01/04/2026
Ninakuombea; Mwezi huu wa APRIL uwe Mwezi mzuri kwako kwa jina la Yesu...!
Ikiwa ni Mwezi waNguvu ya Msalaba Ufufuo wa Kristo Yesu, ninakuombea," NGUVU YA MSALABA WA YESU IKUSHINDIYE YOTE KWA JINA LA YESU!"
Nguvu ya UFUFUO, Ifufue kila chema na kizuri kwenye maisha yako....!
Nakutangazia UZIMA TELE,AMANI, FURAHA, FAIDA, FIDIA,KIBALI, FURSA NZURI, NGUVU MPYA, MAFANIKIO KWENYE KILA ENEO LA MAISHA YAKO, ULINZI WA KIUNGU, USIPUNGUKIWE KITU, NGUVU MPYA kwa jina la YESU KRISTO.....Amen 🙏!
Happy New month of April to us all...🌹🙏!
●Warumi 8:11,"Lakini,ikiwa Roho yake yeye aliyemfufua Yesu katika wafu anakaa ndani yenu,yeye aliyemfufua Kristo Yesu katika wafu ataihuisha na miili yenu iliyo katika hali ya kufa, kwa Roho wake anayekaa ndani yenu."
Credit ©Suzzane clement