Afya na tiba/kinga

Afya na tiba/kinga Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya na tiba/kinga, Alternative & holistic health service, Mbezi.

tunatoa huduma za afya kwa suppliment na tuna deal na mifumo kama uzazi kwa mwanamke na mwanaume .pressure .kisukari .vidonda vya tumbo ni magonjwa ambayo ni ngumu kupona hospitals kama unajua maana ya antibiotics

Bright future kwa uimara wa afya yako 👉⭕FIGO:Linda afya ya figo yako kwa;• Kufanya uchaguzi sahihi wa chakula 🥛🥜🥚🥬🍏🥦🥑• K...
07/02/2022

Bright future kwa uimara wa afya yako

👉⭕FIGO:
Linda afya ya figo yako kwa;
• Kufanya uchaguzi sahihi wa chakula 🥛🥜🥚🥬🍏🥦🥑
• Kunywa maji mengi💧
• Fanya mazoezi🏃‍♂️
• Punguza matumizi ya pombe 🍷
• Acha kuvuta sigara🚬
• Jitahidi kulinda presha yako.

Karibu bright future kwa uimara wa afya yako Tupigie au WhatsApp +255692202979

💊 *KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI**NUKUU:* Mirija ya uzazi huwa ina tishu ndogondogo ambazo kitaalamu hujulikana k**a “cilia...
07/02/2022

💊 *KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI*
*NUKUU:* Mirija ya uzazi huwa ina tishu ndogondogo ambazo kitaalamu hujulikana k**a “ciliated epithelia” ambazo hueleaelea kwenda mbele na kurudi nyuma ili kulisaidia yai liweze kutoka kwenye kifuko cha yai(ovary) kila mwezi na kuingia kwenye mfuko wa kizazi(uterus). Tishu hizi zenye muonekano k**a vinyweleo fulani pia husaidia yai lililorutubishwa liweze kusafiri na kuingia kwenye mirija ya uzazi mpaka kwenye mfuko wa kizazi(uterus). Kovu lolote au mchubuko unaokuwa kwenye mirija ya uzazi unaweza kusababisha hali ya kuziba kwa mrija ambayo huathiri uwezo wa kuzaa wa mwanamke.
▶️ *Je, Dalili Za Kuziba Kwa Mirija Ya Uzazi Zinakuwaje?*....Kuziba kwa mirija ya uzazi ni hali ambayo huonyesha dalili zake kwa nadra sana. Wanawake wengi hushindwa hata kutambua kuwa wana tatizo la kuziba kwa mirija ya uzazi mpaka pale wanapokuwa wakijaribu kutafuta ujauzito lakini wasiupate. Hata hivyo katika baadhi ya wanawake hali hii inaweza ikaonyesha dalili zifuatazo:
📌Maumivu makali wakati wa hedhi
📌Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa
📌Maumivu wakati wa kukojoa
📌Kutokwa na uchafu ukeni,
📌Mirija ya uzazi kuvimba na kujaa majimaji
📌Maumivu makali chini ya kitovu
📌Maumivu ya nyonga, nk.
▶️ *Je, Nini Husababisha Mirija Ya Uzazi Kuziba?*
📌Magonjwa ya maambukizi katika via vya uzazi au PID.
📌Magonjwa ya zinaa k**a vile pangusa(Chlamydia), kisonono, nk
📌Michubuko au majeraha kwenye mirija ya uzazi kutokana na upasuaji, nk
📌Mimba kutunga nje ya kizazi na kusababisha upasuaji hali ambayo hupelekea michubuko
📌Hali ya kukua kwa uvimbe aina ya fibroid ambayo hupelekea kuziba nafasi ya mirija ya uzazi
📌Mkusanyiko wa usaha au uchafu kutokana na maambukizi ya magonjwa kwenye mirija ya uzazi.
▶️ *Je, Mwanamke Anaweza Kuendelea Kupata Hedhi Hata K**a Mirija Ya Uzazi Imeziba?*......Hali ya kuziba kwa mirija ya uzazi kwa kawaida huwa haiathiri vipindi vya hedhi wala mzunguko wa hedhi zaidi ya kujitokeza baadhi ya maumivu au kukosa furaha. ..Hata hivyo, magonjwa ambayo husababisha mirija kuziba yanaweza kuathiri vifuko vya mayai pamoja na ukuta wa mfuko wa kizazi, na kwa hali hii, vipindi vya hedhi lazima vibadirike badirike au kutokwa na damu nyingi sana wakati wa hedhi.
▶️ *Je, Unaweza Kuendelea Kupata Ujauzito Huku Ukiwa Na Hali Ya Kuziba Kwa Mirija Ya Uzazi?*....Mirija inapoziba huzuia mwanamke asipate ujauzito kwakuwa huzizuia mbegu za mwanaume zisiweze kulifikia yai la mwanamke, n·k. Kwa msaada na kufijunza zaidi 0692202979

Jinsi  MUNGU  anatenda  kupitia  mikono  ya wanadamu..Nimempatia  suluhisho  MUNGU  Kampala kibali cha haja  ya moyo  wa...
07/02/2022

Jinsi MUNGU anatenda kupitia mikono ya wanadamu..Nimempatia suluhisho MUNGU Kampala kibali cha haja ya moyo wake.

Umehangaika na uzazi na bado hujafanikiwa....hii ni pakge ya pekee ni kiboko kwa kuondoa hali hizi kwa haraka mno...WANA...
06/02/2022

Umehangaika na uzazi na bado hujafanikiwa....hii ni pakge ya pekee ni kiboko kwa kuondoa hali hizi kwa haraka mno...
WANAWAKE.
*mirija imeziba.
*kuwa mkavu sehemu za siri.
*uko vizuri haushiki mimba.
*uchafu sehemu za siri,usio wa kawaida.
*miwasho.
*Hedhi haina mpangilio/kila siku haikati.
*uvimbe kwenye mji wa mimba.

WANAUME.
*Kutoweza kushiriki tendo..
*manii ndogo/hamna kabisaa.
*suluhisho kwa watu punyeto..
KUTAKUWA NA BEI YA PUNGUZO KWA WATU3 WA MWANZO. TU.

#0692202979.wtsp.

.

Jambo hili lisikukoseshe furaha, Unayo haki ya kufurahia maisha bila kujali una hali gani, Si wewe tu, watu wengi wamepi...
05/02/2022

Jambo hili lisikukoseshe furaha,

Unayo haki ya kufurahia maisha bila kujali una hali gani,
Si wewe tu, watu wengi wamepitia changamoto hii katika maisha yao lakini mwisho wa siku walipona na kurejesha furahia zao.

Changamoto za matatizo ya kushindwa Kupata Ujauzito limekuwa tishio Kwa watu watu wengi Hali Ambayo wengi imewafanya kukosa furaha katika ndoa zao.

Sasa tatizo hili huweza kutatuliwa bila shida yeyote na hivyo tumeanda muongozo maalumu wa kuanda mwili wako unayesoma ujumbe huu kuweza kupata Ujauzito hasa kwa kutatuahli tatizo la mirija kuziba.

Wiki hii tumekuandalia darasa maalumu ambapo tutafundisha hatua Kwa hatua jinsi ya kukabiliana na tatizo hili, na Elimu itatolewa BURE

Jukwaa letu linalenga kusaidia watu kukabiliana na changamoto hii.

Tafadhali tupigie simu 0692202979

Tutakufahamisha zaidi kuhusu namna ya kukabili changamoto hii kwa namna rahisi tu.

Piga simu/bonyeza link sasahivi

He,umekuwa ukisumbuliwa na maumivu ya viungo na maungio bila msaada wowote ?Nipigie 0692202979
04/02/2022

He,umekuwa ukisumbuliwa na maumivu ya viungo na maungio bila msaada wowote ?Nipigie 0692202979

Sababu kubwa inayopelekea hedhi kuvurugika na kubadilika badilika Ni mvurugiko wa homoni,Zipo Sababu nyingi Sana ambazo ...
04/02/2022

Sababu kubwa inayopelekea hedhi kuvurugika na kubadilika badilika Ni mvurugiko wa homoni,

Zipo Sababu nyingi Sana ambazo huweza kupelekea changamoto hii,.

Suluhisho la uhakika zinapatikana 0692202979

ZIJUE SABABU ZINAZOSABABISHA MWANAMKE ASIPATE MIMBA Moja kati ya vitu ambavyo mwanamke anafikiria kichwani kwake anapoku...
03/02/2022

ZIJUE SABABU ZINAZOSABABISHA MWANAMKE ASIPATE MIMBA
Moja kati ya vitu ambavyo mwanamke anafikiria kichwani kwake anapokua kwenye ndoa ni kupata mtoto na asipopata mtoto hasa katika mwaka wa kwanza mpaka wa tatu kwenye ndoa hupoteza furaha kabisa maneno ambayo nimekua nikiyasikia kutoka kwa baadhi ya wateja wangu niliofanya nao kazi na kuwasaidia hua ni yenye huzuni hasa baada ya kukaa kwa muda mrefu kwenye ndoa nimekuandalia sababu ambazo zinapelekea kukosa kupata mimba ambazo ni :-
1.Maambukizi kwenye mfuko wa kizazi (PID)
ili ujue kwamba una maambukizi haya kwenye mfuko wa kizazi utaona dalili zifuatazo
•kutokwa na uchafu sirini hivo kukufanya kutokujiamini hasa ukiwa kwenye mkusanyiko
•kupata maumivu wakati wa unyumba
•kupata maumivu makali chini ya kitovu
2.Historia ya kutumia vizuia mimba aina yeyote ile
•hivi ni vile ambavyo mwanamke anatumia kupanga uzazi na vimesaidia sana katika kuboresha maisha ya wanawake hivo kumpa Uhuru wa kuchagua lini na muda gani apate mimba
3.kutokufahamu elimu juu ya mzunguko kamili wa siku zake (hedhi)
Hizi ni baadhi tu ya sababu zinazosababisha kukosa ujauzito wasiliana nasi kupitia namba 0692202979

K**a umesumbuliwa na fibroids muda mrefu umehangaika Sana bila mafanikio,Nipigie upate suluhisho la uhakika :0692202979 ...
02/02/2022

K**a umesumbuliwa na fibroids muda mrefu umehangaika Sana bila mafanikio,

Nipigie upate suluhisho la uhakika :0692202979

IRM HERBS 🌿 kwa uimara wa afya yako Samaki 🐟 ni moja ya vyakula bora kabisa kiafya🔵 Samaki k**a sato wana Omega3 nyingi ...
19/01/2022

IRM HERBS 🌿 kwa uimara wa afya yako

Samaki 🐟 ni moja ya vyakula bora kabisa kiafya

🔵 Samaki k**a sato wana Omega3 nyingi ambayo hulinda moyo na kurutubisha ubongo na akili

🔵Protini Bora isiyo na mafuta

🔵Kujenga mifupa imara

👉Tunashauriwa kutumia samaki walau mara 2 kwa wiki

Gonga supu ya samaki

Karibu IRM HERBS 🌿 kwa uimara wa afya yako Tupigie au WhatsApp +255692202979

Bei zetu ni nafuu ukilinganisha na wengine

Karibu ujipatie dawa rafiki kwa afya yako na ambazo hazina viambata sumu

KUPONA KWA U.T.I SUGUMSHAURI MAKINI 0692202979U.T.I ni kifupi cha maneno “Urinary Tract Infection”, ikimaanisha ni maamb...
19/01/2022

KUPONA KWA U.T.I SUGU

MSHAURI MAKINI 0692202979

U.T.I ni kifupi cha maneno “Urinary Tract Infection”, ikimaanisha ni maambukizi katika njia ya mkojo. Maambukizi huweza kuwa kwenye mirija ya mkojo, kibofu, na ikiwa sugu zaidi huweza kuathiri mirija ya juu ya figo na figo zenyewe.

Viashiria vinavyoonyesha uwepo wa maambukizi ni; Maumivu makali wakati wa kukojoa, Kujisikia hali ya kuchomachoma kwenye kibofu wakati wa kukojoa, Kujisikia kukojoa mara kwa mara na kutoa mkojo mdogo sana, Maumivu ya misuli, maumivu chini ya tumbo (Chini ya kitovu), Mkojo kuwa mwekundu au wa pink (dalili ya damu kwenye mkojo) na unaonuka harufu kali, Maumivu ya nyonga kwa wanawake na wakati mwingine kushindwa kujizuia mkojo, Maumivu ya mgongo wa chini, Homa kali na uchovu, Mwili kutetemeka na kutapika, Kusikia kichefu chefu na kupatika, Maumivu ya kiuno, Kuwashwa sehemu za siri, Kuhisi maumivu wakati wa tendo na kusikia kuwa moto baada ya tendo, Kupata vidonda sehemu za siri, Kuvimba na kuwa mwekundu kwa mdomo wa nje wa sehemu za siri, Kutokwa na uchafu wa rangi nyeupe au kijivu unaoweza kuwa mwepesi au mzito au majimaji.

