TIBA UZAZI MBEYA

TIBA UZAZI MBEYA Tiba lishe - lisha mfumo wako wa uzazi uwe mwenye afya nzuri na njema kwa maisha yako.

AFYA BORA NDIO KUJIAMINI NA KUISHI BILA MAWAZO.•Jee Unawahi kufika Kileleni?•Jee Uume Wako unasimama kilegevu?•Jee Unato...
09/02/2022

AFYA BORA NDIO KUJIAMINI NA KUISHI BILA MAWAZO.
•Jee Unawahi kufika Kileleni?
•Jee Uume Wako unasimama kilegevu?
•Jee Unatoa Mbegu Chache Unashindwa kumpa mimba Mwanamke wako?
•Jee Ukimwaga mshindo mmoja unashindwa kuendelea?
•Jee Unakosa hamu ya kufanya tendo?
•Jee ukimaliza Unahisi Uchovu Sana?
•Jee unajihis Maumivu Wakati Wa Kutoa shahawa?

Suluhisho lipo la kukuondolea tatizo lako kwa Asilimia 💯.
Wasiliana Nasi kwa Kupiga/Sms/WhatsApp 0694099982.

DALILI ZA TEZI DUME Kukojoa mkojo unaokatika katikaKukojoa mkojo wenye mtiririko dhaifuKusita kabla ya kuanza kukojoaHal...
08/02/2022

DALILI ZA TEZI DUME

Kukojoa mkojo unaokatika katika

Kukojoa mkojo wenye mtiririko dhaifu

Kusita kabla ya kuanza kukojoa

Hali ya kujihisi kubanwa na mkojo kila mara

Kushindwa kuthibiti mkojo kiasi cha mkojo kutirika wenyewe

Hali ya kuhisi mkojo haujaisha kwenye kibofu

Kukojoa mara kwa mara hasa nyakati za usiku

Kushindwa kukojoa kabisa (urine retention)
Au dalili zinazotokana na madhara ya kuvimba kwa tezi dume

KWA MAWASILIANO JUU YA TIBA NI +255694099982

REJESHA HESHIMA NYUMBANI-Huongeza stamina, Nguvu, na hamu wakati wote wa tendo. -Kuongeza uzalishaji wa mbegu.-Kuimarish...
07/02/2022

REJESHA HESHIMA NYUMBANI
-Huongeza stamina, Nguvu, na hamu wakati wote wa tendo.
-Kuongeza uzalishaji wa mbegu.
-Kuimarisha misuli ya Dhakari
-Kuondoa tatizo la kuwahi kumaliza
-Kuongeza uwezo wa kurudia n.k
ARGI+ & MULTI-MACA
(THE GREAT COMBINATION EVER)
Zinaweza kutumika kwa pamoja k**a COMBO au mojawapo, na yoyote inayotumika inatoa matokeo mazuri kabisa.
KUMBUKA:
Hizi sio DAWA ni Virutubisho (SUPPLEMENTS) Zinatatua tatizo moja kwa moja, (SIO BOOSTER)
Kwa maelezo zaidi juu ya bidhaa zetu...

PIGA/SMS/WHATSAPP 0694099982
.
Multi-maca Hupatikana Kwa Tsh80000
Arg+ kwa Tsh216500

Hiki kirutubisho hakina kemikali inayodhuru mfumo wa uzazi na imewasaidia maelfu ya watu waliokuwa na changamoto ya upun...
06/02/2022

Hiki kirutubisho hakina kemikali inayodhuru mfumo wa uzazi na imewasaidia maelfu ya watu waliokuwa na changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume.
Bei : 𝑻𝒔𝒉 80,000/=
Wasiliana Nasi Kwa Namba 0694099982
Tunapatikana Mbeya
Na Mikoani Bidhaa inakufikia kwa Usafiri Wa Gari Za Sehemu Husika Tanzania Nzima.

Faida 7 za kunywa kinywaji cha 𝐅𝐨𝐫𝐞𝐯𝐞𝐫 𝐀𝐫𝐠𝐢+: 1. Inaimarisha misuli ya uume na kuiwezesha kusimama muda mrefu na kurudia...
05/02/2022

Faida 7 za kunywa kinywaji cha 𝐅𝐨𝐫𝐞𝐯𝐞𝐫 𝐀𝐫𝐠𝐢+:
1. Inaimarisha misuli ya uume na kuiwezesha kusimama muda mrefu na kurudia tendo kwa haraka baada ya kumwaga mara ya kwanza na ya pili💪.
1. Inaboresha afya ya ubongo🧠
2. Inaimarisha afya ya moyo💖.
3. Inabalance pressure ya damu🌺.
5. Inaondoa cholesterol mbaya mwilini🐙.
6. Inapunguza stress mwilini😱.
7. Inapunguza uwezekano wa kupata stroke🛌.

𝐵𝑒𝑖 𝑛𝑖 𝑇𝑠ℎ 206,000/= 𝑘𝑤𝑎 𝑓𝑢𝑙𝑙 𝑝𝑎𝑐𝑘 𝑛𝑎 𝑇𝑠ℎ 103,000/= 𝑘𝑤𝑎 𝑛𝑢𝑠𝑢 𝑝𝑎𝑐𝑘.
Kwa Maelezo zaidi piga 0694099982

Hiki kirutubisho hakina kemikali inayodhuru mfumo wa uzazi na imewasaidia maelfu ya watu waliokuwa na changamoto ya upun...
03/02/2022

Hiki kirutubisho hakina kemikali inayodhuru mfumo wa uzazi na imewasaidia maelfu ya watu waliokuwa na changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume.
Bei : 𝑻𝒔𝒉 80,000/=
Ili kupata Huduma Wasiliana Nasi Kwa Namba WhatsApp/Sms/ Call 0694099982

HESHIMA YA MWANAMME HESHIMA YA NDOA,REJESHA HESHIMA YAKO CHUMBANI NA MULTI-MACA         KWA NINI UTUMIE MULTI-MACAMACA N...
02/02/2022

HESHIMA YA MWANAMME HESHIMA YA NDOA,REJESHA HESHIMA YAKO CHUMBANI NA MULTI-MACA
KWA NINI UTUMIE MULTI-MACA
MACA Ni mmea unaopatikana nchini Peru ambao hushugulika na kumaliza matatizo yote ya uzazi kutokana na ubora wake umethibitishwa kusaidia watu wengi Sana kutokana na kuwa na virutubisho vya madini ya zinc, selenium, chuma, copper pamoja na vitamins B, C na D ambavyo vina umuhimu katika afya ya uzazi na mzunguko wa damu
FAIDA ZA MULTI-MACA
-Husaidia kuupa mwili nguvu, stamina na kupunguza uchovu ama fatigue (Nguvu ya kawaida ya kufanya kazi)
-Huimarisha misuli ya dhakari iliolegea kutokana na kujichua(MUSTERBATION/PUNYETO) ama maradhi mengine
-Husaidia kwa wenye tatizo la kuwahi kufika kileleni
-Husaidia kubalance hormones kwa wenye tatizo la hormones imbalances
-Husaidia kuimarisha na kutoa mbegu Bora zenye afya na uwezo wa kulifikia yai kwa haraka kwa wenye matatizo katika mfumo wa uzazi
-Husaidia kuzibua uchafu kwenye mirija ya uzazi ambao unaweza kupelekea magonjwa K**a TEZI DUME
-Husaidia kupunguza msongo wa mawazo na hivo huleta utulivu wakati wa tendo la ndoa na kukufanya ujisikie vizuri
TUNAFANYA DELIVERY NDANI NA NJE YA NCHI
Tupigie/inbox/sms ama Whatsup
+255694099982

REJESHA HESHIMA NYUMBANI-Huongeza stamina, Nguvu, na hamu wakati wote wa tendo. -Kuongeza uzalishaji wa mbegu.-Kuimarish...
01/02/2022

REJESHA HESHIMA NYUMBANI
-Huongeza stamina, Nguvu, na hamu wakati wote wa tendo.
-Kuongeza uzalishaji wa mbegu.
-Kuimarisha misuli ya Dhakari
-Kuondoa tatizo la kuwahi kumaliza
-Kuongeza uwezo wa kurudia n.k
ARGI+ & MULTI-MACA
(THE GREAT COMBINATION EVER)
Zinaweza kutumika kwa pamoja k**a COMBO au mojawapo, na yoyote inayotumika inatoa matokeo mazuri kabisa.
KUMBUKA:
Hizi sio DAWA ni Virutubisho (SUPPLEMENTS) Zinatatua tatizo moja kwa moja, (SIO BOOSTER)
Kwa maelezo zaidi juu ya bidhaa zetu...

