Dawa ZA Mitishamba

Dawa ZA Mitishamba See Translation πŸ‘‡
https://dmshambaplus.blogspot.com

🚦Wengi Hawajui! Hivi Ndivyo Bamia Inavyotibu Maumivu ya Viungo Bila Dawa! > Dawa ZA Mitishamba ✍️ Bamia ina ute wa asili...
04/11/2025

🚦Wengi Hawajui! Hivi Ndivyo Bamia Inavyotibu Maumivu ya Viungo Bila Dawa! > Dawa ZA Mitishamba

✍️ Bamia ina ute wa asili (mucilage) wenye virutubisho vingi k**a vitamini C, K, calcium, magnesium na antioxidants.

Vyakula hivi husaidia:

βœ… Kupunguza uvimbe kwenye maungio

βœ… Kulainisha viungo na kupunguza msuguano

βœ… Kukuza afya ya cartilage (kile kipande laini kinacholinda mifupa)

βœ… Kuzuia au kupunguza maumivu ya viungo

🩺 Jinsi ya kutumia:

1️⃣ Kata kata Bamia 3–5 mbichi

2️⃣ Loweka kwenye glasi ya maji usiku kucha

3️⃣ Kunywa maji yake asubuhi kabla ya kula

Jaribu kwa siku chache mfululizo
β€” utashangaa na matokeo yake! ✨

πŸ‘‰ Bamia ni dawa ya asili, rahisi na salama kwa afya ya viungo!


🚦TIBA YA MAUMIVU YA MISULI NA VIUNGO > Dawa ZA Mitishamba :(mfano: maumivu ya mgongo, magoti, mabega, baridi yabisi, au ...
27/10/2025

🚦TIBA YA MAUMIVU YA MISULI NA VIUNGO > Dawa ZA Mitishamba :

(mfano: maumivu ya mgongo, magoti, mabega, baridi yabisi, au misuli kukak**aa)

πŸ”Έ Viambato (vya maandalizi)

Mafuta ya karafuu – kijiko 1 cha chakula

Mafuta ya mnyonyo – vijiko 4 vya chakula

(Hiari: ongeza matone machache ya mafuta ya mzeituni au ya n**i ili kulainisha zaidi)

πŸ”Έ Namna ya kuandaa

Weka mafuta yote kwenye chupa ndogo yenye mfuniko.

Changanya vizuri kwa kuyatingisha.

Weka mahali pa baridi na penye kivuli (usiweke juani).

πŸ”Έ Namna ya kutumia

Chemsha maji ya moto kidogo (si ya kuunguza).

Loweka kitambaa ndani ya maji hayo na kifunike sehemu yenye maumivu kwa dakika 3–5 ili kufungua vinyweleo.

Baada ya hapo, pakaa mchanganyiko wa mafuta haya kwenye eneo linalouma.

Fanya masaji ya taratibu kwa dakika 5–10.

Funika kwa kitambaa safi au shuka jepesi ili kudumisha joto.

πŸ”Έ Ratiba ya matumizi

Asubuhi na jioni kila siku kwa wiki 1–2, kulingana na hali ya maumivu.

Kwa maumivu sugu (mfano baridi yabisi), endelea hadi wiki 3–4.

⚠️ Tahadhari

Usitumie kwenye ngozi iliyo na vidonda wazi.

Usitumie mafuta ya karafuu kupita kiasi – yanaweza kuchoma ngozi.

Watoto chini ya miaka 10 wasitumie bila ushauri wa tabibu.

Ukihisi kuwasha sana au kuchoma, safisha mara moja kwa maji baridi na upake mafuta ya n**i au ya mzeituni.

🌿 Faida utakazoziona

βœ… Kupungua kwa maumivu ya misuli na viungo

βœ… Kuboresha mzunguko wa damu

βœ… Kupunguza kukak**aa kwa misuli

βœ… Kutuliza uchovu baada ya kazi nzito au mazoezi


Dawa ZA Mitishamba ✨
26/10/2025

Dawa ZA Mitishamba ✨

πŸ€— Ongeza Kinga zako za MWILI na Damu Zaidi kula Matunda Kila siku...Dawa ZA Mitishamba  ✨
26/10/2025

πŸ€— Ongeza Kinga zako za MWILI na Damu Zaidi kula Matunda Kila siku...

Dawa ZA Mitishamba ✨

Dawa ZA Mitishamba ✨
26/10/2025

Dawa ZA Mitishamba ✨

🚦Kula angalau matunda 2–3 kwa wingi kila siku πŸ₯πŸŒ πŸ‡ πŸ“ ili kufanya mwili uwe wenye nguvu na wenye Afya njema! πŸ’ͺDawa ZA Mit...
25/10/2025

🚦Kula angalau matunda 2–3 kwa wingi kila siku πŸ₯πŸŒ πŸ‡ πŸ“ ili kufanya mwili uwe wenye nguvu na wenye Afya njema! πŸ’ͺ

Dawa ZA Mitishamba ✨

🚦SABABU ZINAZOPELEKEA πŸ’ƒ UKE KUWA MKAVU NA KUSABABISHA MAUMIVU > Dawa ZA Mitishamba :πŸ€— Wanawake wengi hukutana na tatizo ...
25/10/2025

🚦SABABU ZINAZOPELEKEA πŸ’ƒ UKE KUWA MKAVU NA KUSABABISHA MAUMIVU > Dawa ZA Mitishamba :

πŸ€— Wanawake wengi hukutana na tatizo la ukavu wa uke, hali inayoweza kusababisha maumivu wakati wa tendo la ndoa, muwasho, au hisia za kuchoma.

✍️ Tatizo hili ni la kawaida, na linaweza kusababishwa na mambo mbalimbali k**a:

1️⃣ Mabadiliko ya homoni (hasa estrogen)
– Hutokea zaidi wakati wa menopause, baada ya kujifungua, au wakati wa kunyonyesha.

2️⃣ Kuna bahadhi ya Dawa fulani usitumie
– k**a za aleji (antihistamine), mfadhaiko (antidepressant) au shinikizo la damu.

3️⃣ Msongo wa mawazo (stress)
– Unapunguza hamu ya tendo na uzalishaji wa ute wa uke.

4️⃣ Sabuni zenye kemikali kali
– Huharibu uwiano wa asili wa uke na kusababisha ukavu.

5️⃣ Uvutaji sigara & pombe kupita kiasi
– Hupunguza mzunguko wa damu sehemu za siri.

6️⃣ Kukosa uchochezi wa kutosha (foreplay)
– Hufanya uke usitengeneze unyevu wa kutosha.

🏡️ Ushauri:

πŸ‘‰ Tumia vilainishi salama (lubricants) wakati wa tendo.

πŸ‘‰ Epuka kutumia sabuni zenye kemikali kujisafishia Sehemu za siri

πŸ‘‰ Kunywa maji mengi, fanya mazoezi, na punguza stress.

❀️ Afya ya uke ni sehemu muhimu ya afya yako ya uzazi. Usione aibu kuzungumza kuhusu hilo!
______________________________
K**a unasumbuliwa na tatizo ilo usiangaike Dawa yake ipo || Tutafute Whatsapp 0682181819
-----------------------------------------------------


Dawa ZA Mitishamba ✨   πŸ‘‡
25/10/2025

Dawa ZA Mitishamba ✨ πŸ‘‡

🚦TIBA YA ASILI YA UGONJWA WA NGOZI : > Dawa ZA Mitishamba :✍️ Watu wengi hawajui kwamba mchanganyiko huu wa asili unawez...
24/10/2025

🚦TIBA YA ASILI YA UGONJWA WA NGOZI : > Dawa ZA Mitishamba :

✍️ Watu wengi hawajui kwamba mchanganyiko huu wa asili unaweza kusaidia sana katika kupunguza matatizo ya ugonjwa wa ngozi

πŸ§„ Kitunguu swaumu – kina allicin, kiambato chenye nguvu ya kupambana na fangasi na bakteria.

πŸ‹ Limao – lina vitamini C na asidi
inayosaidia kupunguza ukuaji wa fangasi.

🍈 Papai – lina papain ambayo husaidia ngozi kupona haraka na kuondoa seli zilizokufa.

🏡️ Namna ya kutumia (kwa ngozi iliyoathirika):

1️⃣ Saga kitunguu swaumu kidogo.

2️⃣ Ongeza Utomvu wa Papai na Weka Juice ya limao Kidogo.

3️⃣ Changanya vyote Kwa pamoja Upate mchanganyiko Mmoja.

4️⃣ Paka sehemu iliyoathirika kwa dakika 30, kisha osha vizuri kwa maji safi.

⚠️ Tahadhari:

Usitumie kwenye ngozi yenye vidonda au majeraha.

Jaribu kwanza kipimo kidogo kuangalia k**a hakikuletei muwasho.

Kwa maambukizi makali, wasiliana na daktari wa ngozi kwa ushauri zaidi.


🚦Tiba ya Vidonda Vya Tumbo πŸ‘‡ Ukitaka kujua bei uliza Kwenye Comment ...Dawa ZA Mitishamba ✨
24/10/2025

🚦Tiba ya Vidonda Vya Tumbo πŸ‘‡ Ukitaka kujua bei uliza Kwenye Comment ...

Dawa ZA Mitishamba ✨

Address

Tanga

Opening Hours

Monday 09:00 - 23:00
Tuesday 09:00 - 23:00
Wednesday 09:00 - 23:00
Thursday 09:00 - 23:00
Friday 09:00 - 18:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 18:00

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dawa ZA Mitishamba posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Dawa ZA Mitishamba:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram