Dr Denis Kailembo

Dr Denis Kailembo Eye care professional

15/04/2023

Matatizo ya macho yanaendelea kuongezeka katika jamii kila kukicha , je wewe ni miongoni mwa watu wenye matatizo ya macho?
Naitwa DENIS KAILEMBO ni OPTOMETRIST mtaalamu wa afya ya macho . ninatoa huduma ya afya ya macho kwa watoto na watu wazima.
Hakika utakubaliana na mimi kua matatizo ya macho yanaongezeaka katika jamii kila kukicha , dalili za matatizo hayo ni k**a macho kutoweza kuona mbali, kushindwa kusoma maandishi madogo , macho kuwasha ,kuuma kua mekundu na kutoa machozi mara kwa mara. Macho kuogopa mwanga, ila pia macho kuota vinyama kwenye weupe
Matatizo hayo ya macho ni k**a uoni hafifu wa mbali na karibu, mtoto wa jicho, presha ya macho, vinyama machoni n.k
Matatizo haya usababishwa na mambo mbalimbali ikiwemo umri , kazi zetu pamoja na mazingira tunayo ishi.
K**a wewe ni miongoni mwa watu wenye dalili zozote za shida ya macho , Tuma ujumbe inbox ukianza na neno MACHO kisha nitawasiliana na wewe na kujua Zaidi unasumbuliwa na nini na kukufahamisha jinsi ya kutatua na kujirinda dhidi ya maradhi ya macho
ASANTE SANA

Matatizo ya amcho yanaendelea kuongezeka katika jamii kila kukicha , je wewe ni miongoni mwa watu wenye matatizo ya mach...
06/04/2023

Matatizo ya amcho yanaendelea kuongezeka katika jamii kila kukicha , je wewe ni miongoni mwa watu wenye matatizo ya macho?
Naitwa DENIS MARCEL ni OPTOMETRIST mtaalamu wa afya ya macho . ninatoa huduma ya afya ya macho kwa watoto na watu wazima.
Hakika utakubaliana na mimi kua matatizo ya macho yanaongezeaka katika jamii kila kukicha , dalili za matatizo hayo ni k**a macho kutoweza kuona mbali, kushindwa kusoma maandishi madogo , macho kuwasha ,kuuma kua mekundu na kutoa machozi mara kwa mara. Macho kuogopa mwanga, ila pia macho kuota vinyama kwenye cheupe.
Matatizo hayo ya macho ni k**a uoni hafifu wa mbali na karibu, mtoto wa jicho, presha ya macho, vinyama machoni n.k
Matatizo haya usababishwa na mambo mbalimbali ikiwemo umri pamoja na mazingira tunayo ishi.
K**a wewe ni miongoni mwa watu wenye dalili zozote za shida ya macho , Tuma ujumbe inbox ukianza na neno MACHO ikifuatiwa na namba yako ya simu kisha nitawasiliana na wewe na kujua Zaidi unasumbuliwa na nini na kukufahamisha jinsi ya kutatua na kujirinda dhidi ya maradhi ya macho .
ASANTE SANA

Matatizo ya amcho yanaendelea kuongezeka katika jamii kila kukicha , je wewe ni miongoni mwa watu wenye matatizo ya mach...
31/03/2023

Matatizo ya amcho yanaendelea kuongezeka katika jamii kila kukicha , je wewe ni miongoni mwa watu wenye matatizo ya macho?
Naitwa DENIS MARCEL ni OPTOMETRIST mtaalamu wa afya ya macho . ninatoa huduma ya afya ya macho kwa watoto na watu wazima.
Hakika utakubaliana na mimi kua matatizo ya macho yanaongezeaka katika jamii kila kukicha , dalili za matatizo hayo ni k**a macho kutoweza kuona mbali, kushindwa kusoma maandishi madogo , macho kuwasha ,kuuma kua mekundu na kutoa machozi mara kwa mara. Macho kuogopa mwanga, ila pia macho kuota vinyama kwenye cheupe.
Matatizo hayo ya macho ni k**a uoni hafifu wa mbali na karibu, mtoto wa jicho, presha ya macho, vinyama machoni n.k
Matatizo haya usababishwa na mambo mbalimbali ikiwemo umri pamoja na mazingira tunayo ishi.
K**a wewe ni miongoni mwa watu wenye dalili zozote za shida ya macho , Tuma ujumbe inbox ukianza na neno MACHO kisha nitawasiliana na wewe na kujua Zaidi unasumbuliwa na nini na kukufahamisha jinsi ya kutatua na kujirinda dhidi ya maradhi ya macho

Ni week ya shikinizo la macho ,nenda katika kituo Cha afya Cha macho ukapime shinikizo la macho yako
15/03/2023

Ni week ya shikinizo la macho ,nenda katika kituo Cha afya Cha macho ukapime shinikizo la macho yako

12/03/2023

Je mwanga ni tatizo kwako katika kuendesha gari usiku??
Usijali hipo suluhisho lake ,inbox upate suluhisho lake

JE WAJUA JICHO NI TAA YA MWILI??👁️👁️👁️  Jicho ni kiungo kimoja wapo Cha mwili wa MWANADAMU kinacho msaidia kuona vitu mb...
04/01/2023

JE WAJUA JICHO NI TAA YA MWILI??👁️👁️👁️

Jicho ni kiungo kimoja wapo Cha mwili wa MWANADAMU kinacho msaidia kuona vitu mbalimbali katika Dunia na hata ulimwengu Kwa ujumla .
Tukiangazia pia katika maandiko matakatifu yanasema macho ni TAA YA MWILI .
Mnyama yeyote akikosa macho ni adhabu kubwa sana Kwa maisha yake , vivyo hivyo Kwa mwanadamu ambapo asipokua na msaidizi , anapata adha mbalimbali k**a kukosa chakula na kumpelekea kupoteza maisha Kwa kukosa chakula na pia Kwa kua na msongi wa mawazo ( Depression) .

Jicho ni kiungo kilicho unganishwa na ubongo Moja Kwa Moja , ndo maana jicho likipata shida yoyote ubongo ni lazima utapata maumivu na kumpelekea mtu kuuma kichwa . K**a tujuavyo ubongo ni muongozo wa viungo vyote vya mwili . Hivyo basi ubongo wetu ni jicho la tatu tulisikialo Kwa watu , kwahy macho haya mawili inabidi tuyalinde ili kulinda jicho letu la tatu .

Asante sana Tutaendelea kuelimishana juu ya afya ya macho jinsi ya kuyatibu, jinsi ya kuyalinda na mambo mengine mengi yanayo usiana na macho katika mwili wa Binadamu.

Dr Denis Kailembo , ni mwanzo wa mwaka Sasa usiache kufanya check up ya macho uku ukiwa unapambana kutimiza malengo yako Karibu sana

Address

MWANZA ROCK CITY
Mwanza
321

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr Denis Kailembo posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Dr Denis Kailembo:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram