09/09/2021
AMYGDALIN NI KIFURUSHI DAWÀ CHA KIBAOLOJIA KINACHOPONYESHA VIRUS VYA UKIMWI, TYPHOID, ASTHMA, KISONONO, KASWENDE NA UTI AMBACHO KINATENGANISHWA KUTOKA KWENYE MMEA WA DAWA WA VERNONIA AMYGDALINA
Amygdalin ni kifurushi dawa cha kibaolojia ambacho kiligunduliwa na madaktari wa Uiingreza baada ya kuufanyia utafiti mmea wa vernonia amygdalina huko Lagos Nigeria. Mmea wa vernonia amygdalina ni mmea dawa wa familia ya Asteraceae ambao unapendelea kustawi kwenye hali ya hewa za nchi za ikweta na za tropiki.
Makabila mbalimbali ya afrika mashariki, kati na mangharibi yanajiponyesha magonjwa yao mbalimbali kwa kujitibu na huu mmea wa vernonia amygdalina bila ya kutenganisha vifurushi dawa vyake vya kibaolojia.
Madaktari kutoka uingreza walipoamua kuufanyia utafiti mmea huo waligundua kuwa mmea huo unamiliki kifurushi dawa cha amygdalin ambacho ndicho chenye uwezo wa kuponyesha magonjwa mbalimbali ya typhoid, asthma, UTI, malaria na HIV kwa baadhi ya wagonjwa.
Kwa mara ya kwanza nilifanikiwa kukitenganisha kifurushi dawa cha amygdalin mwaka 2017 na kuwapa wagonjwa wangu wanaougua virus vya ukimwi, kisukari, asthma, typhoid, UTI na malaria. Matokeo yalifanikiwa kwa asilimia 100% kwenye uponyaji wa magonjwa ya kaswende, kisonono, asthma, UTI na typhoid. Lakini dawa hiyo haikufanikiwa kuponyesha kisukari na malaria isipokuwa ilifanikiwa kuponyesha ugonjwa wa virus vya ukimwi kwa asilimia 60% ya wagonjwa wote wa ukimwi waliotibiwa kwa dawa hiyo.
Kushindwa kwa kifurushi dawa cha amygdalin kuponyesha kwa asilimia 100% virus vya ukimwi na kisukari nimelazimika kukiondoa kwenye tiba ya magonjwa hayo ambayo yalishindikana kuponyeshwa. Hata hivyo dawa hiyo ya Amygdalin itaendelea kuwa tiba ya kuponyesha magonjwa ya kisonono, kaswende, asthma, typhoid na UTI kwa hoja ya ufanisi mkubwa wa uponyaji wa magonjwa hayo.
Mmea huo wa Vernonia amygdalina umeonekana kwenye picha niliopiga nao huko Mbeya mjini mwaka 2018 ambako nilipata fursa ya kuwaelimisha wanyakyusa namna ya kutengeneza dawa hiyo bila ya kutenganisha vifurushi dawa vyake ili kuponyesha kisonono, kaswende na UTI kwa asilimia zote na pia kufanikisha kufubaza virusi vya ukimwi kwa ufanisi zaidi kuliko zifanyavyo dawa za ARV za kifamasia za hospitali.
Pia kwenye picha kuna kifurushi dawa cha amygdalin ambacho nimekitenganisha kutoka kwenye mmea huo wa Vernonia amygdalina unaopatikana kwa wingi Mbambabay na milima ya Lukumburu iliyo kwenye barabara ya Songea Njombe. Vernonia amygdalina unastawi kwa wingi huko Mbeya, Mpanda, Arusha, Moshi, Nairobi Kenya, Ncheu Malawi na Ndola Zambia.
URATIBU WA KUTENGENEZA DAWA YA VERNONIA AMYGDALINA
Namna ya kuandaa vernonia amygdalina kwa tiba ya kisonono, kaswende na UTI unapaswa kuchuma majani yake na kuyaanika kwenye kivuli kisha unalazimika kuyasaga majani yake makavu kuwa unga. Kwa tiba ya kuponyesha magonjwa hayo yaliyotajwa wagonjwa wanapaswa kunywa dawa hiyo kwa siku 10.
URATIBU WA DOZI
Kila baada ya Masaa nane mgonjwa anatakiwa kuchukua vijiko viwili vya chai vya unga wa dawa ya Lippiadol na kuchemsha kwenye maji ya kikombe kimoja cha chai kisha kuchaja na kunywa. Hii ina maana kuwa mgonjwa atakunywa saa 12 asubuhi, saa nane mchana na saa nne usiku. Ili kuondoa usumbufu mgonjwa unatakiwa kuchemsha vijiko sita kwenye maji ya vikombe vitatu kisha kuchuja na kuhifadhi kwenye chupa ya chai ili mgonjwa anywe kwa masaa yaliyopangwa.
Kunywa unga wa Vernonia amygdalina ili ufanikiwe kufubaza virus vya ukimwi na kuponyesha UTI, kisonono na kaswende.