AFYA TIBA

AFYA TIBA Inahusu ushauri kuhusu Afya,Magonjwa ,vipimo na kukukutanisha na madaktari bingwa wa magonjwa mbalimbali na matibabu.Tupigie no.0710 277988

09/06/2020

Je, wewe ni muathirika wa matumizi ya pombe na pombe Kali ,Vipodozi? Njoo upate suluhisho la tatizo lako.Pia kwa wanaosumbuliwa na matatizo ya uti wa mgongo,kupooza ,Mwili kutetemeka,Mvurugiko wa siku kwa akina mama,kisukari,amsikio yanayotoa usaha,matatizo ya uzazi kwa mama na baba,pressure,magonjwa ya ini,figo,moyo mkubwa na maumivu ya moyo,Chunusi na mabaka yasiyoisha mwilini ,uvimbe katika viungo vya uzazi,Ngiri ,nguvu za kiume na k**e, tezi dume na tezi nyingine zote ,kuondoa kitambi na kupunguza uzito,Miguu kufa ganzi na matatizo ya kwenye magoti.Njoo upate suluhisho la shida zako.Tutakufanyia vipimo na kukupa ushauri bure.Tunatoa tiba kwa maradhi yote hayo na kuponya.Kumbuka ,hatufanyi Operesheni ,tunatibu kwa madawa tu.Tupo Mnazi Mmoja Dar es salaam.Kwa mawasiliano tupigie simu no.0784248775 au 0710277988. Karibuni.

07/06/2020

Je ,una matatizo ya Saratani,Kisukari,Vidonda vya tumbo na Unasumbuliwa na Ganzi? Njoo upate suluhisho. Pia utapata tiba ya matatizo ya mifupa,Uvimbe wa aina yoyote ile,Aleji,magonjwa ya Meno,Ini,Kifafa,Bandana,Maumivu ya kichwa yasiyokoma,Kupunguza unene na uzito,kuondoa kitambi,Masikio yanayotoa usaha,Macho kutokuona vizuri,Bawasili,Mzio,Ngiri,Ukuaji mbovu kwa watoto,Kutopata choo au choo kigumu,Tezi dume, Nguvu za kiume na k**e,Ugumba,UTI,Kupooza,Fangasi ,Uzazi kwa akina mama na baba,Pressure na kwa akina mama ambao siku zao hazina mpangilio nk.Njoo ukutane na mashine za kisasa kabisa zitakazoonyesha tatizo,ukubwa na chanzo chake kisha utapata ushauri Wa madaktari Wa namna ya kutibiwa na tatizo lako litakwisha kabisa.Pia Vipimo vyetu vinagundua hata tatizo linalokunyemelea na kupewa ushauri wa namna ya kulikabili.Kupumbuka Wengine wanafanya Operesheni kwa baadhi ya magonjwa ,sisi tutakutibu kwa dawa tu na kumaliza tatizo lako.Ushauri kwetu ni bure na vipimo ni elfu 15 tu na utapimwa kila kitu ktk mwili wako.Tupo Mnazi Mmoja .Simu no.0710 277 988 au 0784 248 775

Watanzania tujenge tabia ya kupima afya zetu kabla ya kutafuta matibabu.Kumekuwa na tabia ya watu wengi wanapokuwa wana ...
02/06/2020

Watanzania tujenge tabia ya kupima afya zetu kabla ya kutafuta matibabu.Kumekuwa na tabia ya watu wengi wanapokuwa wana matatizo ya kiafya hukimbilia kutafuta dawa na kutumia bila ya kujua hasa tatizo alilonalo linatokana na nini.Hii hupelekea athari kutokana na matumizi ya dawa ambazo huenda haziendani na tatizo au ugonjwa alionao muhusika na hii ndiyo huleta madhara zaidi.Hivyo hali hii inasababisha mtu kuzidisha tatizo,au kufubaza tatizo na muhusika kujiona k**a amepona.Kwa nini utumie elfu 5000 kununua na kutumia dawa ambazo huenda zikakuletea shida itakayokugharimu pesa nyingi zaidi hali itakapokuwa mbaya? Tiba sahihi ni ile utakayoipata baada ya kufanya vipimo sahihi kwa tatizo ulilonalo na kupangiwa matibabu.Njoo ufanyiwe vipimo vya afya yako ili uwe na uhakika na matibabu yako.Tunafanya vipimo vya mwili mzima ( General body check up) na tutakushauri tiba inayokufaa.Tupo Mnazi Mmoja au tupigie simu 0784248775 au 0710277988. Afya ni Mtaji.

Je, unasumbuliwa na pressure ya kupanda na kushuka na inakutesa? Unasumbuliwa na kitambi wewe mama na unahangaika kukion...
20/05/2020

Je, unasumbuliwa na pressure ya kupanda na kushuka na inakutesa? Unasumbuliwa na kitambi wewe mama na unahangaika kukiondoa bila mafanikio?Unasumbuliwa na maumivu ya moyo na uti wa mgongo?Una maumivu yasiyokoma ya tumbo na nyonga na hujui pa kuponea? Usihangaike,njoo ujue k**a una shida katika moyo au figo yako.Usitafute dawa ya kutibu ugonjwa kabla ya kujua chanzo cha ugonjwa.Njoo tukufanyie vipimo maalumu vitakavyoonyesha tatizo na chanzo chake na kupatiwa tiba ya vyote hivyo;yaani tatizo na chanzo. Njoo ufaidike,kwani ukija na tatizo la moyo tutakupima na figo,pressure, kisukari ,ini na mengineyo kwa gharama nafuu tu.Njoo ucheki afya yako ili uepuke madhara yanayoepukika!Tupigie no. 0784248775 ili upate maelezo ya kutufikia..Tupo Dar es Salaam.

Kwa wenye matatizo ya moyo,figo,Ini,pressure,kisukari,allergy ,maumivu katika uti wa mgongo, typhoid sugu isiyokwisha na...
12/05/2020

Kwa wenye matatizo ya moyo,figo,Ini,pressure,kisukari,allergy ,maumivu katika uti wa mgongo, typhoid sugu isiyokwisha na maradhi mengine.Njoo ukutane na madaktari bingwa waliobobea katika vituo vyetu vya afya,Dar es Salaam,Moshi,Singida na Morogoro na utafanyiwa vipimo vya kujua chanzo cha tatizo na ukubwa wake kwa gharama ndogo tu ya elfu 15 na kisha matibabu ya kuondosha tatizo na si kupunguza tatizo yatafuata.Pia utapata ushauri bure wa namna ya kutunza afya yako.Tupigie simu no.0710277988 .Jali afya yako,njoo upone!

10/05/2020

Je,unasumbuliwa na matatizo ya moyo ,pressure,kisukari ,figo na Ini? Na je, we Dada,binti, kaka unahisi kuwa na matatizo katika mfumo wako wa Uzazi?K**a jibu ni ndiyo,acha kucheza na afya yako.Afya ni mali kabla ya kitu kingine.Njoo ukutane na madaktari bingwa wa maradhi mbalimbali watakaokufanyia kipimo kitakachokagua mwili wako wote na kuona tatizo na ukubwa wake kwa gharama ndogo tu ya elfu 15 na kisha upatiwe matibabu yatakayoondosha kabisa matatizo yako na si kupunguza..Utafanyiwa Kipimo cha QRMA kitachoonyesha lilipo tatizo lako na ukubwa wake.Wengi wamepona,nawe njoo upone. Tupo Dar,Moshi,Moro na Singida.Piga simu no.0710 277988 kwa maelezo zaidi.Njoo upone!

10/05/2020

K**a unasumbuliwa na matatizo ya kiafya ,magonjwa na maradhi mbali mbali fika katika vituo vyetu vya Afya vilivyopo Dar es Salaam, Morogoro,Singida na Moshi,ukutane na madaktari bingwa wa magonjwa mbalimbali wakufanyie vipimo vya mwili mzima(General body checking) ili upate kujua tatizo na ukubwa wake kwa gharama ndogo tu ya elfu 15,kisha utashauriwa na ikiwezekana ukatibiwa na tatizo kuisha kabisa.Wengi wamepona matatizo sugu waliyokuwa nayo.Tupigie 0710277988..Tutakuhudumia.

Address

Nyerere Road, Mnazi Mmoja, Dar Es Salaam
Moshi

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA TIBA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to AFYA TIBA:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram