Bwana Malundi

Bwana Malundi Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Bwana Malundi, Doctor, Morogoro Road, Mbeya.

KUFUTA KESI MAHAK**ANI
KURUDISHA MALI ILIO POTEA
KURUDISHA MKE AU MUME
KUONDOA NUKSI MWILINI KUSAFISHA MWILI
KUTIBU MARAZI YA UGUMBA KWA MWANAMKE NA MWANAUME KUKOSA MTOTO
PANDISHA NYOTA MVUTO
MAKAFARA YA KILA HAINA MZIMUNI PIA

Qarina Untha.Kwanza cha kufahamu kuhusu mili yetu kila binadamu unaemjua wewe anae jini  wake ambae toka unazaliwa huyo ...
21/06/2025

Qarina Untha.

Kwanza cha kufahamu kuhusu mili yetu kila binadamu unaemjua wewe anae jini wake ambae toka unazaliwa huyo jini yupo nae paka siku atakae kufa.

Hii haijalishi akili yako inakubali au inakataa ila Qarina unae mwilini mwako. Qarina huyu huwa anafanya vitu vingi sana vinavyokuhusu wewe na viumbe wengine kiroho.

Kwa lugha nyepesi Jini huyu ni k**a kinasa taarifa na kitoa taarifa za kiroho kwako na mlinzi. Sasa Qarina huyu anaweza kuwa mwanamke mke au mwanaume. Leo tumzungumzie huyu mwanamke.

Kuna wakati huyu Qarina anaweza kuwa tatizo kwa mtu yaani mtu akasumbuliwa na Qarina wake mwenyewe kiroho. Hii inatokana na namna unavyoishi.

Mfano ukiwa unafanya vitu ambavyo havimpi nguvu Qarina wako kukupambania zaidi basi anakuwa dhaifu na wewe inakuwa rahisi zikija vita za kiroho kushambuliwa na kuharibikiwa.

Sasa Qarina akiwa thaifu nawe unakuwa dhaifu kwenye nguvu za kiroho paka kwenye maisha ya kawaida. Sasa mtu mwenye Qarina wa k**e rahisi kuandamwa na mashambulizi.

Huyu Qarina wa k**e akishambuliwa zaidi nae hubadalika akawa k**a adui kwako yaani anakusababishia matatizo. Njia ya kumfanya awe sawa kwasababu hatoki ni mtu kutafutiwa tiba ya kumuweka sawa Qarina wake.

DALILI YA KUWA Qarina wako ana shida.

1Hufanikiwi kwa lolote.
2 Mwili wako kutokuwa sawa.
3 Kuota ndoto za kuonewa sana.
4 Ukiingia kwenye mambo yanaharibika. Nk

Hivi ndivyo Qarina anavyokuwa jini huyu hatoki hata uwende kwa mganga gani hawezi kumtoa ila hurekebishwa tu akawa sawa k**a hayupo sawa.

Je wewe Qarina wako yuko sawa?.

09/10/2024
Utajiri wa nyota yako na aura na jinsi ya kuupata utajiri huuWatu wengi huwaendea waganga  kwenda kusaka utajiri kwa nji...
30/09/2024

Utajiri wa nyota yako na aura na jinsi ya kuupata utajiri huu

Watu wengi huwaendea waganga kwenda kusaka utajiri kwa njia mbalimbali k**a utajiri wa kafara ama maagano yoyote yale ili mradi kufikia utajiri husika

Lakini kunao utajiri wa nyota yako na aura ambao huu hauna kafara wala maagano walakini utajiri huu utahusika na mambi yaliyomo katika nyota yako tu

Utajiri huu unatazamwa kile nyota yako inacho ndipo hapo unatafutwa mhuli wa nyota yako kisha kuunganishwa na nyota baada ya hapo unasubiri siku 30 kuona mafanikio lakini muhuli wa nyota yako unaweza kuwekwa katika pete ama kidani ili uweze kuakisi yaliyomo katika nyota yako

Kuna watu nyota zao zimejaa utajiri wa ardhi lakini hawajui watapateje ardhi hii tukufu iliyomo ndani ya nyota zao

Nyota zetu zinapaswa kulindwa na kuheshimiwa hivyo nyota zetu ni maisha yetu yaliyopita ya sasa na yale yajayo...kwa maana nyota huathiri sana maisha yetu kulingana na vile tunavyoziweka nyota zetu hivyo tujitahidi sana nyota zetu tuziishi

Nyota ya mwanadamu inabeba sana matarajio yako ambayo mtu wako wa karibu aweza kuyaiba hayo matarajio na kujimilikisha yeye kwa njia za kichawi hivyo ni muhimu kulinda nyota zetu kwa njia mbalimbali kuanzia ulinzi wa kivuli na ulinzi mwingine wa kiroho..unaweza kutazama nyota kwa sh 12000 tu ili kujua ualyomo ndani yako 0655 467 614 whatsapp

Utazamaji wa nyota utahusisha utazamaji wa mwili wote kupitia picha za kiganja chako cha kushoto

Lakini yote haya huanza na kutazamwa nyota ya mhusika kisha kupanga na kujua ni aina gani ya matarajio ya mhusika yapo ndani yake na hayo matarajio yanaendana na nguvu ya kito gani ili hiyo nguvu iingizwe katika kito maalum cha nyota yako na katika siku ya bahati na kwa namba maalum za nyota yako

Baada ya hapo hufuatia hatua ya kuchonga mhuli wa nyota husika kisha humo huingizwa matarajio yako yaani huwekewa kito ambacho kinaakisi matarajio basi baada ya hapo mhuli hufanya yaliyomo ndani yako yatokee haraka na bila maagano

njoo tuchat whatsapp link hii

JE NJIA ZAKO ZA ASILI ZIPO WAZI?. Mwili ni kopo linaongozwa na roho. Mtu ni roho bila roho hakuna hakika ya mtu. Katika ...
29/08/2024

JE NJIA ZAKO ZA ASILI ZIPO WAZI?.

Mwili ni kopo linaongozwa na roho. Mtu ni roho bila roho hakuna hakika ya mtu. Katika roho ndio kunakaa kila kitu chako cha maana ambacho kitakusaidia katika hii dunia.

Roho imekusanya vitu vingi sana moja ya vitu vilivyokusanya ni nguvu yako ya asili ambayo hiyo ndio kitu muhimu sana kwenye kila kitu chako cha mafanikio. Nguvu hiyo ikiharibiwa kila kitu chako uharibika.

Kazi ya wachawi kwenye hili huwa hawachafui nguvu yako ya asili kwasababu hiyo ni ngumu wao kuigusa ipo kwenye himaya ya Mungu. Mchawi anachofanya ni kuziharibu njia zako ambazo nguvu ya asili hupita huko.

Anafunga kila njia ambayo asili ikitaka kupita inapita kwa tabu sana kiasi ambacho mwili unakosa mawasiliano sahihi kutoka kwenye asili yako. Hapa ndio utajikuta kila unalofanya haliwi na umekuwa mtu wa dhiki na tabu.

Ajabu yake sasa ukizifungua hizo njia zako ambazo asili yako hupita huko utaona amani ya moyo na mambo yako yanakwenda vizuri sana. Safisha mwili wako kwa njia sahihi ambazo hazina madhara wala madhambi.

+255655467614

UTAANGAIKA SANA K**A JICHO LAKO LA TATU LIMEFUMBWA.Usingizi unapokuchukua huwa kuna jicho la tatu hufunguka kusaidia har...
29/08/2024

UTAANGAIKA SANA K**A JICHO LAKO LA TATU LIMEFUMBWA.

Usingizi unapokuchukua huwa kuna jicho la tatu hufunguka kusaidia harakati za ulimwengu wa roho. Jicho hili huwa macho nyakati zote na ndio jicho lenye nguvu kuliko macho tunayotizamia.

Jicho hili likifunikwa na kiwingu cha giza la uchawi mtu ndio huishi bila kuota na hata mambo yake huwa hayaeleweki kabisa. Inawezekana pesa anapata lakini hafanyii la maana.

Kufunikwa kwa jicho hili huwa kuna muathiri sana mtu kwenye maisha yake ya kawaida. Yaani sijui niseme vipi ila mtu uharibikiwa hata nuru yake hufifia huwa ni k**a mfu aliehai kila mtu humkimbia.

Kuota umekufa mara kwa mara pia hutoa dalili ya kufungwa kwa jicho lako la tatu. Kukataliwa kila sehemu na kuchukiwa dalili ya kutokuwa hai jicho lako la tatu. Jicho hili ndio hubeba nguvu ya kila kitu likiwa sawa hata kwenye dunia ya kawaida kila kitu huwa sawa.

+255655467614

DAWA HII HUTUMIKA KUTATUA MATATIZO YA UZAZI KWA MWANAMKE.Kuna haina tofauti tofauti zinazosababisha mwanamke kutokupata ...
29/08/2024

DAWA HII HUTUMIKA KUTATUA MATATIZO YA UZAZI KWA MWANAMKE.

Kuna haina tofauti tofauti zinazosababisha mwanamke kutokupata ujauzito ila leo nitaongelea ambazo husababishwa na Binadamu wenzetu ambao wanaenda kwa waganga ili kukufanya usipate ujauzito.

Unaweza ukahangaika Kila hospitali na pasionekane sababu ya wewe kupata ujauzito, Pia hata kutumia haina nyingi za Dawa ila bado hupati ujauzito.

sasa ipo hivi...
Kuna muda unaweza ukajiuliza kwanini sipati mimba..? kumbe kuna mtu kaenda kwa mganga kisha kuchukua mfupa wa maiti na sanda , kisha kuvifunga pamoja na tarasimu nakwenda kuvipeleka kwenye makaburi kuzika nakunuia kuuwa Mayai na njia za uzazi ili usiweze kuzaa ,au kila ukipata mimba iharibike

wapo wengine hutumia majini ili kufunga njia za uzazi
pia wengine hukurushia maradhi ya uvimbe kwenye mirija ya uzazi ili ushindwe kabisa kuzaa.

ila yote hayo nimekuletea kiboko ya kuuwa uchawi wa uzazi iwe umerogwa au unamatatizo tu yahospitali dawa hii itatibu kabisa

kwamaelezo zaidi nitafute whatsap +255655467614

KUBALI KUWA HAUPO SAWA. Kuna vitu kwenye maisha vinataka ukubali kufahamishwa nasi kupinga hata k**a uhalisia upo hivyo....
29/08/2024

KUBALI KUWA HAUPO SAWA.

Kuna vitu kwenye maisha vinataka ukubali kufahamishwa nasi kupinga hata k**a uhalisia upo hivyo.

Ndoto zinauhalisia katika maisha ya mtu ibaki kuwa hujui tu maana halisi ya ndoto zako. Kubali kuwa majini huishi kwenye ulimwengu ambao tunaishi hivyo basi wapo wanaotudhuru na kuharibu maisha yetu na wapo wanaotusaidia.

Kuna vitu vikitokea kwenye maisha lazima ukubali kuwa havipo sawa na uvitafutie ufumbuzi kwa ustawi wako. Haiwezekani unaota unakimbizwa na wanyama alafu unadai upo sawa.

Haiwezekani kila mtu unagombana nae alafu unadai upo sawa!. Haiwezekani husikii hamu ya tendo la ndoa alafu unasema upo sawa!. Ngumu kusema upo sawa k**a unafanya kazii kwa juhudi zote alafu kila siku upo hapo hapo hauendelei hapana..

Wewe haupo sawa unajikaza na kujilazimisha tu uwonekane upo sawa lakini jua unaejiumiza ni wewe sio mtu mwengine. Tafuta mtu mkweli mwenye hakika akusaidie kuwa sawa. Sio lazima akutibie hata ushauri tu unaweza kukusaidia.

Nitafute kwamahitaji ya huduma. +255 655467614

UCHAWI WA MAKABURI. Uchawi wa kufukia kwenye makaburi ni moja kati ya uchawi hatari sana unaopendwa na kundi kubwa la wa...
29/08/2024

UCHAWI WA MAKABURI.

