IJUE AFYA YAKO POINT

IJUE AFYA YAKO POINT karibu sana katika IJUE AFYA YAKO POINT. page inayomilikiwa na NYAMILA HERBAL CLINIC Hapa utajifunza.

mambo ya muhimu na ya msingi kuhusu afya Yako, Elimu ya magonjwa yote sugu na Namna ya kujikinga pia utaweza kupata Matibabu na Ushauri wa kiafya Bure.

Habari, Naitwa Dr James nipo MASWA SIMIYU pia nina ofisi nyingine NYEHUNGE BUCHOSA MWANZA. Kiukweli Moja kati ya wagojwa...
15/11/2025

Habari, Naitwa Dr James nipo MASWA SIMIYU pia nina ofisi nyingine NYEHUNGE BUCHOSA MWANZA. Kiukweli Moja kati ya wagojwa wengi ninaowahudumia naweze nikahudumia watu hata 7 au 10 kwa wiki ni Wanawake wanaokosa hisia ya tendo la ndoa lakini pia hata Wanaume wanakosa hisia ya tendo la ndoa ( upungufu wa nguvu za Kiume ) ingawa kwa wanaume namba ndio kubwa ukilinganisha na Wanawake.

Naomba niwashauri Follower wako wote na mtu yeyote anaesoma comment yangu, Mchawi Namba moja katika haya matatizo ni SUKARI huyu ndio anaeleta Uzito mkubwa, kuvurugika kwa Homoni kwa Wanaume na Wanawake, Maumivu makali ya kwenye mifupa, Fangasi sehemu za siri ambazo zinakuwa sugu, Pressure na matatizo mengine mengi. Kwa hiyo naishauri jamii Ipunguze Matumizi ya Vinywaji na vyakula vya Sukari na k**a mtu anaweza pia naweza akastop Kabisa maana akijikuta na matitizo yote hayo na akiwa anaendelea na Vinywaji pamoja na vyakula vya Sukari atakuwa anaendelea kujiumiza zaidi.πŸ™πŸ™πŸ™

Leo ni siku ya Ugojwa wa KISUKARI Duniani tunapata mda kutafakari sana juu ya Ugojwa wa KISUKARI, Kisukari ni moja kati ...
14/11/2025

Leo ni siku ya Ugojwa wa KISUKARI Duniani tunapata mda kutafakari sana juu ya Ugojwa wa KISUKARI, Kisukari ni moja kati ya magonjwa ya lishe na mtindo wa maisha Unaweza ukaona πŸ‘‡πŸ‘‡ Namba inavyo zidi kuwa kubwa kwa wagojwa wa Kisukari, Nipende tu kusema kwamba Matibabu ya uhakika ya Ugojwa wa KISUKARI yanapatikana NYAMILA HERBAL CLINIC. Ugojwa huu wa Kisukari tunautibu kwa Tiba asili na Tiba Lishe. Karibu sana tukuhudumie

🎯 Tunapatikana
MASWA SIMIYU MTAA WA SOKONI na NYEHUNGE BUCHOSA MWANZA

Unaweza ukawasiliana nasi
Kwa Simu Namba
☎️ 0743 824 015
☎️ 0714 538 903

Au unaweza ukabofya Button iliyoandikwa WhatsApp kuwasiliana basi .

On point ✍️✍️   πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
13/11/2025

On point ✍️✍️ πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Just imagine watu million 40 kila mwaka πŸ€”πŸ€” Tunatakiwa kutafakari sana na kuchukua hatua za haraka sana.
11/11/2025

Just imagine watu million 40 kila mwaka πŸ€”πŸ€” Tunatakiwa kutafakari sana na kuchukua hatua za haraka sana.

05/11/2025

NYAMILA HERBAL CLINIC inatoa pole kwa Familia zote zilizopatwa na msiba πŸ’”πŸ’” kwa kupoteza wapendwa wao 😭😭😭 katika Maandamano, Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu pia tunawaombea majeruhi wote wapone haraka.

OFFER OFFER OFFER πŸŽ‰πŸŽ‰πŸŽ‰Mtu Yeyote kuanzia siku ya kesho Tar 12 /09/25 hadi tar 17/09/25 atakae agiza Dawa pamoja na bidhaa...
11/09/2025

OFFER OFFER OFFER πŸŽ‰πŸŽ‰πŸŽ‰

Mtu Yeyote kuanzia siku ya kesho Tar 12 /09/25 hadi tar 17/09/25 atakae agiza Dawa pamoja na bidhaa zetu nyingine tutamtumia Bila ya kulipia gharama ya usafiri popote pale Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡Ώ atalipia gharama za Dawa au bidhaa anahitaji peke yake gharama za usafiri zitakuwa kwetu. Karibuni sana

🎯 Tunapatikana NYEHUNGE BUCHOSA MWANZA na MASWA SIMIYU MTAA WA SOKONI Mkabala na NEW KILL TIME ROUGE.

UNAWEZA KUTUPIGIA KWA NO.

☎️ 0743 824 015




DW Kiswahili Chris Mauki

JE, UNAUFAHAMU UGOJWA WA BAWASIRI? Huu ugojwa usikie kwa jirani tu, ila usiombe itokee Kwako πŸ€” maana ukikupata unaweza u...
08/09/2025

JE, UNAUFAHAMU UGOJWA WA BAWASIRI?

Huu ugojwa usikie kwa jirani tu, ila usiombe itokee Kwako πŸ€” maana ukikupata unaweza usiwe unaomba kubanwa na haja kubwa, leo nitakueleza hatua kwa hatua kuhusu ugojwa wa Bawasiri, nakuomba ufatane na mimi mwanzo hadi mwisho

πŸ“Œ Maana ya Bawasiri

Bawasiri ni uvimbe au kuongezeka kwa mishipa ya damu iliyopo kwenye eneo la puru (re**um) au sehemu ya tundu la haja kubwa (a**s). Mishipa hii inapopanuka au kuvimba zaidi ya kawaida, huleta maumivu, kuwasha, kutokwa damu au hata kutoka nje wakati wa kujisaidia.

πŸ“Œ Aina za Bawasiri

1. Bawasiri za ndani (Internal hemorrhoids):

Zipo ndani ya puru.

Mara nyingi hazina maumivu lakini huweza kutoa damu nyekundu ang’avu wakati wa haja kubwa.

Zinaweza kushuka na kutoka nje (prolapse).

2. Bawasiri za nje (External hemorrhoids):

Zipo kwenye ngozi ya kuzunguka tundu la haja kubwa.

Huleta maumivu makali, kuwasha na kuvimba.

Wakati mwingine huunda damu kuganda ndani yake (thrombosed hemorrhoids).

πŸ“Œ Dalili za Bawasiri

πŸ‘‰ Kutokwa na damu nyekundu ang’avu baada ya haja kubwa.

πŸ‘‰ Kuwasha au muwasho mkali sehemu ya haja kubwa.

πŸ‘‰ Maumivu hasa wakati wa kujisaidia.

πŸ‘‰ Uvimbe au vinundu vinavyotoka nje ya tundu la haja kubwa.

πŸ‘‰ Unyevunyevu na kuvuja ute kwenye nguo ya ndani.

πŸ“Œ Sababu Kuu za Kusababisha Bawasiri

1. Kufunga choo (constipation) au kushinikiza haja kubwa.

2. Kuharisha mara kwa mara.

3. Kukaa muda mrefu chooni.

4. Uzito mkubwa (obesity).

5. Ujauzito, kutokana na presha ya mtoto tumboni.

6. Lishe yenye ukosefu wa nyuzinyuzi (fiber).

7. Vilevi na uvutaji sigara.

8. Kazi au tabia za muda mrefu za kukaa au kusimama bila kusogea.

πŸ“Œ Hatua za Bawasiri

1. Kiwango cha 1
Zipo ndani, hazitoki nje, dalili kubwa ni kutokwa na damu.

2. Kiwango cha 2
Zinashuka nje wakati wa kujisaidia lakini hujirudisha zenyewe.

3. Kiwango cha 3
Zinashuka nje na hazirudi bila msaada wa mkono.

4. Kiwango cha 4
Zimetoka nje kabisa na haziwezi kurudi hata kwa msaada wa mkono (hupaswa kutibiwa haraka).

πŸ“Œ Matibabu ya Bawasiri

1. Mabadiliko ya Maisha na Lishe

Kula vyakula vyenye nyuzinyuzi nyingi (mboga, matunda, nafaka zisizokobolewa).

Kunywa maji mengi kila siku (angalau lita 2–3).

Epuka kukaa muda mrefu chooni au kushinikiza haja.

Fanya mazoezi mara kwa mara.

2. Tiba za Nyumbani

πŸ‘‰ Kukaa kwenye maji ya uvuguvugu (sitz bath) mara kadhaa kwa siku hupunguza uvimbe na maumivu.

πŸ‘‰ Kutumia barafu kupunguza uvimbe.

πŸ‘‰ Kutumia krimu au dawa za kupaka zinazopatikana kwenye maduka ya dawa.

3. Dawa za Hospitali

πŸ‘‰ Vidonge au krimu za kupunguza maumivu na uvimbe.

πŸ‘‰ Laxatives au dawa za kulainisha choo endapo kuna tatizo la kufunga choo.

4. Tiba za Kitabibu (Surgical)

πŸ‘‰ Rubber band ligation: Kufunga bawa ili likauke na kuanguka.

πŸ‘‰ Sclerotherapy: Kuingiza dawa inayokausha mishipa ya damu.

πŸ‘‰ Hemorrhoidectomy: Upasuaji wa kuondoa bawasiri kubwa au sugu.

πŸ‘‰ Laser au stapler surgery: Njia za kisasa zisizo na maumivu makali baada ya upasuaji.

πŸ“Œ Kinga ya Bawasiri

πŸ‘‰ Usikawie kwenda haja kubwa pale unapohisi kubanwa haja kubwa.

πŸ‘‰ Epuka kukaa muda mrefu chooni.

πŸ‘‰ Punguza ulaji wa pilipili kali na vyakula vya kukaanga.

πŸ‘‰ Fanya mazoezi ya mara kwa mara.

πŸ‘‰ Kula vyakula vyenye nyuzinyuzi na kunywa maji mengi.

πŸ’₯ K**a ugojwa huu unakusumbua kwa mda mrefu na umetumia kila njia kujitibia bila kupona, nipende kukuambia kwamba Dawa za Bawasiri tunazo tunatibu kwa Wiki moja tu ile nyama iliyojichomoza sehemu ya haja kubwa inaondoka kabisa bila operation.

🎯 Tunapatikana NYEHUNGE BUCHOSA MWANZA na MASWA SIMIYU MTAA WA SOKONI MKABALA NA NEW KILL TIME ROUGE. Mikoani tunatuma kwa uaminifu Mkubwa utapokea Dawa zako ndani ya masaa 48 Tu popote pale ulipo Ndani ya Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ πŸ‡ΉπŸ‡Ώ unaweza ukatupigia kwa Namba zetu

☎️ 0714 538 903
☎️ 0743 824 015

Ahsante sana Mr Tumbo kwa kuamini Huduma zetu, Tuko pamoja na Wewe kwa ukaribu zaidi. Endelea kufurahia huduma Zetu.
02/09/2025

Ahsante sana Mr Tumbo kwa kuamini Huduma zetu, Tuko pamoja na Wewe kwa ukaribu zaidi. Endelea kufurahia huduma Zetu.

TATIZO LA KUKOSA HISIA YA TENDO LA NDOA KWA WANAWAKE.Tatizo la kukosa hisia ya tendo la ndoa kwa wanawake kitaalamu huju...
24/08/2025

TATIZO LA KUKOSA HISIA YA TENDO LA NDOA KWA WANAWAKE.

Tatizo la kukosa hisia ya tendo la ndoa kwa wanawake kitaalamu hujulikana k**a Female Sexual Interest/Arousal Disorder (FSIAD) au mara nyingine huitwa hypoactive sexual desire disorder (HSDD). Hii ni hali ambapo mwanamke anakosa kabisa au hupungua sana hamu na msisimko wa tendo la ndoa kwa muda mrefu, hali inayoweza kuathiri maisha ya kifamilia, ndoa na afya ya kisaikolojia.

SABABU KUU

πŸ”Ή KIHISIA NA KISAIKOLOJIA

πŸ‘‰ Msongo wa mawazo (stress)

πŸ‘‰ Hali ya huzuni au msongo wa mawazo sugu (depression, anxiety)

πŸ‘‰ Migogoro ya kifamilia au mahusiano duni na mwenzi

πŸ‘‰ Kuathirika kutokana na matukio ya unyanyasaji wa kingono

πŸ”Ή KIHOMONI

πŸ‘‰ Upungufu wa homoni za k**e (estrogen, testosterone) hasa baada ya kujifungua au wakati wa ukomo wa hedhi (menopause)

πŸ‘‰ Matatizo ya tezi (thyroid disorders)

πŸ”Ή KIAFYA

πŸ‘‰ Kisukari, shinikizo la damu, unene uliokithiri

πŸ‘‰ Matumizi ya baadhi ya dawa (mfano dawa za shinikizo la damu, dawa za kutuliza msongo)

πŸ‘‰ Magonjwa yanayoathiri mishipa ya fahamu na damu

πŸ”Ή KIJAMII NA KITAMADUNI

πŸ‘‰ Mipaka ya kimalezi na imani potofu kuhusu tendo la ndoa

πŸ‘‰ Hofu au aibu kupokea/kutoa mawasiliano ya kimapenzi

DALILI

πŸ‘‰ Kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa mara kwa mara

πŸ‘‰ Kukosa msisimko hata wakati wa kushiriki tendo

πŸ‘‰ Kukosa unyevu ukeni (vaginal dryness) unaosababisha maumivu

πŸ‘‰ Kukosa kufika kileleni (or**sm) au kutoridhika baada ya tendo

MATIBABU NA SULUHISHO

πŸ”Ή Kubadili mtindo wa Maisha

πŸ‘‰ Kupunguza msongo wa mawazo kwa mazoezi, kuepuka kukaa peke Yako kwa mda mrefu, meditation n.k

πŸ‘‰ Kula chakula chenye virutubisho vinavyosaidia homoni (karanga, parachichi, mbegu za maboga, samaki wenye mafuta(wabichi), mboga za kijani n.k

πŸ‘‰ Kupunguza matumizi ya pombe na sigara

πŸ”Ή KISAIKOLOJIA

πŸ‘‰ Ushauri nasaha wa ndoa na mahusiano

πŸ‘‰ Tiba ya kisaikolojia kwa wanawake walioathirika kiakili au kihisia

πŸ”Ή MATIBABU YA KIHOMONI

πŸ‘‰ Estrogen therapy (kwa wanawake waliokoma hedhi)

πŸ‘‰ Testosterone therapy (kwa baadhi ya wanawake wanaochunguzwa kitaalamu)

πŸ”Ή TIBA ASILI (zinazotumika kiasili kanda mbalimbali)

πŸ‘‰ Mbegu za fenugreek (honge) – huchochea homoni na kuongeza hamu

πŸ‘‰ Mdalasini na tangawizi – huongeza mzunguko wa damu na msisimko

πŸ‘‰ Asali, karanga, na tende – huongeza nguvu na hamu ya tendo

πŸ‘‰ Mimea ya asili k**a ginseng na maca root hutumika kuongeza libido

πŸ’₯ Endapo umehangaika sana na tatizo hili kwa mda mrefu pengine hata limesababisha mahisiano yako kuyumba nipo hapa kukuambia kuwa inawezekana kabisa kurudi kwenye hali yako ya zamani na Tabathamu lako kurudi tena. Ipo Dawa ambayo ni Nzuri Kabisa.

🎯 Karibu nikuhudumie napatikana MASWA SIMIYU MTAA WA SOKONI MKABALA NA NEW KILL TIME ROUGE pia nina ofisi NYEHUNGE BUCHOSA MWANZA kwa wale walioko mbali tunatuma Dawa kwa njia ya Bus, Mzigo utakufikia ndani ya Masaa 48 Tu popote Pale ndani ya Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡Ώ

🎯 TUPIGIE
πŸ“ž 0743 824 015
πŸ“ž 0714 538 903

β›” TAFADHARI
Epuka matapeli, Hatuna wakala yeyote, tofauti na ofisi nilizozitaja.

Ahsante πŸ™πŸ™ sana Mr. Japheth kwa KUTUAMINI  .
22/08/2025

Ahsante πŸ™πŸ™ sana Mr. Japheth kwa KUTUAMINI .

HORMONAL IMBALANCE.kwa kiwango kikubwa sana nimekuwa nikitafutwa na watu mbali mbali WhatsApp na pengine kunipigia Kabis...
18/08/2025

HORMONAL IMBALANCE.

kwa kiwango kikubwa sana nimekuwa nikitafutwa na watu mbali mbali WhatsApp na pengine kunipigia Kabisa, na si hivyo tu hata wanaokuja ofisini asilimia wamekuwa wakiniuliza, Dr. Hormonal Imbalance ni nini? Kabla ya kueleza kitu cha kushangaza wengi wanajua hormonal imbalance ni kwa wanawake tu πŸ€”πŸ€” la hasha hata wanaume Hormone zao uwa zinavurugika. Nisikuchoshe leo nitakueleza kila kituoπŸ‘ŒπŸ‘Œ kuhusu Hormonal Imbalance kwa jinsia zote ongozana na mimi mwanzo hadi mwisho🚢🚢

πŸ”¬ Hormonal Imbalance ni nini?

Hormonal imbalance ni hali ambayo kiwango cha homoni fulani mwilini kinakuwa juu zaidi (excess) au chini zaidi (deficiency) kuliko kiwango cha kawaida kinachohitajika kwa afya na kazi za mwili.
Homoni ni vichocheo vya k**emikali vinavyotengenezwa na tezi za endocrine (mfano: tezi ya thyroid, pituitary, adrenals, ovari na korodani) na vina jukumu la kusafirisha ujumbe unaosimamia kazi nyingi muhimu za mwili k**a vile:

➑️Ukuaji na maendeleo ya mwili

➑️Hamasa na hisia

➑️Kiwango cha nishati na usingizi

➑️Uzazi na hedhi

➑️Mmeng’enyo wa chakula na sukari

Nadhani umeweza kufahamu kwa umuhimu mkubwa wa Hormone.

Je ni Jinsi Hormonal Imbalance inavyotokea?

Homoni hufanya kazi kwa usawa mzuri sana. Hata mabadiliko kidogo yanaweza kuleta athari kubwa.
Mfano:

Kiwango kikubwa cha insulin huweza husababisha kisukari

Upungufu wa thyroxine husababisha hypothyroidism

Homoni za estrogen na progesterone zikivurugika kupelekea matatizo ya hedhi, utasa, au dalili za menopausal

🧬 Sababu kuu za Hormonal Imbalance

1. Matatizo ya tezi za endocrine – mfano hypothyroidism, hyperthyroidism.

2. Mfadhaiko (stress) wa muda mrefu – husababisha ongezeko la cortisol.

3. Lishe duni – ukosefu wa virutubishi muhimu k**a madini na vitamini.

4. Kisukari na matatizo ya kongosho – kushindwa kudhibiti insulini.

5. Magonjwa ya ovari – mfano polycystic ovarian syndrome (PCOS).

6. Matumizi ya dawa – baadhi ya dawa za homoni au za saratani huvuruga usawa.

7. Umri na mabadiliko ya kibiolojia – mfano: kubalehe, ujauzito, ukomo wa hedhi.

8. Uzito uliopitiliza (obesity) au kupungua uzito ghafla.

9. Matatizo ya usingizi na mzunguko wa saa ya mwili (biological clock).

🩺 Dalili za Hormonal Imbalance

Dalili hutegemea ni homoni ipi imevurugika, lakini za kawaida ni:

Kwa wanawake:

πŸ‘‰ Mzunguko wa hedhi usio wa kawaida

πŸ‘‰ Maumivu au uvimbe kwenye matiti

πŸ‘‰ Kupungua au kuongezeka ghafla uzito

πŸ‘‰ Kukosa usingizi na hasira za mara kwa mara

πŸ‘‰ Kukosa uwezo wa kushika mimba (infertility)

πŸ‘‰ Nywele zisizohitajika usoni au mwilini (hirsutism)

Kwa wanaume:

πŸ‘‰ Kupungua nguvu za kiume (erectile dysfunction)

πŸ‘‰ Kupungua mbegu za kiume (low s***m count)

πŸ‘‰ Matiti kuanza kuongezeka ukubwa (gynecomastia)

πŸ‘‰ Upungufu wa nywele mwilini

πŸ‘‰ Uchovu usioelezeka

Kwa wote:

Uchovu wa mara kwa mara

Kupoteza au kuongezeka hamu ya kula

Kiwango cha sukari kubadilika

Wasiwasi, msongo wa mawazo, au mabadiliko ya hisia

Ngozi kavu au yenye mafuta kupita kiasi

πŸ§ͺ Vipimo vya kugundua Hormonal Imbalance

Daktari hutumia mchanganyiko wa:

Vipimo vya damu (kuchunguza estrogen, progesterone, testosterone, insulin, thyroid hormones n.k.)

Vipimo vya mkojo au mate (hasa kwa cortisol na melatonin)

Ultrasound / X-ray / MRI (kuchunguza tezi au ovari)

🩹 Matibabu

Hutegemea chanzo na aina ya homoni zilizoathirika:

1. Dawa za homoni – mfano thyroid hormone replacement, insulin, au dawa za uzazi.

2. Lifestyle modification – lishe bora, mazoezi ya mwili, usingizi wa kutosha.

3. Kudhibiti msongo wa mawazo – meditation, yoga, tiba mbadala.

4. Upasuaji – iwapo kuna uvimbe kwenye tezi za endocrine.

5. Tiba asili (ikithibitishwa kisayansi) – mimea fulani husaidia kudhibiti homoni, mfano moringa, fenugreek, maca root, vitunguu swaumu.

πŸ’₯ Endapo umehangaika sana na changamoto hii ya Hormonal Imbalance kwa mda mrefu na haujafanikuwa kupata Tiba, jambo zuri ni kwamba niko hapa kuhakikisha unarudisha tabathamu lako. Ninazo Dawa nzuri kabisa za asili kutoka China, India na za hapa hapa kwetu Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ πŸ‡ΉπŸ‡Ώ ambanzo zitakuondolea hali iliyokutesa kwa Mda mrefu. Karibu sana

πŸ”› Tunapatikana NYEHUNGE BUCHOSA MWANZA na MASWA SIMIYU MTAA WA SOKONI MKABALA NA KILL TIME ROUGE pia unaweza kuwasiliana nasi kupitia Namba

πŸ“ž 0714 538 903
πŸ“ž 0743 824 015

βœ… Hitimisho

Hormonal imbalance si ugonjwa mmoja, bali ni hali inayoonyesha kuwa mwili una changamoto ya usawa wa homoni. Inaweza kuathiri karibu kila mfumo wa mwili – kuanzia kinga, uzazi, hadi akili. Utambuzi wa mapema na ushauri wa kitaalamu ni muhimu kwa matibabu bora.

Address

Nyehunge
Mwanza

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when IJUE AFYA YAKO POINT posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to IJUE AFYA YAKO POINT:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram