IJUE AFYA YAKO POINT

IJUE AFYA YAKO POINT karibu sana katika IJUE AFYA YAKO POINT. page inayomilikiwa na NYAMILA HERBAL CLINIC Hapa utajifunza.

mambo ya muhimu na ya msingi kuhusu afya Yako, Elimu ya magonjwa yote sugu na Namna ya kujikinga pia utaweza kupata Matibabu na Ushauri wa kiafya Bure.

ENDAPO HOMONI YA TESTOSTERONE ITAPUNGUA NINI KITAKOKEA?Leo nitazungumzia homoni ya kiume kitaalumu Testosterone, kwanza ...
06/03/2026

ENDAPO HOMONI YA TESTOSTERONE ITAPUNGUA NINI KITAKOKEA?

Leo nitazungumzia homoni ya kiume kitaalumu Testosterone, kwanza Testosterone ni Nini?

Testosterone ni homoni ya kiume, ingawa na kwa Mwanamke ipo kidigo homoni hii utengenezwa na;

๐Ÿ‘‰ Kolodani pamoja na
๐Ÿ‘‰ Kwenye figo adrenaly glad

KAZI ZA HOMONI YA TESTOSTERONE

๐Ÿ‘‰Kumfanya mwanaume awe na sifa za mwanaume
๐Ÿ‘‰ Ku maintain hizo sifa za kuanaume
๐Ÿ‘‰Kuimalisha mifupa
๐Ÿ‘‰ Kuzalisha mbegu za kiume
๐Ÿ‘‰ Kumfanya mwanaume awe na uwezo wa kushiriki tendo.
๐Ÿ‘‰ Kufurahia tendo.

N:B kunatofauti kubwa sana kati ya kuwa na uwezo wa kushiriki tendo la ndoa na kufurahia tendo la ndoa.

๐Ÿ‘‰ Kuratibu kusimama kwa uume

NINI KINASABABISHA HOMONI YA KIUME KUPUNGUA

๐Ÿ‘‰ Pombe
๐Ÿ‘‰ Tumbaku
๐Ÿ‘‰ Ulaji wa vyakula au vimiminika vya sukari kwa wingi
๐Ÿ‘‰ Kuwa na uzito mkubwa
๐Ÿ‘‰ Magonjwa yanayoshambulia Kolodani ( nitayaelezea post inayofata)

Upungufu wa homoni hii ya Testosterone inaweza ikapelekwa mwanaume kupoteza Kabisa hisia ya tendo la ndoa au k**a wengi wanavyojua kwa neno la upungufu wa nguvu za Kiume

DALILI ZA UPUNGUFU WA HISIA YA TENDO LA NDOA AU UPUNGUFU NGUVU ZA KIUME

๐Ÿ‘‰ Kuwa na tabia za k**e
๐Ÿ‘‰ Kuwa na muonekano wa k**e
๐Ÿ‘‰ Kupata Changamoto za mifupa mara kwa mara
๐Ÿ‘‰ Kukosa hamu ya tendo la ndoa
๐Ÿ‘‰ Kushindwa kutungisha mimba
๐Ÿ‘‰Kushindwa kuhimili tendo la ndoa

ATHARI ZINAZOMPATA MWANAUME WENYE UPUNGUFU WA HOMONI YA TESTOSTERONE

๐Ÿ‘‰Mahusiano kuvunjika
๐Ÿ‘‰ Lawama zinazopelekea Kushindwa kuelewana kwenye Mahusiano ama ndoa

NINI CHA KUFANYA UNAPOONA DALILI HIZO.

๐Ÿ‘‰ nenda hospital.
๐Ÿ‘‰ Fanya vipimo.

TIBA

Tiba uwa inategemeana na Chanzo cha Tatizo.

Kwetu sisi Changamoto ya upungufu wa homoni hii ya Testosterone Tunaweza kuitibu vizuri kabisa. Unaweza ukafika kwenye ofisi zetu zilizopo

MASWA SIMIYU MTAA WA LUMUMBA na NYEHUNGE BUCHOSA au unaweza kuwasiana nasi kupitia namba

โ˜Ž๏ธ 0743824015
๐Ÿ“ž 0714538903

Karibu upate tiba ya maradhi yanayokusumbua pia tunatuka Dawa popote pale ulipo ndani ya TANZANIA kwa uaminifu mkubwa.

๐Ÿ“Œ ILI KUJIFUNZA MENGI KUHUSU AFYA YA MWANAUME UNAWEZA KUJIUNGA NA GROUP LA AFYA YA MWANAUME BOFYA HII LINK HAPA CHINI ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

https://chat.whatsapp.com/LA5N1UtoQWhLkhELMoiosj?mode=hq2tcla

MAMBO YANAYOWEZA KUSABABISHA MWANAUME, KUMPOTEZA MWENZI AU MKE WAKE YATAKAPODUMU KWA MDA MREFU.Leo ningependa kukuelezea...
04/03/2026

MAMBO YANAYOWEZA KUSABABISHA MWANAUME, KUMPOTEZA MWENZI AU MKE WAKE YATAKAPODUMU KWA MDA MREFU.

Leo ningependa kukuelezea mambo Matano ambayo yanahatarisha mahusiano pale yatakapodumu kwa mda mrefu kwa Mwanaume.

1๏ธโƒฃ Low Sexual Desire.

Kupungua au kutokuwepo kwa hamu ya tendo la ndoa kwa muda mrefu.
Hali hii inaweza kusababishwa na

๐Ÿ‘‰Upungufu wa homoni ya kiume (Testosterone)

๐Ÿ‘‰Msongo wa mawazo (stress)

๐Ÿ‘‰Magonjwa sugu (kisukari, shinikizo la damu

๐Ÿ‘‰Matumizi ya dawa fulani (SSRIs)

๐Ÿ‘‰Uchovu wa kimwili na akili

2๏ธโƒฃ Premature Ej*******on (PE)

PE ni ile hali ya kufikia mshido kwa haraka au kwa lugha nyingine unaweza kusema Kumwaga shahawa haraka (chini ya dakika 1โ€“2 baada ya kuanza tendo) bila udhibiti.
Sababu zinazoweza kupelekea hii ni

๐Ÿ‘‰ Hypersensitivity ya neva za uume

๐Ÿ‘‰Matatizo ya homoni

Kuna Athari Kisaikolojia ambazo wanaume anaweza akazipata katika hili, ni pamoja na
โœ๏ธAibu
โœ๏ธKupungua kujiamini
โœ๏ธKuepuka tendo la ndoa
โœ๏ธMzunguko wa hofu ya kufikia mshindo/kumwaga mapema zaidi
โœ๏ธHali hii huathiri kuridhika kwa pande zote na inaweza kuleta mgawanyiko wa kihisia.

3๏ธโƒฃ Erectile Dysfunction (ED)
Hii ni hali ya uume kushindwa kusimama imara au kwa maana nyingine naweza kusema, uume kuwa legevu na kupelekea kushindwa kufanyika kwa tendo.

Hili linaweza kusababishwa na mambo k**a,

โœ๏ธKisukari
โœ๏ธAtherosclerosis (mishipa kuziba)
โœ๏ธShinikizo la damu
โœ๏ธUpungufu wa Testosterone
โœ๏ธMatumizi ya pombe/kutovuta sigara

ED huathiri sana utambulisho wa mwanaume (masculinity identity), na mara nyingi huleta:

๐Ÿ‘‰Kujitenga
๐Ÿ‘‰Hasira
๐Ÿ‘‰Kuepuka ukaribu
Hata kuvunjika kwa ndoa

4๏ธโƒฃ Infertility

Kushindwa kupata mtoto baada ya mwaka 1 bila kutumia kinga ya aina yeyote au njia yoyote ya uzazi wa mpango.

Sababu zinazoweza kusababisha kwa mwanaume kupata Changamoto hii ni k**a vile,

โœ๏ธOligospermia (mbegu chache)
โœ๏ธAsthenospermia (mbegu dhaifu)
โœ๏ธVaricocele
โœ๏ธMaambukizi
โœ๏ธUharibifu wa homoni
โœ๏ธMsongo mkubwa

Katika jamii nyingi za Kiafrika, uzazi ni msingi wa ndoa, hivyo tatizo hili lina uzito mkubwa kihisia.