PIGA/SMS/WHATSAPP 0694099982

DALILI 10 ZA HATARI KATIKA UUME WAKO,(KATIKA MFUMO WA KIZAZI).Kuna dalili 10 ambazo hutakiwi kuzipuuza kabisa iwapo ukiz...
01/02/2022

DALILI 10 ZA HATARI KATIKA UUME WAKO,
(KATIKA MFUMO WA KIZAZI).

Kuna dalili 10 ambazo hutakiwi kuzipuuza kabisa iwapo ukiziona katika uume wako.

1. Uume kutodinda (kutosimama) wakati wa asubuhi, ukiona hali hii usipuuze kabisa ewe mwanaume.
Hii ni dalili mojawapo ya upungufu wa nguvu za kiume, damu kutozunguka vizuri katika uume wako.
Mwanaume rijali ni lazima alfajiri uume usimame, tena unakuwa mgumu haswa, usipuuze ukiona tofauti.

2. Ukifika mshindo (kileleni), mbegu za kiume hazitoki, humwagi mbegu za kiume, usiipuuze hali hii.
Kuna tatizo la kiafya ambapo unapofika mshindo, badala ya mbegu za kiume kutoka nje, zinaenda kwenye kibofu cha mkojo.
Kuna njia mbili za kuitambua hali hii, njia ya kwanza ni kutoona manii (mbegu za kiume) baada ya kufika kileleni.
Njia ya pili ni kukojoa mkojo mzito, mithili ya wingu zito, ni kwa sababu ya manii zilizoenda kwenye kibofu cha mkojo.

3. Maumivu makali uume unaposimama, ambapo hudumu zaidi ya masaa manne.
Hii inaweza kusababishwa na hali mbili, kwanza kabisa ni kujeruhika kwa mishipa ya damu.
Pili ni mishipa ya damu kuziba, na hivyo damu kujaa katika uume bila kutoka kwa urahisi na kupelekea maumivu.
Ukiona dalili hii ya maumivu uume unaposimama, wasiliana na mtaalamu wako wa afya mapema.

4. Usaha kutoka katika mrija wa mkojo ambapo hali hii inaweza kuambatana na maumivu.
Hii inaweza kuwa ni dalili ya kisonono, na hutokea muda mfupi baada ya kupata maambukizi.
Kisonono ni ugonjwa wa zinaa, hivyo k**a umefanya ngono isiyo salama basi unaweza kukumbana na hali hii.
Ukiona usaha unatoka katika uume wako, muone mtaalamu wako wa afya haraka sana akusaidie.

5. Muwasho mkali katika bomba au njia ya mkojo, utaona muwasho ndani ya uume katika njia ya mkojo.
Hii inaweza kuwa ni dalili ya fangasi katika mrija wa uume, ndio maana unapata muwasho mkali.
Unaweza kutamani kukuna, lakini haiwezekani kwa sababu muwasho unatokea kwa ndani.
Hapa unafuu ni kuminyaminya uume wako, ndio utaona muwasho unapungua kwa kiwango fulani.
Ukiona dalili hii, onana na mtaalamu wako wa afya mapema akusaidia, usipuuze hali hii.

6. Uvimbe, kutoka damu katika uume, uchafu usio wa kawaida kutoka, maumivu au ngozi kuharibika.
Kuna saratani ya uume, japo ni tatizo ambalo haliwapati wanaume wengi sana, ila ipo kwa baadhi.
Ukiona dalili zisizo za kawaida k**a nilivyoorodhesha hapo juu, onana na mtaalamu wako wa afya mapema.

7. Kuota vinyama kuzunguka uume au sehemu ya mavuzi, hii nayo sio hali ya kupuuza iwapo ukiiona.
Onana na mtaalamu wako wa afya mapema iwapo ukiona hali hii katika uume wako.

8. Kufika kileleni mapema, au kumwaga mbegu za kiume mapema, kabla hata dakika tatu hazijaisha.
Hali hii inaweza kutokana na kukosa uzoefu wa tendo la ndoa, ugonjwa au tatizo katika saikolojia yako.

9. Uume kupinda, hali ya kuzaliwa nayo au kutokea wakati umri unavyozidi kuongezeka.
Uume kupinda inaweza kupelekea maumivu wakati wa tendo la ndoa au kumuumiza mpenzi wako.
Ukiona hali hii, ni vyema ukaonana na mtaalamu wako wa afya aweze kukusaidia mapema.

10. Kidonda katika kichwa cha uume wako, hii pia ni dalili ambayo hutakiwi kuipuuza uonapo.
Hii inaweza kuwa dalili ya kaswende, ugonjwa wa zinaa ambao huchelewa kuonekana tangu uambukizwe.

K**a una upungufu wa nguvu za kiume na changamoto nyengine za mfumo wa kizazi Wasiliana Nasi kwa
kupata ushauri na elimu zaidi ya kiafya,
WhatsApp +255694099982

Hellow ✋ Vitu Sasa ni mpya Weka Order yako mapema kwa ajili ya kutatua tatizo lako na hakikisha huliachi tatizo kuendele...
31/01/2022

Hellow ✋ Vitu Sasa ni mpya Weka Order yako mapema kwa ajili ya kutatua tatizo lako na hakikisha huliachi tatizo kuendelea kukutafuna,lifanyie maamuzi haraka 🔥🔥.
Sasa hii ni kwa wale Walioathirika na Punyeto ,wale wenye shida Yoyote Katika Utendaji Kazi wao kwenye tendo la ndoa 💪, wenye Upungufu wa Nguvu za kiume karibu uanze Kuvimba Uwe motrooo🔥 wa kuoteaa mbali kwa Kesi ya Bed 🛌 .

wa.me/call/sms 0694099982

Pia kwa wale ambao ni ma body builder (Watengeneza miili Yao iwe ya Mazoezi)Usisite Kuwasiliana nasi
Karibu Upate Huduma

Liwahi tatizo lako la kiafya kabla halijawa kubwa zaidi.Fanya maamuzi wasiliana nasi kwa namba 0694099982
31/01/2022

Liwahi tatizo lako la kiafya kabla halijawa kubwa zaidi.Fanya maamuzi wasiliana nasi kwa namba 0694099982

JE UNACHANGAMOTO YOYOTE YA UZAZI? Bedroow Pack Ni Muunganyiko Wa Virutubisho Mbalimbali Vyenye Uwezo Wakutatua Changamot...
27/01/2022

JE UNACHANGAMOTO YOYOTE YA UZAZI?
Bedroow Pack Ni Muunganyiko Wa Virutubisho Mbalimbali Vyenye Uwezo Wakutatua Changamoto Zifuatazo;
1).Kurudisha NGUVU ZAKIUME Kwa Sababu Inaboresha Mzunguko/Msukumo Wa Damu Mwilini
2).Kuongeza Hamu Ya Tendo Landoa
3).Kukupa Uwezo Wa Kustahimili Tendo Kwa Muda Mrefu
4).Kukupa Stamina Yakuendelea Natendo Baada Yakumwaga
5).Kuongeza Idadi Nakuboresha Mbegu
6).Kuzuia Ukuaji Wa Tezi Dume
7).Kupunguza Athari Za Msongo Wamawazo
8).Kusaidia Afya Yamoyo,Mzunguko Wadamu Na Kupunguza Kiwango Cha Cholesterol Kwenye Mishipa NK
📞📞📞📞📞📞📞📞📞📞☎️☎️☎️☎️☎️☎️
KWAMAELEZO ZAIDI TUPIGIE/WHATS'APP +255694099982

Address

0694099982
Mbeya

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when TIBA UZAZI MBEYA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to TIBA UZAZI MBEYA:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram