Dr Said

Dr Said Karibu kwa huduma ya vipimo vya mwili mzima kwa shilling elf30 tu. kumuona doctor na ushauri ni bure karibu sana. Afya bora ni Mila na desturi yetu143.

10/02/2026

Simulizi ya ukweli inayo sisimua mno
Aisee kuwa uyaone
Dunia ina mengi

20/01/2026
03/12/2025

Dawa bora zaid za kuondoa changamoto ya Tezi dume, kuongeza testosterone kwa uwingi, na kumfanya mwanaume arudie tendo zaid ya mara tatu mfululizo.
Saiv zinapatikana ktk office zetu zote nchin Tanzania
http://wa.me/+255627278604

Hebu fikiria hivi… miezi miwili huna hedhi, matiti yamejaa maumivu, kichefuchefu kinaanza k**a dalili za ujauzito....— L...
15/09/2025

Hebu fikiria hivi… miezi miwili huna hedhi, matiti yamejaa maumivu, kichefuchefu kinaanza k**a dalili za ujauzito....

— Lakini kila ukipima majibu ni negative, Ndipo unajiuliza, mwili wangu unaenda wapi sasa..

Hali hii si ya ajabu..

Baada ya kutumia njia ya uzazi wa mpango ikiwa ni pamoja na P2, homoni zako mara nyingi huingia kwenye sintofahamu....(Hormone imbalance)

Kipindi cha hedhi hubadilika, ovulation inachelewa au kusimama, mwili huanza kutuma ishara za ujauzito hewa (false pregnancy signs).

Wanawake wengi huishi gizani, bila kuelewa mwili wao unachopitia, huku hofu na wasiwasi vikizidi kila siku.

Na pale akili inapochanganya hofu ya kushika mimba, maumivu ya mwili, na ukaribu wa mume kurudi nyumbani…Unajikuta unateswa mara mbili..
↳ Huna majibu ya kitiba,
↳ Huna amani ya kiakili,
↳ Na hujui kuchagua njia salama ya uzazi wa mpango.

Kwa lugha rahisi, mwili wako unalia msaada, lakini akili yako inazidi kunguruma kwa stress...☠️

Kitaalamu, suluhisho si kukimbilia tembe nyingine kiholela.

↳ Kwanza, fanya kipimo cha homoni na mimba cha kitaalamu hospitali (sio strip pekee).
↳ Pili, hakikisha mzunguko wa hedhi unakuwa sawa kupitia njia ya Detox, K**a livyo elekeza hapo juu..
↳ Tatu, kabla hujaamua njia ya uzazi wa mpango, ni lazima kufanyiwa uchunguzi wa kitaalamu (kuna tofauti kubwa kati ya kondomu, vidonge, sindano, au P2 kulingana na historia yako)..

Ukweli ni kwamba wagonjwa wengi ninaowaona hukaa na stress kwa miezi, wakiogopa kuuliza.

Lakini mara tu wanapopata uchunguzi sahihi na mwongozo wa kitaalamu— wanapumua upya.

Mifano ipo, na wapo waliorejea katika hedhi zao kawaida baada ya counseling na mwongozo wa homoni, wapo waliopata njia salama ya uzazi wa mpango bila kuharibu mwili.

Je mpo na uhitaji wa elimu na Miongozo..?
— Wa namna ya kurekebisha homoni zako na kuchagua njia sahihi ya uzazi wa mpango bila kuumiza mwili wako.
Kwa ushauri zaid wasiliana nas kwa namba 👇🏾
http://wa.me/+255627278604

13/08/2025

Kanuni za Lishe Bora kwa Homoni Imara & Nguvu za Mwili..

Kabla hujaanza kuongeza au kupunguza vyakula, kanuni hizi tatu ndiyo msingi wa kila kitu..

1. Safisha Chanzo cha Nishati Yako...

Mwili wako unategemea macronutrients (protini, mafuta mazuri, na wanga yenye nyuzinyuzi) k**a injini ya kutengeneza homoni.

↳ Ondoa mafuta yaliyosindikwa (Margarine, mafuta ya kupikia yaliyotumika mara nyingi).

↳ Chagua mafuta mazuri k**a olive oil, Parachichi, karanga, almond, mbegu za maboga..N.K

2. Lisha Tezi Zako Kila Siku...

Homoni hazitengenezwi kwa Maombi bali kwa chakula unachokula...

↳ Zinc (kuku wa kienyeji, mayai, mbegu za maboga, dagaa) huchochea testosterone.

↳ Magnesium (mboga za kijani, kunde, karanga) husawazisha estrogen na progesterone.

3. Punguza Vyakula Vya Kufilisi Homoni..

Vipo vyakula vinavyofanya injini yako izimike taratibu…

↳ Sukari nyingi & vinywaji vya viwandani hupandisha insulin kupita kiasi, na kuharibu balance ya homoni.

↳ Plastiki na kemikali kwenye vyakula vya haraka (junk foods) hupunguza uzalishaji wa homoni asili.

NB: Lishe Bora siyo diet ya muda, ni mtindo wa maisha unaofanya homoni zako ziwe rafiki badala ya kuwa adui...
Kwako ww unaye hitaji ushauri zaid wasiliana nas kwa namba hii👇🏼👇🏼👇🏼

Lishe Bora ya Kuongeza Testosterone Asili kwa Wanaume & Hormone Balance kwa Wanawake..Je, unajua chakula unachokula leo ...
13/08/2025

Lishe Bora ya Kuongeza Testosterone Asili kwa Wanaume & Hormone Balance kwa Wanawake..

Je, unajua chakula unachokula leo kinaweza kuamua jinsi utakavyohisi kesho..? Kimwili, kihisia na hata kitandani..?

(Kitaalamu, homoni zako ni injini ya afya yako)

Kwa mwanaume, testosterone ndiyo mafuta ya nguvu zako, msukumo wa misuli, stamina, na hata kujiamini kwako...

Kwa mwanamke, estrogen na progesterone ni vichocheo vya siri vya afya ya ngozi, umbo, mood, na kibali cha kuendelea kuwa na afya bora ya uzazi...

Lakini kuna tatizo...

Chakula cha kizazi chetu kimejaa mafuta mabaya, sukari nyingi, na kemikali zinazopunguza uzalishaji wa homoni hizi taratibu bila sisi kujua.

Matokeo yake...?

↳ Mwanaume anakosa nguvu na stamina Bedroom..

↳ Mwanamke anakosa mng’ao, nguvu, na mzunguko wa hedhi unakuwa wa mateso..

Habari njema ni kwamba, Unaweza kugeuza hali hii ndani ya wiki chache tu kwa kubadilisha ulaji wako kwa njia sahihi...

NA...

Leo, tunaanza safari ya hatua kwa hatua ya kujenga lishe na homoni bora...

Nitakueleza vyakula vinavyowasha injini ya testosterone kwa mwanaume na kusawazisha estrogen na progesterone kwa mwanamke…Bila dawa yoyote, na bila gharama....

Weka Notification ON, maana hii siyo elimu ya theory kuisoma na kuiacha hapa..🔔
http://wa.me/+255627278604

Miezi mitatu... kimya..! Hakuna hedhi, wala huna ujauzito..🤯Kila siku unasubiri, lakini kalenda yako ya mwezi inakudanga...
13/08/2025

Miezi mitatu... kimya..! Hakuna hedhi, wala huna ujauzito..🤯

Kila siku unasubiri, lakini kalenda yako ya mwezi inakudanganya tena na tena...

Je, hii ni kawaida?

Hii ni ishara inayoweza kuashiria kitu kikubwa kinachoendelea ndani ya mwili wako (Hormone imbalance)

Ndiyo na maanisha Hormone imbalance....

Wengi hudhani hedhi kuchelewa ni ujauzito pekee, lakini ukweli ni kwamba homoni zako ndizo zinazoendesha mfumo mzima wa uzazi...

Zikichanganyikiwa tu, Mwili unavuruga ratiba yake ya asili....

Tuone, Sababu kuu zinazoweza kuchangia...

↳ Msongo wa mawazo unaosababisha Cortisol kupanda na kuvuruga homoni za uzazi.

↳ Uzito kupungua au kuongezeka ghafla hubadilisha usawa wa Estrogen na Progesterone.

↳ Matatizo ya tezi (thyroid) yanayoathiri moja kwa moja mzunguko wa hedhi.

↳ PCOS (Polycystic O***y Syndrome) — tatizo la kawaida kwa wanawake wengi...

↳ Matumizi ya dawa za uzazi wa mpango kiholela, hasa P2 — Huchanganya homoni kwa nguvu kubwa, na kusababisha mzunguko wa hedhi kusimama au kuvurugika kabisa..

NB: Mwili wa mwanamke ni k**a saa ya kifahari, Sehemu moja ikiharibika, mfumo mzima unasumbuka..

Usikae kimya miezi 2-3 bila hedhi bila ujauzito, Ni dalili ya mwili wako kukulilia....

Pima afya yako, kagua homoni zako, na ufuate mwongozo sahihi wa kitabibu.

Afya ya uzazi ni msingi wa afya yako yote, Soon nitakuja na Miongozo ya kitaalamu kwa wanawake wenye Hormone imbalance...

Yawezakuwa ni wewe au mpenzi wako, Miongozo hiyo itakusaidia, Sio kutibu tu..Pamoja na kuepuka Hormone imbalance...Kuishi katika afya bora...
K**a ww n miongoni mwa watu walio na changamoto k**a hii wasiliana nas kwa msaada wa haraka
http://wa.me/+255627278604

Address

Mwanza

Opening Hours

Monday 08:00 - 17:00
Tuesday 08:00 - 17:00
Wednesday 08:00 - 17:00
Thursday 08:00 - 17:00
Friday 08:00 - 17:00
Saturday 08:00 - 17:00
Sunday 10:00 - 16:30

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr Said posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share