06/03/2026
ENDAPO HOMONI YA TESTOSTERONE ITAPUNGUA NINI KITAKOKEA?
Leo nitazungumzia homoni ya kiume kitaalumu Testosterone, kwanza Testosterone ni Nini?
Testosterone ni homoni ya kiume, ingawa na kwa Mwanamke ipo kidigo homoni hii utengenezwa na;
๐ Kolodani pamoja na
๐ Kwenye figo adrenaly glad
KAZI ZA HOMONI YA TESTOSTERONE
๐Kumfanya mwanaume awe na sifa za mwanaume
๐ Ku maintain hizo sifa za kuanaume
๐Kuimalisha mifupa
๐ Kuzalisha mbegu za kiume
๐ Kumfanya mwanaume awe na uwezo wa kushiriki tendo.
๐ Kufurahia tendo.
N:B kunatofauti kubwa sana kati ya kuwa na uwezo wa kushiriki tendo la ndoa na kufurahia tendo la ndoa.
๐ Kuratibu kusimama kwa uume
NINI KINASABABISHA HOMONI YA KIUME KUPUNGUA
๐ Pombe
๐ Tumbaku
๐ Ulaji wa vyakula au vimiminika vya sukari kwa wingi
๐ Kuwa na uzito mkubwa
๐ Magonjwa yanayoshambulia Kolodani ( nitayaelezea post inayofata)
Upungufu wa homoni hii ya Testosterone inaweza ikapelekwa mwanaume kupoteza Kabisa hisia ya tendo la ndoa au k**a wengi wanavyojua kwa neno la upungufu wa nguvu za Kiume
DALILI ZA UPUNGUFU WA HISIA YA TENDO LA NDOA AU UPUNGUFU NGUVU ZA KIUME
๐ Kuwa na tabia za k**e
๐ Kuwa na muonekano wa k**e
๐ Kupata Changamoto za mifupa mara kwa mara
๐ Kukosa hamu ya tendo la ndoa
๐ Kushindwa kutungisha mimba
๐Kushindwa kuhimili tendo la ndoa
ATHARI ZINAZOMPATA MWANAUME WENYE UPUNGUFU WA HOMONI YA TESTOSTERONE
๐Mahusiano kuvunjika
๐ Lawama zinazopelekea Kushindwa kuelewana kwenye Mahusiano ama ndoa
NINI CHA KUFANYA UNAPOONA DALILI HIZO.
๐ nenda hospital.
๐ Fanya vipimo.
TIBA
Tiba uwa inategemeana na Chanzo cha Tatizo.
Kwetu sisi Changamoto ya upungufu wa homoni hii ya Testosterone Tunaweza kuitibu vizuri kabisa. Unaweza ukafika kwenye ofisi zetu zilizopo
MASWA SIMIYU MTAA WA LUMUMBA na NYEHUNGE BUCHOSA au unaweza kuwasiana nasi kupitia namba
โ๏ธ 0743824015
๐ 0714538903
Karibu upate tiba ya maradhi yanayokusumbua pia tunatuka Dawa popote pale ulipo ndani ya TANZANIA kwa uaminifu mkubwa.
๐ ILI KUJIFUNZA MENGI KUHUSU AFYA YA MWANAUME UNAWEZA KUJIUNGA NA GROUP LA AFYA YA MWANAUME BOFYA HII LINK HAPA CHINI ๐๐๐
https://chat.whatsapp.com/LA5N1UtoQWhLkhELMoiosj?mode=hq2tcla