Visababishi vya U.T.I; Pamoja na kwamba bacteria aina ya E.coli na baadhi virusi na fangasi ndio husababisha U.T.I lakini visababishi vingine ni; Ni Mabadiliko ya homoni katika kipindi cha upevushwaji wa mayai kwa mwanamke kipindi cha ujauzito na kukoma kwa hedhi, Upungifu wa kinga mwilini, Kukosa usingizi (stress), Vidonda sehemu za siri, Kuweka marashi sehemu za siri, Watu wanaougua kisukari, Mazingira ya joto na kuvaa nguo nzito za ndani (Hutengeneza mazingira ya fangasi kuzaliana).
Athari kuu za U.T.I ni; Kupatwa kwa ugonjwa wa P.I.D, maambukizi katika via na kupelekea ugumba.

Kwa hiyo ipo haja ya kuchukua hatua za maksudi ili kudhibiti U.T.I na athari zake.
MWANAPORI tunayo dawa ya mimea iliyofanyiwa utafiti na kuthibitika kutibu U.T.I ya
kawaida na U.T.I sugu.

NDAASE ni dawa ya mimea asilia inayoua bacteria wanaosababisha UTI na kuponyesha kabisa UTI, pamoja na changamoto zinazosababishwa na UTI ikiwemo fangasi n.k. Na haina madhara kwa mtumiaji.

MAWASILIANO: Piga 0692202979 au WhatsApp +255692202979

MAUMIVU YA TUMBO NA VIDONDA VYA TUMBOVidonda vya tumbo ni ugonjwa wa mfumo wa mmeng’enyo wa chakula katika mwili wa bina...
19/01/2022

MAUMIVU YA TUMBO NA VIDONDA VYA TUMBO

Vidonda vya tumbo ni ugonjwa wa mfumo wa mmeng’enyo wa chakula katika mwili wa binadamu, ambapo kuta za mfumo wa uchakataji wa chakula huchubuka. Ni vidonda vinavyopatikana ndani ya mfumo wa tumbo. Ugonjwa huu huathiri zaidi watu wazima na kwa kiasi kidogo sana kwa watoto wadogo.

Viashiria vya kuwa kuna tatizo la vidonda ndani ya tumbo ni; Kuwa na maumivu makali hasa baada ya kula, Kuumwa tumbo baada ya kula vyakula k**a dagaa, maharage na pilipili, Kuumwa mgongo au kiuno, Kiungulia, Tumbo kujaa gesi, Tumbo kuwaka moto, Kukosa choo au kupata choo kwa shida, Kutapika nyongo, kichefuchefu na Kushindwa kupumua vizuri

Na Vidonda vya tumbo huweza kuwa;
-Ndani ya mfuko wa tumbo kuu la kuhifadhi chakula na vikiwa huko hufahamika k**a Gastric Ulcers
-Sehemu ya mwanzo ya utumbo mwembamba na huitwa Duodenal Ulcers
-Sehemu ya mwisho/chini ya koromeo la chakula na huitwa Esophageal Ulcers

Vidonda vya tumbo husababishwa na; Tindikali (Acid) inayopatikana ndani ya tumbo, Kutokula chakula kwa wakati unaostahili, Msongo mkali wa mawazo, Kula vyakula vyenye tindikali (acid) nyingi mara kwa mara, Bakteria waitwao Helicobacter pylori (H. pylori) bacteria hawa huanza kushambulia baada ya kuta za tumbo kuchubuliwa na acid, Uvutaji wa sigara na matumizi ya vilevi vikali.

Tatizo la vidonda vya tumbo lisipotibiwa hupelekea; Kupata haja kubwa iliyochanganyika na damu, Kuchoka bila sababu maalumu, Kupungua kwa nguvu za ki-ume, Kizunguzungu, Sehemu za mwili kupata ganzi,, Kusahausahau na hasira bila sababu, pia Kukosa hamu ya kula. Vikishamiri sana huweza kusababisha athari zaidi.

NALE ni dawa ya mimea inayotibu changamoto ya vidonda vya tumbo kwa kuponyesha michubuko kwenye kuta za tumbo na kuua bacteria wanaochagiza tatizo la vidonda vya tumbo. Na dawa hii haina madhara kwa mtumiaji.

Kwa Msaada zaidi Piga: 0692202979 au

WhatsApp link; wa.me/255692202979

Address

Mbezi
255

Telephone

+255692202979

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya na tiba/kinga posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram