25/11/2025
UPUNGUFU NGUVU ZA KIUME (Erectile dysfunction).
Ieleweke huu si ugonjwa, Upungufu wa nguvu za kiume (Erectile dysfunction /impotence), Ni ukosefu wa uwezo wa kufanya na kuhimili kikamilifu tendo la ndoa,
Hali hii hupelekea mwanaume kudumu kwa muda mfupi sana au chini ya dakika moja kwenye kkufanya mapenzi na kujikuta anamwaga shahawa mapema sana, baada ya kumwaga shahawa hizo kuna muda uume hushindwa kusimama tena,
Kukosa uwezo wa kusimamisha uume mara kwa mara si jambo la kufurahisha. Kuendelea kwa tatizo hili, linaweza kusababisha Msongo wa mawazo, kukosa ladha ya kufanya mapenzi kwa mwanaume na mwanamke. Matokeo ya kushindwa kujiamini wewe mwenyewe ambayo inaweza kuepelekea kuwa na hasira na kisirani, na kupelekea migogoro kwenye mahusiano.
Uume kushindwa kusimama inaweza kuwa ni dalili ya tatizo la kiafya linalohitaji matibabu, mojawapo ya matatizo hayo inaweza kuwa ni sababu ya ugonjwa wa moyo, kisukari, madonda ya tumbo n.k
Endapo umeona tatizo la kushindwa kusimamisha uume, muone daktari hata k**a limekuvuruga, wakati mwingine kuongea nae inatosha kukurudisha hali ya uwezo wa kusimamisha.
Kwa upande mwingine dawa au maelekezo mengine ya kitaalamu yanaweza kuhusika katika kutatua changamoto hiyo. Kumekuwepo na wimbi kubwa la watoa dawa au matumizi holela ya dawa za kuongeza nguvu za kiume, wengi hutumia dawa hizo pasipokujua wala kuchunguza nini chanzo kilichopelekea tatizo hilo.
Epuka matumizi holela ya dawa za kuongeza nguvu za kiume bila kujua chanzo cha tatizo hilo, badala ya kutibu tatizo unaweza kujikuta unaongeza tatizo na kuleta madhara mengine mabaya ya kiafya.
Viashiria na Dalili (Signs and Symptoms)
Dalili za upungufu wa nguvu za kiume zinaweza kuwa ni pamoja na;
Kushindwa kusimamisha uume (Trouble getting an er****on),
Uume kushindwa kuendelea kusimama (Trouble keeping an er****on),
Kukosa hamu ya mapenzi (Reduced sexual desire).
Muone daktari.
Kumuona daktari ni jambo la msingi sana kuanza nalo unapokuwa na tatizo la kushindwa kusimamisha. Muone daktari k**a ;
Uume unasinya na kushindwa kusimama tena, Unawahi kumwaga shahawa au unachelewa sana kumwaga.
Una kisukari, ugonjwa wa moyo au magonjwa mengine yanayoweza kupelekea uume kushindwa kusimama.
Endapo una dalili ya muda mrefu ya uume kushindwa kusimama.
Sababu (Causes).
Ogani za uzazi za mwanaume ni hatua tatanisha inayohusisha ubongo, homoni, hisia, neva, misuli na misuli ya damu. Kushindwa kusimamisha uume inaweza kuwa ni matokea ya tatizo lililopelekewa na vyanzo hivi, Msongo wa mawazo na matatizo mengine ya afya ya akili ambayo yanaweza kusababisha uwezo wa kusimamisha uume kupungua na kushindwa kufanya kazi vizuri.
Wakati mwingine muunganiko sababu za kimwili na kisaikolojia zinaweza kusababibisha uwezo wa kusimamisha uume kupungua, kwa mfano uwepo wa baadhi ya matatizo ya kimwili unaweza kusababisha uwezo wa kushiriki uwezo wa kushiriki tendo la ndoa kupungua ama kushindwa kabisa uume kusimama.
Sababu za kimwili zinazosabisha kushindwa kusimamisha uume (Physical causes of erectile dysfunction)
Baadhi ya sababu za kimwili zinazopelekea kupungua kwa nguvu za kiume ni pamoja na;
Ugonwa wa moyo (Heart disease).
Kwa kuwa ili uume usimame vizuri unahitaji damu iingie kwenye mishipa na misuli kwa wingi, sasa ikiwa utakuwa na ugonjwa wa moyo mzunguko wa damu katika mishipa na misuli hbauwi katika mpangilio mzuri sana hivyo kuwa chanzo cha uume kusimama kwa ulegevu au kushindwa kusimama kabisa.
Kusinyaa na kutanuka kwa misuli ya damu (atherosclerosis).
Mafuta ya ziada (High cholesterol).
Uwepo wa mafuta ndani ya mishipa ya damu hupunguza upenyo, wingi au mwendo wa damu inayotakiwa ipite kwenye mishipa.
Presha ya kupanda (High blood pressure),
Kisukari (Diabetes).
Unene (Obesity).
Metabolic syndrome — hali inayohusisha presha, kiwango cha juu cha insulin, uzito wa mwili na kiasi cha juu cha mafuta mwilini.
-Matumizi ya tumbaku (To***co use),
-Peyronie's disease,
-Uwepo wa tishu za kovu ndani ya uume.
-Tatizo la usingizi (Sleep disorders),
-Tiba ya kansa ya tezi dume au kuvimba kwa tezi za uzazi,
-Upasuaji eneo la kinena au Athari za ajali kwenye eneo la kinena au uti wa mgongo.
-Kiwango kidogo cha homoni ya Testosterone (Low testosterone),
-Punyeto, kutokana na kuchua mara kwa mara uume tena kwa kutumia mikono ambayo ni kitu kigumu hufanya mishipa ya damu kuwa dhaifu hivyo kupelekea hata mzunguko wa damu kuwa hafifu.
Pia unapokuwa unafanya mapenzi uume ukiingia ukeni na kuhisi joto la uke hupelekea kuwa kumwaga shahawa mapema sana, muda mwingine na kushindwa kusimama tena, au ladha ya uume kuingia ukeni hupotea hivyo kushindwa kuhisi raha wakati wa kujamiiana.
Sababu za kisaikolojia za kushindwa kusimamisha uume (Psychological causes of erectile dysfunction)
Ubongo ndio unaochukua sehemu kubwa kupangilia matendo yote ya mwili yakiwemo na yanayosabisha kusimama kwa uume, huanza na hisia ya hamasa ya kujamiiana. Vitu vingi vinavyoingilia hisia za mapenzi na kuweza kupunguza au kupoteza uwezo wa kusimamisha uume kabisa ni;
Msongo wa mawazo (Stress)
Matatizo ya mahusiano k**a vile migogoro kutokana na mawasiliano hafifu au vyanzo vingine.
Vihatarishi (Risk factors)
-Umri unavyozidi na uwezo wa kusimama kwa uume hupungua, unahitajji zaidi kushika uume moja kwa moja ili uweze kusimama,Baadhii ya sababu zinazo chochea kushindwa kusimamisha uume ni pamoja na:
-Matumizi ya Dawa.
Dawa za kisukari au moyo,
Matumizi ya tumbaku (To***co use), ambayo huvuruga mzunguko wa damu kwenye mishipa ya ateri na vena inaweza kuzidi na kupelekea maradhi sugu hali itakayo sababisha kushindwa kusimamisha uume.
-Uzito mkubwa hasa pale unapokuwa mnene zaidi kupita kiasi, na uzito mkubwa husababisha ongezeko la mafuta ya ziada ndani ya mwili yaani (cholestrol).
-Baadhi ya matibabu k**a vile upasasuaji wa tezi au tiba ya mionzi ya kansa.
-Ajali (Injuries), inapotokea na kuharibu neva au ateri ambazo huwezesha uume kusimama.
-Madawa hasa antidepressants, antihistamines na dawa za kutibu presha ya juu au maumivu ya tezi dume.
-Matatizo ya kisaikolojia k**a vile msongo wa mawazo (stress), wasiwasi ( anxiety) au sonona (depression)
-Utumiaji wa dawa za kulevya pamoja na ulevi wa kupindukia au vinywaji vikali hasa kwa kipindi cha muda mrefu (Drug and alcohol).
Madhara.
Madhara yatokanayo na kushindwa kusimamisha uume ni pamoja na;
-Hali ya kushindwa kuridhika/ kutosheka kimapenzi, hutokana na na ile hali ya uume kushindwa kusimama kabisa au kusinyaa katikati ya shughuli ya mapenzi.
-Msongo wa mawazo (Stress or anxiety). hii humpata mwanaume kwa sababu kila anapofanya mapenzi na mwenzi wake anashindwa kumridhisha kwa kumfikisha kileleni na wakati mwingine akiwa katika mwendelezo wa mechi uume wake kunywea/kusinyaa ukiwa ndani ya uke, na kujjikuta ameshindwa kuendelea na shughuli jambo hili humnyima uhuru na kujikuta anakuwa na msongo wa mawazo.
-Wasiwasi na kushindwa kujiamini (Embarrassment or low self-esteem). Mwanaume anapoteza kujiamini kutokana na kushindwa kabisa kufanya mapenzi, na humpa wasiwasi hata k**a mwenzi wake atamtaka kwa ajili ya kushiriki naye tendo la ndoa.
-Matatizo ya mahusiano (Relationship problems), Migogoro huibuka kwa kwa sababu ya aidha kisirani na hasira za mwanaume kutokuwa na uwezo mzuri wa kufanya mapenzi, hivyo kujikutga hata jambo dogo linakuzwa na kulifanya kuwa kubwa, inakuwa ngumu kutafuta suluhu kwa mambo ya mahusiano.
-Kushindwa kumbebesha mimba mpenzi wako (The inability to get your partner pregnant), kwa sababu ya uume kutosimama vizuri kutokana na sababu zilizo pelekea hali hiyo muda mwingine inakuwa vigumu kubebesha ujauzito.
Udhibiti (Prevention)
Udhibiti wa tatizo hili hutegemeana na kisababishi au chanzo cha tatizo lenyewe, wako wengine hukosa hamu au kushindwa kufanya mapenzi kwa sababu za kisaikolojia, wengine sababu za kimaumbile, wengine ajili ya hofu na wasiwasi, mfano ana maumbile madogo (uume mdogo) au wana maumbile makubwa (uume mkubwa) jambo linalompa hofu na wasiwasi muda mwingine, na kutokana na msongo wa mawazo au hofu ya kuwazia maumbile yake, kujikuta anashindwa kabisa kufanya tendo la ndoa.
Si kila tatizo la kusindwa kufanya mapenzi litahitaji matibabu mengine huhitaji kubadili mtazamo, kubadili mtindo wa maisha, ushauri na nyingine kuzingatia kanuni za afya bora ya uzazi.
Ikiwa utabaini chanzo cha tatizo lako ni uume mdogo au mkubwa, kwamba kila ukifanya mapenzi na mwezi wako haridhika ziko njia bora za kujifunza kutumia maumbile yako hayo hayo na ukatosha kumridhisha mwenza wako, Katika nchi zilizoendelea, kila siku wamekuwa wakija na dawa na vifaa vipya vya kuondoa tatizo hili na vingi bado ni vya bei kubwa na/au vinapatikana kwa shida. Vipo ambavyo vimeonyesha mafanikio makubwa, mifano ya vitu hivyo ni Suction Vi*****rs, Desire Creams na Er****on Drugs.
Jambo la kwanza jikubali kwa maumbile hayo madogo, kisha jifunze na kumsoma mwenza wako ni maeneo yapi ukimgusa anapata msisimko sana, ukishajua maeneo hayo kabla ya kumwingilia unalojuukumu la kufanya maandalizi ya kutosha kwa mwenza wako hivyo kujikuta inakupeleka katika ushindi wa kumfunga magoli mwenza wako hata kabla ya mechi kuanza, vile vile kwa mwenye uume mkubwa unalo jukumu la kufanya k**a mwenye uume mdogo na kutokufanya mapenzi kwa pupa pale unapomuingilia mwenza wako ili kumwepushia maumivu.
Na pia yako mengine utahitaji tiba kabisa kwa mfano waliowahi kujichua (punyeto) na kupelekea kupoteza hisia za mwanamke au uume kuwa legelege na kushindwa kusimama.
Njia bora ya kuzuia tatizo la kupungukiwa au kushindwa kusimamisha uume ni kuchagua mtindo wa maisha unaozingatia kanuni za afya ili kudhibiti hali ya afya iliyopo, kwa mfano;
Jishughulishe na daktari wako kudhibiti kisukari, ugonjwa wa moyo au shida nyingine sugu za kiafya.
Muone daktari wako kwa ajili ya uchunguzi pamoja na majaribio ya madawa.
-Acha uvutaji, punguza au zuia kabisa matumizi ya pombe, usitumie dawa haramu za kulevya.
-Fanya mazoezi (Exercise regularly).
-Chukua hatua za kupunguza msongo wa mawazo (Take steps to reduce stress). Pata ushauri dhidi ya msongo wa mawazo, sonona au utatuzi wa changamoto nyingine za afya ya kiakili. Huna haja kukata tamaa kuhusu hali yako,
Vyakula vya kuongeza hamu ya Mapenzi
Tafiti zinaonesha kuwa kuna uhusiano mkubwa kati ya vyakula tunavyokula na afya ya viungo vya uzazi.
Baadhi ya vyakula na virutubishi vimehusishwa na hamu ya kufanya mapenzi (nyege).
Virutubishi ndani ya chakula ambavyo vinasaidia hali hiyo ni antioxidants, vitamin C, vitamin E, potassium na zinc. Kirutubishi cha zinc ambacho hupatikana ndani ya vitunguu swaumu, mbegu za maboga, ufuta na mbegu za matikitimaji, Tikitimaji lina phytonutrient citrulline ambayo hugeuzwa kuwa arginine.
Arginine ni amino acid ambayo hufanya mishipa ya damu kuwa kwenye hali ya ubora wake na kusadia damu kupita vizuri zaidi.
Tikitimaji kwa hiyo husaidia damu ifike kwa kiwango kizuri zaidi kwenye sehemu ambazo hutakiwa kutanuka wakati mtu akipata hisia za kufanya tendo la ndoa ambazo ni viungo vya ndani ya kisimi cha mwanamke na ndani ya uume wa mwanaume, kinaongeza mbegu kwa mwanaume (s***m count) hivyo humsaidia kuongeza hamu ya kufanya tendo la ndoa.
Chakula cho chote chenye virutubishi hivi kikiliwa, humfanya mlaji asikie hamu ya kufanya mapenzi au kwa maneno ya mtaani, chakula hiki kinasaidia kuongeza nyege, Strawberries– matunda haya yana antioxidants kwa kusaidia afya ya moyo na mishipa ya damu (arteri) na vitamin C ambayo huongeza kiwango cha mbegu kwa mwanaume.
Parachichi kuna vitamini E ambayo ni antioxidant.
Ndani ya tunda hili kuna potassium na vitamini B6 ambavyo huboresha afya ya moyo na kusaidia mzunguko wa damu kuwa mzuri hivyo kusaidia damu kufika vizuri maneo ya via vya uzazi na kuchochea hamasa ya kufanya mapenzi.
Kingine katika kundi hili ni broccoli, karafuu, majani ya mlonge, mdalasini, mayai na tangawizi. Viazi vitamu, vina potassium ambayo husaidia kuondoa tatizo la presha ya juu (high-blood pressure)
Ufumbuzi wa Tatizo hili.
Itaendelea.......
MUHIMU;
TUNAFANYA KAZI KUPITIA ONLINE, HIVYO UAMINIFU NI KIPAUMBELE CHETU KIKUBWA, HATUNA MAWAKALA POPOTE, ILA TUNATUMA POPOTE KWA UHAKIKA NA UAMINIFU MKUBWA.
Wasiliana nasi kwa namba 0769247626.