5๏ธโƒฃ Sexual Pain Disorders (kwa mwanaume)

Ingawa ni nadra kuliko kwa wanawake, mwanaume anaweza kuwa anapata au anapitia maumivu wakati wa tendo la ndoa. Hili linaweza kusababishwa na mambo k**a,

โœ๏ธPeyronieโ€™s disease (uume kupinda kwa maumivu)
โœ๏ธProstatitis
โœ๏ธMaumivu wakati wa kumwaga

Hali hizi husababisha Mwanaume
๐Ÿ‘‰Kuepuka tendo
๐Ÿ‘‰Kukosa ukaribu wa kihisia.

๐ŸŸก Mwanaume k**a anachangamoto k**a hizo nilizozieleza hapo juu kaa ukijua kabisa kwamba endapo tatizo lako litadumu kwa mda mrefu bila kupatiwa ufumbuzi Mahusiano yako yapo kwenye hatari ya kuwa na MIGOGORO isiyoisha na pia yanaweza yanasababisha MAHUSIANO KUVUNJIKA KABISA.

๐Ÿฉบ HABARI NJEMA NI KWAMBA.

NAOMBA nikutoe wasiwasi, Changamoto zote nilizozieleza hapo juu, Tunaweza kukusaidia kuzitatua Bila shaka yeyote ile. Cha kufanya, ni wewe kuwasiana nasi kutakupa Ushauri Bure kabisa wasiliana nasi kupitia namba

โ˜Ž๏ธ 0743 824 015
๐Ÿ“ž 0714 538 903

Au unaweza ukabofya kutufe kilichoandikwa WhatsApp ( kulia, chini ya post hii ) pia unaweza ukafika katika ofisi zetu zilizopo

๐Ÿ“Œ NYEHUNGE BUCHOSA, MWANZA na MASWA SIMIYU MTAA WA LUMUMBA.

NYOTE MNAKARIBISHWA.

I've just reached 500 followers! Thank you for continuing support. I could never have made it without each one of you. ๐Ÿ™...
06/12/2025

I've just reached 500 followers! Thank you for continuing support. I could never have made it without each one of you. ๐Ÿ™๐Ÿค—๐ŸŽ‰

MPANGO WA SIKU 30 WA KURUDISHA HEDHI YAKO BILA KUTUMIA DAWA ZA MAKEMIKARI.Hapa chini nimekuandikia mpango kamili wa siku...
02/12/2025

MPANGO WA SIKU 30 WA KURUDISHA HEDHI YAKO BILA KUTUMIA DAWA ZA MAKEMIKARI.

Hapa chini nimekuandikia mpango kamili wa siku 30 wa kumsaidia mwanamke kurekebisha mzunguko wa hedhi, pamoja na dawa salama za mitishamba zinazopatikana Tanzania.

๐ŸŒธ MPANGO KAMILI WA SIKU 30 KUREKEBISHA HEDHI KUVURUGIKA

Mpango huu unafaa kwa mwanamke ambaye anapata:

Hedhi kuchelewa

Hedhi kuja mapema

Hedhi isiyo na mpangilio

Hedhi nzito au haba

Maumivu kupita kiasi

๐Ÿ—“๏ธ Wiki ya 1 (Siku 1โ€“7): Usafishaji wa mfuko wa uzazi + kuboresha homoni

๐Ÿ”ธ Asubuhi

Kunywa chai ya tangawizi + mdalasini (kombe 1)

Kula mbegu za maboga kijiko 1

๐Ÿ”ธ Mchana

Kula mboga za kijani (mchicha, kisamvu, matembele)

Kunywa maji mengi (glasi 6โ€“8 kwa siku)

๐Ÿ”ธ Jioni

Unga wa moringa kijiko 1 kwenye uji/supu

Dakika 20 za kutembea au mazoezi mepesi

๐ŸŽฏ Lengo la Wiki ya 1

Kuondoa sumu mwilini

Kusafisha mfuko wa uzazi

Kuanzisha nguvu za homoni za estrogen & progesterone

๐Ÿ—“๏ธ Wiki ya 2 (Siku 8โ€“14): Kuimarisha homoni

๐Ÿ”ธ Asubuhi

Kunywa chai ya majani ya mpera (kombe 1)

Tunda moja: papai, parachichi au ndizi

๐Ÿ”ธ Mchana

Kula milo yenye protini: mayai, maharage, samaki

Kula mbegu za ufuta kijiko 1

๐Ÿ”ธ Jioni

Kunywa maji ya asali + limau

Kupunguza msongo wa mawazo (kupumzika, kuoga maji ya uvuguvugu)

