04/11/2025
π¦Wengi Hawajui! Hivi Ndivyo Bamia Inavyotibu Maumivu ya Viungo Bila Dawa! > Dawa ZA Mitishamba
βοΈ Bamia ina ute wa asili (mucilage) wenye virutubisho vingi k**a vitamini C, K, calcium, magnesium na antioxidants.
Vyakula hivi husaidia:
β
Kupunguza uvimbe kwenye maungio
β
Kulainisha viungo na kupunguza msuguano
β
Kukuza afya ya cartilage (kile kipande laini kinacholinda mifupa)
β
Kuzuia au kupunguza maumivu ya viungo
π©Ί Jinsi ya kutumia:
1οΈβ£ Kata kata Bamia 3β5 mbichi
2οΈβ£ Loweka kwenye glasi ya maji usiku kucha
3οΈβ£ Kunywa maji yake asubuhi kabla ya kula
Jaribu kwa siku chache mfululizo
β utashangaa na matokeo yake! β¨
π Bamia ni dawa ya asili, rahisi na salama kwa afya ya viungo!