JENGA AFYA YAKO

JENGA AFYA YAKO Pata suluhisho la magonjwa mbalimbali kupitia Tiba asilia na virutubisho asilia,Tiba ya vidonda vya

Je unasumbuliwa na bawasiri?!! Usisite kutupigia 0654498254 Kupata suluhisho
07/12/2022

Je unasumbuliwa na bawasiri?!! Usisite kutupigia 0654498254 Kupata suluhisho

KUPATA DAWA YA VIDONDA VYA TUMBO PIGA 0654498254Mwanza TanzaniaMikoani Dawa tunatuma
07/12/2022

KUPATA DAWA YA VIDONDA VYA TUMBO PIGA 0654498254
Mwanza Tanzania
Mikoani Dawa tunatuma

13/11/2022

*DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO*

⚫Dalili za vidonda vya tumbo hujitokeza baada ya kula au kabla ya kula, ila mara nyingi wengi huwa wanazipuuzia na kuendelea kukuza tatizo, vidonda vya tumbo vina dalili k**a:

1.📎 Kupata maumivu ya tumbo ya kuwaka moto (kuunguza) baada na kabla ya kula
2.📎 Kupatwa na kiungulia(heartburn) karibu na chembe ya moyo
3.📎 Tumbo kujaa gesi na kuvimbiwa
4📎 Kichefuchefu na kutapika tena yawezekana kutapika damu
5.📎 Kupata haja kubwa ya rangi ya kahawia au nyeusi cheenye harufu mbaya sana, pia haja yaweza kuchanganyikana na damu
6.📎 Kupoteza hamu ya kula na kupungua uzito
7.📎 Kushindwa kupumua vizuri.
8.📎Kuharisha hasa unapokula vyakula vinavyochochea vidonda vya TUMBO.
9.📎Kupata choo kigumu k**a cha mbuzi
10.📎 Maumivu ya mgongo
11.📎 Tumbo kuwaka moto.
12.📎 Kupungukiwa damu na kupelekea kupata kizunguzungu.
13.📎 Mwili kudhoofika na kupungukiwa kilo
14.📎 Dhakari(Uume) kulegea/kusinyaa na kushindwa kuhimili tendo la ndoa.
15.📎Mapigo ya moyo kwenda mbio.
16.📎 Macho kupunguza nguvu ya kuona vizuri.

*UFANYEJE ILI KUTATUA TATIZO LA VIDONDA VYA TUMBO*

Ili mtu atumie dawa ya vidonda vya TUMBO na kupona anatakiwa kuzingatia yafuatayo:

1.📎 Apate dawa sahihi (yenye uwezo wa kutibu vidonda vya TUMBO)

2.📎 Ajiepushe na vichochezi vya Vidonda vya TUMBO.vichochezi hivyo ni k**a vile
-Msongo wa mawazo (Stress)
-Vyakula visivyokuwa rafiki kwa mwenye vidonda vya tumbo basi. Hapo utakuwa umemaliza shida ama kulipunguza kwa kiasi kikubwa.

KUPATA DAWA YA VIDONDA VYA TUMBO WASILIANA NASI KUPITIA NAMBA 0654498254 / 0624421594

*Victoria healthcare* 🌿
Suluhisho la Afya yako

Bado Una tafuta dawa nzuri ya vidonda vya tumbo!? *Complete ulcers* ni dawa Bora yenye matokeo makubwa..., Wasiliana nam...
10/11/2022

Bado Una tafuta dawa nzuri ya vidonda vya tumbo!?
*Complete ulcers* ni dawa Bora yenye matokeo makubwa...,

Wasiliana nami Kupata Dawa hii kupitia namba 0654498254

*DALILI ZA MWANAMKE MWENYE UVIMBE KWENYE KIZAZI (UTERINE FIBROIDS):*Na Dr Victoria 0654498254 or 0624421594✅Kupata damu ...
10/11/2022

*DALILI ZA MWANAMKE MWENYE UVIMBE KWENYE KIZAZI (UTERINE FIBROIDS):*
Na Dr Victoria 0654498254 or 0624421594

✅Kupata damu nyingi wakati wa hedhi.

✅Maumivu makali wakati wa siku za hedhi.

✅Kuvimba miguu.

✅Unaweza kuhisi una ujauzito.

✅Maumivu wakati wa tendo la ndoa.

✅Kuhisi kuvimbiwa.

✅Kupata haja ndogo kwa taabu.

✅Kutokwa na uchafu ukeni.

✅Kupata choo kigumu au kufunga choo.
✅Maumivu nyuma ya mgongo.

✅Maumivu katika miguu ikiwa ni pamoja na miguu kuwaka moto.

✅Upungufu wa damu.

✅Maumivu ya kichwa.

✅Uzazi wa shida.

✅Kutopata ujauzito.

✅Kuvimba sehemu ya chini ya tumbo.

✅Maumivu ya nyonga.

✅Mimba kutoka mara kwa mara (miscarriage).

✅Kukojoa mara kwa mara kwan uvimbe huweka mgandamizo katika kibofu cha mkojo

✅Hedhi zisizokuwa na mpangilio

🧏‍♂️Kama unadalili k**a hizo haina haja ya kukaa kimya paza sauti yako upate suruhishia la tatizo lako...
Uvimbe kwenye kizazi unatibika.

*Je wewe dalili yako ni ipi..?*

Victoria healthcare 🌿
Suluhisho la Afya yako

*DALILI YA KUZIDI ASIDI MWILINI*:Sababu ya Acidity• Uvutaji wa sigara kwa wingi• Kunywa pombe • Vidonda vya tumbo• kuzid...
01/11/2022

*DALILI YA KUZIDI ASIDI MWILINI*:

Sababu ya Acidity
• Uvutaji wa sigara kwa wingi
• Kunywa pombe
• Vidonda vya tumbo
• kuzidi kwa asidi ya tumbo
• Kutokula kwa wakati
• Kula kukaanga na viungo vya chakula mara kwa mara
• Matatizo katika utendaji wa mfumo wa mmeng'enyo wa chakula tumboni
• Kukaa na njaa kwa muda mrefu au kuto kula chakula cha Asubuhi
• Kula vyakula vingi vya mafuta, k**a chocolates
• kuwa na Mimba kunasababisha asidi pia.
• kuzeeka
• Utokaji yatokanayo na jua na joto
• Muafaka wa chakula tabia
• kuwa hisia mbaya
• Udhaifu wa mishipa ya mwilini
Dalili ya Acidity
• Mchomo au maumivu katika tumbo, 1-4 masaa baada ya mlo
• maumivu ya kifua
• Kiungulia cha Muda mrefu
• Uvimbe katika kifua
• Kuhisi njaa mara kwa mara
• Daima maumivu katika tumbo la juu
• Kucheua
• Kichefuchefu
• Kuona Uchungu ladha katika kinywa
• Kupoteza hamu ya kula
• Kutapika
• Kukohoa
• Sauti ya mabadiliko na malezi ya kidonda katika umio (tube kuunganisha kinywa na tumbo)
• Maumivu ya sehemu za misuli ya mwili
• Maumivu katika masikio
DAWA YA KUONDOSHA HAYAMARADHI MWILINI
Mwili wako unayo Asidi nyingi aka Asidi ndio chanzo kikuu cha Maradhi yote Mwilini Mwako. Tumia Dawa iitwayo *Acidinto*

WASILIANA NASI KUPITIA NAMBA 0654498254 / 0624421594

*Victoria healthcare* 🌿
Suluhisho la Afya yako

*Je, unapata dalili zifuatazo?*1. 🎋Kukojoa mara kwa mara 2. 🎋Mkojo kuwa na harufu Kali 3. 🎋Kusikia kichefuchefu na kutap...
07/10/2022

*Je, unapata dalili zifuatazo?*

1. 🎋Kukojoa mara kwa mara

2. 🎋Mkojo kuwa na harufu Kali

3. 🎋Kusikia kichefuchefu na kutapika

4. 🎋Maumivu ya misuli na tumbo hasa la chini ya kitovu

5. 🎋Kusikia maumivu wakati wa kukojoa

6. 🎋Maumivu ya kiuno

7. 🎋Kuwashwa sehemu za siri

8. 🎋Kuhisi maumivu wakati wa kujamiana

9. 🎋Kupata vidonda vya ukeni

10. 🎋Kuvimba na kuwa mwekundu kwa mdomo wa inje wa uke

11. 🎋Kuhisi kuwaka moto sehemu za siri baada ya tendo la ndoa

12. 🎋Kutokwa na uchafu wa rangi nyeupe au kijivu unaoweza kuwa mweupe au mzito wa maji maji.

Hizi Ni Dalili za U.T.I

__Hello karibu tukutumie
Maelezo na tiba wasiliana nasi

Dr Victoria
0654498254

Victoria healthcare 🌿
Suluhisho la Afya yako✍️

♐ *UGONJWA WA KUOTA NYAMA NJIA YA HAJA KUBWA* ♐ *BAWASIRI* - ( *Hemoroid* ).▶ Ni pale mishipa ya veins ( *nyama* ) zinap...
02/10/2022

♐ *UGONJWA WA KUOTA NYAMA NJIA YA HAJA KUBWA* ♐

*BAWASIRI* - ( *Hemoroid* ).

▶ Ni pale mishipa ya veins ( *nyama* ) zinapojitokeza eneo la haja kubwa ( *A**s* )
Hali hii humfanya mtu ajisikie hali ya kukera sana na wakati mwingine maumivu makali.

▶ Hali ya kukera hutokea kipindi Mgonjwa anapo jaribu Kwenda chooni kupata haja kubwa ila kwa wengine hali hii huwafanya wapate maumivu kila wakati na kujisikia vibaya sana na kushindwa kufanya mambo mengine.

▶ Mara nyingi bawasiri huendana na kupata Choo Chenye damu.

▶ Kawaida eneo la haja kubwa lina mishipa ya damu mingi aina ya *VEINS* na mishipa hii Ipo juu juu sana. Sasa presha inapoongezeka eneo hili mishipa hiyo hupasuka na hujitokeza kwa nje hivyo huonekana k**a nyama zimejitokeza.

▶ Ingawa wakati mwigine *BAWASIRI* Hujitokeza ndani kabisa ya njia ya haja kubwa hivyo hufanya bawasiri iwe ya ndani bila nyama kutokea nje ya haja kubwa Mtu atajisikia hali ya kukera bila nyama kutoka nje kwa hiyo hii inaitwa BAWASIRI ya ndani.

▶ *SABABU ZA BAWASIRI KUTOKEA* 🕳

1⃣ *KUPATA CHOO KIGUMU.*

▶ Choo kigumu huongeza presha eneo la haja kubwa hivyo husababisha bawasiri kutokea

• Hii hutokea zaidi kwa watoto wadogo na watu wenye constipation au wenye tatizo la kutopata choo.

2⃣ *UZAZI* - ( *MIMBA* ).

• Huongeza presha eneo la nyonga hivyo huongeza presha eneo la haja kubwa na Kuongeza nafasi ya kupata bawasiri

3⃣ *UZITO MKUBWA* ( *OBESITY* ).

• Pia huongeza presha eneo la nyonga, hii hupelekea huongeza presha eneo la haja kubwa.

4⃣ *KUNYANYUA VITU VIZITO* 🕳

• Pia huongeza presha eneo la haja kubwa na huongeza nafasi ya kupata Bawasiri

▶ Mara nyingi watu wengine hufanyiwa *UPASUAJI* kutatua tatizo hili kwa jinsi lilivyo.

▶ *TIBA YA BAWASIRI BILA UPASUAJI* 🕳

▶ Zipo tiba za aina nyingi katika kutatua ugonjwa huu! Ila kwetu sisi tunatumia njia mbadala ambayo huondoa tatizo hilo Kabisa na hutakuwa na haja ya kufanyiwa upasuaji.

🕳 Usisite Kuwasiliana Nasi Kuhusu Tiba na Ushauri wa Masuala Mbali Mbali Ya Afya.

• Tupigie Sasa Kupitia Namba Zifuatazo 0654498254 /0624421594 Ili Kufanya oda Ya Dose Ya Tatizo hili na Utatumiwa Popote Ulipo.

*Victoria healthcare*🌿
Suluhisho la Afya yako

BADO UNAENDELEA KUTESEKA NA VIDONDA VYA TUMBO, SULUHISHO LIPO,.ILI KUPATA TIBA WASILIANA NAMI KUPITA 0654498254 / 062442...
09/09/2022

BADO UNAENDELEA KUTESEKA NA VIDONDA VYA TUMBO, SULUHISHO LIPO,.ILI KUPATA TIBA WASILIANA NAMI KUPITA 0654498254 / 0624421594

*NINI VIDONDA VYA TUMBO*?Ni vidonda vinavyotokea katika ukuta wa tumbo. Vidonda hivi tumezoea kuviita vidonda vya tumbo ...
09/09/2022

*NINI VIDONDA VYA TUMBO*?
Ni vidonda vinavyotokea katika ukuta wa tumbo. Vidonda hivi tumezoea kuviita vidonda vya tumbo ila hapa nitataja kitaalamu kuwa vidonda hivi hufahamika k**a peptic ulcers. Vidonda hivi hutokea kutokana na mashambulizi ya bakteria wanaoitwa Helicobacter pylori (H.pylori) au kulika kwa ukuta wa tumbo kutokanana na athari za tindikali zilizopo tumboni (stomach acids) k**a vile tindikali ya hydrocloric yaani hydrocloric acid. Kwa wakati tulio nao hili ni tatizo la kawaida maana limewapata watu wengi na halisabababishi vifo vya watu wengi k**a maaradhi ya saratani na kisukari.

AINA ZA VIDONDA VYA TUMBO
Vidonda hivi vimegawanyika katika makundi makuu matatu ambayo ni:-
1.Gastric ulcers hivi hutokea ndani ya tumbo la chakula
2.Esophageal ulcers hivi hutokea ndani ya esophagus. Hii ni sehemu inayounganisha kati ya koo la chakula na tumbo la chakula.
3.Duodenal ulcers hivi hutokea kwenye sehemu ya juu ya utumbo mdogo inayoitwa duodenum
Vidonda vya tumbo ni pamoja na:

SABABU ZA KUTOKEA KWA VIDONDA VYA TUMBO
Sababu za kawaida za vidonda vya tumbo ni maambukizo na bakteria Helicobacter pylori (H. pylori) na utumiaji wa dawa za muda mrefu za aspirini na aina za dawa ziitwazo nonsteroidal anti-inflammatory drugs (NSAIDs) ni k**a (Advil, Aleve, na nyingine).

Stress (msongo wa mawazo) na vyakula vyenye viungo havisababishi vidonda vya tumbo. Walakini, vinaweza kufanya dalili zako kuwa mbaya zaidi.

KWA USHAURI NA TIBA WASILIANA NASI 0654498254 / 0624421594

*Victoria healthcare* 🌿
Suluhisho la Afya yako

04/09/2022

Je uteseka na Vidonda vya tumbo,suluhisho lipo
Pata Tiba kupitia Dawa zetu

Piga 0654398254 /0624421594

Address

Kirumba
Mwanza

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when JENGA AFYA YAKO posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to JENGA AFYA YAKO:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram