Afya Kwanza

Afya Kwanza huduma zetu K**a ifuatavyo. kwa wanaosumbuliwa na kisukari
kansa , UTI , PID , vidonda vya tumbo ,nk

25/09/2022

🌿DALILI ZA MVURUGIKO WA MFUMO WA HOMONI

🌸ukavu uken

🌸Maumivu wakati wa tendo la ndoa.

🌸Kutoa jasho usiku kusiko kawaida
🌸Maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi.

🌸Kukosa hamu ya tendo la ndoa.

🌸Siku za hedhi kubadilika badilika🌸Kukosa hedhi kwa muda mrefu.

🌸Kutoa damu yenye mabonge mabonge wakati wa hedhi.

🌸Uchovu wa mara kwa mara.

🌸Hasira za mara kwa mara.

🌸Kukosa usingizi.

🌸Homa za usiku na kizunguzungu cha mara kwa mara.

🌸Mzio wa vyakula(allergy) kuchagua chagua vyakula.

🌸Kuongezeka tumbo na nyama uzembe.

🌸Kuharibika kwa ngozi (chunusi na vipele)
🌸Maumivu ya viungo.

🌸Upungufu wa nywele kichwani
Kusahau sana.

🌸kuwa na hamu ya vyakula au vinywaji vya viwandani.

🌸Kupata hedhi wakati wa ujauzito
🌸Msongo wa mawazo.

🌸Kutopata choo kwa wakati
🌸Kusinyaa au kupauka kwa ngozi.

🌸Maumivu ya kichwa mara kwa mara.

🌸Matiti kutoa maziwa ili Hali sio mjamzito.

🌸Kuhisi na kupata Dalili zote K**a mjamzito wakati hauna ujauzito.

👉 Watu wengi wanasumbuliwa na matatizo k**a hayo yawezekana wewe ni miongoni mwao au una ndugu jamaa na rafki wanasumbuliwa na ili tatizo. Tupigie *0743156162* kwa suruhisho la tatizo lako

Address

Mbeya Nzovwe
Mbeya

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya Kwanza posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya Kwanza:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram