Julius na Afya Care

Julius na Afya Care Welcome

08/07/2025

๐Ÿ˜ด Usingizi siyo anasa โ€” ni tiba ya mwili!
Kukosa usingizi huongeza hatari ya magonjwa ya moyo, kisukari, sonona, na hata kupungua kwa kinga ya mwili.
๐Ÿ‘‰ Usinyamaze ukiwa una matatizo ya usingizi โ€” tafuta msaada leo!
๐Ÿ“ฒ Tupigie au tuma ujumbe sasa โ€” afya yako ni kipaumbele!



25/06/2025

๐Ÿ”” USIKOSE FURSA HII ADIMU!
Je, unataka afya bora na mafanikio ya kiuchumi?
๐Ÿ“ Karibu kwenye SEMINA KUBWA ya Afya & Fursa
๐Ÿ—“ Tarehe: 29/06/2025
๐Ÿ•’ Saa 8:00 Mchana
๐Ÿจ Mahali: Midland Hotel, Mwanza

๐Ÿ‘‰ Nafasi ni chache sana!
๐ŸŽŸ๏ธ Chukua tiketi yako mapema sasa kwa kupiga:
๐Ÿ“ž +255 688 515 256

๐Ÿ’ฅ Kubadilisha maisha yako huanza na uamuzi mmoja sahihi!

01/03/2025

Kula sana chakula cha wanga kinaongeza hatari ya ongezeko la CHOLESTEROL mbaya ndani ya mishipa ya damu.
K**a unahitaji msaada zaidi na ushauri wasiliana nami DR SILA +255767866299

*UGONJWA WA KUTOKA/ KUOTA VINYAMA PUANI (KITAALAM NASAL POLYPS).* Dr Sila Julius Mwaselela +255767866299๐Ÿ‘‰VINYAMA  PUANI/...
16/05/2022

*UGONJWA WA KUTOKA/ KUOTA VINYAMA PUANI (KITAALAM NASAL POLYPS).*
Dr Sila Julius Mwaselela +255767866299

๐Ÿ‘‰VINYAMA PUANI/ NASAL POLYPS NI NINI???
Nasal polyps hizi ni aina ya vimbe zinazojitokeza toka katika kiwamboute ndani ya pua na paranasal sinuses.( aina yavitundu ndani ya pua). Ni uotaji wa mucosa uliozidi kawaida ambao mara nyongi huambatana na Allergic Rhinitisna pia huwa haviumi na ni huru katika mwenendo ndani.( Freely movable)

๐Ÿ‘‰ELEWA KUHUSU NYAMA (Nasal polyps)

Hizi nyama za pua (Nasal polyps) zimegawanyika katika makundi mawili ambayo kitaalamu yanajulikana k**a antrochoanal polyps na ethmoidal polyps. Antrochoanal polyps huchipua ama kuota toka katika vijitundu viitwavyomaxillary sinuses na hizi huwa ni mara chache kuwapata watu. Ethmoidal polyps hizi hichipua ama huota toka katika vijitundu viitwavyo ethmoidal sinuses. Antrochoanal polyps mara nyingi huadhili tundu moja ya tu pua wakati ethmoidal polyps huwa ni nyingi na huathili tundu zote za pua.

HIASHIRIA/ DALILI ZA MTU MWENYE TATIZO

Kwa kawaida mtu mwenye nyama aina hii hupata viashiria k**a..
๐Ÿ‘‰Kuhisi pua kuziba,
๐Ÿ‘‰sinusitis,
๐Ÿ‘‰Kupoteza uwezo wa kunusa harufu aina yoyote.
๐Ÿ‘‰Kupata maumivu ya kichwa.

Lakini pamoja na kuziondoa kwa njia ya upasuaji nyama hizi huwa zinatabia ya kujirudia kuota tena, karibu asilimia 70% ya upasuaji hujirudia. Upasuaji unahitaji umakini mkubwa ili kuepusha uharibifu wa maeneo mengine ndani ya pua na jicho (orbit matter).

AINA ZA VINYAMA ( Nasal polyps.)

1. ANTTOCHOANAL

Aina hii huwa na tabia kuu tatu, japo siblazima zitokee zote kwa pamoja,
๐Ÿ‘‰Huwa ni moja na hathili tundu moja la pua(Unilateral)
๐Ÿ‘‰Lakini aina hii mara nyingi huwapata zaid watoto
๐Ÿ‘‰ Inaweza kuanza kuota kutokea kwenye mirija ya sinus kwenye taya

2: ETHMOIDAL
Aina hii ya pili huwa na tabia kuu mbili...
๐Ÿ‘‰ Kwanza kabisa huathili tundu zote mbili za pua (Bilateral)
๐Ÿ‘‰ Tofauti na ile ya kwanza,, hii huwa Mara nyingi huawapata watu wazima

*_VISABABISHI VYAKE_*

Jinsi hizi nyama za puani zinavyojitokeza bado haifahamiki, ambapo kitaalamu tunasema "IDIOPATH" japo inatazamiwa kuwa nyingi husababishwa na mzio kitaalamu huitwa Allergy na kwa Mara chache sana husababishwa na cyst fibrosis.

*MAGONJWA YANAYO AMBATANA NA TATIZO HILI*

๐Ÿ‘‰Chronic rhinosinusitis
๐Ÿ‘‰Kartagener's syndrome
๐Ÿ‘‰Young's syndrome
๐Ÿ‘‰Churg-strauss syndrome
๐Ÿ‘‰Asthma
๐Ÿ‘‰Aspirin intolerance
๐Ÿ‘‰Cystic fibrosis

*MATIBABU PEKEE* .
๐Ÿ‘‰ K**a tulivyoona namna ambavyo tatizo hilo huwa husababishwa na tatizo lingine na imeonekana hakuna chanzo maalum..

Ila imeonekana kwa asilimia kubwa ni kwa wale wagonjwa / watu wenye matatizo ya allergy/ mzio na Athsma hivyo basi kufanya upasuaji si tiba na ndiyo maana tatizo hili hujirudia..

IPO hivi katika watu 10 waliofanyiwa upasuaji basi 7 wamerudiwa na tatizo..
nami kwaajili ya kupata msaada zaidi na matibabu yasiyo itaji upasuaji ktk kutibu kabisa tatizo hili la vinyama puani *+255767866299*

07/05/2022

*TIBA YA KUDUMU YA BAWASIRI {NDANI NA NJE}*
Dr Sila Julius Mwaselela +255767866299

*BAWASIRI {HEMORRHOIDS/PILE*
โž– Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa na kuoelekea kuota kinyama sehemu ya haja kubwa

*CHANZO CHA BAWASIRI*
โž– Tabia ya kuketi sehemu moja kwa muda mrefu mfano; madereva
โž– Tatizo sugu la kuharisha
โž– Ujauzito
โž– Uzito wa mwili kupita kiasi
โž– Kufanya ngono kupitia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
โž– Kupata haja kubwa ngumu
โž– Kua na mgandamizo mkubwa tumboni
โž– Kunywa pombe
โž– Kula sana nyama nyekundu
โž– Vidonda vya tumbo
โž– Ngiri(Chango/Hernia
โž– Kula sana pilipili
โž– Kunyanyua vitu vizito

*DALILI ZA BAWASIRI*
โž– Kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
โž– Kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa
โž– Kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa
โž– Kupata kinyesi chenye damu
โž– Kupata maumivu makali wakati wa
kujisaidia haja kubwa
โž– kutokwa na uteute sehemu ya haja kubwa
โž– Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa na kusababisha mishipa ya sehemu ya haja kubwa kukwanguliwa
โž– Kuna uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya utumbo (Cancer) kwasababu kile kinyama kinakaa k**a kidonda
โž– Uume kusinya (unapoteza urefu na ukak**avu)

*MADHARA YA BAWASIRI*
โž– Upungufu wa damu mwilini
โž–Kutokwa na kinyesi bila kujitambua
โž– Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
โž– Kupungukia nguvu za kiume (kwa wanaume)
โž– Kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
โž– Kupata tatizo la kisaikolojia
โž– Kutopata ujauzito
โž– Mimba kuharibika

Callโž–text&smsโž–whatsapp๐Ÿ‘‡

+255767866299

SHARE kwenye MA GROUP NA WATU MBALI MBALI UWASAIDIE WENGI WANAO TESEKA ๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™

03/04/2022

JINSI YA KUTATUA MATATIZO SUGU YANAYO TOKEA KWENYE MFUMO WA DAMU.
-Inawezekana umekua ukisumbuliwa na tatizo la presha, moyo kutanuka, moyo kuwa na tundu, au moyo kufeli, miguu kuwaka Moto au kuweka ganzi.
-inawezekana umekua ukisumbuliwa Sana bila kupata msaada, nipo kukuambia habari njema kuwa nimekuandalia darasa maalumu watssap ambalo linaelezea namna ya KUTATUA MATATIZO ya MFUMO WA DAMU kwa kutumia tiba lishe ambayo mtu unapona kabisa bila kufanyiwa upasuaji.
-Pia nimekuandalia na ofa maalumu kwa watu watakao chukua uamuzi wa haraka ktk kupata suluhisho
-Ili kuhudhuria darasa hili, bonyeza hapa"https://chat.whatsapp.com/FgjuU5i4k61IB8E68LVvSn" au namba ya watssap +255767866299

17/03/2022

TEZI DUME LIMEKUA CHANGAMOTO KUBWA SANA KWA WANAUME SIKUIZI, NA JINSI YA KULITATUA.
Kwa ujumla tatizo la Tezi dume limekua ni tatizo ambalo linatesa wanaume wengi Sana sikuizi. Fuatilia video hii. Pia ipo pakeji maalumu ya kumaliza tatizo hili bila ya kufanyiwa upasuaji.

01/03/2022

MATATIZO YA UZAZI YA WANAWAKE.
Matatizo yanayo wafanya wanawake wapate changamoto mbalimbali za uzazi Ni nyingi, ikiwemo haya yaliyo elezewa kwenye video hii

Address

Mwanza

Telephone

+255683522711

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Julius na Afya Care posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Julius na Afya Care:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram