini pia huupa mwili ukak**avu na kuunguza kalori mwilini.

3.PATA MUDA WA KUFURAHIA MAISHA.
Tenga muda ambao utautumia ktk kujichangamsha aidha kwa kusikiliza mziki unaoupenda kutoka kwa waimbaji unaowapenda au kwa kufanya vitu ambavyo ni hobi yako.

4. CHAGUA WATU SAHIHI WA KUAMBATANA NAO.
Sio kila mtu anafaa kwa kila mtu, haimaanishi ni mbaya ila tu hamucope/hamclick pamoja.
Epuka watu wachonganishi, wambea, wagombanishi...bwana hawa watu watakuongezea tu stress.
Epuka watu watakaoku "pressurize", mfano unajijua hali yako ya kiuchumi basi usiambatane na watu ambao wao hawapitwi na fashion. Kwamba wakisikia gucci wamelaunch mkoba mpya basi atakuja kukuambia mkanunue ilhali wewe vyuma vimekaza hapo unajikuta unaingia katika aidha madeni.
Epuka watu wasiokuelewa! Rafiki mzuri ni yule anayetambua ubinadamu wako ambae hatakuhukumu wala kukunyanyapaa kwa madhaifu wako.

5. CHEKA/ TABASAMU KADRI UWEZAVYO.
Hii ni moja ya therapy/ tiba ya mambo mengi sana.
Jizoeshe kutabasamu hata pale mtu atapokuoneshea makasiriko yake kabla hujamjibu ama kumtamkia neno.
Tabasamu liwe utangulizi wa kila jambo ufanyalo.
Unapoamka asubuhi anza kwa kutabasamu.
Kucheka ama kutabasamu huchochea uzalishwaji wa dopamine (happy hormone) pamoja na serotonin (feel good hormone) .
Waliwahi kusema wazungu kwamba "smile is the makeup anyone can wear"
Tabasamu halilipiwi chochote wala TRA hawana tozo la kicheko wala tabasamu kwahyo jiachie tu kiongozi.

6. FANYA IBADA.
Sali/swali, omba kila wakati na uamini yupo yeye ambaye anakupigania ktk hali zote unazopitia. Weks tumaini kwa muumba wako kwamba hatokuacha ujaribiwe zaidi ya uwezo wako. Uonapo mambo yanakuwa magumu , ongea na Mungu kwa njia ya sala na maombi.
Imba mapambio, nyimbo za sifa na kuabudu badala ya kukaa kujikunyata na mawazo.

8. KUNYWA MAJI YA KUTOSHA
Jitahidi kuhydrate vya kutosha, usiogope kubanwa mkojo, maji ni tiba nzuri sana.

9. JALI MAISHA YAKO / MIND YOUR OWN BUSINESS
Achana na maisha ya watu, acha kufuatilia vitu havikuongezei ktk maisha yako. Una yako ya kufuatilia una uchumi wa kuuongeza, una afya ya kuijali etc.

10. SAMEHE/ACHILIA MAMBO YAPITE
Chuki humuumiza zaidi yule mwenye kuibeba kuliko yule mwenye kuchukiwa.
Umebeba makasiriko, chuki, visasi vya miaka buku jero, for what then?
Uache mwili na roho vipumue, kuna faida kubwa sana katika kusamehe.
Magonjwa mengi husababishwa na chuki, unaharibu mfumo wa hormone kwa kuhold grudges, unazeeka mapema kwa kujinunisha nunisha, una umwa mgongo na joints kwa kujibesha lawama.
Unaenda hospital unaambiwa hawaoni tatizo,ushameza dawa debe zima hadi serikali inalalamika upungufu wa dawa .
Hebu *SAMEHE* upone!

*Don't let impending stress affect the quality of your life.*
*Don't allow your body to produce too much cortiso* l.

Tunajali Afya Yako

Bawasiri inatibika
04/04/2021

Bawasiri inatibika

Jitibu meno yako sasa
02/04/2021

Jitibu meno yako sasa

Afya kwanza
02/04/2021

Afya kwanza

ANATIC HEARBAL ESSENCE SOAP          SABUNI BORA YA ANATICnisabuni bora Kwa kila ngozi yenye kuleta manukato mazuri na k...
31/03/2021

ANATIC HEARBAL ESSENCE SOAP
SABUNI BORA YA ANATIC

nisabuni bora Kwa kila ngozi yenye kuleta manukato mazuri na kuifanya ngozi ya kila mtu izaliwe upyaa, ambayo imetengenezwa kiasili na Kwa kutumia teknolojia kubwa ya kisasa ya Nano.

SABUNI YA ANATIC

Hii ni sabuni iliyotengenezwa Kwa:
√ Asali ya nyuki
√ chai ya asili ya kijani.
√ mafuta ya mchikichi.
√ Mafuta ya zaituni.
√ Tunda la barungi.

FAIDA ZA ANATIC SOAP:
√ inaondoa makovu na mabaka mwilini.
√ inaondoa madoa kwenye ngozi.
√ inaondoa mafuta ya ziada kweye ngozj.
√ huua bacteria kwenye ngozi.
√ inatibu chunusi, upele, Harara na matangotango.
√ nzuri kwa wenye mapunye.
√ inatibu ugonjwa wa macho K**a red eyes.
√inaondoa uchafu ambao upo kwenye uwazi (skin pores). hifanya ngozi ipumue vizuri.
√ inasaidia kukuza nywele na kulinda zisikatike kwa kuoshea K**a shampoo.
√ inafanya repair Kwa ngozi iliyoharibika.
√ inaondoa sumu kwenye ngozi na kuifanya iwe na mng'ao wa ajabu.
√ inalinda ngozi yako na miozi ya Jua.
√ inaboresha ngozi upya kwa waliotumia vipodozi vikali.
√ inarudisha Melanine ya ngozi na ni
kirutubisho bora cha ngozi aina zote.
√ ni nzuri kwa matatizo ya macho.
√ ninzuri Kwan watoto na watu wazima pia
unaweza tumia K**a kipodozi yaani mafuta ya kupakaa.
√unawezatumia kusafishia kinywa napia K**a jino linauma weka kidogo maumivu Kwisha.

Address

Sadala
Kondoa

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bfsuma posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram