27/02/2026
K**A UMEOLEWA NA MUME HAKUPiGI:
Kuwa makini sana naye
Usiitake tu talaka kwa papara na Pupa
Kaa Kwa kutulia
Ukiidai talaka kwa mwanaume k**a huyo umempa nafasi nzuri tu, ingawa mwanzoni anaweza Sumbuka.
Umempa nafasi ya kwenda kuoa ka Binti Kabichi chaguo lake ( Ambapo wapo wengi sana )
- Kabinti Kabichi kadogo.
- Hakana lawama wala makovu.
- Hakajawahi kuwa na mimba.
- Kamesimamia kucha.
Sifa zote hizo hapo juu ulizipoteza wakati unamzalia watoto, wewe unabaki na hizo alama na hiyo historia.
Kwa upande wako:
- Umeshazaa.
- Mwili umebadilika.
- Maziwa yameshuka.
- Tumbo limelendemka.
Unafikiri Kuna Vijana wa Kiume wapo wanakungoja?
Nani anapoteza ?
Tafakari sana kabla ujaharibu Nyuma yako kwa sababu ya kiburi, Hasira na mambo yasiyo ya Msingi.
Ndoa sio kwa ajili ya hisia, but kwe wenye Hekima!
Marriage is not for the emotional.
It is for the wise.
Linda ndoa yako!
, ,