Uchawi wa kufukia kwenye makaburi ni moja kati ya uchawi hatari sana unaopendwa na kundi kubwa la wachawi kwasababu ni uchawi unaokaa muda mrefu.

Maeneo ya makaburi ni maeneo ya ukimya ambayo mara nyingi watu huwa hawaendi sana. Kwahiyo mtu akifukia uchawi wake unaka muda mrefu sana kwa mtu. Uchawi huu hutegemea na kusudi la mchawi mwenye we.

Dalili za kuonesha kuwa uchawi uliorogwa nao umefukiwa kwenye kaburi. Unakuwa na maumivu mwili mzima yasiokwisha. Katikati ya kichwa utosini huwa kunanyekenya au kuna k**a kitu kinatembea.

Kuumwa maradhi mchanganyiko paka kifo. Mwili kukosa nguvu na kunyongea kabisa k**a mtu alieugua muda mrefu. Kukata tamaa na kujihisi k**a upo kwenye kifungo usichoweza kukifungua.

Nchi k**a Morocco, Tunisia na Algeria uchawi huu ni maarufu sana na ndio hutumia. Uchawi unaweza kufukiwa kwenye sanda ya maiti au ukatafutwa mfupa wa maiti ukafungwa uchawi kwenye mfupa ili mtu ateseke. Huu ndio uchawi hatari zaidi.

K**a Unahisi unadalili zozote ,Zinazo kupelekea kuumwa mwili au kuhisi kitu kutembea ndani ya mwili au maradhi yoyote yakurogwa basi nitafute whatsapp nikusaidie.

+255 655467614

MAMI WATA NA UTAJIRI WAKE BILA KAFARA ZA DAMU.+255 655467614
28/08/2024

MAMI WATA
NA UTAJIRI WAKE BILA KAFARA ZA DAMU.

+255 655467614

27/08/2024

DALILI ZA KUONYESHA K**A MWILI WAKO UMEFUNGWA KICHAWI.

1.KILA UNALO FANYA HALIWI VILE UNAVYO TAKA.
2.K**A UNAFANYA BIASHARA HAZITOKI
3.K**A MFANYA KAZI UNATUMIKA SANA ILA KIPATO HAKIONEKANI
4.UNAPATA PESA LAKINI HAIKAI , UKIPATA PESA MADENI YANAKUKUMBA ,MARA MAMA ANAUMWA MARA MWENGINE ANAKWAMBIA HIVI UKIJA KUTAAMAKI HUNA PESA YOTE IMEISHA.

5.KUKOSA NDOTO ,AU UNAOTA ILA IKIFIKA HASUBUHI HUKUMBUKI ULICHOOTA

6.WALIO KUWA WAKIKUFURAHIA NA KUKUPENDA ,KUKUONA MTU WAKAWAIDA AU KUTOVUTIWA NA WEWE TENA BILA SABABU

7.KUHISI KUKATA TAMAA KATIKA KILA JAMBO LAKO

8.WASIWASI WA NAFSI , KILA MDA KUJIKUTA UNAHOFU NAKILA KITU

HIZO NI MOJA YA DALILI ZAKUONYESHA KUWA MWILI WAKO UMEFUNGWA.

NITAFUTE WHATSAPP NIKUPE TIBA YAKUSAFISHA MWILI NA NYOTA YAKO
KUFUNGUA VIFUNGO VYA HAINA ZOTE.

WHATSAPP +255 655467614

27/05/2023

JE Unasumbuliwa na Mahusiano yako?

Bwana Malundi ni Daktari bingwa wa matatizo mbalimbali…

K**a unasumbuliwa na mpenzi wako au k**a una msichana au mvulana unampenda basi suluhisho lipo kwangu … / tuma picha yako na ya umpendae nitatue tatizo lako.

Kwamawasiliano zaidi niandikie whatsapp 👇🏾

+255 0655 467 614

Address

Morogoro Road
Mbeya

Telephone

+255655467614

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bwana Malundi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category