Afya na raha

Afya na raha It concern providing information about the health problems and diseases and it's solutions by using the natural nutritions that have been enable many people.

18/07/2022

TIBA YA TEZI DUME BILA UPASUAJI

MAWASILIANO; +255744002870

Wanaume wote wapo kwenye hatari ya kupata magonjwa ya tezi dume na hasa wanapofikia umri wa miaka 50.

Kutanuka kwa tezi dume (Prostate Enlargement)

Hii ni hali ambapo tezi dume huongezeka ukubwa, na Zaidi ya theluthi ya wanaume wote walio juu ya miaka 50 wana dalili za kuvimba kwa tezi dume. Haijajulikana kwa uhakika ni kwa nini tezi dume huwa kubwa zaidi kadri umri unavyoongezeka, lakini wataalamu wengi wanaamini kuwa inahusiana na mabadiliko katika homoni yanayotokea umri wa mtu unapokuwa mkubwa.

Tezi dume iliyoongezeka ukubwa huleta msukumo juu ya mrija wa mkojo na kibofu cha mkojo hali ambayo inaweza kuathiri namna mkojo utakavyotoka.

DALILI ZA TEZI DUME ILIYOVIMBA.
🍎Shida katika kuanza kukojoa au kuubana mkojo
🍎Mtiririko dahifu wa mkojo
🍎Kukojoa kwa shida
🍎Kujisikia kuwa hujamaliza mkojo
🍎Mkojo kuendelea kudondoka kwa muda mrefu baada ya kumaliza
🍎Hali ya kujisikia kukojoa mara kwa mara au ghafla
🍎Kuamka mara nyingi zaidi usiku kwa ajili ya kwenda haja ndogo
🍎Pressure ya Mkojo kua ndogo

Kwa baadhi ya wanaume, dalili zinaweza kuwa ndogo ambazo hazihitaji tiba. Kwa wengine, zinaweza kuwa kubwa na kuathiri maisha yao. Wanaume hupatwa hofu kuwa kuvimba kwa tezi dume kunashabihiana na upataji wa kansa ya tezi dume. Hii siyo kweli kwani uwezekano wa kupata kansa wa mtu mwenye tezi iliyovimba hauzidi ule wa mtu asiye na tatizo hili la tezi.

MADHARA YA UVIMBE WA TEZIDUME

📌 kuugua UTI, kutokana na kuwa wadudu k**a bakteria waliomo kwenye njia ya mkojo hawataweza kusukumwa nje wakati wa kukojoa, .
📌Mkojo kushindwa kabisa kutoka
📌Madhara kwenye kibofu na figo
📌Upungufu wa Nguvu za kiume, na kushindwa kuhimili tendo
📌Kansa ya Tezi dume & Kufanyiwa upasuaji wa mara kwa mara.
📌Huweza kusababisha kupoteza maisha K**a utashindwa kutibu tezi dume

TIBA YA UVIMBE WA TEZIDUME

🌀Tiba ya tezi hutolewa kulingana na hali iliyofikiwa.
🌀Piga simu kwa Mshauri ili kupata ushauri nasaha na uhakika wa tiba iokoayo bila upasuaji

Mshauri: +255744002870

21/06/2022

CHANGAMOTO YA TEZI DUME NA SULUHISHO BILA UPASUAJI.

MAWASILIANO; +255742044455

Wanaume wote wapo kwenye hatari ya kupata magonjwa ya tezi dume na hasa wanapofikia umri wa miaka 50.

Kutanuka kwa tezi dume:Prostate Enlargement

Hii ni hali ambapo tezi dume huongezeka ukubwa. Zaidi ya theluthi ya wanaume wote walio juu ya miaka 50 wana dalili za kuvimba kwa tezi dume. Haijajulikana kwa uhakika ni kwa nini tezi dume huwa kubwa zaidi kadri umri unavyoongezeka, lakini kukua huku si dalili ya kansa na wala hakuongezi uwezekano wa kupata kansa. Hili si tatizo kubwa sana la kiafya.

Tezi dume iliyoongezeka ukubwa huleta msukumo juu ya mrija wa mkojo na kibofu cha mkojo hali ambayo inaweza kuathiri namna mkojo utakavyotoka.

DALILI YA TEZI DUME ILIYOVIMBA.
1.Shida katika kuanza kukojoa au kuubana mkojo
2.Mtiririko dahifu wa mkojo
3.Kukojoa kwa shida
4.Kujisikia kuwa hujamaliza mkojo
5.Mkojo kuendelea kudondoka kwa muda mrefu baada ya kumaliza
6.Hali ya kujisikia kukojoa mara kwa mara au ghafla
7.Kuamka mara nyingi zaidi usiku kwa ajili ya kwenda haja ndogo
8. Pressure ya Mkojo kua ndogo

Kwa baadhi ya wanaume, dalili zinaweza kuwa ndogo ambazo hazihitaji tiba. Kwa wengine, zinaweza kuwa kubwa na kuathiri maisha yao. Wanaume hupatwa hofu kuwa kuvimba kwa tezi dume kunashahabihiana na upataji wa kansa ya tezi dume. Hii siyo kweli kwani uwezekano wa kupata kansa wa mtu mwenye tezi iliyovimba hauzidi ule wa mtu asiye na tatizo hili la tezi.

Sababu ya kuongezeka ukubwa wa tezi dume haijajulikana, lakini wataalamu wengi wanaamini kuwa inahusiana na mabadiliko katika homoni yanayotokea umri wa mtu unapokuwa mkubwa.

Tiba ya Tezi Iliyokua
Tiba ya tezi hutolewa kulingana na hali iliyofikiwa.

MADHARA YANAYOWEZA KUTOKEA KUTOKANA NA BENIGN PROSTATE ENLARGEMENT NI;

1.maambukizi kwenye njia ya mkojo – UTI, kutokana na kuwa wadudu k**a bakteria waliomo kwenye njia ya mkojo hawataweza kusukumwa nje wakati wa kukojoa, .
2.Mkojo kushindwa kabisa kutoka
3.Madhara kweny kibofu na figo
4.Upungufu wa Nguvu za kiume, na kushindwa kuhimili tendo
5.Kansa ya Tezi dume
6.Huweza kusababisha kupoteza maisha K**a utashindwa kutibu tezi dume

TUNATUMIA VIRUTUBISHO LISHE KUTATUA CHANGAMOTO YA TEZIDUME BILA UPASUAJI

20/06/2022

SULUHISHO LA CHANGAMOTO YA MIFUPA NA VIUNGO BILA UPASUAJI

Mshaurii +255742044455

Mifupa ni sehemu muhimu sana katika mwili wa binadamu. Kazi ya mifupa ni kushikilia misuli na viungo vyote mwilini. Katika mfumo huu wa mifupa yapo maungio ambayo kazi yake kubwa ni kumsaidia kiumbe kujongea kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine.

-➡️Mifupa inavyo vyakula vyake maalum. Ili mifupa ya binadam iweze kuimarika inahitaji kuwe na vyakula bora kabisa kwa ajili hiyo.
-Ili mifupa iweze kukua inahitaji protein ya kutosha , Na ili mifupa iweze kuimarika inahitaji MADINI YA CHOKAA / CALCIUM YA KUTOSHA, AMINO ACID, MAGNESIUM , SELENIUM. Na Ili misuli iimarike
basi huhitaji madini ya ZINC ya kutosha sana.

➡️Kutokana na sababu mbalimbali katika mazingira husababisha mifupa kudhoofika na kuuma .

✅BAADHI YA MATATIZO YA MIFUPA NI:-

➡️Maumivu ya mgongo, Kiuno
➡️Kuishiwa kwa uteute kwenye magoti na kusababisha magoti kuuma.
➡️Mifupa kuvimba (Arthritis)

➡️Mifupa kuwa milaini / Miepesi ( Osteoporosis).
-➡️Mifupa kuvunjika( ajali)
➡️matatizo ya pingili/ Disc

✅SABABU ZINAZOPELEKEA MATATIZO YA MIFUPA:-
➡️Upungufu wa virutubisho-virutubisho k**a madini ya CALCIUM, ZINC yakipungua husababisha maumivu kwenye mifupa.
➡️Matumizi ya nyama nyekundu hasa nyama ya mbuzi. Nyama ya mbuzi ikizidi kiasi husababisha URIC ACID KUZIDI MWILINI. URIC ACID ikizidi hufyonza uteute uliopo kwenye maugio k**a magoti na kusababisha ute kupungua na kusababisha maumivu makali.

➡️Uzito mkubwa , Uzito ukiwa mkubwa hudhoofisha mifupa kutokana na uzito kuelemea miguu na kuchosha mifupa na kusababisha maumivu

➡️Umri: Kadri umri unavyozidi kuongezeka husababisha mifupa kupoteza ubora wake ikiambatana na upungufu wa virutubisho.

➡️Uzazi: Hii hutokea sana kwa akina mama, akina mama huwa wahanga wa mifupa hasa migongo kutokana na kupotezwa kwa madini muhimu wanapoingia mwezini(hedhi) , wanapobeba ujauzito mtoto humtegemea mama kwa kwa kila kitu. pia wakati wa kujifungua mama hupoteza madini na wakati wa kunyonyesha. Vipindi vyote hivi k**a mama hali vizuri hupoteza kiasi kikubwa cha madini ya chokaa/ Calcium, Chuma.n.k.

✅SULUHISHO.

Kutokana na tafiti kufanyika na kufahamu vyanzo vya matatizo ya mifupa tumeandaa suluhisho la kudumu kwa mwenye tatizo lolote la mifupa. Suluhisho hilo huenda kuondoa chanzo cha tatizo na kuufanya mwili na mifupa iweze kujitegemea yenyewe kwa kudumu. Mfano k**a muhusika hana uteute basi kipo kirutubisho sahihi kwa ajili ya kula endapo atakula huenda kuzalisha uteute bila upasuaji yaani atumiapo huenda kuufanya mwili kuzalisha ute kwa wingi ambao hauwezi kukauka k**a ule wa kuwekewa kwa njia za kisasa. Katika viambata bora vyenye Glucosamine Hydrochloride na vinginevyo. Haviondoi maumivu bali hurepair kiungo moja kwa moja.

20/06/2022

SULUHISHO LA CHANGAMOTO YA MIFUPA NA VIUNGO BILA UPASUAJI

Mshauri Dr Oloo +255685217679

Mifupa ni sehemu muhimu sana katika mwili wa binadamu. Kazi ya mifupa ni kushikilia misuli na viungo vyote mwilini. Katika mfumo huu wa mifupa yapo maungio ambayo kazi yake kubwa ni kumsaidia kiumbe kujongea kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine.

-➡️Mifupa inavyo vyakula vyake maalum. Ili mifupa ya binadam iweze kuimarika inahitaji kuwe na vyakula bora kabisa kwa ajili hiyo.
-Ili mifupa iweze kukua inahitaji protein ya kutosha , Na ili mifupa iweze kuimarika inahitaji MADINI YA CHOKAA / CALCIUM YA KUTOSHA, AMINO ACID, MAGNESIUM , SELENIUM. Na Ili misuli iimarike
basi huhitaji madini ya ZINC ya kutosha sana.

➡️Kutokana na sababu mbalimbali katika mazingira husababisha mifupa kudhoofika na kuuma .

✅BAADHI YA MATATIZO YA MIFUPA NI:-

➡️Maumivu ya mgongo, Kiuno
➡️Kuishiwa kwa uteute kwenye magoti na kusababisha magoti kuuma.
➡️Mifupa kuvimba (Arthritis)

➡️Mifupa kuwa milaini / Miepesi ( Osteoporosis).
-➡️Mifupa kuvunjika( ajali)
➡️matatizo ya pingili/ Disc

✅SABABU ZINAZOPELEKEA MATATIZO YA MIFUPA:-
➡️Upungufu wa virutubisho-virutubisho k**a madini ya CALCIUM, ZINC yakipungua husababisha maumivu kwenye mifupa.
➡️Matumizi ya nyama nyekundu hasa nyama ya mbuzi. Nyama ya mbuzi ikizidi kiasi husababisha URIC ACID KUZIDI MWILINI. URIC ACID ikizidi hufyonza uteute uliopo kwenye maugio k**a magoti na kusababisha ute kupungua na kusababisha maumivu makali.

➡️Uzito mkubwa , Uzito ukiwa mkubwa hudhoofisha mifupa kutokana na uzito kuelemea miguu na kuchosha mifupa na kusababisha maumivu

➡️Umri: Kadri umri unavyozidi kuongezeka husababisha mifupa kupoteza ubora wake ikiambatana na upungufu wa virutubisho.

➡️Uzazi: Hii hutokea sana kwa akina mama, akina mama huwa wahanga wa mifupa hasa migongo kutokana na kupotezwa kwa madini muhimu wanapoingia mwezini(hedhi) , wanapobeba ujauzito mtoto humtegemea mama kwa kwa kila kitu. pia wakati wa kujifungua mama hupoteza madini na wakati wa kunyonyesha. Vipindi vyote hivi k**a mama hali vizuri hupoteza kiasi kikubwa cha madini ya chokaa/ Calcium, Chuma.n.k.

✅SULUHISHO.

Kutokana na tafiti kufanyika na kufahamu vyanzo vya matatizo ya mifupa tumeandaa suluhisho la kudumu kwa mwenye tatizo lolote la mifupa. Suluhisho hilo huenda kuondoa chanzo cha tatizo na kuufanya mwili na mifupa iweze kujitegemea yenyewe kwa kudumu. Mfano k**a muhusika hana uteute basi kipo kirutubisho sahihi kwa ajili ya kula endapo atakula huenda kuzalisha uteute bila upasuaji yaani atumiapo huenda kuufanya mwili kuzalisha ute kwa wingi ambao hauwezi kukauka k**a ule wa kuwekewa kwa njia za kisasa. Katika viambata bora vyenye Glucosamine Hydrochloride na vinginevyo. Haviondoi maumivu bali hurepair kiungo moja kwa moja.

17/06/2022

SULUHISHO LA CHANGAMOTO YA MIFUPA NA VIUNGO BILA UPASUAJI

Mshauri Dr Mtiba +255682876988

Mifupa ni sehemu muhimu sana katika mwili wa binadamu. Kazi ya mifupa ni kushikilia misuli na viungo vyote mwilini. Katika mfumo huu wa mifupa yapo maungio ambayo kazi yake kubwa ni kumsaidia kiumbe kujongea kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine.

-➡️Mifupa inavyo vyakula vyake maalum. Ili mifupa ya binadam iweze kuimarika inahitaji kuwe na vyakula bora kabisa kwa ajili hiyo.
-Ili mifupa iweze kukua inahitaji protein ya kutosha , Na ili mifupa iweze kuimarika inahitaji MADINI YA CHOKAA / CALCIUM YA KUTOSHA, AMINO ACID, MAGNESIUM , SELENIUM. Na Ili misuli iimarike
basi huhitaji madini ya ZINC ya kutosha sana.

➡️Kutokana na sababu mbalimbali katika mazingira husababisha mifupa kudhoofika na kuuma .

✅BAADHI YA MATATIZO YA MIFUPA NI:-

➡️Maumivu ya mgongo, Kiuno
➡️Kuishiwa kwa uteute kwenye magoti na kusababisha magoti kuuma.
➡️Mifupa kuvimba (Arthritis)

➡️Mifupa kuwa milaini / Miepesi ( Osteoporosis).
-➡️Mifupa kuvunjika( ajali)
➡️matatizo ya pingili/ Disc

✅SABABU ZINAZOPELEKEA MATATIZO YA MIFUPA:-
➡️Upungufu wa virutubisho-virutubisho k**a madini ya CALCIUM, ZINC yakipungua husababisha maumivu kwenye mifupa.
➡️Matumizi ya nyama nyekundu hasa nyama ya mbuzi. Nyama ya mbuzi ikizidi kiasi husababisha URIC ACID KUZIDI MWILINI. URIC ACID ikizidi hufyonza uteute uliopo kwenye maugio k**a magoti na kusababisha ute kupungua na kusababisha maumivu makali.

➡️Uzito mkubwa , Uzito ukiwa mkubwa hudhoofisha mifupa kutokana na uzito kuelemea miguu na kuchosha mifupa na kusababisha maumivu

➡️Umri: Kadri umri unavyozidi kuongezeka husababisha mifupa kupoteza ubora wake ikiambatana na upungufu wa virutubisho.

➡️Uzazi: Hii hutokea sana kwa akina mama, akina mama huwa wahanga wa mifupa hasa migongo kutokana na kupotezwa kwa madini muhimu wanapoingia mwezini(hedhi) , wanapobeba ujauzito mtoto humtegemea mama kwa kwa kila kitu. pia wakati wa kujifungua mama hupoteza madini na wakati wa kunyonyesha. Vipindi vyote hivi k**a mama hali vizuri hupoteza kiasi kikubwa cha madini ya chokaa/ Calcium, Chuma.n.k.

✅SULUHISHO.

Kutokana na tafiti kufanyika na kufahamu vyanzo vya matatizo ya mifupa tumeandaa suluhisho la kudumu kwa mwenye tatizo lolote la mifupa. Suluhisho hilo huenda kuondoa chanzo cha tatizo na kuufanya mwili na mifupa iweze kujitegemea yenyewe kwa kudumu. Mfano k**a muhusika hana uteute basi kipo kirutubisho sahihi kwa ajili ya kula endapo atakula huenda kuzalisha uteute bila upasuaji yaani atumiapo huenda kuufanya mwili kuzalisha ute kwa wingi ambao hauwezi kukauka k**a ule wa kuwekewa kwa njia za kisasa. Katika viambata bora vyenye Glucosamine Hydrochloride na vinginevyo. Haviondoi maumivu bali hurepair kiungo moja kwa moja.

17/06/2022

Address

Malimbe
Mwanza

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya na raha posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram