26/01/2026
AL-RAHMAH NURSERY SCHOOL
Mahali sahihi kwa elimu bora, malezi yenye maadili, nidhamu thabiti, na teknolojia ya kisasa katika makuzi ya mtoto wako. Tunajenga msingi imara wa elimu na tabia tangu hatua za awali.
π Mapokezi ya wanafunzi kwa Mwaka wa Masomo 2026 yanaendelea.
β³ Nafasi ni chache β wahi sasa kumleta mwanao.
π° Ada ni nafuu na hulipwa kwa awamu tatu kwa urahisi wa wazazi.
Mlete mwanao Al-Rahmah Nursery School β mahali elimu na maadili vinakutana.
π Mawasiliano: 0673526644