10/11/2025
Taifa la Mungu Salam 🙏🏾 Tunapenda kuwakumbusha kuwa ikiwa umepata changamoto zifuatazo
1. UMEVUNJIKA UTI WA MGONGO, FUVU LA KICHWA, Au MFUPA na pengine imesababisha KUPOOZA kwa kiungo chochote cha mwili wako
2. DAMU ZIMEVUJA NDANI YA UBONGO na Unahitaji wa huduma ya Upasuaji wa Ubongo
3. Jeraha katika Tumbo au wneo lolote la Mwili wako
Tunalo auluhisho kwa ajili yako, Tunashauri utembelee klinike zetu za Daktari Bingwa wa Upasuaji wa Ubongo, uti wa mgongo, mishipa ya fahamu na Mifupa
Tunatoa huduma kwa wagonjwa wanaolipa fedha taslim, Wanachama wa JUBILEE, ASSEMBLE, BRITAM, NHIF, UNISURE & CIGNA Insurance
Tunapatikana Kituo cha daladala Iseni Butimba Mwanza
☎️ 0744-442-444