๐ŸŽฏ Lengo la Wiki ya 2

Kupunguza maumivu ya tumbo

Kusaidia yai kukua vizuri (ovulation)

Kusawazisha homoni zaidi

๐Ÿ—“๏ธ Wiki ya 3 (Siku 15โ€“21): Kuimarisha mzunguko & kuzuia hedhi nzito

๐Ÿ”ธ Asubuhi

Kunywa chai ya mdalasini pekee (kombe 1)

๐Ÿ”ธ Mchana

Kula vyakula vyenye madini ya chuma: maini, dengu, spinach

๐Ÿ”ธ Jioni

Maji ya mbegu ya parachichi (avocado seed tea) โ€“ robo kikombe

Mazoezi mepesi (yoga, kutembea, mazoezi ya tumbo)

๐ŸŽฏ Lengo la Wiki ya 3

Kuimarisha kinga ya mfuko wa uzazi

Kupunguza hedhi nzito au kurudiarudia

Kusaidia uterasi kuwa na afya

๐Ÿ—“๏ธ Wiki ya 4 (Siku 22โ€“30): Kusawazisha homoni kwa ujumla

๐Ÿ”ธ Asubuhi

Kijiko 1 cha moringa kwenye uji

Kula matunda 1โ€“2

๐Ÿ”ธ Mchana

Mlo yenye uzito wa wastani (usiwe mwepesi sana)

๐Ÿ”ธ Jioni

Kunywa chai ya tangawizi au majani ya mpera

Dakika 15 za mazoezi ya kupumua (deep breathing)

๐ŸŽฏ Lengo la Wiki ya 4

Kuweka homoni katika kiwango sahihi

Kutuliza mwili

Kuandaa mwili kwa kuanza hedhi yeny

๐ŸŒฟ DAWA ZA MITISHAMBA SAHILI NA SALAMA (Tanzania)

1๏ธโƒฃ Tangawizi + Mdalasini Mix

Husaidia mzunguko

Hurekebisha homoni

Hutuliza tumbo

Matumizi: mara 2 kwa siku.

2๏ธโƒฃ Mbegu za Maboga + Ufuta

Huongeza progesterone

Huweka estrogen kwenye kiwango sahihi

Husaidia hedhi kurudi kwa mpangilio

Matumizi: kijiko 1 + kijiko 1 kila siku.

3๏ธโƒฃ Moringa (mlangalanga)

Inatoa virutubisho 92

Husaidia homoni za k**e

Inapunguza uchovu

4๏ธโƒฃ Maji ya Mbegu ya Parachichi

Hupunguza uvimbe

Hurekebisha mfuko wa uzazi

Husaidia wanawake wenye cysts

5๏ธโƒฃ Majani ya Mpera

Hupunguza hedhi nzito

Hupunguza maumivu ya tumbo

Husaidia kuondoa maambukizi madogo

โš ๏ธ Tahadhari Muhimu

Mwanamke anatakiwa kwenda hospitali ikiwa:

Hedhi haiji miezi 3

Inavutia damu nyingi kupita kiasi

Maumivu ni makali kuliko kawaida

Kuna hali ya kichefuchefu, kichwa kuuma sana, au damu kuvuja bila mpangilio

๐Ÿ“Œ K**a umependa Makala hii, usikose ku Share kwa wengine na pia unaweza ukafuka katika Ofisi zetu zilizopo NYEHUNGE BUCHOSA MWANZA na MASWA SIMIYU MTAA WA SOKONI Mkabala na NEW KILL TIME ROUGE.

Pia k**a hautaweza kufata mfumo huu kwa siku 30 unaweza ukatupia na tukakutumia Dawa maalumu kwa ajiri ya Sululisho la kudumu kwa tatizo lako. Tupigie kwa Namba zetu

โ˜Ž๏ธ 0743 824 015
๐Ÿ“ž 0714 538 903

Pia unaweza ukajiunga kwenye group la afya ya Mwanamke kwa kubofya hii Link ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

https://chat.whatsapp.com/D7DPQj3h53jD1PIgJEQ90A?mode=hqrc

MAMBO YANAYOATHIRI HEDHI YA MWANAMKE ( MENSURATION DISORDER )Yafuatayo ni mambo ambayo yanaweza yakaathiri hedhi ya Mwan...
30/11/2025

MAMBO YANAYOATHIRI HEDHI YA MWANAMKE ( MENSURATION DISORDER )

Yafuatayo ni mambo ambayo yanaweza yakaathiri hedhi ya Mwanamke.

๐Ÿ‘‰ Mvurugiko wa vichocheo ( Hormones ) k**a Estrogen, progesterone, Follicle stimulating hormone n.k
๐Ÿ‘‰ Lishe duni. Asilimia kubwa watu wanatumia kundi moja la chakula ambalo ni wanga.
๐Ÿ‘‰ Mwili kupunguza matumizi ya sukari au kuwa na Kisukari Kabisa.
๐Ÿ‘‰ Msongo wa mawazo
๐Ÿ‘‰ Matumizi ya Dawa za kizungu kwa ajiri ya kupanga uzazi
๐Ÿ‘‰ Uzito mkubwa
๐Ÿ‘‰ Mwili kusongwa na mashambizi ya magonjwa
๐Ÿ‘‰ Matizo ya Tezi ya Thyroid ( Tezi ya Shingoni )

Zipo sababu nyingi ila hizo ni chache ambazo zinachangia kwa asilimia kubwa zaidi.

K**a unachangamoto yoyote ya Kiafya unaweza ukanipigia kwa namba ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡ ๐Ÿ‘‡ au unaweza ukabofya Button iliyoandikwa WhatsApp kuwasiliana nani

๐Ÿ“ž 0743 824 015
โ˜Ž๏ธ 0714 538 903

Pia unawaza ukafika kwenye ofisi zetu zilizopo MASWA SIMIYU MTAA WA SOKONI na NYEHUNGE BUCHOSA MWANZA

LOVE ๐Ÿ’•๐Ÿ’• PSYCHOLOGY.Kwa wale mnaoteswa na Mapenzi โค๏ธโค๏ธKuna umri ukifika mapenzi hayawi kipaumbele tena k**a zamani, si kw...
22/11/2025

LOVE ๐Ÿ’•๐Ÿ’• PSYCHOLOGY.

Kwa wale mnaoteswa na Mapenzi โค๏ธโค๏ธ

Kuna umri ukifika mapenzi hayawi kipaumbele tena k**a zamani, si kwamba hujui kupendaโ€ฆbali umechoka kupenda kupenda peke yako, hasa pale unapompenda mtu ambaye hawajui thamani yako.

Unaamua kuwa mtu mwenye utulivu, unachagua amani kuliko kelele za kuigiza, kwa ujumla hapa unakuwa umechagua kutulia kuliko kuwa kwenye mahusiano yanayokuumiza kichwa.

Unakuwa umejua kwamba kupenda sana bila kulindwa kwa hisia zako ni njia ya kujiumiza kimya kimya na hiyo ina madhara makubwa kiafya na kisaikolojia.

Kwa hiyo, kadri unavyokua, unakua unakomaa kiakili na ndivyo unavyogundua kuwa mapenzi yanahitaji akili zaidi kuliko hisia.
Ukifikia hapo si kwamba unakuwa umepoteza uwezo wa kupenda bali ni kwa sababu tu umechoka kupoteza nguvu zako kwa mtu asio sahihi.

TATIZO LA KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA KWA WANAWAKE Kukosa hamu ya tendo la ndoa kwa mwanamke (low libido au hypoactive ...
16/11/2025

TATIZO LA KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA KWA WANAWAKE

Kukosa hamu ya tendo la ndoa kwa mwanamke (low libido au hypoactive sexual desire)

Ni ile hali ambapo wanamke anakuwa hana matamanio kabisa ya mwanaume hasa ikija katika swala la hisia ya hamu ya tendo la ndoa.
Hii ni hali ambayo imeanza kuwa Tatizo na changamoto kubwa sana kwa siku za hivi Karibu na linaendelea kukua kila siku.

Leo naomba tuangalie kwa mapana zaidi Sababu zinazopelekea, Namna ya kufanya Vipimo na Matibabu pia nitakushauri nini cha kufaya kujisaidia Mwenyewe nyumbani

๐Ÿ”ด Sababu Kuu Zinazosababisha Mwanamke Kukosa Hamu ya Tendo la Ndoa

1. Mabadiliko ya Homoni

๐Ÿ‘‰ Kupungua kwa homoni ya estrogen, hasa baada ya kujifungua, wakati wa kunyonyesha, au kuingia menopause. Lakini pia homoni hii inaweza ikapungua kutokana na ulaji mbovu usio zingatia afya Yako

๐Ÿ‘‰ Matatizo ya homoni ya thyroid. Homoni ya Estrogen haiwezi fanya kazi k**a Tezi ya Thyroid imepunguza utendaji kazi ama haina ufanisi Kabisa.

2. Msongo wa Mawazo (Stress) na Uchovu

๐Ÿ‘‰ Shughuli nyingi, kazi nzito, majukumu ya familia, au matatizo ya kifedha.

๐Ÿ‘‰ Kukosa usingizi wa kutosha.

3. Hisia na Mahusiano

๐Ÿ‘‰Migogoro baina ya wenzi.

๐Ÿ‘‰ Kutokuhisi kupendwa, kuthaminiwa au kuungwa mkono.

๐Ÿ‘‰ Msongo wa kihisia, huzuni, au mshtuko (trauma).

๐Ÿ‘‰ Historia mbaya ya kimahusiano mfano kubakwa au kutendwa

4. Magonjwa au Maumivu

๐Ÿ‘‰ Kisukari, shinikizo la damu, upungufu wa damu, maumivu ya ukeni, fangasi, PID n.k.

๐Ÿ‘‰ Ukavu wa uke unaosababisha maumivu wakati wa tendo.

5. Matumizi ya Baadhi ya Dawa

๐Ÿ‘‰ Vidonge vya uzazi wa mpango (kwa baadhi ya wanawake).

๐Ÿ‘‰ Dawa za presha, antidepressants, na baadhi ya dawa za usingizi.

6. Mitazamo ya Kisaikolojia

๐Ÿ‘‰ Hofi ya kushindwa kumridhisha mwenzi.

๐Ÿ‘‰ Hisia hasi kuhusu mwili (body image).

๐Ÿ‘‰ Uzoefu mbaya wa kingono zamani.

๐ŸŸข Matibabu na Ufumbuzi wa Tatizo Hili

1. Tiba ya Kimwili na Kitabibu

๐Ÿ‘‰ Kupima homoni, damu, thyroid, na magonjwa mengine yaliyofichika.

2. Kubadili Dawa

Ikiwa tatizo limetokana na dawa fulani, daktari anaweza:

๐Ÿ‘‰ Kubadilisha dawa, Kupunguza dozi, Au kupendekeza mbadala salama.

3. Tiba ya Kisaikolojia / Ushauri Nasaha

๐Ÿ‘‰ Kumaliza migogoro ya uhusiano.

๐Ÿ‘‰ Kushughulikia msongo wa mawazo au huzuni. Utashauliwa namna Nzuri ya kushughulikia hilo na Dakitari wako

๐Ÿ‘‰ Tiba ya wanandoa ikiwa tatizo linatokana na mawasiliano duni.

4. Kuimarisha Mtindo wa Maisha

๐Ÿ‘‰ Kupunguza stress (mazoezi, mawasiliano mazuri, kupumzika).

๐Ÿ‘‰ Unashauri kupata mda mzuri wa kupumzika ili upate Usingizi wa kutosha kwa siku.

๐Ÿ‘‰ Kula vyakula vinavyoongeza nguvu na mzunguko wa damu k**a:

Parachichi, mbegu (chia, ufuta), karanga, boga, samaki wenye omega-3, majani mabichi.

5. Tiba za Asili (Kwa Uangalizi)

Baadhi ya mimea huongeza mzunguko wa damu na hamu ya tendo kwa wanawake:

๐Ÿ‘‰ Moringa,

๐Ÿ‘‰ Ginseng,

๐Ÿ‘‰ Mdalasini,

๐Ÿ‘‰ Mbegu za maboga

Ni muhimu kutumiwa kwa uangalifu na kufuata ushauri wa mtaalam wa tiba mbadala. ( Unaweza ukatupigia Simu )

6. Kuboresha Mazingira ya Kimapenzi

๐Ÿ‘‰ Kuongea na mwenzi kuhusu vitu vinavyomfurahisha.

๐Ÿ‘‰ Kukuza ukaribu wa kihisia kabla ya tendo.

๐ŸŸฃ Lini Umuone Daktari?

๐Ÿ‘‰ Tatizo limeanza ghafla bila sababu.

๐Ÿ‘‰ Limesababisha mgogoro wa ndoa.

๐Ÿ‘‰ Kuna maumivu makali wakati wa tendo.

๐Ÿ‘‰ Kukosa hedhi au mabadiliko ya homoni yanayoshukiwa.

๐Ÿ’ฅ Ikiwa unahitaji kuondoka kabisa na Tatizo hili na umetumia njia nyingi lakini bado linakusumbua unaweza ukawasiliana nasi kupitia Namba
๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

โ˜Ž๏ธ 0743 824 015
๐Ÿ“ž 0714 538 903

Tunatuma Dawa popote pale Ndani ya Tanzania kwa uaminifu mkubwa. Pia unaweza ukafika katika ofisi zetu zilizopo NYEHUNGE BUCHOSA MWANZA na MASWA SIMIYU MTAA WA SOKONI.

Habari, Naitwa Dr James nipo MASWA SIMIYU pia nina ofisi nyingine NYEHUNGE BUCHOSA MWANZA. Kiukweli Moja kati ya wagojwa...
15/11/2025

Habari, Naitwa Dr James nipo MASWA SIMIYU pia nina ofisi nyingine NYEHUNGE BUCHOSA MWANZA. Kiukweli Moja kati ya wagojwa wengi ninaowahudumia naweze nikahudumia watu hata 7 au 10 kwa wiki ni Wanawake wanaokosa hisia ya tendo la ndoa lakini pia hata Wanaume wanakosa hisia ya tendo la ndoa ( upungufu wa nguvu za Kiume ) ingawa kwa wanaume namba ndio kubwa ukilinganisha na Wanawake.

Naomba niwashauri Follower wako wote na mtu yeyote anaesoma comment yangu, Mchawi Namba moja katika haya matatizo ni SUKARI huyu ndio anaeleta Uzito mkubwa, kuvurugika kwa Homoni kwa Wanaume na Wanawake, Maumivu makali ya kwenye mifupa, Fangasi sehemu za siri ambazo zinakuwa sugu, Pressure na matatizo mengine mengi. Kwa hiyo naishauri jamii Ipunguze Matumizi ya Vinywaji na vyakula vya Sukari na k**a mtu anaweza pia naweza akastop Kabisa maana akijikuta na matitizo yote hayo na akiwa anaendelea na Vinywaji pamoja na vyakula vya Sukari atakuwa anaendelea kujiumiza zaidi.๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™

Leo ni siku ya Ugojwa wa KISUKARI Duniani tunapata mda kutafakari sana juu ya Ugojwa wa KISUKARI, Kisukari ni moja kati ...
14/11/2025

Leo ni siku ya Ugojwa wa KISUKARI Duniani tunapata mda kutafakari sana juu ya Ugojwa wa KISUKARI, Kisukari ni moja kati ya magonjwa ya lishe na mtindo wa maisha Unaweza ukaona ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡ Namba inavyo zidi kuwa kubwa kwa wagojwa wa Kisukari, Nipende tu kusema kwamba Matibabu ya uhakika ya Ugojwa wa KISUKARI yanapatikana NYAMILA HERBAL CLINIC. Ugojwa huu wa Kisukari tunautibu kwa Tiba asili na Tiba Lishe. Karibu sana tukuhudumie

๐ŸŽฏ Tunapatikana
MASWA SIMIYU MTAA WA SOKONI na NYEHUNGE BUCHOSA MWANZA

Unaweza ukawasiliana nasi
Kwa Simu Namba
โ˜Ž๏ธ 0743 824 015
โ˜Ž๏ธ 0714 538 903

Au unaweza ukabofya Button iliyoandikwa WhatsApp kuwasiliana basi .

On point โœ๏ธโœ๏ธ   ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
13/11/2025

On point โœ๏ธโœ๏ธ ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

Just imagine watu million 40 kila mwaka ๐Ÿค”๐Ÿค” Tunatakiwa kutafakari sana na kuchukua hatua za haraka sana.
11/11/2025

Just imagine watu million 40 kila mwaka ๐Ÿค”๐Ÿค” Tunatakiwa kutafakari sana na kuchukua hatua za haraka sana.

Address

Nyehunge
Mwanza

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when IJUE AFYA YAKO POINT posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to IJUE AFYA YAKO POINT:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram